< Kutoka 34 >
1 Yahweh akamwabia Musa, “Kata mbao mbili za mawe kama zile za awali. Nitaandika kwenye hizi mbao za mawe maneno yaliyo kuwa kwenye mbao za mawe za mwanzo, mbao za mawe ulizo zivunja.
Gospod je rekel Mojzesu: »Izsekaj si dve kamniti plošči, podobni prvima, in na ti plošči bom napisal besede, ki so bile na prvih ploščah, ki si ju razbil.
2 Kuwa tayari asubui na uje Mlima Sinai, na uje mbele zangu juu ya mlima.
Zjutraj bodi pripravljen in zjutraj pridi gor na goro Sinaj in se mi pokaži tam, na vrhu gore.
3 Hakuna atakaye kuja nawe. Usiruhusu mtu yeyote aonekana popote kwenye mlima. Hakuna kundi la mifugo wanao ruhusiwa ata kula mbele ya mlima.”
Noben človek ne bo prišel gor s teboj niti naj noben človek ne bo viden po vsej gori. Naj se niti tropi, niti črede ne pasejo pred to goro.«
4 Hivyo Musa akakata mbao mbili za mawe kama za mwanzo, na akaamka asubui mapema na kwenda juu ya Mlima Sinai, kama Yahweh alivyo muelekeza. Musa alibeba mbao za mawe mikononi mwake.
In izklesal je dve kamniti plošči, podobni prvima dvema. Mojzes je vstal zgodaj zjutraj in odšel na goro Sinaj, kakor mu je zapovedal Gospod in v svojo roko vzel dve kamniti plošči.
5 Yahweh akaja chini katika wingu na akasima mbele za Musa, na akatamka jina “Yahweh.”
Gospod se je spustil v oblaku in tam stal z njim in razglasil Gospodovo ime.
6 Yahweh akapita kwake na kukiri, “Yahweh, Yahweh, Mungu ni wa rehema na wa neema, sio mwepesi wa hasira, na anadumu katika uwaminifu wa agano na uadilifu,
Gospod je šel mimo, pred njim in razglasil: » Gospod, Gospod Bog, usmiljen in milostljiv, potrpežljiv in obilen v dobroti in resnici,
7 ukishika uaminifu wa agano kwa vizazi maelfu, ukisamehe maasi, makosa, na dhambi. Lakini hamsafishi mwenye hatia. Ataleta adhabu ya dhambi za baba kwa watoto wao na watoto wa watoto wao, kwa kizazi cha tatu na hadi cha nne.”
ki ohranja usmiljenje za tisoče, ki odpušča krivičnost, prestopek in greh in ki nikakor ne bo očistil krivega; ki obiskuje krivičnost očetov na otrocih in na otrok otrocih, do tretjega in četrtega rodu.«
8 Musa haraka akainamisha kichwa chake kwenye ardhi na kuabudu.
Mojzes se je podvizal in svojo glavo sklonil proti zemlji ter oboževal.
9 Kisha akasema, “Kama sasa nimepata upendeleo machoni pako, Bwana wangu, tafadhali nenda pamoja nasi, kwa kuwa hawa watu ni wa korofi. Samehe maasi yetu na dhambi zetu, na utuchukuwe kama urithi wako.”
Rekel je: »Če sem torej našel milost v tvojih očeh, oh Gospod, naj moj Gospod, prosim te, hodi med nami, kajti to je trdovratno ljudstvo. Odpusti našo krivičnost in naš greh in nas vzemi za svojo dediščino.«
10 Yahweh akasema, “Ona, ninakaribu kufanya agano. Mbele za watu wako, nitafanya maajabu ambayo hayajawai kufanywa duniani kote wala kwenye taifa lote. Watu wote miongoni mwako wataona matendo yangu, kwa kuwa ni kitu cha hofu ninacho fanya kwako.
In on je rekel: »Glej, sklepam zavezo. Pred vsem tvojim ljudstvom bom delal čuda, kakršna še niso bila storjena po vsej zemlji niti v nobenem narodu. Vse ljudstvo, med katerim si, bo videlo Gospodovo delo, kajti to je strašna stvar, ki jo bom storil s teboj.
11 Tii amri zangu leo. Ninawaondoa mbele yako Waamori, Wakanani, Wahivi, Wahiti, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.
Obeležuj to, kar sem ti danes zapovedal. Glej, pred teboj napodim Amoréjca, Kánaanca, Hetejca, Perizéjca, Hivéjca in Jebusejca.
12 Kuwa mwanglifu usifanye agano na wakazi wa nchi unayo kwenda, au wata kuwa mtego kwako.
Pazi nase, da ne bi sklenil zaveze s prebivalci dežele, v katero greš, da ti ne bi bili za zanko v tvoji sredi,
13 Badala yake, lazima uvunje madhabahu zao, ponda nguzo zao za mawe, na kukata nguzo zao za Ashera.
temveč boste uničili njihove oltarje, zlomili njihove podobe in posekali njihove ašere,
14 Kwa kuwa wewe haupaswi kumuabudu mungu mwingine, maana Yahweh, ambaye jina lake ni Uwivu, ni Mungu wa uwivu.
kajti ne boš oboževal nobenega drugega boga, kajti Gospod, čigar ime je Ljubosumni, je ljubosumen Bog,
15 Hivyo kuwa mwangalifu usifanye agano na wakazi wa nchi, kwa kuwa wanajifanyia ukahaba kwa miungu yao, na wanatoa dhabihu kwa miungu yao. Kisha mmoja wao ata kukaribisha na wewe utakula baadhi ya dhabihu zake,
da ne bi sklenil zaveze s prebivalci dežele in bi se oni šli vlačugat s svojimi bogovi in bi žrtvovali svojim bogovom, in bi te nekdo povabil in bi ti jedel od njegove daritve,
16 na kisha utachukuwa baadhi ya mabinti zake kwa wanao, na mabinti wake watafanya ukahaba kwa miungu yao, na watafanya wanao kufanya ukahaba kwa miungu yao.
in bi jemal od njihovih hčera za svoje sinove in bi se njihove hčere šle vlačugat za njihovimi bogovi in bi primoral svoje sinove, da se gredo vlačugat za njihovimi bogovi.
17 Usifanye Miungu ya chuma ya kuyayusha.
Sebi ne boš izdeloval nobenih ulitih bogov.
18 Laziam ushike Sherehe ya Mkate Usiotiwachachu. Kama nilivyo kuamuru, lazima ule mkate usio na hamira kwa siku saba kwa muda uliotengwa wa mwezi wa Abibu, maana nikatika mwezi wa Abibu ulitoka Misri.
Obeleževal boš praznik nekvašenega kruha. Sedem dni boš jedel nekvašeni kruh, kot sem ti zapovedal, v času meseca abíba, kajti v mesecu abíbu si prišel iz Egipta.
19 Wazaliwa wote ni mwangu, ata mzaliwa wa kwanza wa kiume wa mifugo, yote ya ng'ombe na kondoo.
Vse, kar odpre maternico, je moje. Vsak prvenec med tvojo živino, bodisi vol ali ovca, ki je samec.
20 Lazima umnunue tena mzaliwa kwanza wa punda kwa kondoo, lakini usipo mnunua tena, kisha uivunje shingo yake. Lazima ununue tena wazaliwa wa kwanza wote wa wanao. Hakuna ata mmoja atakye kuja kwangu mikono mitupu.
Toda prvenca od osla boš odkupil z jagnjetom. Če pa ga ne odkupiš, potem mu boš zlomil tilnik. Odkupil boš vse prvorojeno izmed svojih sinov. In nihče se ne bo prazen prikazal pred menoj.
21 Utafanya kazi kwa siku sita, lakini siku ya saba utapumzika. Ata wakati wakilimo na wa mavuno, lazima upumzike.
Šest dni boš delal, toda na sedmi dan boš počival; v času oranja in v času žetve boš počival.
22 Lazima uadhimishe Sherehe ya Majuma kwa mazao ya kwanza ya mavuno ya ngano, na lazima uadhimishe Sherehe ya Makusanyo mwisho wa mwaka.
Obeleževal boš praznovanje tednov, od prvih sadov pšenične žetve in praznovanja spravljanja ob koncu leta.
23 Mara tatu kwa mwaka wanaume wenu wote watajitokeza kwa Bwana Yahweh, Mungu wa Israeli.
Trikrat na leto se bodo vsi vaši moški otroci prikazali pred Gospodom Bogom, Izraelovim Bogom.
24 Kwa kuwa nitaondoa mataifa mbele yenu na kutanua mipika. Hakuna atakaye tamani kuwa na ardhi yenu kama yao utakapo toka mbele za Yahweh mara tatu kwa mwaka.
Kajti jaz bom pred teboj pregnal narode in razširil tvoje meje. Niti si noben človek ne bo poželel tvoje dežele, kadar boš šel trikrat v letu gor, da se prikažeš pred Gospodom, svojim Bogom.
25 Hautatoa damu ya dhabihu yangu na hamira yeyote, wala nyama yeyote kutoka dhabihu za Sherehe ya Pasaka kubaki hadi asubui.
Krvi moje klavne daritve ne boš daroval s kvasom niti ne bo klavna daritev praznika pashe ostala do jutra.
26 Lazima ulete matunda ya kwanza yalio bora kutoka nyumbani kwako. Usimchemshe mbuzi mtoto katika maziwa ya mama yake.”
Prvine od prvih sadov svoje zemlje boš prinesel v hišo Gospoda, svojega Boga. Kozlička ne boš kuhal v mleku njegove matere.«
27 Yahweh akamwabia Musa, “Andika chini haya maneno, kwa kuwa nimejiahidi haya maneno niliyo yasema, na nimefanya agano kwako na Israeli.”
Gospod je rekel Mojzesu: »Zapiši te besede, kajti po pomenu teh besed sem sklenil zavezo s teboj in z Izraelom.«
28 Musa alikuwa huko na Yahweh kwa siku arobaini na usiku; hakula chakula chochote wala kunywa maji yeyote. Aliandika katika mbao maneno ya agano, Amri kumi.
In tam je bil z Gospodom štirideset dni in štirideset noči; niti ni jedel kruha niti pil vode. In na tabli je zapisal besede te zaveze, deset zapovedi.
29 Musa alipo shuka chini ya Mlima Sinai na mbao mbili za agano za ushuhuda mikononi mwake, hakujua kuwa ngozi ya kuwa uso wake ulikuwa wa'ngaa akizungumza na Mungu.
Pripetilo se je, ko je Mojzes prišel dol z gore Sinaj, z dvema ploščama pričevanja v Mojzesovi roki, ko je prišel dol z gore, da Mojzes ni vedel, da je koža njegovega obraza sijala, medtem ko je govoril z njim.
30 Wakati Aruni na Waisraeli walipo muona Musa, ngozi ya uso wake ulikuwa wa ng'aa, na waliogopa kuja karibu yake.
Ko so Aron in vsi Izraelovi otroci zagledali Mojzesa, glej, koža njegovega obraza je sijala in so se bali priti bliže k njemu.
31 Lakini Musa aliwaita, na Aruni na viongozi wa jamii wakaja kwake. Kisha Musa akasema nao.
Mojzes jim je zaklical in Aron in vsi voditelji skupnosti so se vrnili k njemu, in Mojzes je govoril z njimi.
32 Baada ya haya, watu wote wa Israeli wakaja kwa Musa, na akawambia amri zote Yahweh alizo mpa katika Mlima Sinai.
Potem so vsi Izraelovi otroci prišli bliže in v zapoved jim je dal vse, kar je Gospod govoril z njim na gori Sinaj.
33 Musa alipo maliza kuzungumza nao, alifunika uso wake kwa kitambaa.
Ko je Mojzes prenehal govoriti z njimi, si je na obraz dal zagrinjalo.
34 Wakati Musa alipoenda mbele za Yahweh kusema naye, aliondoa kitambaa, hadi alipo toka. Alipo toka, aliwaambia Waisraeli alicho amriwa kusema.
Toda ko je Mojzes vstopil pred Gospoda, da govori z njim, je odstranil zagrinjalo, dokler ni prišel ven. In prišel je ven in govoril Izraelovim otrokom to, kar mu je bilo zapovedano.
35 Waisraeli walipo muona Musa ana'ngaa uso, alirudisha kitambaa tena usoni mpaka alipokuwa anaenda kuongea na Yahweh.
Izraelovi otroci so videli Mojzesov obraz, da je Mojzesova koža sijala in Mojzes si je na svoj obraz ponovno namestil zagrinjalo, dokler ni vstopil, da govori z njim.