< Mhubiri 9 >
1 Kwa kuwa nilifikiri haya yote katika akili zangu kufahamu kuhusu watu wenye haki na wenye hekima na matendo yao. Wote wako katika mikono ya Mungu. Hakuna anayefahamu kama upendo au chuki itakuja kwa mtu.
Na da amo dawa: i liligi bu bagadewane dawa: lalu, agoane dawa: i. Gode da bagade dawa: su amola moloidafa dunu ilia hamobe huluane ouligisa. Amola ilia asigi hou amola higasu hou huluane ouligisa. Dunu afae da ema fa: no doaga: mu hou hamedafa dawa:
2 kila mmoja ana mwisho sawa. Mwisho sawa una subiria watu wenye haki na waovu, wema, walio safi na wasio safi, yeye atoaye dhabibu na yule asiye dhabihu. Kama vile watu wema watakufa wenye dhambi nao watakufa vivyo hivyo. kama vile yule anayeapa atakavyo kufa, vivyo hivyo mtu yule aogopaye kuweka kiapo naye atakufa.
Be amo da osobo bagade hou hame afadenesa. Hobea misunu hou da defele moloidafa dunu amola wadela: i hamosu dunu, noga: i dunu amola wadela: i dunu, Gode Ea hou lalegagui amola hame lalegagui, gobele salasu hamobe dunu amola gobele salasu hame hamobe, ilima defele doaga: sa. Hou da moloidafa dunuma doaga: be da hou amo da wadela: i hamosu dunuma doaga: be, amo hame baligisa. Hou da dunu amo da sia: ilegebeba: le doaga: be, da hou amo sia: hame ilegesu dunuma doaga: be, hame baligisa.
3 Kuna mwisho mwovu kwa kila kitu kinachofanyika chini ya jua, na mwisho kwa kila mtu. Moyo wa mwanadamu umejaa uovu, na wazimu uko katika mioyo yao wakati wanaishi. Hivyo baada ya hilo wanaenda kwa wafu.
Fa: no misunu hou da dunu huluanedafa ilima defele doaga: be. Amola amo hou da hou eno osobo bagadega diala defele, defea hame gala. Osobo bagade dunu da esalebeba: le, ilia asigi dawa: su da wadela: i hou amola doulasi hou amoga nabai gala. Amalalu, ilia da hedolowane bogosa.
4 Kwa kuwa yeyote anayeungana na wote walio hai kuna tumaini, kama vile mbwa aliye hai ni bora kuliko simba aliye kufa.
Be nowa da osobo bagadega esalea, da dafawane hamoma: beyale dawa: su fonobahadi gala. Wa: me esalebe da laione wa: me bogoi ea hou baligisa.
5 Kwa kuwa watu walio hai, lakini walio kufa hawajui chochote. Hawana tena tuzo yeyote kwa sababu kumbukumbu yao imesahaulika.
Dafawane! Esalebe dunu da ilia fa: no da bogomu amo dawa: Be bogoi dunu da dawa: mu hamedei. Ilia da noga: i bidi eno lamu hamedei. Eno dunu da ili dafawane gogolesa.
6 Upendo wao, chuki na wivu vimekatiliwa mbali muda mwingi. Hawatapata sehemu katika kitu chochote kinachofanyika chini ya jua.
Ilia asigi hou, higasu hou amola ilia hanai hou da ili galu bogoi dagoi. Ilia da osobo bagade hamobe liligi amoga bu hamedafa gilisimu.
7 Nenda zako, kula mkate wako kwa furaha, na kunywa mvinyo wako na moyo wa furaha, kwa kuwa Mungu huruhusu kusherehekea kazi njema.
Defea! Hamoma! Dia ha: i manu hahawane moma! Dia waini hano hahawane moma! Gode da amo da defea dawa: sa.
8 Nguo zako ziwe nyeupe siku zote, na kichwa chako kipake mafuta.
Eso huluane fedege agoane, abula ahia: iai salima amola dia dialuma da: iya susuligi sogadigima!
9 Ishi kwa furaha na mwanamke umpendaye siku zako zote za maisha yako ya ubatili, siku ambazo Mungu amekupatia chini ya jua wakati wa siku zako za ubatili. Hiyo ni thawabu kwa ajili ya kazi yako chini ya jua.
Gode da dima udigili esalusu iabe, amo ganodini, di amola dia sasagesu uda ali hahawane esaloma! Hamedei eso huluane amoga, hahawane ba: mu. Bai dia esalusu amoga di da amo dabe fawane lamu.
10 Chochote mkono wako unakifanya, kifanye kwa nguvu zako kwa sababu hakuna kazi, au ufafanuzi au ujuzi au hekima katika Sheol, unapoenda. (Sheol )
Dia hawa: hamosea, gasa fili hamoma! Bai di bogoi sogebi doaga: sea, hawa: hamomu amola asigiga dawa: mu amola bagade dawa: su hou huluane bu hamedafa ba: mu. Amola di da bogoi soge amogawi masunu. (Sheol )
11 Nimeona baadhi ya vitu vyakuvutia chini ya jua: Mashindano hayatokani na watu wenye mbio. Vita havitokani na watu imara. Mkate hautokani na watu wenye busara. Mali hazitokani na watu wenye ufahamu. Kibali hakitokani na watu wenye ujuzi. Badala yake muda na bahati huwaathiri wao wote.
Na da eno liligi dawa: i. Osobo bagadega, hehenasu bagade dawa: dunu da eso huluane hame baligisa, amola beda: hamedei dunu da eso huluane gegesu ganodini hame hasala. Bagade dawa: su dunu da eso huluane ilia labe defele, muni hame laha. Bagade dawa: su dunu da eso huluane bagade gaguiwane hame ba: sa. Amola hawa: hamosu dawa: dunu da eso huluane ouligisu hou hamoma: ne hame heda: sa. Dunu huluane da se nabasu ba: sa.
12 Kwa kuwa hakuna anaye fahamu wakati wake wa kufa, kama vile samaki wanaswavyo katika nyavu ya kifo, au kama vile ndege akamatwavyo katika mtego. Kama wanyama wanadamu wamefungwa katika nyakati mbaya ambazo ghafla huwaangukia.
Dia bogomu eso dima manebe, amo di hame dawa: Sio saniga sa: i agoai amola menabo segega dabe agoai, ninia wadela: i eso amoga ninia hame dawa: i, saniga sa: i dagoi ba: mu.
13 Pia nimeona hekima chini ya jua kwa namna ambayo kwangu ilionekana kubwa.
Na da eno liligi ba: i. Amo da ado digisu amo osobo bagade dunu da bagade dawa: su hou agoane ba: sa.
14 Kulikuwa na mji mdogo na watu wachache ndani yake, na mfalme mkuu akaja kinyume na mji huo na akauzingira na akajenga mahandaki kwa ajili ya kuushambulia.
“Moilai fonobahadi dialebe ba: i. Amo ganodini, dunu bagahame fawane esalebe ba: i. Gasa bagade hina bagade dunu da amo moilai doagala: i. Ea dadi gagui da moilai sisiga: le, gagoi gadelale sa: imusa: momagei.
15 Na katika mji kulikuwa na masikini, mtu mwenye hekima, ambaye kwa hekima yake aliuokoa mji. Ila baadaye aliye mkumbuka yule masikini.
Hame gagui dunu afae da amogai esalu. E da bagade dawa: beba: le, amo moilai gaga: musa: dawa: defele galu. Be dunu afaega da amo ea hame dawa: digi.”
16 Hivyo, nikasema, “Hekima ni bora kuliko nguvu, lakini hekima ya mtu masikini hudharauliwa, na maneno yake hayasikilizwi.”
Na da eso huluane agoane sia: su. Bagade dawa: su hou da gasa baligisa. Be dunu huluane da hame gagui dunu da dawa: su gala amo hame dawa: sa. Amola ilia da hame gagui dunu ea fada: i sia: hame naba.
17 Maneno ya watu wenye hekima yaliongewa polepole yanasikiwa vizuri kuliko makelele ya mtawala yeyote miongoni mwa wapumbavu.
Bagade dawa: su dunu ea asaboi sia: nabimu da defea. Be ouligisu dunu da gagaoui dunu ilia gilisili sia: fasu ganodini, amo ea wesu nabimu da defea hame.
18 Hekima ni bora kuliko silaha za vita, lakini mwenye dhambi mmoja anaweza kuharibu mazuri mengi.
Bagade dawa: su hou ea hamobe da gegesu liligi ilia hamobe baligisa. Be wadela: i hamosu dunu afae da hou noga: iwane bagohame wadela: lesimusa: dawa: