< 2 Nyakati 7 >

1 Sasa Selemani alipokuwa amemaliza kuomba, moto ukaja kutoka mbinguni na kuiteketeza sadaka ya kuteketezwa na dhabihu, na utukufu wa Yahwe ukaijaza nyumba.
A gdy dokończył Salomon modlitwy, tedy ogień zstąpił z nieba, i pożarł całopalenie i inne ofiary, a chwała Pańska napełniła on dom.
2 Makuhani hawakuweza kuingia kwenye nyumba ya Yahwe, kwa sababu utukufu wake uliijaza nyumba yake.
I nie mogli kapłani wnijść do domu Pańskiego, przeto, że chwała Pańska napełniła dom Pański.
3 Watu wote wa Israeli wakaangalia juu moto uliposhuka chini na utukufu wa Yahwe ulikuwa juu ya nyumba. Wakalala kwa nyuso zao juu ya sakafu ya mawe, wakaabudu, na kutoa shukrani kwa Yahwe. Wakasema, “Kwa maana yeye ni mwema, kwa maana agano lake la kifame ladumu milele.”
I wszyscy synowie Izraelscy, widząc, gdy zstępował ogień, i chwała Pańska na dom, upadli twarzą swą na ziemię, na tło, a kłaniając się chwalili Pana, że dobry, że na wieki miłosierdzie jego.
4 Kwa hiyo mfalme na watu wote wakamtolea Yahwe sadaka Yahwe.
A król i wszystek lud sprawowali ofiary przed Panem.
5 Mfalme Selemani akatoa sadaka ya ng'ombe ishirini na mbili elfu na kondoo 120, 000 na mbuzi. Kwa hiyo mfalme na watu wote wakaiweka wakifu nyumba ya Mungu.
Tedy nabił król Salomon na ofiary wołów dwadzieścia i dwa tysiące, a owiec sto i dwadzieścia tysięcy, gdy poświęcali dom Boży król i wszystek lud.
6 Makuhani wakasimama, kila mmoja akasimama mahali pake pa kuhudumu; Walawi pia pamoja na vyombo vya muziki vya Yahwe, ambavyo mfalme Daudi alivitengeza kwa ajili ya kumpa shukrani Yahwe katika nyimbo, “Kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.” Makuhani wote wakapiga matarumbeta mbele yao, na Israeli wote wakasimama.
Ale kapłani stali w rzędach swych: Lewitowie także z instrumentami muzyki Pańskiej, które był sprawił Dawid król ku chwaleniu Pana, (że na wieki miłosierdzie jego) pieśnią Dawidową, którą im podał. Inni też kapłani trąbili przeciwko nim, a wszyscy Izraelczycy stali.
7 Selemani akaitakasa sehemu ya katikati ya kiwanja cha mfalme mbele ya nyumba ya Yahwe. Humo akatoa sadaka za kuteketezwa na mafuta ya sadaka za amani, kwa sababu madhabahu ya shaba ambayo alikuwa ametengeza haikuweza kuzibeba sadaka, sadaka za nafaka, na za mafuta.
Nadto poświęcił Salomon pośrodek sieni, która była przed domem Pańskim; bo tam ofiarował całopalenia, i tłustości spokojnych ofiar, przeto, że na ołtarzu miedzianym, który był sprawił Salomon, nie mogły się zmieścić całopalenia, i ofiary śniedne i tłustości.
8 Kwa hiyo Selemani akaitisha sikukuu wakati huo kwa siku saba, na Israeli wote pamaoja naye, kusanyiko kubwa, kutoka Lebo Hamathi mpaka kijito cha Misiri.
I obchodził Salomon onego czasu święto uroczyste przez siedm dni, i wszystek Izrael z nim, zgromadzenie bardzo wielkie, od wejścia do Emat aż do rzeki Egipskiej.
9 Siku ya nane wakaitisha kusanyiko la makini, kwa maana kwa siku saba walishika kuwekwa wakfu kwa ile madhabahu.
(Potem uczynili dnia ósmego święto; albowiem poświęcenie ołtarza sprawowali przez siedm dni, i święto uroczyste obchodzili przez siedm dni.
10 Katika siku ya ishini na tatu ya mwezi wa saba, Selemani akawatanya watu kwenda kwenye nyumba zao kwa furaha na mioyo ya shangwe kwa sababu ya wema aliokuwa ameuonesha Yahwe kwa Daudi, Selemani, Israeli, na watu wake.
A dnia dwudziestego i trzeciego, miesiąca siódmego, rozpuścił lud do przybytków swoich, weselący się i cieszący się w sercu swem z dobrodziejstwa, które uczynił Pan Dawidowi i Salomonowi i Izraelowi, ludowi swemu.
11 Hivyo Selemani akaimaliza nyumba ya Yahwe na nyumba yake mwenyewe. Kila kitu kilichokuja katika moyo wa Selemani kwa ajili ya kukitengeneza katika nyumba ya mfalme na katika nyumba yake mwenyewe, alikitimiza kwa mafanikio.
A tak dokończył Salomon domu Pańskiego, i domu królewskiego, a wszystko, co był umyślił w sercu swem, uczynić w domu Pańskim i w domu swym, wykonał szczęśliwie.
12 Yahwe akamtokea Selemani usiku na kusema kwake, “Nimesikia maombi yako, na nimeichagua sehemu hii kwa ajili yangu mwenyewe kama nyumba ya dhabihu.
Potem ukazał się Pan Salomonowi w nocy, i rzekł do niego: Wysłuchałem modlitwę twoję, i obrałem to miejsce sobie za dom do ofiary.
13 Kama nitazifunga mbingu ili kwamba kusiwepo mvua, au kama nitaamuru nzige waimeze nchi, au kama nitatuma magonjwa kati kati ya watu wangu,
Jeźli zamknę niebo, żeby nie było deszczu, i jeźli rozkażę szarańczy, aby pożarła ziemię; jeźli też poślę powietrze na lud mój;
14 kisha watu wangu, ambao wameitwa kwa jina langu, watajinyenyekeza, kuomba, kuutafuta uso wangu, na kuziacha njia zao mbaya, nitasikia kutoka mbinguni, kuwasamehe dhambi zao, na kuiponya nchi yao.
A jeźliby się upokorzył lud mój, nad którym wzywano imienia mego, a modliłby się, i szukałby twarzy mojej, odwróciwszy się od dróg swoich złych: tedy Ja wysłucham z nieba, i odpuszczę grzech ich, a uzdrowię ziemię ich.
15 Sasa macho yangu yatakuwa wazi na masikio yangu yatasikiliza maombi yanayofanywa katika sehemu hii.
Oczy też moje otworzone będą, a uszy moje nakłonione ku modlitwie uczynionej na tem miejscu.
16 Kwa maana sasa nimeichagua na kauitakasa nyumba hii ili kwamba jina langu lipate kuwa humo milele. Masikio yangu na moyo wangu vitakuwako kila siku.
Bom teraz obrał i poświęcił ten dom, aby tu przebywało imię moje aż na wieki; i będą tu oczy moje, i serce moje po wszystkie dni.
17 Kwako wewe, kama utatembe mbele zangu kama baba yako Daudi alivyotembea, ukitii yote nilyokuamuru na kuzishika sheria zangu na maagizo yangu,
A ty będzieszli chodził przede mną, jako chodził Dawid, ojciec twój, a będziesz się sprawował według wszystkiego, com ci przykazał, strzegąc ustaw moich i sądów moich:
18 basi nitakithibitisha kiti cha enzi cha ufalme wako, kama nilivyosema katika agano na Daudi baba yako, niliposema, 'Mzaliwa wako hatashindwa kamwe kuwa mtawala katika Israeli.'
Tedy utwierdzę stolicę królestwa twego, jakom uczynił umowę z Dawidem, ojcem twoim, mówiąc: Nie będzie odjęty z narodu twego mąż panujący nad Izraelem.
19 Lakin ukigeuka, na kuzisahau sheria zangu na amri amabzo nimeweka mbele yenu, na kama utaenda kuabudu miungu wengine na kuwasujudia,
A jeźli się wy odwrócicie, a opuścicie ustawy moje, i przykazania moje, którem wam podał, a odszedłszy będziecie służyli bogom cudzym, i będziecie się im kłaniali:
20 basi nitawang'oa kutoka kwenye nchi yangu amabayo nimewapa. Nyumba hii ambayo nimeitakasa kwa ajili ya jina langu, nitaitupilia mbali kutoka mbele zangu, na nitaifanya kuwa methali na utani miongini mwa watu wote.
Tedy ich wykorzenię z ziemi mojej, którąm im dał; a ten dom, którym poświęcił imieniowi memu, odrzucę od oblicza mego, i podam go na przypowieść, i na baśń między wszystkie narody.
21 Ingawa hekalu hili hili zuri sana kwa sasa, kila mtu apitaye karibu yake atashangazwa na ataguna. Watauliza, 'Kwa nini Yahwe ameifanyia hivi nchi hii na nyumba hii',
Nadto i ten dom, który był sławny, każdemu mimo idącemu będzie na podziw, i rzecze: Przeczże tak uczynił Pan tej ziemi i temu domowi?
22 wengine watajibu, 'Kwa sababu walimsahau Yahwe, Mungu wao, ambaye alikuwa amewatoa babu zao nje ya nchi ya Misiri, na wakashikamana na miungu wengine na kuwainamia chini na kuwaabudu. Hii ndiyo maana Yahwe ameleta majanga haya yote juu yao”
Tedy odpowiedzą: Przeto, iż opuścili Pana, Boga ojców swoich, który ich wywiódł z ziemi Egipskiej, a chwycili się bogów cudzych, i kłaniali się im, i służyli im, dlategoż przywiódł na nich to wszystko złe.

< 2 Nyakati 7 >