< 2 Timotheo 1 >

1 Paulo mtume wa Yesu Kristo kwa mapenzi ya Mungu, sawasawa na ahadi ya uzima ulio ndani ya Kristo Yesu,
Nene Pauli, ndi Chapanga aganili nivya na mtumi wa Kilisitu Yesu anitumili muni ndi niukokosa wumi wula weatilagazili mukuwungana na Kilisitu Yesu,
2 kwa Timotheo mwana mpendwa: Neema, rehema na amani toka kwa Mungu Baba na Kristo Yesu Bwana wetu.
nikuyandikila veve Timoti mwana vangu mwenikuganili. Nikuvaganila ubwina wa Chapanga na lipyana na sadika kuhuma kwa Chapanga Dadi na Kilisitu Yesu Bambu witu.
3 Ninamshukuru Mungu, ambaye ninamtumikia kwa nia njema kama walivyofanya baba zangu, ninapokumbuka daima katika maombi yangu. Usiku na
Nikumsengusa Chapanga mwanikumhengela kwa mtima weukulangisa kuvya uvi lepi na kubuda ngati chevakitili vagogo vangu, Nisengusa kila penikumbuka mukuyupa kwangu Chapanga kilu na muhi.
4 mchana ninatamani kukuona, ili kwamba nijawe na furaha. Ninayakumbuka machozi yako.
Nikumbuka maholi gaku na ninogela neju kukulola, muni nimemeswa luheku.
5 Nimekuwa nikikumbushwa kuhusu imani yako halisi, ambayo hapo kwanza ilikaa kwa bibi yako Loisi na mama yako Yunisi. Na nina hakika ya kwamba imani hiyo inakaa ndani yako pia.
Niyimanyili sadika yako ya chakaka, sadika yaavili nayu chitengula chaku Loisi, na nyina waku Eunike. Nivi na uchakaka kuna na veve uvili nayu.
6 Hii ndiyo sababu nakukumbusha kuchochea karama ya Mungu iliyomo ndani yako kwa njia ya kuwekewa mikono yangu.
Ndi mana nikukumbusa uikohakesa njombi ya Chapanga yewapewili panakuvikili mawoko gangu.
7 Kwa kuwa Mungu hakutupa roho ya woga, bali ya nguvu na upendo na nidhamu.
Muni mpungu wetipewili na Chapanga lepi ndava ya kutikita tivya na wogoyi, lepi, ndi Mpungu waki weukutipela makakala na uganu na kujilongosa mwene.
8 Kwa hiyo usiuonee haya ushuhuda kuhusu Bwana wetu, wala wangu mimi Paulo mfungwa wake. Bali ushiriki mateso kwa ajili ya injili sawasawa na uweza wa Mungu.
Hinu, kotoka kuvya na soni kujova ndava ya Bambu witu, amala kotoka kuniwonela soni nene namfungwa ndava yaki. Nambu uvyai mu mang'ahiso ndava ya Lilovi la Bwina, na ndava ya makakala gewipewa na Chapanga.
9 Ni Mungu aliyetuokoa na kutuita kwa wito mtakatifu. Hakufanya hivi kulingana na kazi zetu bali kulingana na neema na mpango wake mwenyewe. Alitupatia mambo haya katika Kristo Yesu kabla ya nyakati kuanza. (aiōnios g166)
Mwene atisangwili na kutikemela tivya tavandu vaki mwene, lepi ndava ya matendu gitu, ndi muni ndava ya mota yaki. Tapewili ngati cheigana mwene na kwa ubwina waki wa Yesu Kilisitu kwakona lukumbi, (aiōnios g166)
10 Lakini sasa wokovu wa Mungu umekwishafunuliwa kwa kuja kwa mwokozi wetu Kristo Yesu. Ni Kristo aliyeikomesha mauti na kuleta uzima usiokoma kwa nuru ya injili.
nambu hinu ubwina wa Chapanga ugubukuliwi kubwela kwaki msangula witu Kilisitu Yesu. Adivalili makakala ga lifwa, na kwa njila ya Lilovi la Bwina na akamanyisa wumi wangali lifwa.
11 Kwa sababu hiyo nilichaguliwa kuwa mhubiri, mtume na mwalimu.
Chapanga anihagwili nivyai namtumi na muwula wa kuvakokosela vandu Lilovi la Bwina,
12 Kwa sababu hii nateseka pia, lakini sioni haya kwa kuwa namjua yeye niliyekwisha kumuamini. Nina hakika kuwa yeye anaweza kukitunza kile nilichokikabidhi kwake hata siku ile.
na ndava ya mambu genago naviniswi neju. Nambu nakona nikangamala ndava muni nimmanyili yula mwanimsadika, nivi na uchakaka yati akuchiyangalila mbaka ligono lila leiwuya Kilisitu.
13 Ukumbuke mfano wa ujumbe wa uaminifu uliousikia toka kwangu, pamoja na imani na upendo ulio ndani ya Kristo Yesu.
Kamula kwa uchakaka mawuliwu gala genakuwulili na kusindimala musadika na uganu witu uwo muwungana na Kilisitu Yesu.
14 Yatunze Mambo mazuri aliyokukabidhi Mungu kupitia Roho Mtakatifu aishiye ndani yetu.
Kwa makakala ga Mpungu Msopi mweitama mumitima yitu, kamula mambu goha gabwina ganakugotolili.
15 Unajua ya kuwa, wote waishio katika Asia waliniacha. Kwenye kundi hili wamo Figelo na Hemogene.
Umanyili kuvya vandu voha va ku Asia vanilekili, pagati yavi ndi Fugelo na Helimogene.
16 Bwana airehemu nyumba ya Onesiforo kwa kuwa mara nyingi aliniburudisha na hakuionea aibu minyororo yangu.
Bambu uvahengela lipyana vandu va kaya ya Onesifolo, muni anikangamalisi mtima vamahele panavili mchifungu ndi akolili lepi soni,
17 Badala yake, alipokuwa Roma alinitafuta kwa bidii na akanipata.
nambu pahikili ndu ku Loma atumbwili kunilonda mbaka peaniweni.
18 Mungu amjalie kupata rehema kutoka kwake siku ile. Kama alivyonisaidia nilipokuwa Efeso, wewe wajua vyema.
Bambu amuhengela lipyana la Chapanga ligono ilo la kuhamuliwa! Na veve umanyili bwina gamahele geakitili ku Efeso.

< 2 Timotheo 1 >