< Kutoka 16 >

1 Watu wakaendelea na safari kutoka Elimu, na jamii yote ya Waisraeli ikaja nyikani mwa Sinu, iliyopo katikati ya Elimu na Sinai, siku ya kumi na tano ya mwezi wa pili walipo toka Misri.
Odšli so na svoje potovanje od Elíma in vsa skupnost Izraelovih otrok je prišla v Sinsko divjino, ki je med Elímom in Sinajem, na petnajsti dan drugega meseca po njihovem odhodu iz egiptovske dežele.
2 Jamii yote ya Waisraeli wali walalamikia Musa na Aruni nyikani.
Celotna skupnost Izraelovih otrok je v divjini godrnjala zoper Mojzesa in Arona
3 Waisraeli waliwaambia, “Kama tu tungekufa kwa mkono wa Yahweh nchi ya Misri tulipo kuwa tumeketi kwenye vyombo vya nyama na tulikuwa tunakula mkate kwa tele. Maana umetuleta nyikani uuwe jamii zetu zote kwa njaa.”
in Izraelovi otroci so jima rekli: »Bog daj, da bi umrli po Gospodovi roki v egiptovski deželi, ko smo sedeli pri loncih mesa in ko smo jedli kruha do sitega, kajti privedla sta nas v to divjino, da ta celoten zbor ubijeta z lakoto.«
4 Kisha Yahweh akamwambia Musa, “Nitakunyeshea mvua ya mkate. Watu wataenda na kukusanya kiasi cha siku kila siku ili niwajaribu kama wataendelea kushika sheria yangu au hapana.
Potem je Gospod rekel Mojzesu: »Glej, za vas bom z neba deževal kruh in ljudstvo bo šlo ven in vsak dan nabralo določeno mero, da jih lahko preizkusim, ali se bodo ravnali po moji postavi ali ne.
5 Itakuja kuwa siku ya sita, kwamba watakusanya mara mbili zaidi ya wanavyo kusanyaga, na watapika wanacholeta.”
In zgodilo se bo, da bodo na šesti dan pripravili to, kar so prinesli in tega bo dvakrat toliko, kolikor so dnevno nabrali.«
6 Kisha Musa na Aruni wakawaambia watu wote wa Israeli, “Jioni mtajua kuwa ni Yahweh aliye waleta kutoka nchi ya Misri.
Mojzes in Aron sta vsem Izraelovim otrokom rekla: »Zvečer, takrat boste vedeli, da vas je Gospod izpeljal iz egiptovske dežele
7 Asubui utaona utukufu wa Yahweh, kwa maana anasikia mna mlalamikia. Sisi ni nani hadi mtulalamikie?”
in zjutraj, potem boste videli Gospodovo slavo, kajti on posluša vaša mrmranja zoper Gospoda. Kaj pa sva midva, da mrmrate zoper naju?«
8 Musa pia akasema, “Utajua hili pale Yahweh atakapo kupa nyama jioni na mkate asubui kwa tele - kwa kuwa amesikia malalamishi mnayo tamka dhidi yake. Nani ni Aruni na mimi? Malalamishi yenu sio dhidi yetu; ni dhidi ya Yahweh.”
Mojzes je rekel: » To se bo zgodilo, ko vam bo Gospod zvečer dal za jesti meso in zjutraj kruha do sitega, zakaj Gospod sliši vaša mrmranja, ki jih mrmrate zoper njega. Kaj pa sva midva? Vaša mrmranja niso zoper naju, temveč zoper Gospoda.«
9 Musa akamwambia Aruni, “Sema kwa jamii yote ya watu wa Israeli, 'Njoo karibu ya Yahweh, kwa kuwa amesikia malalamishi yenu.'”
Mojzes je spregovoril Aronu: »Povej vsej skupnosti Izraelovih otrok: ›Pridite bliže, pred Gospoda, kajti slišal je vaša mrmranja.‹«
10 Ikawa, Aruni alipo sema na jamii yote ya watu wa Israeli, wakaangalia kuelekea nyikani, na, tazama, utukufu wa Yahweh ukatokea kwenye wingu.
Pripetilo se je, ko je Aron govoril celotni skupnosti Izraelovih otrok, da so pogledali proti divjini in glej, Gospodova slava se je prikazala v oblaku.
11 Kisha Yahweh akasema na Musa na kumwambia,
Gospod je spregovoril Mojzesu, rekoč:
12 “Nimesikia malalamishi ya watu wa Israeli. Sema nao na useme, 'Jioni utakula nyama, na asubui utashiba mkate. Kisha utajua mimi ni Yahweh Mungu wako.'”
»Slišal sem mrmranja Izraelovih otrok. Govori jim, rekoč: ›Zvečer boste jedli meso in zjutraj boste nasičeni s kruhom in vedeli boste, da jaz sem Gospod, vaš Bog.‹«
13 Ikaja kuwa kwamba jioni kware wakaja juu na kufunika kambi. Asubui umande ulitanda kambini.
Pripetilo se je, da so se zvečer pojavile prepelice in pokrile tabor in zjutraj je rosa ležala naokoli vojske.
14 Umande ulipo kwisha, pale juu ya ardhi ya nyikani kulikuwa na kama barafu iliyo ganda kwenye ardhi.
Ko je rosa, ki je ležala, izparela, glej, na obličju divjine je ležala majhna okrogla stvar, tako majhna kakor slana na tleh.
15 Watu wa Israeli walipo ona, walisema mmoja kwa mwenzake, “Hii ni nini?” Hawakujua ilikuwa ni nini. Musa akawaambia, “Ni mkate Yahweh aliyo wapa mle.
Ko so Izraelovi otroci to zagledali, so drug drugemu rekli: »To je mana.« Kajti niso vedeli, kaj je bilo to. Mojzes pa jim je rekel: »To je kruh, ki vam ga Gospod daje za jesti.
16 Hii ni amri Yahweh aliyotoa: 'Lazima ukusanye, kila mmoja wenu, kiasi unacho itaji kula, lita mbili kwa kila mtu. Hivi ndivyo utakavyo kusanya: Kusanya cha kutosha kula cha kila mtu anaye ishi hemani mwako.'”
To je stvar, ki jo je Gospod zapovedal: ›Vsak mož naj od tega nabere glede na svoje prehranjevanje, gomer za vsakega človeka, glede na število vaših oseb; vzemite vsak mož za tiste, ki so v njegovih šotorih.‹«
17 Watu wa Israeli wakafanya hivyo. Baadhi wakakusanya zaidi, baadhi wakakusanya kidogo.
Izraelovi otroci so storili tako in nabrali, nekateri več, drugi manj.
18 Walipo pima kwa kipimo cha lita, hao walio kusanya zaidi hawakuwa na kilicho salia, na hao walio kusanya kidogo hawakuwa na pungufu. Kila mmoja alikusanya cha kutosha kukidhi maitaji yake.
Ko so to izmerili z gomerjem, kdor je nabral veliko, ni imel preveč in kdor je nabral malo, ni imel pomanjkanja. Vsak človek je nabral glede na svoje prehranjevanje.
19 Kisha Musa akawaambia, “Hakuna ata mmoja kubakiza hadi asubui.”
Mojzes je rekel: »Naj noben človek od tega ne pusti do jutra.«
20 Walakini, hawakumsikiliza Musa. Baadhi yao waliacha baadhi hadi asubui, lakini ilizalisha wadudu na kuwa batili. Kisha Musa akawa na hasira juu yao.
Vendar niso poslušali Mojzesa, temveč so nekateri izmed njih pustili od tega do jutra in zaredile so se ličinke ter smrad in Mojzes je bil nad njimi ogorčen.
21 Walikusanya asubui kwa asubui. Kila mtu alikusanya cha kutosha kula kwa hiyo siku. Jua lilipo kuwa kali, ili yayuka.
To so nabirali vsako jutro, vsak človek glede na svoje prehranjevanje. Ko pa je sonce postalo vroče, se je stopilo.
22 siku ya sita walikusanya mkate mara mbili zaidi, lita mbili kwa kila mtu. Viongozi wote wa jamii walikuja na kumwambia hili kwa Musa.
Pripetilo se je, da so na šesti dan nabrali dvakrat toliko kruha, dva gomerja za enega človeka, in prišli so vsi voditelji skupnosti ter povedali Mojzesu.
23 Aliwaambia, “Hili ndilo Yahweh alililo lisema: 'Kesho ni mapumziko ya kujiliwaza, sabato takatifu kwa utukufu wa Yahweh. Oka kile unataka kuoka, na chemsha kile unataka kuchemsha. Vyote vitakavyo baki, jihifadhie hadi asubui.”'
Rekel jim je: »To je to, kar je rekel Gospod: ›Jutri je počitek svetega šabata Gospodu. To, kar boste spekli, specite danes in zavrite to, kar boste vreli. To pa, kar preostane, vzemite iz uporabe, da bo obdržano do jutra.‹«
24 Hivyo wakaeka pembeni hadi asubui, kama Musa alivyo elekeza. Haikuharibika, wala haikuwa na mdudu yeyote.
In to so vzeli iz uporabe do jutra, kakor je Mojzes zaukazal, in to ni zaudarjalo niti v tem ni bilo nobenih ličink.
25 Musa alisema, “Kula hicho cha kula leo, kwa kuwa leo ni siku iliyo tengwa ya kumtukuza Yahweh. Leo hamtaikuta mashambani.
Mojzes je rekel: »To jejte danes, kajti danes je šabat Gospodu. Danes tega ne boste našli na polju.
26 Mtaikusanya ndani ya siku sita, lakini siku ya saba ni Sabato. Siku ya Sabato hakuta kuwa na manna.”
Šest dni boste to nabirali, toda na sedmi dan, ki je šabat, ne bo ničesar.«
27 Ilikuja kuwa siku ya saba ambapo baadhi ya watu walienda kukusanya manna, lakini hawakukuta
Pripetilo se je, da je nekaj ljudi izmed ljudstva na sedmi dan odšlo, da nabirajo, pa niso našli ničesar.
28 Kisha Yahweh akamwambia Musa, Kwa muda gani utaendelea kukataa kushika amri zangu na sheria zangu?
Gospod je rekel Mojzesu: »Doklej boste odklanjali, da se držite mojih zapovedi in mojih postav?
29 Tazama, Yahweh amekupa Sabato. Hivyo siku ya sita anakupa mkate wa siku mbili. Kila mmoja wenu lazima akae kwenye sehemu yake; hakuna hata mmoja wa kutoka sehemu yake siku ya saba.”
Poglejte, zakaj Gospod vam je dal šabat, zato vam na šesti dan daje kruh dveh dni. Vsak človek naj ostane na svojem kraju, naj noben človek na sedmi dan ne gre iz svojega kraja.«
30 Hivyo watu watapumzika siku ya saba.
Tako je ljudstvo na sedmi dan počivalo.
31 Watu wa Israeli walikiita chakula kile “manna.” Ilikuwa ni nyeupe kama mbegu ya mgiligani, na ladha yake kama maandazi yaliyo pikwa na asali.
Izraelova hiša je njeno ime imenovala Mana, in ta je bila podobna koriandrovemu semenu, bela, in njen okus je bil podoben vafljem, narejenim z medom.
32 Musa akasema, “Hili ndilo Yahweh alilo amuru: 'Acha lita mbili ya manna ihifadhiwe kwa ajili vizazi vya watu wako ili kwamba uzao wako uone mkate niliyo kulisha nyikani, baada ya kukutoa kutoka nchi ya Misri.
Mojzes je rekel: »To je stvar, ki jo je Gospod zapovedal: ›S tem napolnite gomer, da bo obdržano za vaše rodove, da bodo lahko videli kruh, s katerim sem vas hranil v divjini, ko sem vas izpeljal iz egiptovske dežele.‹«
33 Musa akamwambia Aruni, “Chukuwa jagi na uweke lita mbili za manna ndani yake. Hifadhi kwa Yahweh i dumu vizazi vyote vya watu.”
Mojzes je Aronu rekel: »Vzemi lonec in vanj stresi gomer, poln mane in ga položi pred Gospoda, da bo obdržan za vaše rodove.«
34 Kama Yahweh alivyo muamuru Musa, Aruni akahifadhi pembeni mwa mawe yaliyo kuwa na amri za agano.
Kakor je Gospod zapovedal Mojzesu, tako je Aron to položil pred Pričevanje, da bo obdržano.
35 Watu wa Israeli walikula manna miaka arobaini mpaka walipo kuja nchi yenye watu. Walikula mpaka walipo fika kwenye mipaka ya nchi ya Kanani.
Izraelovi otroci so štirideset let jedli mano, dokler niso prišli v naseljeno deželo. Jedli so mano, dokler niso prišli do meja kánaanske dežele.
36 Lita mbili ni makumi ya efa.
Torej gomer je desetina škafa.

< Kutoka 16 >