< 2 Wafalme 17 >

1 Katika mwaka wa kumi na moja wa Ahazi mfalme Yuda, utawala wa Hoshea mwana wa Elahi ulianza. Alitawala katika Samaria juu ya Israeli kwa muda wa miaka minane.
Yn the tweluethe yeer of Achaz, kyng of Juda, Osee, sone of Hela, regnyde in Samarie on Israel nyne yeer.
2 Alifanya yaliyo maovu usoni pa Yahwe, ila sio kama waflme wa Israeli ambao ulikuwa kabla yake.
And he dide yuel bifor the Lord, but not as the kyngis of Israel, that weren bifor hym.
3 Shalmanesa mfalme wa Ashuru akamshambulia, na Hoshea akawa mtumishi na kumletea kodi.
Salmanasar, kyng of Assiriens, stiede ayens this Osee, and Osee was maad seruaunt to hym, and yildide tributis to hym.
4 Kisha mfalme wa Ashuru akaona kwamba Hoshea alikuwa na njama dhidi ya yake, kwa kuwa Hoshea aliwatuma wajumbe kwa So mfalme wa Misri; pia, hakumpatia kodi mfalme wa Ashuru, kama alivyofanya mwaka hadi mwaka.
And whanne the kyng of Assiriens hadde perseyued, that Osee he enforside to be rebelle, and hadde sent messangeris to Sua, kyng of Egipt, that he schulde not yyue tributis to the kyng of Assiriens, as he was wont bi alle yeeris, `the kyng of Assiriens bisegide hym, and sente him boundun in to prisoun.
5 Basi mfalme wa Ashuru akamfunga akamtia kifungoni. Kisha mfalme wa Ashuru akaishambulia nchi yote, akaishambulia Samaria na kuizunguka kwa miaka mitatu.
And he yede thoruy al the lond, and he stiede to Samarie, and bisegide it bi thre yeer.
6 Katika mwaka wa tisa wa Hoshea, mfalme wa Ashuru akaichukua Samaria na akawapeleka Israeli hadi Ashuru. Akawaweka kwenye Hala, kwenye Habori Mto wa Gozani, na katika mji wa Wamedi.
Forsothe in the nynthe yeer of Osee, the kyng of Assiriens took Samarie, and translatide Israel in to Assiriens; and he puttide hem in Hela, and in Thabor, bisidis the flood Gozam, in the citee of Medeis.
7 Utekwaji huu ulitokea kwa sababu wana wa Israeli walifanya dhambi dhidi ya Yahwe Mungu wao, ambaye aliwaleta kutoka nchi ya Misri, kutoka chini ya mkono wa Farao mfalme wa Misri. Watu walikuwa wakiabudu miungu mingine
Forsothe it was don, whanne the sones of Israel hadden synned bifor her Lord God, that ledde hem out of the lond of Egipt, fro the hond of Farao, kyng of Egipt, thei worschipeden alien goddis;
8 na kutembea katika matendo ya wamataifa ambao Yahwe aliwafukuza mbele ya watu wa Israeli, na katika matendo ya wafalme wa Israeli ambayo waliyokuwa wameyafanya.
and yeden bi the custom of hethene men, whiche the Lord hadde wastid in the siyt of the sones of Israel, and of the kyngis of Israel, for thei hadden do in lijk maner.
9 Wana wa Israeli wakafanya kwa siri mambo mabaya dhidi ya Yahwe Mungu wao. Wakajijengea mahala pa juu katika miji yao yote, kutoka mnara wa walinzi hadi mji wenye boma.
And the sones of Israel offendiden her Lord God bi wordis not riytful, and thei bildiden to hem silf hiy thingis in alle her citees, fro the tour of keperis `til to a strengthid citee.
10 Pia wakasimamisha nguzo za mawe na Ashera juu ya kila mlima chini ya kila mti mbichi.
And thei maden to hem ymagis, and wodis, in ech hiy hil, and vndur ech tree ful of bowis;
11 Huko wakafukiza ubani katika mahali pa juu pote, kama mataifa walivyokuwa wamefanya, ambao Yahwe aliwafukuza mbele yao. Waisraeli wakafanya mambo maovu ili kuchochea hasira ya Yahwe,
and thei brenten there encence on the auteris bi the custom of hethene men, whiche the Lord hadde translatid fro the face of hem. And thei diden werste wordis, and thei wraththiden the Lord;
12 wakaabudu sanamu, ambazo Yahwe alizokuwa amewaambia, “Msifanye jambo hili.”
and worschipiden vnclenesses, of whiche the Lord comaundide to hem, that thei schulden not do this word.
13 Bado Yahwe aliwashuhudia Israeli na Yuda kwa kila nabii na kila muonaji, kusema, “Geukeni kutoka nija zenu mbaya na kuzishika amri zangu na hukumu zangu, na kuwa makini kufuata ile sheria yote niliyowaamuru baba zenu, na ambayo niliwapelekea kwa watumishi wangu manabii.”
And the Lord witnesside in Israel and in Juda, bi the hond of alle prophetis and seeris, and seide, Turne ye ayen fro youre werste weies, and kepe ye my comaundementis, and ceremonyes, bi al the lawe whiche Y comaundide to youre fadris, and as Y sente to you in the hond of my seruauntis prophetis.
14 Lakini hawakuweza kusikia; badala yake walikuwa wakaidi kama baba zao ambao hawakumwamini Yahwe Mungu wao.
Whiche herden not, but maden hard her nol bi the nol of her fadris, that nolden obeie to her Lord God.
15 Walizikataa sheria zake na lile agano ambalo alilifanya pamoja na babu zao, na hilo agano wakakubaliana wapewe. Wakafuata mambo yao yasiyofaa na wakawa hawafai. Wakawafuata mataifa ya kipagani ambao waliwazunguka, ambao Yahwe alikuwa amewaamuru wasiige.
And thei castiden, awei the lawful thingis of hym, and the couenaunt which he couenauntide with her fadris, and the witnessyngis bi whiche he witnesside to hem; and thei sueden vanytees, `that is, idols, and diden veynli; and sueden hethene men, that weren `bi the cumpas of hem; of whiche vanytees the Lord comaundide to hem, that thei schulden not do as also tho hethene men diden.
16 Wakazipuuza amri zote za Yahwe Mungu wao. Wakatengeneza sanamu za kusubu za ndama wawili kuziabudu. Wakatengeza nguzo ya Ashera, na wakaziabudu nyota zote za mbinguni na Baali.
And thei forsoken alle the comaundementis of her Lord God, and thei maden to hem twei yotun calues, and wodis, and worschipiden al the knyythod of heuene; and thei seruyden Baal, and halewiden to hym her sones,
17 Wakawatupia watoto wao wakike kwa wakiume kwenye moto, wakapiga ramli na uchawi, wakajiuza wenyewe kufanya yale ambayo yalikuwa maovu usoni pa Yahwe, na kuichochea hasira yake.
and her douytris thoruy fier, and thei seruyden to fals dyuynyng, and to dyuynyng bi chiterynge of briddis; and thei yauen hem silf to do yuel bifor the Lord, and thei wraththiden hym.
18 Kwa hiyo Yahwe alikuwa na hasira na Israeli na kuwaondoa usoni mwake. Hakubakia mtu hata mmoja isipokuwa kabila la Yuda peke yake.
And the Lord was wrooth greetli to Israel; and he took awei hem fro his siyt, and noon lefte, no but the lynage of Juda oneli.
19 Hata watu wa Yuda hawakushika amri za Yahwe Mungu wao, lakini badala yake walifuata mambo hayo hayo ya kipagani ambayo Israeli walifuata.
But nether Juda hym silf kepte the heestis of `his Lord God, netheles he erride, and yede in the errour of Israel, whiche it wrouyte.
20 Hivyo Yahwe akawakataa vizazi vyote vya Israeli; akawatesa na kuwatia kwenye mkono wa wale wenye kuwateka nyara, hadi atakapokuwa amewatupa usoni mwake.
And the Lord castide awei al the seed of Israel, and turmentide hem, and bitook hem in the hond of rauynouris; til he castide awei hem fro his face,
21 Akawatoa Israeli kutoka kwenye mstari wa kifalme wa Daudi, na wakamfanya Yeroboamu mwana wa Nabeti mfalme. Yeroboamu akawapeleka Israeli mbali kutoka kumfuata Yahwe na kuwafanya wafanye dhambi kubwa.
fro that tyme in which Israel was departid fro the hous of Dauid, and maden to hem a kyng, Jeroboam, sone of Nabath. For Jeroboam departide Israel fro the Lord, and made hem to do a greet synne.
22 Wana wa Israeli wakafuata dhambi zote za Yeroboamu na hawakujiepusha nazo,
And the sones of Israel yeden in alle the synnes of Jeroboam, whiche he hadde do; and thei departiden not fro tho synnes,
23 basi Yahwe akawaondoa Israeli kutoka usoni pake, kama alivyokuwa amesema kupitia watumishi wake wote manabii kwamba angeweza kufanya. Hivyo Israeli walichukuliwa kutoka nchi yao kwenda Ashuru, na iko hivyo hata leo.
til the Lord dide awei Israel fro his face, as he spak in the hond of alle hise seruauntis prophetis; and Israel was translatid fro his lond in to Assiriens til in to this dai.
24 Mfalme wa Ashuru akawaleta watu kutoka Babeli na kutoka Kutha, na kutoka Ava, na kutoka Hamathi na Sefarvaimu, na kuwaweka katika mji wa Samaria na kuishi katika huo mji wake.
Forsothe the kyng of Assiriens brouyte puple fro Babiloyne, and fro Cutha, and fro Hailath, and fro Emath, and fro Sepharuaym, and settide hem in the citees of Samarie for the sones of Israel; whiche hadden in possessioun Samarie, and dwelliden in the citees therof.
25 Ikatokea wakati walipoanza kuishi huko hawakumcha Yahwe. Hivyo Yahwe akatuma simba miongoni mwao ambao waliwaua baadhi yao.
And whanne thei bigunnen to dwelle there, thei dredden not the Lord; and the Lord sente to hem liouns, that killiden hem.
26 Basi wakaongea na mfalme wa Ashuru, wakisema, “Wale mataifa uliowaamisha na kuwaweka kwenye miji ya Samaria hawayajui mambo wanayotakiwa kuyafanya kutokana na mungu wa nchi. Hivyo alikuwa amewatuma simba kwenda kwao, na, tazama, wale simba walikuwa wakiwauua watu huko kwa sababu hawakufahamu yale mambo waliyokuwa wanatakiwa kuyafanya kwa mungu wa nchi.”
And it was teld to the kyng of Assiriens, and was seid, The folkis whiche thou translatidist, and madist to dwelle in the citees of Samarie, kunnen not the lawful thingis of God of the lond; and the Lord sente liouns in to hem, and lo! liouns sleen hem; for thei kunnen not the custom of God of the lond.
27 Kisha mfalme wa Ashuru akatoa amri, akisema, “Mchukueni mmoja wa makuhani hapo ambaye mmemleta kutoka huko, na mumwache aende na kuishi huko, na mumwache awafundishe mambo yanayotakiwa kwa mungu wa nchi.”
Sotheli the kyng of Assiriens comaundide, and seide, Lede ye thidur oon of the preestis, whiche ye brouyten prisoneris fro thennus, that he go, and dwelle with hem, and teche hem the lawful thingis of God of the lond.
28 Hivyo mmoja wa makuhani ambaye walimchukua kutoka Samaria akaja na kuishi katika Betheli; akawafundisha jinsi wavyotakiwa mcha Yahwe.
Therfor whanne oon of these preestis had come, that weren led prisoneris fro Samarie, he dwellide in Bethel, and tauyte hem, how thei schulden worschipe the Lord.
29 Watu wa kila kabila wakajifanyia miungu yao wenyewe, na kuiweka mahala pa juu ambapo Wasamaria walifanya kila kabila katika mji ambako walipoishi.
And ech folk made his god, and thei settiden tho goddis in the hiy templis, whiche the men of Samarie hadden maad, folk and folk in her citees, in whiche thei dwelliden.
30 Watu wa Babeli wakatengeneza Sakoth Benithi; watu wa Sakoth wakatengeneza Nergali; watu wa Hamathi wakatengeza Ashima;
For men of Babiloyne maden Socoth Benoth; forsothe men of Cutha maden Vergel; and men of Emath maden Asyma;
31 Waavi wakatengeneza Nibhazi na Tartaki. Nao Wasefarvi wakwachoma watoto wao kwenye moto kwa Adrameleki na Anameleki, wale miungu wa Sefarvaimu.
forsothe Eueis maden Nabaath and Tharcha; sotheli thei that weren of Sepharuaym brenten her sones in fier to Adramelech and Anamelech, goddis of Sepharuaym.
32 Pia wakamcha Yahwe, na kuwateua kutoka miongoni mwao makuhani wa mahali pa juu, ambao waliteketeza kwa ajili yao kwenye hekalun mahali pa juu.
And netheles thei worschipiden the Lord; forsothe of the laste men thei maden preestis of the hiye thingis, and settiden hem in hiye templis.
33 Wakamcha Yahwe na pia kuabudu miungu yao wenyewe, sawa sawa na tamaduni za mataifa kutoka miongoni mwao waliokuwa wamewachukua.
And whanne thei worschipiden God, thei serueden also her goddis, bi the custom of hethene men, fro whiche thei weren translatid to Samarie;
34 Hadi siku hii ya leo wameshikilia tamaduni zao za zamani. Wala hawamwogopi Yahwe, wala hawazifuati sheria zake, torati, au amri ambazo Yahwe aliwapa watu wa Yakobo ambaye alemwita jina Israeli
`til in to present dai thei suen the eld custom; thei dredden not the Lord, nethir thei kepen hise cerymonyes, and domes, and lawe, and comaundement, which the Lord comaundide to the sones of Jacob, whom he nemyde Israel;
35 pamoja na ambao Yahwe alifanya agano nao na kuwaamuru, “Msiiche miungu mingine, wala kuisujudia, wala kuiabudu, wala kuitolea sadaka.
and he smoot a couenaunt with hem, and comaundide to hem, and seide, Nyle ye drede alien goddis, and onoure ye not outwardli hem, nethir worschipe ye inwardli hem, and make ye not sacrifice to hem;
36 Lakini Yahwe, ambaye aliwatoa kutoka nchi ya Misri kwa nguvu kubwa na mkono ulionyooshwa, yeye ndiye mnayetakiwa kumwabudu, yeye ndiye manayetakiwa kumsujudia, na yeye ndiye mnayetakiwa kumtolea sadaka.
but youre Lord God, that ledde you out of the lond of Egipt in greet strengthe, and in arm holdun forth, drede ye hym, and worschipe ye hym, and make ye sacrifice to hym.
37 Na sheria na hukumu, na torati na amri ambazo alizoziandika kwa ajili yenu, mtazishika milele. Hivyo msiiche miungu mingine,
And kepe ye the cerymonyes, and domes, and the lawe, and comaundement, which he wroot to you, that ye do in alle daies; and drede ye not alien goddis.
38 na agano ambalo nimelifanya pamoja nanyi, hamtalisahau; wala kuicha miungu mingine.
And nyle ye foryete the couenaunt, which he smoot with you, nether worschipe ye alien goddis;
39 Lakini Yahwe Mungu wenu, ndiye ambaye mtakayemcha. Atawalinda mbali na nguvu ya maadui zenu,”
but drede ye youre Lord God, and he schal delyuere you fro the hond of alle youre enemyes.
40 Hawatasikia, kwasababu waliendelea kufanya yale waliyokuwa wameyafanya nyuma.
Forsothe thei herden not, but diden bi her formere custom.
41 Hivyo haya mataifa wakamcha Yahwe na pia wakaabudu sanamu zao za kuchonga, na watoto wao wakafanya hivyo hivyo na watoto wa watoto wao. Wakaendelea kufanya yale ambayo babu zao waliyoyafanya, hata leo.
Therfor these hethene men dredden sotheli God; but netheles thei serueden also her idols, for bothe her sones and the sones of sones doen so, til in to present dai, as her fadris diden.

< 2 Wafalme 17 >