< 2 Petro 1 >
1 Simon Petro, Mtumwa na Mtume wa Yesu Kristo, Kwa wale walioipokea imani ile ile ya thamani kama tulivyoipokea sisi, imani iliyo ndani ya haki ya Mungu na mwokozi wetu Yesu Kristo.
Nene Simoni Petili, mtumisi na mtumi wa Yesu Kilisitu. Nikuvayandikila nyenye mwempokili sadika yilayila yabwina neju yetapokili tete, kwa njila ya ubwina wa Chapanga witu na msangula Yesu Kilisitu.
2 Neema iwe kwenu; amani iongezeke kupitia maarifa ya Mungu na Bwana wetu Yesu.
Nikuvaganila ubwina wa Chapanga na uteke wamahele mukummanya Chapanga na Yesu BAMBU witu.
3 Kupitia maarifa ya Mungu tumepata mambo yake yote kwa ajili ya uchaji wamaisha, Toka kwa Mungu aliyetuita kwa ajili ya uzuri wa utukufu wake.
Kwa makakala gaki ga chi Chapanga, Chapanga atipelili mambu goha getigana muni titama cha kumuyupa na kumlumba Chapanga kwa kummanya mwene mweatikemili titama nayu mkulu na ubwina waki mwene.
4 Kwa njia hii alitutumainishia ahadi kuu za thamani. Alifanya hili ili kutufanya warith wa asili ya Mungu, kwa kadiri tunavyoendelea kuuacha uovu wa dunia hii.
Ndava yeniyo atipelili njombi yaki yikulu na zabwina zeajovili akutipela, muni ndava ya njombi zenizo muni muyepa mnogo uhakau weuvi pamulima, na kuvya ngati Chapanga cheigana tivyai.
5 Kwa sababu hii, fanyeni bidii kuongeza uzuri kwa njia ya imani yenu, kwa sababu ya uzuri, maarifa.
Ndava yeniyo, mkangamala myonjokesa ubwina musadika, na ubwina winu myonjokesa mumanya winu,
6 Kupitia maarifa, kiasi, na kupitia kiasi saburi, na kupitia saburi, utauwa.
mukumanya kwinu muyonjokesa kujilongosa mwavene, na mukujilongosa mwavene muyonjokesa usindimala na mukusindimala muyonjokesa kumyogopa Chapanga,
7 Kupitia utauwa upendo wa ndugu na kupitia upendo wa ndugu, upendo.
na mukuyogopa Chapanga myonjokesa unkozi wa chiulongo na pa genago yonjokesa uganu kwa vandu voha.
8 Kama mambo haya yamo ndani yenu, yakiendelea kukua ndani yenu, basi ninyi hamtakuwa tasa au watu msiozaa matunda katika maarifa ya Bwana wetu Yesu Kristo.
Mkavya na mambu genago kwa umahele, yati mwivya lepi vakata nambu mwemhotola kukita gabwina na kuvatangatila vangi mukumanya BAMBU witu Yesu Kilisitu.
9 Lakini yeyote asiyekuwa na mambo haya, huyaona mambo ya karibu tu; yeye ni kipofu. amesahau utakaso wa dhambi zake za kale.
Nambu mundu mweangavya na mambu ago ivya ngalola, angahotola kulola vindu vya kutali na akosiwi kuvya amali kunyambiswa kumbudila kwaki Chapanga kwa kadeni.
10 Kwa hiyo, ndugu zangu, fanyeni juhudi ili kujihakikishia uteule na wito kwa ajili yenu. Kama mtayafanya haya, hamtajikwaa.
Hinu ndi, valongo vangu mkangamala neju ukemela winu na uhaguliwa wewakitiwi na Chapanga uvya lijambu leliyendelela changali mwishu muwumi winu, ngati mkatama chenicho mgwa lepi mukumbudila Chapanga.
11 Hivyo mtajipatia wingi wa lango la kuingilia katika ufalme wa milele wa Bwana wetu na mwokozi Yesu Kristo. (aiōnios )
Kwa kukita genago yati myidikiliwa njwe kuyingila muunkosi wa magono goha gangali mwishu wa BAMBU na Msangula witu Yesu Kilisitu. (aiōnios )
12 Kwa hiyo mimi nitakuwa tayari kuwakumbusha mambo haya kila mara, hata kama mnayafahamu, na sasa mmekuwa imara katika kweli.
Hinu yati niyendelela kuvakumbusa magono goha mambu aga, pamonga mmali kugamanya na mkangamili muuchakaka wemwaupokili.
13 Nafikiria kuwa niko sahihi kuwaamsha na kuwakumbusha juu ya mambo haya, ningali nimo katika hema hii.
Niwona ndi lijambu labwina kwangu, lukumbi lwoha lwenitama mumi pamulima apa, kuvakenyemusa na kuvakumbusa kuvala mambu aga.
14 Kwa maana najua kuwa si muda mrefu nitaiondoa hema yangu, kama Bwana Yesu Kristo alivyonionyesha.
Muni nimanyili kuvya papipi yati nikuyivika patali higa iyi yeyifwa, ngati BAMBU witu Yesu Kilisitu cheanijovili hotohoto.
15 Nitajitahidi kwa bidii kwa ajili yenu ili mkumbuke mambo haya baada ya mimi kuondoka.
Hinu, ndi yati nikita chochoha chenihotola, muni nikafwayi mugakumbukai mambu aga lukumbi lwoha.
16 Kwa kuwa sisi hatukufuata hadthi zilizoingizwa kwa ustadi pale tulipowaeleza juu ya nguvu na kujidhihirisha kwa Bwana wetu Yesu Kristo, bali sisi tulikuwa mashahidi wa utukufu wake.
Lukumbi petivawulili kuuvala ukulu wa kubwela kwaki BAMBU witu Yesu Kilisitu, tavajovili lepi humu za udese kuhuma kwa vandu vevachenjili. Tete talolili ukulu waki mwene kwa mihu gitu.
17 Yeye alipokea Utukufu na heshima toka kwa Mungu baba pale sauti iliposikika toka katika utukufu mkuu ikisema, “Huyu ndiye mwanangu, mpendwa wangu ambaye nimependezwa naye.”
Tete tavi lukumbi lweapewili utopesa na ukulu kuhuma kwa Chapanga dadi, lukumbi lwami palwambwelili mwene mweavi na Ukulu Mkulu, lukajova, “Uyu ndi Mwanangu Mganu mweniganisiwi nayu.”
18 Tuliisikia sauti hii ikitokea mbinguni pale tulipokuwa naye kwenye ule mlima mtakatifu.
Kangi, tavete tayuwini lwami ulo kuhuma kunani kwa Chapanga, lukumbi patavili pamonga nayu panani ya chitumbi chamsopi.
19 Tunalo hili neno la unabii lililothibitika, ambalo kwalo mwafanya vyema kulitekeleza. Ni kama taa ing'aayo gizani mpaka kuchapo na nyota za mawio zionekanazo katika mioyo yenu.
Kavili, ujumbi wewajoviwi vamlota va Chapanga timanyili kuvya wavili wa chakaka na nyenye yati mkita chabwina ngati mukuuyuwanila ujumbi wenuo, muni ngati hahi cheyikuvalangasila muchitita mbaka ligono pekwicha na Kilisitu mweavili ndondo peilangisa mumitima yinu.
20 Tambueni haya ya kwamba, hakuna unabii unaoandikwa kwa sababu ya kujifikirisha kwa nabii mwenyewe.
Neju pa ago, mkumbuka kawaka mundu mweihotola kudandaula mwene ujumbi kuhuma kwa Chapanga weuvili mu Mayandiku Gamsopi.
21 Kwa kuwa hakuna unabii uliokuja kwa mapenzi ya mwanadamu, isipokuwa wanadamu waliwezeshwa na Roho Mtakatifu aliyeongea toka kwa Mungu.
Muni katu kawaka ujumbi Chapanga wabweli lepi ngati vandu chevigana vene, nambu vandu vajovili ujumbi kuhuma kwa Chapanga valongwiswi na Mpungu Msopi.