< 2 Samweli 11 >
1 Ikawa wakati wa majira ya kipupwe, wakati ambapo kwa kawaida wafalme huenda vitani, Daudi akamtuma Yoabu, mtumishi wake, na jeshi lote la Israeli. Wakaliaribu jeshi la Amoni na kuuhusuru Raba. Lakini Daudi akakaa Yerusalemu.
Pripetilo se je, potem ko je minilo leto, ob času, ko gredo kralji na bitko, da je David poslal Joába in z njim svoje služabnike in ves Izrael in uničili so Amónove otroke in oblegali Rabo. Toda David se je še vedno zadrževal v Jeruzalemu.
2 Hivyo ikawa siku moja wakati wa jioni Daudi akaamka kutoka kitandani na akatembea katika dari la kasri. Akiwa pale akamwona mwanamke aliyekuwa akioga, mwanamke yule alikuwa mzuri sana kwa mwonekano.
Ob večernem času se je pripetilo, da se je David dvignil iz svoje postelje in hodil po strehi kraljeve hiše in s strehe je videl žensko, ki se je umivala in ženska je bila na pogled zelo krasna.
3 Hivyo Daudi akatuma na kuuliza watu waliomfahamu yule mwanamke. Mtu mmoja akasema, “Je huyu siye Bathsheba, binti Eliamu, naye si mke wa Uria mhiti?
David je poslal in poizvedel za žensko. Nekdo je rekel: » Mar ni to Batšéba, Eliámova hči, žena Hetejca Urijája?«
4 Daudi akatuma wajumbe nao wakamchukua; akaja kwake, na akalala naye(kwani ndo alikuwa amejitakasa kutoka siku zake). Kisha akarudi nyumbani kwake.
David je poslal poslance in jo vzel. Vstopila je k njemu in ležal je z njo, kajti očiščena je bila od svoje nečistosti in vrnila se je v svojo hišo.
5 Mwanamke akawa mjamzito, naye akatuma na kumwambia Daudi; akasema, “mimi ni mjamzito.”
Ženska je spočela in poslala in povedala Davidu ter rekla: »Jaz sem z otrokom.«
6 Kisha Daudi akatuma watu kwa Yoabu kusema, “Umtume kwangu Uria mhiti.” Hivyo Yoabu akamtuma Uria kwa Daudi.
David je poslal k Joábu, rekoč: »Pošlji mi Hetejca Urijája.« In Joáb je poslal Urijája k Davidu.
7 Uria alipofika, Daudi akamuuliza hali ya Yoabu. Jinsi jeshi lilivyokuwa likiendelea, na jinsi vita vilivyokuwa vinaendelea.
Ko je Urijá prišel k njemu, je David od njega zahteval, kako je šlo Joábu in kako je šlo ljudstvu in kako je uspevala vojna.
8 Daudi akamwambia Uria, “Shuka nyumbani kwako, unawe miguu yako. “Hivyo Uria akaondoka katika kasri la mfalme, mfalme akamtumia zawadi kwa Uria.
David je Urijáju rekel: »Pojdi dol k svoji hiši in si umij stopala.« Urijá je odšel iz kraljeve hiše in sledilo mu je darilo kraljeve jedi.
9 Lakini Uria akalala pamoja na watumishi wa bwana wake katika lango la kasri, wala hakushuka nyumbani kwake.
Toda Urijá je spal pri vratih kraljeve hiše z vsemi služabniki svojega gospoda in ni odšel dol k svoji hiši.
10 Daudi alipoambiwa, “Uria hakushuka nyumbani kwake,” akamwambia Uria, Je haukutoka safarini? Kwa nini haukushuka nyumbani kwako?”
Ko so Davidu povedali, rekoč: »Urijá ni odšel dol k svoji hiši, « je David rekel Urijáju: »Ali ne prihajaš iz svojega potovanja? Zakaj potem nisi šel dol k svoji hiši?«
11 Uria akamjibu Daudi, “Sanduku, na Israeli na Yuda wamo kwenye mahema, na Yoabu na watumishi wa bwana wangu wamepiga hema uwandani. Jinsi gani basi mimi naweza kwenda nyumbani kwangu kula kunywa na kulala na mke wangu? kwa hakika kama uishivyo, sitafanya hivyo.
Urijá je Davidu rekel: »Skrinja, Izrael in Juda prebivajo v šotorih in moj gospod Joáb in služabniki mojega gospoda so utaborjeni na odprtih poljih; ali bom jaz potem šel v svojo hišo, da jem, da pijem in da ležim s svojo ženo? Kakor ti živiš in kakor živi tvoja duša, ne bom storil te stvari.«
12 Hivyo Daudi akamwambia Uria, “Ukae leo pia, kesho nitakuacha uende.” Kwa hiyo uria akakaa Yerusalemu siku hiyo na iliyofuata.
In David je rekel Urijáju: »Ostani tukaj tudi danes, jutri pa ti bom pustil oditi.« Tako je Urijá ostal v Jeruzalemu ta dan in naslednji dan.
13 Daudi alipomwita, alikula na kunywa pamoja naye, Daudi akamfanya alewe. Wakati wa jioni Uria akaenda kulala kitandani pake pamoja na watumish wa bwana wake; hakushuka nyumbani kwake.
Ko ga je David poklical, je pred njim jedel in pil in ga je opijanil in zvečer je odšel ven, da bi s služabniki svojega gospoda legel na svojo posteljo, toda ni šel dol k svoji hiši.
14 Hivyo asubuhi Daudi akamwandikia Yoabu barua, naye akaituma kwa mkono wa Uria.
Zjutraj pa se je zgodilo, da je David napisal pismo Joábu in to poslal po Urijájevi roki.
15 Ndani ya barua Daudi aliandika hivi, “Mweke Uria mbele ya vita vikali sana, na kisha, mmwache, ili apigwe na afe.
V pismu je napisal, rekoč: »Postavite Urijája na sprednji del najbolj vroče bitke in se umaknite od njega, da bo lahko udarjen in umre.«
16 Hivyo Yoabu alipoona mji ukizingirwa, alimweka Uria katika sehemu aliyojua askari adui wenye nguvu wangekuwa wakipigana.
Pripetilo se je, ko je Joáb opazoval mesto, da je Urijája določil na kraj, kjer je vedel, da so bili hrabri možje.
17 Wakati watu wa mji walipotoka na kupigana dhidi ya jeshi la Yoabu, baadhi ya askari wa Daudi wakaanguka, na Uria Mhiti pia akauwawa.
Možje iz mesta so odšli ven in se borili z Joábom in tam so padli nekateri izmed ljudstva, izmed Davidovih služabnikov in tudi Hetejec Urijá je umrl.
18 Wakati Yoabu alipotuma neno kwa mfalme kuhusu hali ya vita,
Potem je Joáb poslal in Davidu povedal vse stvari glede vojne
19 alimwagiza mjumbe, kusema, “Utakapomaliza kumwambia mfalme kuhusu hali ya vita,
in naročil poslancu, rekoč: »Ko boš končal s sporočanjem stvari kralju glede vojne
20 yawezekana mfalme akakasirika, naye akakwambia, 'Kwa nini mlipigana na mji kwa karibu hivyo, hamkujua kwamba wangeweza kushambulia kutokea ukutani?
in če bo tako, da se bo vzdignil kraljevi bes in ti reče: ›Zakaj ste se približali tako blizu mesta, ko ste se bojevali? Mar niste vedeli, da bodo streljali iz obzidja?
21 Ni nani aliyemwua Abimeleki mwana wa Yerubeshethi? Siye mwanamke aliyerusha jiwe la kusagia juu yake kutoka ukutani, hata akafa huko Thebesi? Kwanini basi mliukaribia ukuta jinsi hiyo? Nawe umjibu, 'Uria mtumishi wako amekufa pia.”
Kdo je udaril Jerubéšetovega sina Abiméleha? Ali ni ženska iz obzidja vrgla nanj kos mlinskega kamna, da je umrl v Tebécu? Zakaj ste se približali obzidju?‹ Potem reci: ›Tudi tvoj služabnik Hetejec Urijá je mrtev.‹«
22 Hivyo mjumbe akaondoka na kwenda kwa Daudi akamwambia kila jambo ambalo Yoabu alimtuma kusema.
Tako je poslanec odšel in prišel in pokazal Davidu vse, za kar ga je Joáb poslal.
23 Na mjumbe akamwambia Daudi, “Mwanzoni adui walikuwa na nguvu kuliko sisi; walitukabili uwandani, lakini tukawarudisha nyuma kwenye maingilio ya lango.
Poslanec je Davidu rekel: »Ljudje so zagotovo prevladali zoper nas in prišli ven, k nam na polje in mi smo bili nad njimi celo do vhoda velikih vrat.
24 Na wapiga mishale wao wakawarushia watumishi wako kutoka ukutani, na baadhi ya watumishi wa mfalme wameuawa, na mtumishi wako Uria mhiti pia ameuawa.”
In strelci so streljali iz obzidja na tvoje služabnike; in nekateri izmed kraljevih služabnikov so mrtvi in tudi tvoj služabnik Hetejec Urijá je mrtev.«
25 Kisha Daudi akamwambia mjumbe, “Mwambie hivi Yoabu, 'Usiruhusu jamba hili likuhuzunishe, kwa maana upanga huangamiza huyu kama uangamizavyo na mwingine. Vifanye vita vyako kuwa vyenye nguvu zaidi dhidi ya mji, na uuteke.' Mtie moyo Yoabu.”
Potem je David rekel poslancu: »Tako boš rekel Joábu: ›Ne dopusti, da te ta stvar razžali, kajti meč požre enega kakor drugega. Svojo bitko zoper mesto naredi močnejšo in ga premagaj. Ohrabri ga.‹«
26 Hivyo mke Uria aliposikia kwamba mme wake amekufa, akaomboleza sana kwa ajili yake.
Ko je Urijájeva žena slišala, da je bil njen soprog Urijá mrtev, je žalovala za svojim soprogom.
27 Huzuni yake ilipoisha, Daudi akatuma na kumchukua kwake katika kasri lake, naye akawa mkewe na akamzalia mwana. Lakini alichokifanya Daudi hakikumpendeza Yahwe.
Ko je žalovanje minilo, je David poslal in jo privedel k svoji hiši in postala je njegova žena in mu rodila sina. Toda stvar, ki jo je David storil, je razžalila Gospoda.