< Matendo 25 >
1 Ndipo Festo alipoingia katika jimbo hilo na baada ya siku tatu alienda toka Kaisaria hadi Yerusalemu.
Magono gadatu, Festo patumbwili lihengu akawuka ku Kaisalia na kuhamba ku Yelusalemu.
2 Kuhani mkuu na Wayahudi mashuhuri walileta shutuma dhidi ya Paulo kwa Festo, na walizungumza kwa nguvu kwa Festo.
Vakulu va kuteta pamonga na vachilongosi va Vayawudi vakamjovela matakilu gegakumvala Pauli. Vakamuyupa neju Festo,
3 Na walimwomba Festo fadhili juu ya habari za Paulo apate kumwita Yerusalemu ili waweze kumwua njiani.
vakamuyupa neju Festo, alagazila Pauli vamletayi ku Yelusalemu, muni vavikili mpangu wa kumkoma akona munjila.
4 Lakini Festo alijibu kwamba Paulo alikuwa mfungwa katika Kaisaria, na kwamba yeye mwenyewe atarudi huko haraka.
Nambu Festo avayangwili, “Pauli yati isigalila kukoko muchifungu Kaisalia namwene yati nihamba kanyata kwenuko.
5 Alisema “Kwa hiyo, wale ambao wanaweza, wanaweza kwenda huko na sisi. Kama kuna kitu kibaya kwa mtu huyu, mnapaswa kumshtaki.”
Mvajovela vachilongosi vinu valongosana na nene kuhamba kwenuko, vakamtakila palongolo yangu, ngati abudili chindu.”
6 Baada ya kukaa siku nane au kumi zaidi, akarudi Kaisaria. Na siku iliyofuata akakaa katika kiti cha hukumu na kuamuru Paulo aletwe kwake.
Festo akatama nawu mulukumbi lwa magono nane amala kumi, kangi akawuya ku Kaisalia. Chilau yaki akahamba pa libanji, akalagizila Pauli vamletayi mugati.
7 Alipofika, Wayahudi kutoka Yerusalemu wakasimama karibu, Wakatoa mashtaka mengi mazito ambayo hawakuweza kuyathibitisha.
Lukumbi Pauli ahikili, Vayawudi vevahumili ku Yelusalemu vamtindili vakatumbula kumtakila gamahele geginonopa nambu nakuhotola kujova uchakaka.
8 Paulo alijitetea na kusema, 'Si dhidi ya jina la Wayahudi, si juu ya hekalu, na si juu ya Kaisari, nimefanya mabaya.'
Kangi Pauli ajikengelili mukujova, “Nene nibudili lepi chindu chochoha pa malagizu ga Vayawudi amala ndava Nyumba ya Chapanga amala kumvala Nkosi wa ku Loma.”
9 Lakini Festo alitaka kujipendekeza kwa Wayahudi, na hivyo akamjibu Paulo kwa kusema, 'Je, unataka kwenda Yerusalemu na kuhukumiwa na mimi kuhusu mambo haya huko?'
Nambu Festo ndava aganili kujiganisa kwa Vayawudi akamkota Pauli, “Wu wigana kuhamba ku Yelusalemu uhamuliwa palongolo yangu ndava ya matakilu genaga?”
10 Paulo alisema, 'ninasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Kaisari ambapo napaswa kuhukumiwa. Sijawakosea Wayahudi, kama wewe ujuavyo vema.
Pauli akayangula, “Niyima pa libanji la mihalu la nkosi wa ku Loma, bahapa ndi peniganikiwa kuhamuliwa. Wamwene umanyili bwina nivabudili lepi chindu chochoha Vayawudi.
11 Ikiwa nimekosa na kama nimefanya kinachostahili kifo, sikatai kufa. Lakini kama shutuma zao si kitu, hakuna mtu anaweza kunikabidhi kwao. Ninamwomba Kaisari. '
Ngati nene nambudaji amala nikitili chindu chechikunigana kukomiwa, nibela lepi kufwa. Nambu ngati kawaka uchakaka wa malovi gevanitakili ago, avi lepi mundu wa kunigotola kwa vene. Niyupa muhalu wangu ukahamuliwa kwa nkosi wa ku Loma.”
12 Baada ya Festo kuongea na baraza akajibu, “unamwomba Kaisari; utaenda kwa Kaisari.”
Hinu Festo peamali kulongela na vamtangatila vaki mu libanji, ndi akamjovela Pauli, “Uyupili lufani kwa nkosi wa ku Loma, yati wipelekwa kwa mwene.”
13 Baada ya siku kadhaa, mfalme Agripa na Bernike walifika Kaisaria kufanya ziara rasmi kwa Festo.
Magono gadebe gegagelekili, nkosi wa pandu pangi liina laki Agilipa na Belinike mweavi mlumbu waki, vahikili ku Kaisalia kumjambusa cha kumtopesa Festo.
14 Baada ya kukaa hapo kwa siku nyingi, Festo aliwasilisha kesi ya Paulo kwa mfalme; Akasema, 'Mtu mmoja aliachwa hapa na Feliki kama mfungwa.
Ndi vatamili kwenuko mu magono gamahele, Festo akamdandaulila nkosi mhalu wa Pauli, “Penapa avi mundu mmonga Felikisi amlekekesi Pauli kuhuma muchifungu.
15 Nilipokuwa Yerusalemu makuhani wakuu na wazee wa Wayahudi walileta mashtaka juu ya mtu huyu kwangu, nao waliuliza juu ya hukumu dhidi yake.
Penakahambili ku Yelusalemu vakulu va kuteta va Chapanga na vachilongosi va Vayawudi vamtakili na kuniyupa nimuhamula akomiwa.
16 Kwa hili mimi niliwajibu kwamba si desturi ya Waroma kumtoa mtu kwa upendeleo badala yake, mtuhumiwa anapaswa kuwa na nafasi ya kuwakabili washitaki wake na kujitetea dhidi ya tuhuma hizo.
Nambu nene navayangwili kuvya mvelu lepi wa vandu va ku Loma kumgotola mundu alipiswai kwakona angakonganeka na vevamtakili mihu kwa mihu na kupata fwasi ya kujikengelela ndava ya mambu gevamtakili.
17 Kwa hiyo, walipokuja pamoja hapa, sikuweza kusubiri, lakini siku iliyofuata niliketi katika kiti cha hukumu na kuamuru mtu huyo aletwe ndani.
Hinu, pevamali kuhika penapa, ndi kanyata nakitili muhalu mulibanji chilau yaki, nalagazili mundu mwenuyu vamleta.
18 Wakati washitaki waliposimama na kumshtaki, nilifikiri kwamba hakuna mashtaka makubwa yaliyoletwa dhidi yake.
Vamtakila vaki vayimili nambu nakudandaula matakilu geabudili ngati chenalindilayi.
19 Badala yake, walikuwa na mabishano fulani pamoja naye kuhusu dini yao na kuhusu Yesu ambaye alikuwa amekufa, lakini Paulo anadai kuwa yu hai.
Pahali paki ndi vavi na muhutanu pamonga nayu ndava ya njila ya kumuyupa Chapanga wavi na mundu mmonga liina laki Yesu mweamali kufwa, nambu Pauli ikangamala kujova akona muni.
20 Nilikuwa nimefumbwa jinsi ya kuchunguza suala hili, na nikamwuliza kama angeenda Yerusalemu kuhukumiwa kuhusu mambo haya.
Namanyili lepi nikita kyani ndava ya muhalu wenuwo. Hinu, namkotili Pauli ngati igana kuhamba kulibanji la mihalu Yelusalemu kula, ndava ya matakilu ago.
21 Lakini Paulo alipoitwa awekwe chini ya ulinzi kwa ajili ya uamuzi wa Mfalme, niliamuru awekwe hata nitakapompeleka kwa Kaisari. '
Nambu Pauli akangamili kuyupa kusigalila muchifungu mbaka uhamula wa muhalu waki uhamuliwa na nkosi wa ku Loma. Ndava yeniyo nalagizi atama muchifungu mbaka penihotola kumpeleka kwa Kaisali.”
22 Agripa alizungumza na Festo, “ningependa pia kumsikiliza mtu huyu.” “Festo, akasema, “kesho utamsikiliza.”
Kangi Agilipa akamjovela Festo, “Namwene nigana kumuyuwanila mundu mwenuyo.” Festo akamyangula, “Yati ukumuyuwanila chilau.”
23 Hivyo kesho yake, Agripa na Bernike walifika na sherehe nyingi; walifika katika ukumbi na maafisa wa kijeshi, na watu mashuhuri wa mji. Na Festo alipotoa amri, Paulo aliletwa kwao.
Hinu, chilau yaki Agilipa na Belinike vahikili kwa chilulu mu libanji la mihalu kuni valongosini na vakulu va msambi na vachilongosi va muji. Festo akalagiza Pauli vampeleka mugati.
24 Festo akasema, “Mfalme Agripa, na watu wote ambao wapo hapa pamoja nasi, mnamwona mtu huyu; jumuiya yote ya Wayahudi huko Yerusalemu na hapa pia wametaka niwashauri, na wao wakapiga kelele kwangu kwamba asiishi.
Festo akajova, “Nkosi Agilipa pamonga na vandu voha mwemuvi apa na tete! Palongolo yinu avi mundu, vandu voha va mulima wa Vayawudi va bahapa na ku Yelusalemu, vakumng'ung'utila kuvya iganikiwa lepi kulama wumi waki kavili.
25 Naliona kwamba hakufanya lolote linalostahili kifo; lakini kwa sababu amemwita Mfalme, niliamua kumpeleka kwake.
Nambu namwene nichiwene lepi chindu chochoha cheabudili hati kuganikiwa akomiwa. Hinu ndava mwene ayupili muhalu waki uhamuliwayi na Nkosi wa Loma, nahamwili kumpeleka.
26 Lakini sina kitu dhahiri cha kuandika kwa Mfalme. Kwa sababu hii, nimemleta kwako, hasa kwako wewe, Mfalme Agripa, ili nipate kuwa na kitu cha kuandika kuhusu kesi.
Mewa namwene nivii lepi na malovi gakumyandikila Nkosi wa ku Loma ndava ya muhalu uwu. Ndi mana nimletili palongolo yinu, ndi neju veve Nkosi Agilipa, muni mukamala kumkotakesa, nimanya chindu cha kumyandikila.
27 kwa kuwa naona haina maana kumpeleka mfungwa na bila kuonyesha mashitaka yanayomkabili.
Ndava muni nihololela kuvya malovi gangali luhala kumpeleka mfungwa changali kulangisa matakilu gegakumvala.”