< 2 Wafalme 25 >

1 Ilitokea kwamba katika mwaka wa tisa wa utawala wa mfalme Sedekia, katika mwezi wa kumi, na siku ya kumi ya huo mwezi, Nebukadreza mfalme wa Babeli alikuja pamoja na jeshi lake lote kwa ajili ya kupigana dhidi ya Yerusalemu. Akaweka kambi kuelekeana nayo, na wakajenga ukuta kuizunguka.
Hiti chun Zedekiah lengvai ahom kal kum ko alhin kum, lha som na, chuche lha, nisom lhin nin Babylon lengpa Nebuchadnezzer in asepai jouse ahin puijin Jerusalem khopi chu ahin bulutan ahi. Amahon khopi chu aum’uvin pal akai khum tauvin ahi.
2 Hivyo mji huo ulizungukwa mpaka miaka kumi na moja ya utawala wa Sedekia.
Zekediah lengpa lengvai ahom kal kum somle khat alhin in, Jerusalem chu galmi ten aumkhum tan ahi.
3 Katika siku ya tisa ya mwezi wa nne wa huo mwaka, njaa ilikuwa kali sana kwenye huo mji kwamba hapakuwa na chakula kwa ajili ya watu wa nchi.
Lha li lhinna, niko lhin nin khopi sunga neh ding akilhasam tan, kel ahahsa behseh tan, anneh twidon ding akinehchai gam tauvin kel athohpan tauvin ahi.
4 Wakati huo ule mji ulikuwa umebomoka ndani, na wapiganaji wote wakakimbia usiku kwa njia ya lango kati ya kuta mbili, karibu na bustani ya mfalme, ingawa Wakaldayo walikuwa wote wameuzunguka mji. Mfalme akaenda kuelekea upande wa Araba.
Hijou chun khopi pal chu themkhat avutbang’un, chule sepai ho jouse chu ajam gam tauvin ahi. Ajeh chu khopi chu Babylon ten aumkhum chahkheh chule jankhovah hella achanlhih jeng vangun, pal le pal kikah a lengpa honleiya chun ajamdoh tauve. Amaho chu Arabah lang jonin ache tauvin ahi.
5 Lakini jeshi la Wakaldayo likamfuata mfalme Sedekia na kumchukua katika tambarare ya bonde la Mto Yoradani karibu na Yeriko. Jeshi lake lote lilitawanyika wakamwacha.
Ahinlah Babylon sepaihon lengpa chu adellun Jericho phaicham’a chun aman tauve, ajeh chu asepaiten adalhah uva kithecheh gam'a ahitauve.
6 Wakamkamata mfalme na kumleta mpaka kwa mfalme wa Babeli huko Ribla, ambapo walipitisha hukumu juu yake.
Amahon Riblah kho muna Babylon lengpa kom alhut tauvin, hilai munah chun Zedekiah lengpa chu achungthu atan tauvin ahi.
7 Kama kwa watoto wa Sedekia, wakawachinja mbele ya macho yake. Kisha akamtoa macho Sedekia, wakamfunga pingu, na kumpeleka hadi Babeli.
Amahon achateu atha peh uchu avetsah’un ahi. Hijou chun amit akaldoh peh’un sum-eng khaoguija akan un Babylon lang’ah akai tauvin ahi.
8 Basi katika mwezi wa tano, katika siku ya saba ya mwezi, ambapo ulikuwa mwaka wa kumi na tisa wa utawala wa Nebukadreza mfalme wa Babeli, Nebuzaradani, mtumishi wa mfalme wa Babeli na amrijeshi wa walinzi wake, wakaja hadi Yerusalemu.
Nebuchadnezzer lengpa lengchan kal kum somle ko lhin kum, lha nga lhin na, chuche lha, ni sagi lhin nin, Babylon lengpa sepai pipui chuleh leng vesui lah’a lamkaipa Nebuzaradan chu Jerusalem ahung lhung atan ahi.
9 Akaichoma moto nyumba ya Yahwe, nyumba ya mfalme, na nyumba zote za Yeruselemu; pia kila jengo la muhimu katika mji akayachoma.
Hichun aman Pakai houin, leng inpi chuleh Jerusalem a in jouse ahal lhan chuleh khopi sunga insang aphadom jouse jong asuse gam tan ahi.
10 Kama kwa kuta zote zilizoizunguka Yerusalemu, jeshi lote la Wababeli ambao walikuwa chini ya amrishi wa walinzi wakaziharibu.
Chujongle aman Babylon sepai hojouse chu Jerusalem pal ho avohlhuh sah in, ajet avaija umjouse jong asuhset sah sohkeijin ahi.
11 Basi watu waliokuwa wamebaki ambao walikuwa wameondoka katika mji, wale waliokuwa wameasi kwa mfalme wa Babeli, na mabaki ya watu-Nebuzadani, amiri jeshi wa mlinzi, wakachukuliwa kwenda utumwani.
Babylon lengpa tahsa vesuija pang ho lamkaipa Nebuzaradan chun, Jerusalem khopi sunga ana kidalha mipi amoh chengse, Babylon lengpa lang’a ana pang chengse chutoh mipi ahon jamah amoh chengse chu sohchang dingin ahin toldoh tauvin ahi.
12 Lakini amiri jeshi wa mlinzi aliwaacha baadhi ya maskini wa nchi ili wafanye kazi kwenye shamba la mizabibu na kulima.
Hichea hin Sepai lamkaipa hin mipi holah’a avaichapen hochu lengpilei leh lou lhou dingin adalhan ahi.
13 Na zile nguzo za shaba ambazo zilikuwa kwenye nyumba ya Yahwe, na misimamio na bahari ya chuma ambayo ilikuwa kwenye nyumba ya Yahwe, Wakaldayo wakazivunja vipande vipande na kubeba shaba kuirudisha Babeli.
Pakai houin maiya sum-eng khom kiphut holeh Pakai houin sunga sumeng twikonglen atunna sum-enga kisem chengse jong chu Babylon sepaiten avo chipdellun, sum-eng chengse chu Babylon lamah akipoh atove.
14 Masufuria, mabeleshi, makasi, vijiko, na vyombo vyote vya shaba ambavyo kuhani alivyokuwa amevitunza kwenye hekalu-Wakaldayo wakavichukua vyote.
Chujongle Babylon mite chun bel jouseu le tupheng jouse jong, chaiche ho ahin gim namtui hal namna lhengho ahin, houin kin bolna dinga kisem sum-enga kibol umle bel lhengle kong abonchan akipoh mang tauve.
15 Masufuria ya kuhamisha majivu na mabakuli ambayo yalikuwa yametengenezwa kwa dhahabu, na yale yaliyotengenezwa kwa fedha-yule nahodha wa mlinzi wa mfalme akavichukua pia.
Sepai lamkaipa Nebuzaradan chun gim namtui kihalna le kong ho chule sana le dangka thengsel'a kisem thildang dang ho jouse jong akilah gam’in ahi.
16 Zile nguzo mbili, ile bahari, na vile vitako ambavyo Suleimani alivitengeneza kwa ajili ya nyumba ya Yahwe shaba ya vyombo hivyo vyote haikuwa na uzani.
Sum-eng’a kisem khompi teni, twikonglen, akhom atunna tenia kimang umle bel, lheng le konga kimang sumeng chengse chu agihdan anasa behseh jengin tejou hilou ahi. Hiche thilkeo hose se hi Solomon lengpan Pakai houin na pang dinga anasem ho chu ahi.
17 Urefu wa ile nguzo ya kwanza ulikuwa ridhaa kumi na nane, na kichwa cha shaba kilikuwa juu yake. Na urefu wa kichwa ulikuwa ridhaa tatu, pamoja na mapambo ya wavu na makomamanga yote yakizunguka kwenye hicho kichwa, vyote vilikuwa vimetengenezwa kwa shaba. Na ile nguzo nyingine ilikuwa vivyo hivyo kama ile ya kwanza pamoja na wavu wake.
Khomkhat chu asandan tong som le tong get alhingin, aluvumma chu alutomding sum-enga kisem asandan tong thum cheh a lhingin, chule khut them lah a kijempah a kolbuthei pahcha jem banga aluvum kimvella kisem sohkei ahi.
18 Yule amiri jeshi wa mlinzi akamchukua Seraya kuhani mkuu, pamoja za Sefania, yule kuhani wa pili, na walinzi watatu wa kwenye lango.
Nebuzaradan sepai lamkaipa chun thempulen Seraiah le thempu ni lhinna Zephaniah kitipa chutoh kelkot ngah apangji mithum chutoh sohchang dingin akai mangin ahi.
19 Kutoka mjini akamchukua mlinzi, afisa mmoja ambaye aliyekuwa msimamizi wa maaskari, na watu watano ambao walikuwa wakimshauri mfalme, ambao walikuwa bado katika mji. Pia alimchukua mfungwa wa afisa jeshi la mfalme, kwa ajili ya kuandika watu kwenye jeshi, pamoja na watu sitini muhimu kutoka hiyo nchi ambao walikuwa katika mji.
Chujongleh khopi sunga akisel nalai mipi holah a konin, Judah te dia gal lamkaipa leh lengpa thumop a pang mi nga, sepaite gamsungmi simtohle apang alamkai pauvin lekhasun’a amanpa leh khopi sunga kimandoh mi somgup chutoh anakai mangthan ahi.
20 Kisha Nebuzaradani, amiri wa mlinzi, akawachukua na kuwapeleka kwa mfalme Babeli huko Ribla.
Sepai lamkaipa Nebuzaradan chun, amaho jouse chu Riblah khomun ah Babylon lengpa henga ahinkai luttan ahi.
21 Mfalme wa Babeli akawaua huko Ribla katika nchi ya Hamathi. Kwa njia hii, Yuda akaiacha nchi yake kwenda utumwani.
Riblah kho Hamath gamsunga chun Babylon lengpan abonchauvin adengin athat sohtai. Chuin Judah mite chu agamsung uva konin sohchang din aki kaimang sohtauvin ahi.
22 Na wale watu waliokuwa wamebakia katika nchi ya Yuda, wale ambao Nebukadreza mfalme wa Babeli aliwaacha, akamuweka Gedalia mwana wa Ahikamu, mwana wa Shafani, msimamizi wao.
Hijou chun Nebuchadnezzer lengpan Shaphan tupa, Ahikam chapa Gedaliah chu Judah gam’ah hung kidalha mipiho chunga gamvaipo dingin ana pansah in ahi.
23 Kisha wakati maamiri wote wa majeshi, wao na watu wao, waliposikia kwamba mfalme wa Babeli amemfanya Gedalia kuwa liwali, wakaenda kwa Gedalia huko Mispa. Hawa watu walikuwa Ishmaeli mwana wa Nethania, Yohanani mwana wa Karea, Seraya mwana wa Tanhumethi Mnetofa, na Yezania mwana wa Mmaaka-wao na watu wao.
Babylon lengpa Nebucahdnezzar in Gedaliah kitipa hi gamvaipon apansah taiti Judah mi sepai holeh apipui houvin ajah phat’un, amahon Gedaliah chu Mizpah a akimupi din ana cheuvin ahi. Amahochu Nethaniah chapa Ishmael, Kereah chapa Johanan, Netophath khomi Tanhumeth chapa Seraiah, Maacath khomi chapa Jezaniah chule akho midang jouse ahiuve.
24 Gedalia akafanya kiapo kwa watu wake na kuwaambia, “Msiwaogope Wakaldayo. Muishi katika nchi na kumtumikia mfalme wa Babeli, na itakuwa vema kwenu.”
Hichun Gedaliah chu amaho kom’achun akihahsel’in hitin aseije, “Ima kichatna le tijatna nei hih hellun, gamsunga chun lungmong in cheng un, chule Babylon lengpa thuhi ngaiyun, chutile nangho dinga imajouse phajeng ding ahi,” tin alungmon sah’un ahi.
25 Lakini ilitokea kwamba katika mwezi wa saba Ishmaeli mwana wa Nethania mwana wa Elishama, kutoka familia ya kifalme, wakaja na watu kumi na kumshambulia Gedalia. Gedalia akafa, pamoja na watu wa Yuda na Wababeli ambao walikuwa pamoja nae huko Mizpa.
Ahivangin hiche kumma lhasagi lhin phat’in leng insunga peng mi, Elishama tupa Nethaniah chapa Ishmael chu sepai somkhat toh ahung konin Mizpah khoa hin Gedaliah leh Judah mite toh Babylon mite umkhom apanpi chengse chu ahung delkhum mun athat tauve.
26 Kisha wale watu wote, kutoka chini kwenda juu, na maamiri wa jeshi, wakainuka na kwenda Misri, kwasababu walikuwa wanawaogopa Wababeli.
Hiche jou chun Judah ho aneovapat alenpen geijin chujongleh asepai lamkaiho geijin kichatah’in Egypt lang’ah ajam gam tauvin ahi, ajeh chu Babylon miten i-ahinlo diu ham tichu kicha a ahiuve.
27 Ilitokea baadaye katika mwaka wa thelathini na saba wa utumwa wa Yekonia mfalme wa Yuda, katika mwezi wa kumi na mbili, siku ya ishirini na saba ya mwezi, Evil-merodaki mfalme wa Babeli akamtoa Yekonia mfalme wa Yuda kutoka gerezani. Hii ilitokea katika mwaka ambao Evil-Merodaki alipoanza kutawala.
Judah lengpa Jehoiachin sohchanna kum somthum le sagi alhin’in, Hiche kum chuche lha, nisom ni le ni sagi lhin nin Evil-merodach chun Babylon lengmun ahinlo tan ahile, Jehoiachin chu akhoto in songkulla konin alhadoh tan ahi.
28 Akaongea naye kwa ukarimu na kumpatia kiti kizuri zaidi kuliko kile cha wafalme wengine ambao walikuwa pamoja naye Babeli.
Amahin Jehoiachin chu ngailutna neitah’in akihoupi in, Babylon’a leng dang kihen ho sangin mun sang apen jana ana pen ahi.
29 Evil-Merodaki akamvua Yekonia nguo za gerezani,
Aman Jehoiachin chu songkul von khel chun vonthah anapen chuleh ahinkho lhung keija lengpatoh anneh khom dingin phalna anapen ahi.
30 na Yekinia akala siku zote kwenye meza ya mfalme katika maisha yake yote yaliyokuwa yamebakia.
Hiti chun Babylon lengpan ahinkho lhumkeiya niseh’a aneh ding an agontoh peh in, ama neh ding chan khat akisem jing jeng tan ahi.

< 2 Wafalme 25 >