< 2 Samweli 17 >

1 Kisha Ahithofeli akamwambia Absalomu, “Niruhusu sasa nichague watu elfu kumi na mbili nami nitaondoka na kumfuatia Daudi usiku huu.
Nato Ahitofel reče Abšalomu: “Dopusti da izaberem dvanaest tisuća ljudi pa da se dignem i pođem u potjeru za Davidom još noćas.
2 Nitampata kwa ghafla wakati amechoka na dhaifu nami nitamstukiza kwa hofu. Watu waliopamoja naye watakimbia nami nitamshambulia mfalme peke yake.
Navalit ću na njega kad bude umoran i bez snage; plašit ću ga i razbježat će se sav narod koji je s njim. Onda ću ubiti samoga kralja.
3 Nitawarejesha watu wote kwako kama bibi harusi ajavyo kwa bwana wake, na watu wote watakuwa katika amani chini yako.”
A sav ću narod dovesti natrag k tebi, kao što se mlada vraća svome mužu: ti radiš o glavi samo jednome čovjeku, a sav će narod onda biti miran.”
4 Alichokisema Ahithofeli kikampendeza mfalme na wazee wote wa Israeli.
Svidje se to Abšalomu i svim starješinama Izraelovim.
5 Kisha Absalomu akasema, “Sasa mwiteni pia Hushai Mwarki ili tusikie yeye pia anasemavyo.”
Ali Abšalom reče: “Pozovimo još Hušaja Arčanina da čujemo što će nam on kazati!”
6 Hushai alipofika kwa Absalomu, Absalomu akamweleza kile ambacho Ahithofeli alikuwa amesema na kisha akamwuliza Hushai, “Je tufanye alivyosema Ahithofeli? Ikiwa hapana, tueleze kile unachoshauri.”
Kad je Hušaj došao k Abšalomu, reče mu Abšalom: “Ahitofel je svjetovao ovako. Hoćemo li učiniti kako je on predložio? Ako ne, govori ti!”
7 Hivyo Hushai akamwambia Absalomu, “Ushauri aliotoa Ahithofeli siyo mzuri kwa wakati huu.”
A Hušaj odgovori Abšalomu: “Ovaj put savjet Ahitofelov nije dobar.”
8 Hushai akaongeza, “Unamjua baba yako na kwamba watu wake ni mashujaa na kwa sasa wanauchungu, ni kama dubu aliyenyang'anywa watoto wake mwituni. Baba yako ni mtu wa vita; hatalala na jeshi usiku huu.
I nastavi Hušaj: “Ti znaš da su tvoj otac i njegovi ljudi junaci i da su ljuti kao medvjedica kojoj su oteli njezine medvjediće. Tvoj je otac ratnik, neće on dopustiti da narod počiva preko noći.
9 Tazama, kwa wakati huu pengine amejificha katika shimo fulani au mahali pengine. Itakuwa kwamba baadhi ya watu wako watakapokuwa wameuawa mwanzoni mwa shambulio hata kila mtu atakayesikia atasema, mauaji yamefanyika kwa askari wanaomfuata Absalomu.'
On se sada krije u kakvoj jami ili na kakvu drugom mjestu. Pa ako odmah u početku koji od naših padne, proširit će se glas o porazu u vojsci koja je pristala uz Abšaloma.
10 Kisha hata askari jasiri zaidi ambao moyo wao ni kama moyo wa simba, wataogopa kwa kuwa Israeli yote inajua kwamba baba yako ni mtu mwenye nguvu na kwamba watu alionao ni wenye nguvu sana.
Tada će i najhrabriji, u koga je srce kao u lava, izgubiti srčanost. Jer sav Izrael zna da je tvoj otac junak i da su hrabri oni koji ga prate.
11 Hivyo ninashauri kwamba Israeli wote wakutanike kwako pamoja kutoka Dani hadi Beersheba, wengi kama mchanga ufuoni mwa bahari na kwamba wewe mwenyewe uende vitani.
Zato ja svjetujem ovo: neka se sav Izrael, od Dana do Beer Šebe, okupi oko tebe, da ga bude kao pijeska na obali morskoj, a ti sam da stupaš u njihovoj sredini.
12 Kisha tutampata popote atakapokuwa nasi tutamfunika kama umande uangukavyo juu ya nchi. Hatutamwachia hata mmoja aliye hai kati ya watu wake wala yeye mwenyewe.
Tada ćemo navaliti na njega gdje se god bude nalazio, oborit ćemo se na nj kao što rosa pada na zemlju i nećemo ostaviti živa ni njega niti ikojega od njegovih ljudi.
13 Ikiwa ataingia ndani ya mji kisha Israeli wote tutaleta kamba juu ya mji huo na kuukokotea mtoni, hata kusionekane hata jiwe moja dogo lililosalia.”
Ako li se povuče u koji grad, sav će izraelski narod donijeti užeta pod onaj grad pa ćemo ga povlačiti do potoka, sve dok više ni kamenčića ne bude od njega.”
14 Kisha Absalomu na watu wa Israeli wakasema, “Shauri la Hushai Mwarki ni jema kuliko lile la Ahithofeli. Yahwe aliwafanya wakatae shauri jema la Ahithofeli ili kumwangamiza Absalomu.
Tada Abšalom i svi Izraelci rekoše: “Bolji je savjet Hušaja Arčanina nego savjet Ahitofelov.” Jer Jahve bijaše odlučio da se osujeti izvrsna Ahitofelova osnova, kako bi navukao nesreću na Abšaloma.
15 Kisha Hushai akawambia Sadoki na Abiathari makuhani, “Ahithofeli alimshauri Absalomu na wazee wa Israeli hivi na hivi, lakini mimi nimeshauri vinginevyo.
Potom Hušaj javi svećenicima Sadoku i Ebjataru: “Ahitofel je tako i tako savjetovao Abšaloma i starješine izraelske, a ja sam savjetovao tako i tako.
16 Sasa basi, nendeni haraka na mmtaarifu Daudi kusema, 'Usipige kambi usiku huu katika vivuko vya Araba, lakini kwa namna yoyote vukeni, tofauti na hapo mfalme atamezwa pamoja na watu wote walio pamoja naye.”
Zato sad brzo javite to Davidu i poručite mu: 'Nemoj noćas noćiti na ravnicama pustinje, nego brzo prijeđi na drugu stranu da ne bude uništen kralj i sva vojska koja je s njim.'”
17 Yonathani na Ahimaasi walikuwako katika chemichemi za En Rogeli. Hivyo kijakazi mmoja alikuwa akienda na kuwapasha habari waliyopaswa kuifahamu, ili kwamba wasihatarishe maisha yao kwa kuonwa wakiingia mjini. Ujumbe ulipofika ndipo huenda na kumtaarifu mfalme Daudi.
Jonatan i Ahimaas zadržavali se kod Rogelskog izvora; jedna je sluškinja dolazila i donosila im vijesti, a oni su odlazili da to jave kralju Davidu, jer se nisu smjeli odati ulazeći u grad.
18 Lakini kijana mmoja akawaoni mara akamwambia Absalomu. Hivyo Yonathani na Ahimaasi wakaenda kwa haraka na wakaingia katika nyumba ya mtu mmoja huko Bahurimu, aliyekuwa na kisima katika ua wake wakaingia humo.
Ali ih opazi neki momak te javi Abšalomu. Nato obojica žurno odoše i dođoše u kuću nekoga čovjeka u Bahurimu. U njegovu dvorištu bijaše studenac i oni se spustiše u nj.
19 Mke wa mtu huyo akachukua kifuniko na kukikufunika kwenye mlango wa kisima kisha akaanika nafaka juu yake, hivyo hakuna aliyejua kwamba Yonathani na Ahimaasi walikuwa kisimani.
A žena uze i razastrije pokrivač preko otvora studencu i posu po njem stučenoga zrnja, tako da se ništa nije moglo opaziti.
20 Watu wa Absalomu wakaja kwa mwanamke na kumwuliza, “Ahimaasi na Yonathani wako wapi?” Mwanamke akawaambia, “Wamevuka mto.” Hivyo baada ya kuwatafuta bila kuwaona kurejea Yerusalemu.
Abšalomove sluge dođoše k toj ženi u kuću i upitaše: “Gdje su Ahimaas i Jonatan?” A žena im odgovori: “Otišli su dalje prema vodi.” Potom su ih još tražili, ali ih ne nađoše pa se vratiše u Jeruzalem.
21 Ikawa baada yao kuondoka Yonathani na Ahimaasi wakatoka ndani ya kisima. Wakaenda kumtaarifu mfalme Daudi; wakamwambia, “Inuka na uvuke maji haraka kwa maana Ahithofeli ametoa mashauri haya na haya juu yako.”
A kad su oni otišli, ona dvojica iziđoše iz studenca i odoše da donesu vijesti kralju Davidu. I rekoše mu: “Ustajte i prijeđite brže preko vode, jer je tako i tako savjetovao protiv vas Ahitofel.”
22 Kisha Daudi akainuka pamoja na watu wote walikuwa pamoja naye, nao wakauvuka Yordani. Hata ilipofika alfajiri hakuna hata mmoja aliyesalia kwa kutouvuka Yordani.
Tada se David i sav narod što bijaše s njim diže i prijeđe preko Jordana; u zoru nije više bilo nijednoga koji nije prešao preko Jordana.
23 Ikawa Ahithofeli alipoona kwamba ushauri wake haukufuatwa, akapanda punda wake na kuondoka. Akaenda nyumbani katika mji wake mwenyewe, akaweka mambo yake katika utaratibu na kisha akajinyonga. Kwa hiyo akafa na kuzikwa katika kaburi la baba yake.
Kad je Ahitofel vidio da se nije izvršio njegov savjet, osamari svoga magarca, krenu na put i ode svojoj kući u svoj grad. Ondje se pobrinu za svoju kuću, zatim se objesi i umrije. Pokopaše ga u grobu njegova oca.
24 Ndipo Daudi akaja Mahanaimu. Lakini Absalomu yeye akavuka Yordani yeye pamoja na watu wote wa Israeli waliokuwa pamoja naye.
David je već bio došao u Mahanajim kad je Abšalom prešao preko Jordana sa svim Izraelcima koji bijahu s njim.
25 Absalomu alikuwa amemweka Amasa juu ya jeshi badala ya Yoabu. Naye huyo Amasa alikuwa mwana wa Yetheri Mwishmaeli, aliyekuwa amelala na Abigaili, aliyekuwa binti Nahashi na dada wa Seruya, mamaye Yoabu.
Abšalom bijaše postavio Amasu za zapovjednika nad vojskom namjesto Joaba. A Amasa je bio sin nekoga čovjeka po imenu Jitre, Jišmaelovca, koji je ušao k Abigajili, kćeri Jišajevoj i sestri Sarvije, Joabove majke.
26 Kisha Israeli na Absalomu wakapiga kambi katika nchi ya Gileadi.
Izrael i Abšalom udariše tabor u zemlji gileadskoj.
27 Ikawa wakati Daudi alipokuwa amekuja Mahanaimu, huyo Shobi mwana wa Nahashi kutoka Raba ya Waamoni na Makiri mwana wa Amieli wa kutoka Lo Debari, na Berzilai Mgileadi wa Rogelimu,
Kad je David došao u Mahanajim, tada Šobi, sin Nahašev iz Rabe Amonske, pa Makir, sin Amielov iz Lo Debara, i Barzilaj, Gileađanin iz Rogelima,
28 wakaleta magodoro na mabulangeti, mabakuri na vyungu, na ngano, unga wa shayiri, nafaka zilizokaangwa, maharage, dengu,
donesoše postelja, pokrivača, čaša i zemljanog suđa, uz to pšenice, ječma, brašna, pržena žita, boba, leće,
29 asali, siagi, kondoo na samli, ili kwamba Daudi na watu waliokuwa pamoja naye waweze kula. Kwani walisema, “Watu wana njaa, wamechoka na wana kiu huko nyikani.”
meda, kiseloga mlijeka i sira kravljeg i ovčjeg i ponudiše Davida i narod što bijaše s njim da jedu. Jer mišljahu: “Ljudi su u pustinji trpjeli glad, umor i žeđu.”

< 2 Samweli 17 >