< 2 Wafalme 17 >

1 Katika mwaka wa kumi na moja wa Ahazi mfalme Yuda, utawala wa Hoshea mwana wa Elahi ulianza. Alitawala katika Samaria juu ya Israeli kwa muda wa miaka minane.
Dvanaeste godine kraljevanja Ahaza u Judeji, postao je Hošea, sin Elin, izraelskim kraljem u Samariji. Kraljevao je devet godina.
2 Alifanya yaliyo maovu usoni pa Yahwe, ila sio kama waflme wa Israeli ambao ulikuwa kabla yake.
On je činio što je zlo u očima Jahvinim, ali ne kao izraelski kraljevi, njegovi prethodnici.
3 Shalmanesa mfalme wa Ashuru akamshambulia, na Hoshea akawa mtumishi na kumletea kodi.
Asirski kralj Salmanasar pošao je protiv Hošee, koji mu se pokorio i plaćao mu danak.
4 Kisha mfalme wa Ashuru akaona kwamba Hoshea alikuwa na njama dhidi ya yake, kwa kuwa Hoshea aliwatuma wajumbe kwa So mfalme wa Misri; pia, hakumpatia kodi mfalme wa Ashuru, kama alivyofanya mwaka hadi mwaka.
Ali je asirski kralj otkrio da mu Hošea sprema zavjeru: još je Hošea poslao poslanike egipatskom kralju Sou i nije platio danaka asirskom kralju kao svake godine. Tada ga asirski kralj baci u tamnicu.
5 Basi mfalme wa Ashuru akamfunga akamtia kifungoni. Kisha mfalme wa Ashuru akaishambulia nchi yote, akaishambulia Samaria na kuizunguka kwa miaka mitatu.
Asirski kralj osvoji svu zemlju i krenu opsjedati Samariju. Opsjedao ju je tri godine.
6 Katika mwaka wa tisa wa Hoshea, mfalme wa Ashuru akaichukua Samaria na akawapeleka Israeli hadi Ashuru. Akawaweka kwenye Hala, kwenye Habori Mto wa Gozani, na katika mji wa Wamedi.
Devete godine Hošeine vladavine zauze asirski kralj Samariju i odvede Izraelce u sužanjstvo u Asiriju. Naselio ih je u Helahu, i na Haboru, rijeci u Gozanu, i u gradovima medijskim.
7 Utekwaji huu ulitokea kwa sababu wana wa Israeli walifanya dhambi dhidi ya Yahwe Mungu wao, ambaye aliwaleta kutoka nchi ya Misri, kutoka chini ya mkono wa Farao mfalme wa Misri. Watu walikuwa wakiabudu miungu mingine
I tako se dogodilo zato što su Izraelci sagriješili protiv Jahve, Boga svoga, koji ih je izveo iz zemlje egipatske, ispod vlasti faraona, kralja egipatskog. Štovali su druge bogove,
8 na kutembea katika matendo ya wamataifa ambao Yahwe aliwafukuza mbele ya watu wa Israeli, na katika matendo ya wafalme wa Israeli ambayo waliyokuwa wameyafanya.
slijedili običaje naroda što ih je Jahve protjerao pred sinovima Izraelovim, živjeli po običajima što su ih uveli kraljevi Izraelovi.
9 Wana wa Israeli wakafanya kwa siri mambo mabaya dhidi ya Yahwe Mungu wao. Wakajijengea mahala pa juu katika miji yao yote, kutoka mnara wa walinzi hadi mji wenye boma.
Izraelci i njihovi kraljevi potajno su činili neprikladna djela protiv Jahve, Boga svoga. Podigli su uzvišice u svim svojim naseljima: od stražarskih kula pa do utvrđenih gradova.
10 Pia wakasimamisha nguzo za mawe na Ashera juu ya kila mlima chini ya kila mti mbichi.
Podizali su stupove i ašere na svakom humku i pod svakim zelenim drvetom.
11 Huko wakafukiza ubani katika mahali pa juu pote, kama mataifa walivyokuwa wamefanya, ambao Yahwe aliwafukuza mbele yao. Waisraeli wakafanya mambo maovu ili kuchochea hasira ya Yahwe,
Ondje su, na svim uzvišicama, palili kad po običaju naroda što ih je Jahve protjerao ispred njih i činili su zla djela te izazivali gnjev Jahvin.
12 wakaabudu sanamu, ambazo Yahwe alizokuwa amewaambia, “Msifanye jambo hili.”
Služili su idolima, premda im Jahve bijaše rekao: “Ne činite toga!”
13 Bado Yahwe aliwashuhudia Israeli na Yuda kwa kila nabii na kila muonaji, kusema, “Geukeni kutoka nija zenu mbaya na kuzishika amri zangu na hukumu zangu, na kuwa makini kufuata ile sheria yote niliyowaamuru baba zenu, na ambayo niliwapelekea kwa watumishi wangu manabii.”
A Jahve opominjaše Izraelce i Judejce preko svih svojih proroka i sviju vidjelaca: “Obratite se od zlog puta svoga”, govorio je, “i pokoravajte se naredbama i zapovijedima mojim prema Zakonu koji sam naložio ocima vašim i prema svemu što sam vam objavio preko slugu svojih - proroka.”
14 Lakini hawakuweza kusikia; badala yake walikuwa wakaidi kama baba zao ambao hawakumwamini Yahwe Mungu wao.
Ali oni nisu poslušali nego su ostali tvrdovrati kao i njihovi oci, koji nisu vjerovali u Jahvu, Boga svoga.
15 Walizikataa sheria zake na lile agano ambalo alilifanya pamoja na babu zao, na hilo agano wakakubaliana wapewe. Wakafuata mambo yao yasiyofaa na wakawa hawafai. Wakawafuata mataifa ya kipagani ambao waliwazunguka, ambao Yahwe alikuwa amewaamuru wasiige.
Prezreli su njegove zakone i Savez koji je sklopio s njihovim ocima i opomene njegove koje im je upućivao. Težili su za ispraznošću, pa su i sami postali isprazni slijedeći narode oko sebe, premda im je Jahve zapovjedio da ne čine kao oni.
16 Wakazipuuza amri zote za Yahwe Mungu wao. Wakatengeneza sanamu za kusubu za ndama wawili kuziabudu. Wakatengeza nguzo ya Ashera, na wakaziabudu nyota zote za mbinguni na Baali.
Odbacili su sve zapovijedi Jahve, Boga svoga, i načinili su sebi salivene idole, dva teleta. Podigli su ašere, klanjali se svoj vojsci nebeskoj i služili Baalu.
17 Wakawatupia watoto wao wakike kwa wakiume kwenye moto, wakapiga ramli na uchawi, wakajiuza wenyewe kufanya yale ambayo yalikuwa maovu usoni pa Yahwe, na kuichochea hasira yake.
Provodili su svoje sinove i kćeri kroz oganj, odavali se vračanju i gatanju, čineći tako zlo u očima Jahvinim i razjarujući ga.
18 Kwa hiyo Yahwe alikuwa na hasira na Israeli na kuwaondoa usoni mwake. Hakubakia mtu hata mmoja isipokuwa kabila la Yuda peke yake.
Tada se Jahve razgnjevi na Izraela i odbaci ga ispred svoga lica. Ostalo je samo pleme Judino.
19 Hata watu wa Yuda hawakushika amri za Yahwe Mungu wao, lakini badala yake walifuata mambo hayo hayo ya kipagani ambayo Israeli walifuata.
Ali ni pleme Judino nije držalo zapovijedi Jahve, Boga svoga, i slijedilo je običaje kojih su se držali Izraelci.
20 Hivyo Yahwe akawakataa vizazi vyote vya Israeli; akawatesa na kuwatia kwenye mkono wa wale wenye kuwateka nyara, hadi atakapokuwa amewatupa usoni mwake.
I Jahve odbaci sav rod Izraela, ponizi ga i predade ga pljačkašima, dok ih konačno ne odbaci daleko od svoga lica.
21 Akawatoa Israeli kutoka kwenye mstari wa kifalme wa Daudi, na wakamfanya Yeroboamu mwana wa Nabeti mfalme. Yeroboamu akawapeleka Israeli mbali kutoka kumfuata Yahwe na kuwafanya wafanye dhambi kubwa.
On je, konačno, otrgnuo Izraelce od kuće Davidove, a Izrael je proglasio kraljem Jeroboama, sina Nebatova. Jeroboam je odvratio Izraela od Jahve i naveo ih na veliku grehotu.
22 Wana wa Israeli wakafuata dhambi zote za Yeroboamu na hawakujiepusha nazo,
Izraelci su slijedili svaki grijeh koji je Jeroboam počinio i od njega se nisu odvraćali,
23 basi Yahwe akawaondoa Israeli kutoka usoni pake, kama alivyokuwa amesema kupitia watumishi wake wote manabii kwamba angeweza kufanya. Hivyo Israeli walichukuliwa kutoka nchi yao kwenda Ashuru, na iko hivyo hata leo.
dok konačno Jahve nije odbacio Izraela ispred svoga lica, kako to bijaše objavio po svojim slugama, prorocima. Odveo je Izraelce iz njihove zemlje u sužanjstvo u Asiriju, gdje su do današnjega dana.
24 Mfalme wa Ashuru akawaleta watu kutoka Babeli na kutoka Kutha, na kutoka Ava, na kutoka Hamathi na Sefarvaimu, na kuwaweka katika mji wa Samaria na kuishi katika huo mji wake.
Asirski je kralj doveo ljude iz Babilona, iz Kute, iz Ave, Hamata i iz Sefarvajima, i naselio ih u gradovima Samarije mjesto Izraelaca. Oni su zaposjeli Samariju i nastanili se u gradovima njezinim.
25 Ikatokea wakati walipoanza kuishi huko hawakumcha Yahwe. Hivyo Yahwe akatuma simba miongoni mwao ambao waliwaua baadhi yao.
U vrijeme naseljavanja u zemlju nisu štovali Jahve i on je poslao protiv njih lavove da ih rastrgaju.
26 Basi wakaongea na mfalme wa Ashuru, wakisema, “Wale mataifa uliowaamisha na kuwaweka kwenye miji ya Samaria hawayajui mambo wanayotakiwa kuyafanya kutokana na mungu wa nchi. Hivyo alikuwa amewatuma simba kwenda kwao, na, tazama, wale simba walikuwa wakiwauua watu huko kwa sababu hawakufahamu yale mambo waliyokuwa wanatakiwa kuyafanya kwa mungu wa nchi.”
Zato su rekli asirskom kralju: “Narodi koje si preselio da ih nastaniš u gradovima Samarije ne znaju kako valja štovati Boga ove zemlje i on je na njih poslao lavove, koji ih usmrćuju, jer ti narodi ne poznaju bogoštovlja ove zemlje.”
27 Kisha mfalme wa Ashuru akatoa amri, akisema, “Mchukueni mmoja wa makuhani hapo ambaye mmemleta kutoka huko, na mumwache aende na kuishi huko, na mumwache awafundishe mambo yanayotakiwa kwa mungu wa nchi.”
Tada je asirski kralj izdao ovu zapovijed: “Neka ide onamo jedan od svećenika koje sam odande doveo u sužanjstvo; neka ide, neka se ondje nastani i pouči ih u štovanju Boga one zemlje.”
28 Hivyo mmoja wa makuhani ambaye walimchukua kutoka Samaria akaja na kuishi katika Betheli; akawafundisha jinsi wavyotakiwa mcha Yahwe.
Tako ode jedan od svećenika koji su bili odvedeni iz Samarije i nastani se u Betelu. On ih je poučio kako treba štovati Jahvu.
29 Watu wa kila kabila wakajifanyia miungu yao wenyewe, na kuiweka mahala pa juu ambapo Wasamaria walifanya kila kabila katika mji ambako walipoishi.
Svaki je narod imao likove svojih bogova i postavili su ih u hramove na uzvišicama koje su podigli Samarijanci, svaki narod u svojim gradovima u kojima življaše.
30 Watu wa Babeli wakatengeneza Sakoth Benithi; watu wa Sakoth wakatengeneza Nergali; watu wa Hamathi wakatengeza Ashima;
Babilonci načiniše Sukot Benota, Kušani Nergala, Hamaćani Ašimu;
31 Waavi wakatengeneza Nibhazi na Tartaki. Nao Wasefarvi wakwachoma watoto wao kwenye moto kwa Adrameleki na Anameleki, wale miungu wa Sefarvaimu.
Avijci načiniše Nibhaza i Tartaka, a Sefarvajimci spaljivahu svoju djecu na ognju u čast Adrameleka i Anameleka, sefarvajimskih bogova.
32 Pia wakamcha Yahwe, na kuwateua kutoka miongoni mwao makuhani wa mahali pa juu, ambao waliteketeza kwa ajili yao kwenye hekalun mahali pa juu.
Oni su štovali i Jahvu i postavili su neke između sebe za svećenike uzvišica koji su im prinosili žrtve u hramovima uzvišica.
33 Wakamcha Yahwe na pia kuabudu miungu yao wenyewe, sawa sawa na tamaduni za mataifa kutoka miongoni mwao waliokuwa wamewachukua.
Štovali su Jahvu i služili su svojim bogovima po običaju onih naroda između kojih su ih preselili.
34 Hadi siku hii ya leo wameshikilia tamaduni zao za zamani. Wala hawamwogopi Yahwe, wala hawazifuati sheria zake, torati, au amri ambazo Yahwe aliwapa watu wa Yakobo ambaye alemwita jina Israeli
Oni se još i danas drže starih običaja. Ne štuju Jahve i ne usklađuju svojih pravila i običaja sa Zakonom i zapovijedima što ih je Jahve naredio djeci Jakova komu je nadjenuo ime Izrael.
35 pamoja na ambao Yahwe alifanya agano nao na kuwaamuru, “Msiiche miungu mingine, wala kuisujudia, wala kuiabudu, wala kuitolea sadaka.
Jahve bijaše s njima sklopio Savez i zapovjedio im: “Ne štujte tuđih bogova niti im se klanjajte. Nemojte ih štovati niti im žrtava prinositi.
36 Lakini Yahwe, ambaye aliwatoa kutoka nchi ya Misri kwa nguvu kubwa na mkono ulionyooshwa, yeye ndiye mnayetakiwa kumwabudu, yeye ndiye manayetakiwa kumsujudia, na yeye ndiye mnayetakiwa kumtolea sadaka.
Samo je Jahve onaj koji vas je velikom snagom svoje ispružene ruke izveo iz zemlje egipatske; njega štujte, njemu se klanjajte i njemu žrtve prinosite.
37 Na sheria na hukumu, na torati na amri ambazo alizoziandika kwa ajili yenu, mtazishika milele. Hivyo msiiche miungu mingine,
Držite se pravila i običaja, zakona i naredaba koje vam je propisao da ih vjerno ispunjavate uvijek i ne štujte tuđih bogova.
38 na agano ambalo nimelifanya pamoja nanyi, hamtalisahau; wala kuicha miungu mingine.
Nemojte zaboraviti Saveza koji sam sklopio s vama i nemojte štovati drugih bogova,
39 Lakini Yahwe Mungu wenu, ndiye ambaye mtakayemcha. Atawalinda mbali na nguvu ya maadui zenu,”
samo Jahvu, Boga svoga, poštujte i on će vas izbaviti iz ruke svih vaših neprijatelja.”
40 Hawatasikia, kwasababu waliendelea kufanya yale waliyokuwa wameyafanya nyuma.
Ali oni nisu poslušali, nego su se i dalje držali svoga starog običaja.
41 Hivyo haya mataifa wakamcha Yahwe na pia wakaabudu sanamu zao za kuchonga, na watoto wao wakafanya hivyo hivyo na watoto wa watoto wao. Wakaendelea kufanya yale ambayo babu zao waliyoyafanya, hata leo.
Tako su ti narodi štovali Jahvu, a služili su i svojim idolima. Njihovi sinovi i sinovi njihovih sinova čine do dana današnjega onako kako su činili njihovi oci.

< 2 Wafalme 17 >