< Kutoka 28 >

1 Umuite Aruni kaka yako na wana wake - Nadabu, na Abihu, na Eleazari, na Ithamari - miongoni mwa wana wa Israeli, ili anitumikie katika kazi ya ukuhani.
“A onda dovedi k sebi između Izraelaca svoga brata Arona zajedno s njegovim sinovima: Nadabom, Abihuom, Eleazarom i Itamarom da mi služe kao svećenici.
2 Nawe utamfanyia Aruni ndugu yako mavazi matakatifu, kwa utukufu na kwa uzuri.
Napravi svome bratu Aronu sveto ruho na čast i ukras.
3 Nawe utawaambia watu wote wenye moyo wa hekima, niliowajaza na roho ya hekima wamfanyie Aruni mavazi ili kumtakasa anitumikie katika kazi ya ukuhani.
Obrati se svim vještacima koje sam obdario mudrošću neka naprave haljine Aronu da bi se posvetio i vršio svećeničku službu u moju čast.
4 Na mavazi watakayoyafanya ni kifuko cha kifuani, na naivera, na joho, na kanzu ya kazi ya urembo, na kilemba, na mshipi; nao watawafanyia Aruni nduguye, na wanawe, mavazi matakatifu ili anitumikie katika kazi ya ukuhani.
Neka ovu odjeću naprave: naprsnik, oplećak, ogrtač, košulju resama obrubljenu, mitru i pas; neka naprave svetu odjeću za tvoga brata Arona i njegove sinove da mi služe kao svećenici.
5 Nao wataitwaa dhahabu, na nguo ya rangi ya samawi, na ya rangi ya zambarau, na ya rangi nyekundu.
Stoga neka oni primaju zlato, ljubičasto, crveno i tamnocrveno predivo i prepredeni lan.”
6 Nao waifanye naivera kwa nyuzi za dhahabu, na za samawi, na za zambarau, na nyekundu, na kitani nzuri yenye kusokotwa kwa kazi ya mstadi.
“Oplećak neka naprave od zlata, od ljubičastog, crvenog i tamnocrvenog prediva i od prepredenog lana - vješto izrađen.
7 Lazima itakuwa na vipande viwili vya mabegani, vilivyoungana kwenye ncha zake mbili; ili ipate kuunganywa.
Neka na njemu budu dvije poramenice, pričvršćene za njegove krajeve.
8 Na mshipi wa kazi ya ustadi ulio juu yake, ili kuifunga mahali pake; utakuwa wa kazi kama ile ya naivera, ya vitu vile vile ya nyuzi za dhahabu, na za rangi ya samawi, na ya zambarau, na nyekundu, na kitani nzuri yenye kusokotwa.
Tkanica što bude na njemu neka je napravljena kao i on: od zlata, od ljubičastog, crvenog i tamnocrvenog prediva i od prepredenog lana, a neka s njim sačinjava jedan komad.
9 Nawe utatwaa vito viwili vya shohamu, ya rangi ya chani-kiwiti, nawe utachora juu yake majina ya wana wa Israeli;
Zatim uzmi dva draga kamena oniksa i u njih ureži imena Izraelovih sinova:
10 Majina yao sita katika kito kimoja, na majina sita yaliyosalia katika kile kito cha pili, kwa utaratibu wa kuzaliwa kwao.
šest njihovih imena na jednome dragom kamenu, a preostalih šest imena na drugome dragom kamenu, prema njihovu rođenju.
11 Kwa kazi mtu mwenye kuchora mawe kama vile muhuri ichorwavyo, utavichora hivi vito viwili, sawasawa na majina ya wana wa Israeli, nawe utavitia katika vijalizo vya dhahabu.
Kao što rezbar dragulja urezuje pečate na prstene, tako ti ureži imena Izraelovih sinova. Oko njih navezi zlatan obrub,
12 Nawe utavitia vile vito viwili juu ya vipande vya mabegani vya hiyo naivera, viwe vito vya ukumbusho kwa ajili ya wana wa Israeli. Naye Aruni atayachukua majina yao mbele za Yahweh juu ya mabega yake mawili ili kuwa ukumbusho.
pa pričvrsti oba draga kamena za poramenice oplećka da budu spomen-dragulji na Izraelove sinove. Tako neka Aron nosi njihova imena o svoja dva ramena pred Jahvom da ih se sjeća.
13 Nawe fanya vijalizo viwili vya dhahabu
Načini zlatne okvire
14 na mikufu miwili ya dhahabu safi; utaifanya iwe mfano wa kamba, ya kazi ya kusokotwa; nawe uitie ile mikufu ya kazi ya kusokotwa katika vile vijalizo.
i dva lančića od čistoga zlata. Načini ih kao zasukane uzice i onda zasukane lančiće pričvrsti za okvire.”
15 Nawe lazima utafanya kifuko cha kifuani cha hukumu, kazi ya fundi stadi; utakifanya kwa kuiandama ile kazi ya hiyo naivera. Fanya nyuzi za dhahabu, na za rangi ya samawi, na za rangi ya zambarau, na nyekundu, na kitani safi yenye kusokotwa, ndivyo utakavyokifanya.
“Naprsnik za presuđivanje izradi umjetnički; izvedi to kao i posao na oplećku: od zlata, od ljubičastog, crvenog i tamnocrvenog prediva i od prepredenog lana.
16 Kitakuwa mraba, tena cha kukunjwa; urefu wake utakuwa shibiri moja, na upana wake shibiri moja.
Neka bude četvorinast i dvostruk; jedan pedalj neka mu je duljina, a pedalj širina.
17 Nawe ukijaze viweko vya vito, safu nne za vito; safu moja itakuwa ni akiki, na yakuti ya rangi ya manjano, na baharamani, hivi vitakuwa safu ya kwanza.
Na njemu poredaj četiri reda dragulja. U prvome redu neka bude: rubin, topaz i alem;
18 Na safu ya pili itakuwa zumaridi, na yakuti samawi, na almasi.
u drugome redu: smaragd, safir i ametist;
19 Na safu ya tatu itakuwa hiakintho, na akiki nyekundu, na amethisto.
u trećem redu: hijacint, ahat i ledac;
20 Na safu ya nne itakuwa ni zabarajadi, na shohamu, na yaspi. Vito hivyo vitakazwa ndani ya dhahabu kwa kujaa mahali pake.
a u četvrtom redu: krizolit, oniks i jaspis. Neka budu ukovani u zlatne okvire.
21 Na vile vito vitakuwa sawasawa na majina ya wana wa Israeli, kumi na viwili, sawasawa na majina yao. Mfano wa kuchora kwa muhuri kila kimoja sawasawa na jina lake, vitakuwa vya hizo kabila kumi na mbili.
Tih dragulja neka bude dvanaest, koliko i imena Izraelovih sinova. Neka budu urezani kao i pečati na prstenju, svaki s imenom jednoga od dvanaest plemena.
22 Nawe lazima utie katika kile kifuko cha kifuani mikufu mfano wa kamba, ya kazi ya kusokotwa, ya dhahabu safi.
Napravi za naprsnik lančiće od čistoga zlata, zasukane kao uzice.
23 Nawe utie maduara mawili ya dhahabu katika kile kifuko cha kifuani, na kuzitia hizo pete mbili katika ncha mbili za kifuko cha kifuani.
Zatim napravi za naprsnik dva kolutića od zlata i pričvrsti ih na dva gornja ugla naprsnika.
24 Nawe utie hiyo mikufu miwili ya dhahabu iliyosokotwa katika zile pete mbili zilizo katika ncha za kifuko cha kifuani.
Onda priveži dvije zlatne uzice za ta dva kolutića koja budu pričvršćena za uglove naprsnika.
25 Na ncha zile nyingine za hiyo mikufu miwili ya kusokotwa utazitia katika vile vijalizo viwili, na kuvitia katika vile vipande vya mabegani vya naivera upande wa mbele.
Druga dva kraja uzica priveži za dva okvira. Sad ih tako pričvrsti za poramenice oplećka sprijeda.
26 Nawe utafanya viduara vili vya dhahabu, uzitie katika hizo ncha mbili za kifuko cha kifuani, katika ukingo wake.
Napravi dva kolutića od zlata pa ih pričvrsti za dva donja ugla naprsnika, uz rub iznutra koji je okrenut prema oplećku.
27 Nawe lazima ufanye viduara vili vya dhahabu, na kuzitia katika vile vipande viwili vya mabegani vya ile naivera chini yake, upande wa mbele, karibu na kifungo chake, juu ya huo mshipi wa naivera uliosukwa kwa ustadi.
Napravi još dva kolutića od zlata i pričvrsti ih za donji, prednji kraj poramenice oplećka, uz njegov šav povrh tkanice oplećka.
28 Nao watakikaza kile kileso kwa vile viduara vyake kwenye viduara za naivera kwa ukanda wa rangi ya samawi, ili kwamba kikae pale juu ya ule mshipi wa naivera uliosukwa kwa ustadi, ili kwamba kifuko cha kifuani kisiachane na naivera.
Neka se naprsnik sveže za svoje kolutiće s kolutićima oplećka vrpcom od modroga grimiza, tako da naprsnik stoji iznad tkanice i da se ne može odvajati od oplećka.
29 Na Aruni atayachukua majina ya wana wa Israeli katika kile kifuko cha kifuani cha hukumu juu ya moyo wake kwa kufanya maamuzi, hapo atakapoingia ndani ya mahali patakatifu, kuwa ukumbusho mbele yaYahweh daima.
Neka tako Aron, kada god ulazi u Svetište, na svome srcu nosi imena sinova Izraelovih na naprsniku za presuđivanje da ih uvijek doziva u sjećanje pred Jahvom.
30 Nawe utie hizo Urimu na Thumimu katika kile kifuko cha kifuani cha hukumu; nazo zitakuwa juu ya moyo wa Aruni, hapo atakapoingia ndani mbele ya Yahweh na Aruni atachukua hukumu ya hao wana wa Israeli juu ya moyo wake mbele ya Yahweh daima.
U naprsnik za presuđivanje neka se stave i 'Urim' i 'Tumim' da i oni budu na Aronovu srcu kad bude dolazio pred Jahvu. Tako neka Aron uvijek na svom srcu pred Jahvom nosi presudu sinova Izraelovih.”
31 Nawe fanya hiyo joho ya naivera ya rangi ya samawi yote.
“Ogrtač za oplećak sav napravi od ljubičastog prediva.
32 Nayo itakuwa na tundu katikati yake kwa kupitisha kichwa; itakuwa na utepe wa kazi ya kusokotwa kuzunguka hilo tundu lake, mfano wa tundu lililo katika kanzu ya chuma, ili lisipasuke.
Prorez za glavu na njemu neka bude na sredini. Rub naokolo proreza neka bude opšiven kao ovratnik na oklopu, tako da se ogrtač ne podere.
33 Nawe katika pindo zake utatia makomamanga ya rangi ya samawi, na ya rangi ya zambarau, na ya rangi nyekundu, kuzunguka pindo zake kotekote; na njuga za dhahabu kati ya hayo makomamanga pande zote.
Na njegovu rubu sve naokolo načini šipke od ljubičastog, crvenog i tamnocrvenog prediva, a između njih zvonca od zlata naokolo;
34 Kengele ya dhahabu na komamanga, kengele ya dhahabu na komamanga, katika pindo za joho kuizunguka pande zote.
zlatno zvonce pa šipak, zlatno zvonce pa šipak naokolo ogrtača uz rub.
35 Nayo itakuwa juu ya Aruni akitumika; na sauti ya hizo kengele itasikilikana hapo aingiapo ndani ya mahali patakatifu mbele ya Yahweh na hapo atokapo nje, ili kwamba asife.
Neka budu na Aronu dok vrši službu, da se čuje kad ulazi u Svetište pred Jahvu i kad izlazi; tako neće umrijeti.”
36 Nawe fanya bamba la dhahabu safi na kuchora juu yake, mfano wa machoro ya muhuri, “Mtakatifu kwa Yahweh.”
“Napravi potom jednu ploču od čistoga zlata i na njoj ureži, kao što se urezuje na pečatnom prstenu: 'Jahvi posvećen'.
37 Nawe ulitie hilo bamba katika ukanda wa rangi ya samawi, nalo litakuwa katika kile kilemba; litakuwa upande wa mbele wa kile kilemba.
Za mitru je priveži modrom vrpcom da stoji s pročelja mitre.
38 Nalo litakuwa katika kipaji cha uso cha Aruni, na Aruni atauchukua uovu wa vile vitu vitakatifu, watakavyovitakasa hao wana wa Israeli katika vipawa vyao vyote vitakatifu, nalo litakuwa katika kipaji chake cha uso sikuzote, ili kwamba vipate kukubaliwa mbele za Yahweh.
Neka stoji na Aronovu čelu. Tako neka Aron na se preuzme nedostatke koji bi mogli okaljati sve svete prinose što ih Izraelci posvećuju. Neka uvijek stoji na njegovu čelu da za njih stječe blagonaklonost Jahvinu.
39 Na hiyo kanzu utaifuma ya kitani nzuri ya kazi ya urembo, ufanye na kilemba cha nguo ya kitani nzuri, nawe utafanya mshipi wa kazi ya mwenye kutia taraza.
Košulju s resama napravi od lana, od lana napravi i mitru, a pas vezom izvezi.
40 Kisha utafany kanzu kwa ajili ya wana wa Aruni, nawe wafanyie mishipi, wafanyie na kofia kwa utukufu na uzuri.
I za Aronove sinove napravi haljine, pasove i turbane, njima na čast i ukras.
41 Nawe mvike huyo nduguye Aruni na wanawe nao mavazi hayo; nawe watie mafuta, na kuwaweka kwa kazi takatifu, na kuwatakasa, ili wapate kunitumikia mimi katika kazi ya ukuhani.
U njih odjeni svoga brata Arona i njegove sinove; onda ih pomaži, ispuni im ruke vlašću i posveti ih da mi služe kao svećenici.
42 Nawe wafanyie suruali za nguo ya kitani, ili kufunika tupu ya miili yao; suruali hizo zitafika tangu kiunoni hata mapajani.
Napravi za njih gaćice od lana da im pokriju golo tijelo. Neka sežu od bedara do stegna.
43 Aruni na wanawe watazivaa, hapo watakapoingia katika hema ya kukutania, au hapo watakapoikaribia madhabahu ili watumike katika mahali patakatifu; wasije wakachukua uovu, wakafa; hii itakuwa ni amri ya milele kwake yeye, na kwa wazao wake.
Neka ih nosi Aron i njegovi sinovi kad ulaze u Šator sastanka ili kad se primiču žrtveniku za službu u Svetištu da ne navuku na se krivnju i umru. To neka bude vječna naredba za nj i za njegovo potomstvo poslije njega.”

< Kutoka 28 >