< Kutoka 22 >
1 Kama mwanaume akiiba ng'ombe aua kondoo na kumuua au kumuuza, kisha lazima alipe ng'ombe watano au ng'ombe mmoja, na kondoo wanne kwa mmoja.
Ja kas vērsi vai avi zog un to nokauj vai pārdod, tam būs atdot piecus vēršus par vienu vērsi un četras avis par vienu avi.
2 Kama mwizi akikutwa anavunja ndani, na kama akipigwa na kufa, hakutakuwa na hatia ya mauaji hayatakuwa juu ya mtu yeyote.
Ja zaglis kur top atrasts ielauzies, un top sists, ka mirst, tad viņa asinis nebūs atriebt.
3 Lakini kama jua limechomoza kabla ya yeye kuvunja ndani, hatia ya mauaji itakuwa juu ya aliyemuua. Mwizi lazima afanya alipe alichoiba. Kama hana chochote, kisha lazima auzwe kwa uwizi wake.
Ja saule pār to zagli ir uzlēkusi, tad viņa asinis būs atriebt. Zaglis lai atdod. Ja tam nav, tad tam būs tapt pārdotam savas zādzības dēļ.
4 Kama mnyama amekutwa hai eneo lake, kama ni ng'ombe, punda, au kondoo, lazima alipe mara mbili.
Ja zagtais lops viņa rokā top atrasts dzīvs, lai tas ir vērsis vai ēzelis vai avs, tad tam to būs atdot divkārtīgi.
5 Kama mwanaume akiwapeleka malishoni mifugo yake au shamba la mizabibu na akawaachia wanyama wake, na kawa wanakula shambani mwa mwanaume mwengine, lazima afanye malipo bora kutoka shambani mwake na shamba lake la mizabibu.
Ja kas kādu tīrumu vai vīna dārzu nogana un tur palaiž savu lopu, ka ēd cita tīrumā, tam par to būs atdot to labāko no sava tīruma un to labāko no sava vīna dārza.
6 Kama moto ukitokea na kusambaa kwenye miba hadi mbegu, au mimea, au shamba kuteketezwa, yeye aliye anzisha moto lazima afanye malipo.
Kad uguns izceļas un aizņem ērkšķus, ka labības guba vai druva vai tīrums sadeg, tad tam, kas to uguni iededzinājis, būs pilnīgi atdot.
7 Kama mwanaume akitoa pesa au mali kwa jirani yake amtunzie, na kama itaibiwa nyumbani mwa huyo mwanaume, kama mwizi akipatikana, huyo mwizi lazima alipe mara mbili.
Ja kas savam tuvākam dod glabāt naudu vai lietas, un tās top izzagtas no tā vīra nama, - ja tas zaglis top atrasts, tam divkārtīgi to būs atdot.
8 Lakini kama mwizi asipo patikana, kisha mmiliki wa nyumba ata kuja mbele za waamuzi kuona kama ameeka mkono wake kwenye mali za jirani yake.
Ja tas zaglis netop atrasts, tad to nama kungu būs vest Dieva priekšā, vai tas pats nav licis savu roku pie sava tuvākā mantas.
9 Kwa kila lumbano kuhusu jambo, kama ni ng'ombe, punda, kondoo, nguo, au chochote kilichopotea mtu anacho sema, “Hichi ni changu,” malalamiko ya pande zote lazima zije kwa waamuzi. Mwanaume ambaye waamuzi wanamkuta na hatia ata lipa mara mbili kwa jirani yake.
Ikviena sūdzības lieta par vērsi, par ēzeli, par avi, par drēbēm, par ikvienu pazudušu lietu, ko kurš saka savu esam, lai nāk Dieva priekšā; kuru nu Dievs notiesā, tam divkārtīgi būs atdot savam tuvākam.
10 Kama mwanaume akimpa jirani yake punda, ng'ombe, kondoo, au mnyama yeyote kumuhifadhia, na kama akifa au kuumia au akibebwa pasipo mtu kumuona,
Ja kas savam tuvākam dod glabāt ēzeli vai vērsi vai avi vai citu kādu lopu, un tas nosprāgst vai top ievainots vai nodzīts, ka neviens to neredz,
11 kiapo kwa Yahweh lazima wafanye wote wawili, kama ndio au hapana mtu ameeka mkono wake kwenye mali ya jirani yake. Mmiliki lazima akubali hili, na mwengine hatafanya malipo.
Tad pie Tā Kunga jānozvēras abu starpā, vai tas savu roku pats nav licis pie sava tuvākā mantas, un (tā lopa) kungam būs to pieņemt un tam (glabātajam) to nebūs atmaksāt.
12 Lakini kama iliibwa kwake, mwengine lazima afanye malipo kwa mmiliki kwa ajili yake.
Bet ja tas (lops) tam (glabātajam) zagšus top nozagts, tad lai tā (lopa) kungam to atmaksā.
13 Kama mnyama alikatwa vipande, acha mwanaume mwengine alete huyo mnyama kama ushahidi. Hatalipa kwa ajili ya vile vipande.
Ja ir saplosīts, tad būs dot liecību par to, un tad to saplosīto nebūs maksāt.
14 Kama mwanaume akiazima mnyama kutoka kwa jirani yake na mnyama akajeruhia au akafa pasipo mmiliki kuwa naye, mwanaume mwengine lazima afanya malipo.
Un ja kas no sava tuvākā (lopu) aizņēmās un šis top ievainots vai nosprāgst viņa kungam klātu neesot, tad to būs atmaksāt.
15 Lakini kama mmiliki alikuwa nae, mwanaume mwengine haitaji kulipa; kama mnyama aliazimwa, atalipwa kwa gharama ya kuazima.
Ja viņa kungs bijis klātu, tad nebūs atmaksāt; ja tas (lops) par naudu ņemts, tad tas caur to maksu ir aizmaksāts.
16 Kama mwanaume akimtongoza bikra ambaye hana mchumba, na kama akilala naye, lazima amfanye kuwa mke wake kwa kulipa gharama za bibi arusi zinazo stahili.
Ja kas meitu pieviļ, kas vēl nav saderēta, un pie tās guļ, tad lai viņai to kroņa naudu dod un lai viņu ņem par sievu.
17 Kama baba yake akikataa kabisa kumpatia, lazima alipe hela inayo lingana na gharama za bibi arusi bikra.
Bet ja viņas tēvs liedzās viņam to dot, tad lai to naudu dod, cik tai meitai kroņa naudas pienākas.
18 Hautamwacha mchawi kuishi.
Burvi tev nebūs pamest dzīvu.
19 Yeyote atakaye lala na mnyama lazima auawe.
Visiem, kas ar kādu lopu jaucās, būs tapt nokautiem.
20 Yeyote atakaye toa dhabihu kwa mungu mwengine isipo kuwa Yahweh lazima auawe.
Kas upurē svešiem dieviem, un ne Tam Kungam vien, tam būs būt nolādētam.
21 Hauta mkosea mgeni au kumnyanyasa, kwa kuwa ninyi mlikuwa wageni katika nchi ya Misri.
Tev arī nevienu svešinieku nebūs ne dragāt, ne spaidīt, jo jūs esat bijuši svešinieki Ēģiptes zemē.
22 Hauruhusiwi kumtendea vibaya mjane au mtoto asiye kuwa na baba.
Tev nevienu atraitni un nevienu bāriņu nebūs apbēdināt.
23 Ukiwadhuru ata kidogo, na kama wakiniita mimi, hakika nitasikia sauti yao.
Ja tu kaut kā to apbēdināsi, un tā brēkdama uz Mani brēks, tad Es klausīt paklausīšu viņas brēkšanu.
24 Hasira yangu itawaka, na nitakuua kwa upanga; wake zenu watakuwa wajane, na watoto wenu pasipo baba.
Un Mana bardzība iedegsies, un Es jūs nokaušu ar zobenu, un jūsu sievām būs tapt par atraitnēm un jūsu bērniem par bāriņiem.
25 Ukiazima hela kwa watu wangu walio maskini, haupaswi kuwa kama anaye kopesha hela kwake au kutoza faida.
Ja tu Maniem ļaudīm, kas ir pie tevis par nabagiem, naudu aizdod, tad neesi pret tiem, kā kāds pagaidu plēsējs; tev par to nebūs augļus dzīt.
26 Ukichukuwa vazi la jirani yako kwa deni, lazima umrudishie kabla jua kuzama,
Ja tu sava tuvākā drēbes ķīlā ņem, tad tev tās viņam būs atdot, pirms saule noiet;
27 kwa kuwa hilo ndilo funiko lake, ni vazi la mwili wake. Nini tena ambacho anaweza kulalia? Atakapo niita mimi, nitasikia, kwa kuwa mimi ni mwenye huruma.
Jo tās ir viņa vienīgais apsegs, tās ir tās drēbes pār viņa miesām, iekš kā viņš būtu gulējis; bet kad tas uz Mani brēks, tad Es to klausīšu, jo Es esmu žēlīgs.
28 Usinikufuru mimi, Mungu, wala kumtukana mtawala wa watu wako.
Dievu tev nebūs zaimot, un savu ļaužu virsnieku tev nebūs lādēt.
29 Husizuie sadaka kutoka kwenye mavuno yako au kwenye hifadhi ya mvinyo wako. Lazima unipe mzaliwa wa kwanza wa wana wako.
Savus pirmajus augļus no labības un vīna tev nebūs aizturēt, to pirmdzimušo no saviem dēliem tev Man būs dot.
30 Lazima ufanye hivyo hivyo kwa ng'ombe na kondoo wako. Kwa siku saba lazima wabaki na mama zao, lakini siku ya nane lazima unipe mimi.
Tāpat tev būs darīt ar savu vērsi un ar savām avīm; septiņas dienas tiem būs būt pie savas mātes un astotā dienā tev tos Man būs atdot.
31 Mtakuwa watu walio tengwa kwa ajili yangu. Hivyo hamtakula nyama iliyo uliwa na wanyama porini. Badala yake, uwatupie mbwa.
Jums būs svētiem ļaudīm būt Manā priekšā; tāpēc jums nebūs ēst tādas miesas gaļu, kas laukā ir saplosīta; jums to būs mest suņiem priekšā.