< Mhubiri 7 >

1 Jina zuri ni bora kuliko manukato ya gharama, na siku ya kufa ni bora kuliko siku ya kuzaliwa.
Un bon nom vaut mieux qu'un bon parfum, et le jour de la mort vaut mieux que le jour de la naissance.
2 Ni bora kwenda kwenye nyumba ya maombolezo kuliko nyumba ya karamu, kwa kuwa maombolezo huja kwa watu wote wakati wa mwisho wa uhai, kwa hiyo watu wanaoishi ni lazima waweke hili moyoni.
Il vaut mieux aller dans la maison du deuil que dans la maison du festin, car telle est la fin de tous les hommes, et les vivants doivent y prendre garde.
3 Huzuni ni bora kuliko kicheko, kwa kuwa baada ya uso wa huzuni huja furaha ya moyo.
La tristesse vaut mieux que le rire, car c'est par la tristesse du visage que le cœur se bonifie.
4 Moyo wa mwenye hekima uko katika nyumba ya maombolezo, lakini moyo wa wapumbavu uko katika nyumba ya karamu.
Le cœur des sages est dans la maison du deuil, mais le cœur des insensés est dans la maison de la joie.
5 Ni bora kusikiliza maonyo ya mtu mwenye hekima kuliko kusikiliza wimbo wa wapumbavu.
Il vaut mieux entendre la réprimande des sages que d'écouter le chant des insensés.
6 Kwa kuwa kama mlio wa miiba chini ya chungu, ndivyo kilivyo kicheko cha wapumbavu. Huu pia ni mvuke.
Car, comme le craquement des épines sous une marmite, ainsi est le rire des insensés. Et cela aussi est une vanité.
7 kweli jeuri humfanya mtu mwenye hekima kuwa mpumbavu, na rusha huharibu moyo.
L'extorsion rend le sage insensé, et le pot-de-vin détruit l'intelligence.
8 Ni heri mwisho wa jambo kuliko mwanzo; na watu wenye uvumilivu ni bora kuliko wenye majivuno rohoni.
Mieux vaut la fin d'une chose que son commencement. Le patient en esprit est meilleur que l'orgueilleux en esprit.
9 Usikasirike haraka rohoni mwako, kwa sababu hasira hukaa katika mioyo ya wapumbavu.
Ne te hâte pas dans ton esprit de te mettre en colère, car la colère repose dans le sein des insensés.
10 Usiseme, “Kwa nini siku za zamani zilikuwa bora kuliko siku hizi?” Kwa kuwa sio kwa sababu ya hekima kwamba unauliza swali hili.
Ne dites pas: « Pourquoi les jours d'autrefois étaient-ils meilleurs que ceux-ci? » Car vous ne posez pas de questions judicieuses à ce sujet.
11 Hekima ni njema kama vitu vya thamani tunavyorithi kutoka kwa wazazi wetu. Inatoa faida kwa wale wanaoliona jua.
La sagesse est aussi bonne qu'un héritage. Oui, elle est plus excellente pour ceux qui voient le soleil.
12 Kwa kuwa hekima hutoa ulinzi kama vile fedha inavyoweza kutoa ulinzi, lakini faida ya maarifa ni kwamba hekima humpa uhai kwa yeyote aliye nayo.
Car la sagesse est une défense, comme l'argent est une défense; mais l'excellence de la connaissance est que la sagesse préserve la vie de celui qui la possède.
13 Tafakaria matendo ya Mungu: Ni nani awezaye kuimarisha chochote alichokipindisha?
Considérez l'œuvre de Dieu, car qui peut redresser ce qu'il a rendu tortueux?
14 Wakati nyakati vinakuwa njema, ishi kwa furaha katika hali hiyo, lakini wakati unapokuwa mbaya, tafakari hili: Mungu ameruhusu hali zote ziwepo, Kwa sababu hii, hakuna mwanadamu yeyote atakaye fahamu chochote kinacho kuja baada yake.
Au jour de la prospérité, sois joyeux, et au jour de la détresse, considère; oui, Dieu a fait l'un à côté de l'autre, afin que l'homme ne découvre rien après lui.
15 Nimeona mambo mengi katika siku zangu za ubatili. Kuna watu wenye haki ambao wanaangamia licha ya kwamba wana haki, na kuna watu waovu wanaoishi maisha marefu licha ya kwamba ni waovu.
Tout cela, je l'ai vu dans mes jours de vanité: il y a un juste qui périt dans sa justice, et il y a un méchant qui vit longtemps dans sa méchanceté.
16 Usiwe mwenye haki katika macho yako mwenyewe. Kwa nini kujiharibu mwenyewe?
Ne sois pas trop juste, ni trop sage. Pourquoi te détruirais-tu?
17 Usiwe mwovu sana au mpumbavu. Kwa nini ufe kabla ya wakati wako?
Ne soyez pas trop méchants, ni trop sots. Pourquoi mourrais-tu avant ton heure?
18 Ni vyema kwamba ushike hekima hii, na kwamba usiache haki iende zake. Kwa kuwa mtu amchae Mungu atatimiza ahadi zake zote.
Il est bon que vous vous saisissiez de cela. Oui, ne retire pas non plus ta main de cela; car celui qui craint Dieu sortira de tout cela.
19 Hekima ina nguvu ndani ya mwenye hekima, zaidi ya watawala kumi katika mji.
La sagesse est une force pour l'homme sage, plus que dix chefs qui sont dans une ville.
20 Hakuna mtu mwenye haki juu ya nchi anayefanya mema na hatendi dhambi.
Certes, il n'y a pas sur la terre un seul homme juste qui fasse le bien et ne pèche pas.
21 Usisikilize kila neno linaongelewa, kwa sababu unaweza kusikia mtumishi wako anakulaani.
Ne fais pas non plus attention à toutes les paroles qui sont prononcées, de peur que tu n'entendes ton serviteur te maudire;
22 Vivyo hivyo unafahamu mwenyewe ndani ya moyo wako umewalaani wengine mara kadhaa.
car souvent ton propre cœur sait que tu as toi-même maudit les autres.
23 Haya yote nimeyathibitisha kwa hekima. Nikasema, “nitakuwa mwenye hekima,” lakini zaidi ambavyo ningekuwa.
Tout cela, je l'ai prouvé par la sagesse. J'ai dit: « Je serai sage »; mais c'était loin de moi.
24 Hekima i mbali na kina sana. Ni nani awezaye kuipata?
Ce qui est, est éloigné et très profond. Qui peut le découvrir?
25 Nikageuza moyo wangu kujifunza kuchunguza na kutafuta hekima na ufafanuzi wa ukweli, na kufahamu kwamba ubaya ni ujinga na kwamba upumbavu ni wazimu.
Je me suis retourné, et mon cœur a cherché à connaître et à sonder, à rechercher la sagesse et le plan des choses, et à savoir que la méchanceté est une stupidité, et que la folie est une déraison.
26 Nikapata kufahamu kwamba uchungu kuliko kifo, ndivo alivyo mwanamke yeyote ambaye moyo wake umejaa mitego, na nyavu, na ambaye mikono yake ni minyororo. Yeyote ampendezaye Mungu ataponyoka kutoka kwake, lakini mwenye dhambi atachukuliwa naye.
Je trouve plus amère que la mort la femme dont le cœur est un piège et des embûches, dont les mains sont des chaînes. Celui qui plaît à Dieu lui échappera, mais le pécheur sera pris au piège par elle.
27 “Tafakari kile nilichovumbua,” asema Mwalimu. “Nimekuwa nikiongeza uvumbuzi mmoja hadi mwingine ili kwamba nipate ufafanuzi wa ukweli.
« Voici, j'ai trouvé cela, dit le prédicateur, à l'un l'autre, pour trouver une explication
28 Hii ndiyo bado natafuta, lakini bado sijapata. Sikupata mwanamme mmoja mwenye haki miongoni mwa elfu, lakini sikupata mwanamke miongoni mwa wale wote.
que mon âme cherche encore, mais que je n'ai pas trouvée. J'ai trouvé un homme parmi mille, mais je n'ai pas trouvé une femme parmi toutes celles-là.
29 Nimegundua hili: kwamba Mungu alimuumba binadamu akiwa mnyoofu, lakini wametoka katika hali ya unyofu wakitafuta magumu mengi.
Voici, je n'ai trouvé que ceci: que Dieu a fait les hommes droits; mais ils cherchent beaucoup d'inventions. »

< Mhubiri 7 >