< Waefeso 2 >

1 Kama vile mlivyo kuwa mmekufa katika makosa na dhambi zenu.
Kadeni mwavene mwafwili muwumi winu wa chimpungu ndava ya kubela kuyidakila Chapanga kumbudila kwinu Chapanga.
2 Ilikuwa katika haya kwamba kwanza mlienenda kulingana na nyakati za ulimwengu huu. Mlikuwa mkienenda kwa kufuata mtawala wa mamlaka ya anga. Hii ndiyo roho yake yule afanyaye kazi katika wana wa kuasi. (aiōn g165)
Lukumbi lula mweatamili kulandana na mtindu uhakau wa mulima wenuwo. Mwavi mwiyidakila chilongosi wa mizuka weuvi na makakala ga kunani, mzuka weukuvalongosa hinu vandu vangamyidakila Chapanga. (aiōn g165)
3 Sisi wote hapo mwanzo tulikuwa miongoni mwa hawa wasioamini. Tulikuwa tukitenda kwa namna ya tamaa mbaya za miili yetu. Tulikuwa tukifanya mapenzi ya mwili na ufahamu wetu. Tulikuwa kwa asili wana wa ghadhabu kama wengine.
Na hati, tete tavoha tavili ngati vene kwa kulandana na mnogo uhakau wetivelikwi nawu tatamili mukuhenga kila chechiganisa higa na luhala lwitu. Muhali yeniyo ngati vangi voha taganikiwi ligoga la Chapanga.
4 Lakini Mungu ni mwingi wa rehema kwa sababu ya pendo lake kubwa alilotupenda sisi.
Nambu kwa lipyana lamahele la Chapanga na uganu waki uvaha kwitu,
5 Wakati tulipokuwa wafu katika makosa yetu, alituleta pamoja katika maisha mapya ndani ya Kristo. Ni kwa neema kwamba mmeokolewa.
Hati lukumbi lula patakavili tifwili muwumi witu chimpungu ndava ya kumbudila Chapanga atikitili vawumi pamonga na Kilisitu. Kwa ubwina wa Chapanga nyenye musanguliwi.
6 Mungu alitufufua pamoja na kutufanya kukaa pamoja katika mahali pa mbingu ndani ya Kristo Yesu.
Mukuwungana na Yesu Kilisitu Chapanga atiyukisi pamonga nayu kutitamika tilongosa pamonga nayu kwenuko kunani kwa Chapanga.
7 Alifanya hivi ili katika nyakati zijazo aweze kutuonesha utajiri mkuu wa neema yake. Hutuonesha sisi hili kwa njia ya wema wake ndani ya Kristo Yesu. (aiōn g165)
Akitili chenichi muni alangisa kwa lusenje lwoha ubwina wa Chapanga uvaha na wakukangasa mu njila ya lipyana laki mukuwungana kwitu na Kilisitu Yesu. (aiōn g165)
8 Kwa neema mmeokolewa kwa njia ya imani. Na hii haikutoka kwetu. Ni zawadi ya Mungu.
Ndava muni, muubwina wa Chapanga musanguliwi mu njila ya sadika. Yeniyo yihumila lepi na nyenye nambu njombi kuhuma kwa Chapanga.
9 Haitokani na matendo. Matokeo yake, asiwepo mmoja wapo wa kujisifu.
Yihumila lepi na lihengu la mundu ndi mundu yeyoha akotoka kujikwiha.
10 Kwa sababu sisi tu kazi ya Mungu, tumeumbwa katika Kristo Yesu kutenda matendo mema. Ni matendo haya ambayo Mungu aliyapanga tangu zamani za kale kwa ajili yetu, ili tutembee katika hayo.
Chapanga atiwumbili tivya vamupya mukuwungana na Kilisitu Yesu, muni titama wumi wa kuhenga gabwina ngati cheatitendelekili kuhuma kadeni tihamba mu njila yeniyo.
11 Kwa hiyo kumbukeni kwamba hapo zamani mlikuwa watu wa Mataifa kwa jinsi ya mwili. Mnaitwa “msio na tohara” kwa kile kinachoitwa tohara ya mwili inayofanywa kwa mikono ya binadamu.
Hinu mukumbuka nyenye kwa kuvelekewa vandu mwanga Vayawudi, mwemkemelewa mwangadumula jandu. Mujandu ya higa yeyikitiwa na mawoko.
12 Kwa wakati huo mlikuwa mmetengwa na Kristo. Mlikuwa wageni kwa watu wa Israel. Mlikuwa wageni kwa agano la ahadi. Hamkuwa na uhakika wa wakati ujao. Mlikuwa bila Mungu katika ulimwengiu.
Lukumbi lula nyenye mwavi changali Kilisitu, mwavi lepi vandu va Isilaeli, mwavi vayehe na mwavi lepi Vayawudi vandu vevahaguliwi na Chapanga mwavi lepi pandu popoha mu lilaganu leavalagazili Chapanga kwa vandu vaki. Mweatamili pamulima vangammanya Chapanga amala huvalila.
13 Lakini sasa katika Kristo Yesu ninyi ambao hapo mwanzo mlikuwa mbali na Mungu mmeletwa karibu na Mungu kwa damu ya Kristo.
Nambu hinu, mukuwungana na Kilisitu Yesu, nyenye penapo kadeni mwavili kutali, muhegelili papipi mu njila ya ngasi yaki Kilisitu.
14 Kwa maana yeye ndiye amani yetu. Alifanya wawili kuwa mmoja. Kwa mwili wake aliuharibu ukuta wa utengano ambao ulikuwa umetutenganisha, huo uadui.
Ndava muni Kilisitu mwene atiletili uteke kwa kuvakita Vayawudi na vangali Vayawudi kuvya vamonga. Kuwusa higa yaki ngati luteta mwene agwisili luhumba lwelukuvalekanganisi na kuvakita makoko.
15 Kwamba alikomesha sheria ya amri na kanuni ili kwamba aumbe mtu mmoja mpya ndani yake. Akafanya amani.
Awusili malagizu gala pamonga na malagizu gaki, muni misambi yivili ya vandu ava vavyai chindu chimonga mukuwungana nayu, aletili uteke kwa njila yeniyo.
16 Alifanya hivi ili kuwapatanisha makundi mawili ya watu kuwa mwili mmoja kwa Mungu kupitia msalaba. Kwa njia ya msalaba aliufisha uadui.
Mu njila ya lifwa laki, Kilisitu pamsalaba ahalabisi umakoko wavi na avawunganisi vandu va makabila ndalindali kuvya vamonga akavaleta kwa Chapanga.
17 Yesu alikuja na kutangaza amani kwenu ninyi mliokuwa mbali na amani kwao wale waliokuwa karibu.
Hinu Kilisitu abwelili akakokosa Lilovi la Bwina la uteke kwinu mwemwavili kutali na uteke kwavi vevavi papipi na Chapanga.
18 Kwa maana kwa njia ya Yesu sisi wote wawili tuna nafasi kwa yule Roho mmoja kuingia kwa Baba.
Ndava ya gala gehagahengili Kilisitu, tete tavoha Vayawudi na vandu vangali Vayawudi, tihotola kumhambila Dadi mu Mpungu Msopi mmonga.
19 Hivyo basi, ninyi watu wa mataifa si wasafiri na wageni tena. Bali ni wenyeji pamoja na wale waliotengwa kwa ajili ya Mungu na wajumbe katika nyumba ya Mungu.
Ndi nyenye vandu vangali Vayawudi vayehe lepi kavili, vakolonjinji pamonga na vandu va Chapanga muvi na lukolo lwa vana va Chapanga.
20 Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii. Kristo Yesu mwenyewe alikuwa jiwe kuu la pembeni.
Mujengiwi mu mkingisa weuvikiwi na vamitumi na Vamlota va Chapanga, na Yesu Kilisitu mwene ndi liganga likulu la pamhana la mkingisa.
21 Katika yeye jengo lote limeungamanishwa pamoja na kukua kama hekalu ndani ya Bwana.
Mwene ndi mweijenga na kuwunganisa loha yiyonjokeseka kuvya Nyumba ya Chapanga ya msopi yeyivikiwa kwa Bambu.
22 Ni ndani yake ninyi nanyi mnajengwa pamoja kama mahali pa kuishi pa Mungu katika Roho.
Mukuwungana nayu, mewa nyenye mujengiwi pamonga na vandu voha kuvya matamilu ga Chapanga mu njila ya Mpungu Msopi.

< Waefeso 2 >