< Mhubiri 3 >

1 Kwa kuwa kila kitu na wakati wake, na majira kwa kila kusudi chini ya mbingu.
Każda rzecz ma swój czas, i każde przedsięwzięcie ma swój czas pod niebem.
2 Kuna wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa, wakati wa kupanda na wakati wa kung'oa yaliyopandwa,
Jest czas rodzenia i czas umierania; czas sadzenia, i czas wycinania tego, co sadzono;
3 wakati wa kuua na wakati wa kuponya, wakati wa kubomo na wakati wa kujenga.
Czas zabijania, i czas leczenia; czas rozwalania, i czas budowania;
4 Kuna wakati wa kulia na wakati wa kucheka, wakati wa kuomboleza na wakati kucheza,
Czas płaczu, i czas śmiechu; czas smutku, i czas skakania;
5 wakati wa kutupa mawe na wakati wa kukusanya mawe, wakati wa kukumbatia watu wengine wakati wa kutokumbatia.
Czas rozrzucania kamieni, i czas zbierania kamieni; czas obłapiania, i czas oddalenia się od obłapiania;
6 Kuna wakati wa kutafuta vitu na wakati wa kutotafuta, wakati wa kutunza vitu na wakati wa kuvitupa,
Czas szukania, i czas stracenia; czas chowania, i czas odrzucenia;
7 wakati kuchana mavazi na wakati wa kuyashona, wakati wa kunyamaza na wakati wa kuzungumza.
Czas rozdzierania, i czas zszywania; czas milczenia, i czas mówienia;
8 Kuna wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia, wakati wa vita na wakati wa amani.
Czas miłowania, i czas nienawidzenia; czas wojny, i czas pokoju.
9 Ni faida gani mfanyakazi aipatayo katika kazi yake?
Cóż tedy ma ten, co pracuje, z tego, około czego pracuje?
10 Nimeona kazi ambayo Mungu amewapa wanadamu kuitimiza.
Widziałem pracę, którą dał Bóg synom ludzkim, aby się nią bawili.
11 Mungu amefanya kila kitu kufaa kwa wakati wake. Pia ameweka umilele ndani ya mioyo yao. Lakini mwanadamu hawezi kuelewa matendo ambayo Mungu ameyafanya, tangu mwanzo wao hadi mwisho.
Wszystko dobrze czyni czasu swego; owszem i żądość świata dał do serca ich, choć człowiek dzieła tego, które Bóg sprawuje, ani początku, ani końca nie dochodzi.
12 Ninajua kuwa hakuna kilicho bora kwa mtu yeyote kuliko kufurahi na kutenda mema maadamu anaishi-
Stąd wiem, że nic lepszego nie mają, jedno aby się weselili, a czynili dobrze za żywota swego.
13 na kwamba kila mmoja anapaswa ale na kunywa na anapaswa kuelewa jinsi ya kufurahia mazuri ambayo yanatoka katika kazi zake zote. Hii ni zawadi kutoka kwa Mungu.
Acz i to, gdy każdy człowiek je i pije, i używa dobrze wszystkiej pracy swojej, jest dar Boży.
14 Ninajua kwamba chochote afanyacho Mungu kinadumu milele. Hakuna kinaweza kuongezwa au kuondolea, kwa sababu Mungu ndiye aliyekifanya, ili kwamba watu wamsogelee kwa heshima.
Wiem i to, że cokolwiek Bóg czyni, trwa na wieki; i że się do tego nic nie może przydać, ani z tego co ująć; a czyni to Bóg, aby się bali oblicza jego.
15 Chochote kilichopo kimekwisha kuwepo; chochote kitakachokuwepo kimekwisha kuwepo. Mungu huwafanya wanadamu kutafuka vitu vilivyjificha.
To, co było, teraz jest, a co będzie, już było; albowiem Bóg odnawia to, co przeminęło.
16 Na nimeona kwamba chini ya jua ubaya upo mahali palipopaswa kuwa na haki, na sehemu ya haki mara nyingi ina ubaya.
Nadtom jeszcze widział pod słońcem na miejscu sądu niepobożność, a na miejscu sprawiedliwości niesprawiedliwość.
17 Nikasema moyoni mwangu, “Mungu atahukumu mwenye haki na mbaya kwa wakati muafaka kwa kila jambo na kila tendo.
I rzekłem w sercu swem: Sprawiedliwego i niezbożnego Bóg sądzić będzie; bo czas każdemu przedsięwzięciu i każdej sprawy tam będzie.
18 Nikasema moyoni mwangu, “Mungu huwajaribu wanadamu kuwaonyesha kwamba wao ni kama wanyama.”
Nadto rzekłem w sercu swem o sprawie synów ludzkich, że im Bóg okazał, aby wiedzieli, że są podobni bydłu.
19 Kwa kuwa mwisho watoto wa wanadamu na mwisho wa wanyama ni sawa. Kifo cha mmoja ni sawa na kifo cha mwingine. Wote wana pumzi sawa. Hakuna faida kwa mwanadamu zaidi ya wanyama. Kwa kuwa hakuna kila kitu isipokuwa pumzi?
Bo przypadek synów ludzkich, i przypadek bydła, jest przypadek jednaki. Jako umiera ono, tak umiera i ten, i ducha jednakiego wszyscy mają, a nie ma człowiek nic więcej nad bydlę; bo wszystko jest marność.
20 Kila kitu kinaenda sehemu moja. Kila kitu kinatoka mavumbini, na kila kitu kinarudi katika mavumbini.
Wszystko to idzie na jedno miejsce; a wszystko jest z prochu, i wszystko się zaś w proch obraca.
21 Ni nani ajuaye kama roho ya mwanadamu inaenda juu na roho ya wanyama inaenda chini ya nchi?
A któż wie, że duch synów ludzkich wstępuje w górę? a duch bydlęcy, że zstępuje pod ziemię?
22 kwa hiyo tena nikatambua kwamba hakuna lililo jema kwa yeyote zaidi ya kufurahia kazi yake, kwa kuwa hilo ndilo jukumu lake. Ni nani awezaye kumleta tena kuona kinachotokea baada yake?
Przetoż obaczyłem, że człowiekowi niemasz nic lepszego, jedno weselić się z pracy swej, gdyż to jest dział jego; albowiem któż go do tego przywiedzie, aby poznał to, co ma być po nim?

< Mhubiri 3 >