< 2 Nyakati 16 >

1 Katika mwaka wa thelathini na sita wa utawala wa Asa, Baasha, mfalme wa Israeli, akatenda kwa ukatili dhidi ya Yuda na akaujenga Rama, ili kwamba asimruhusu mtu yeyote kutoka wala kuingia katika nchi ya Asa, mfalme wa Yuda.
Forsothe in the sixe and thrittithe yeer of his rewme Baasa, the kyng of Israel, stiede in to Juda, and cumpasside Rama with a wal, that no man of the rewme of Asa myyte go out ether entre sikirli.
2 Kisha Asa akaitoa fedha na dhahabu nje ya vyumba vya kuhifadhia katika nyumba ya Yahwe na nje ya nyumba ya mfalme, na akaituma kwa Ben Hadadi mfalme wa Aramu, ambaye aliishi Dameski. Akasema, pawe na agano kati yako na mimi, kama palivyokuwa na agano kati ya baba yangu na baba yako. Angalia, nimekutumia fedha na dhahabu.
Sotheli Asa brouyte forth gold and siluer fro the tresours of the hows of the Lord, and fro the kyngis tresouris; and sente to Benadab, kyng of Sirie, that dwellide in Damask,
3 Livunje agano lako na Baasha, mfalme wa Israeli, ili kwamba aniache.”
and seide, Boond of pees is bitwixe me and thee, and my fadir and thi fadir hadden acordyng; wherfor Y sente to thee siluer and gold, that whanne thou hast broke the boond of pees, which thou hast with Baasa, king of Israel, thou make hym to go awei fro me.
4 Ben Hadadi akamsikiliza mfalme Asa na kutuma maakida wa majeshsi dhidi ya miji ya Israeli. Wakavamia Iyoni, Dani, Abelimaimu, na miji yoye ya kuhifadhia ya Naftali.
And whanne this was foundun, Benadab sente princes of hise oostis to the citees of Israel, whiche smytiden Ahion, and Dan, and Abelmaym, and alle the wallid citees of Neptalym.
5 Ikawa kwamba Baasha aliposikia hili, akaacha kuujenga Rama, na akaistisha kazi yake.
And whanne Baasa hadde herd this, he ceesside to bilde Rama, and left his werk.
6 Kisha Asa mfalme akawachukua Yuda wote pamoja naye. Wakayabeba mawe na mbao za Rama ambazo Baasha alikuwa anajengea ule mji. Kisha Mfalme Asa alitumia vifaa hivyo vya ujenzi kwa ajili ya kuijenga Gaba na Mispa.
Forsothe kyng Asa took al Juda, and thei token fro Rama the stonys and trees, whiche Baasa hadde maad redi to bildyng; and he bildide of tho Gabaa, and Maspha.
7 Wakati huo Hanani mwonaji akaenda kwa Asa, mfalme wa Yuda, na akamwambia, “Kwa sababu umemtegemea mfalme wa Aramu, na hukumtegemea Yahwe Mungu wako, jeshi la mfalme wa Aramu limetoroka nje ya mikono yako.
In that tyme Anany, the profete, cam to Asa, kyng of Juda, and seide to hym, For thou haddist trist in the kyng of Sirie, and not in `thi Lord God, herfor the oost of `the kyng of Sirie aschapide fro thin hond.
8 Waethiopia na Walubi hawakuwa jesi kubwa, wenye magari mengi na wapanda farasi wengi? Na bado, kwa sababau ulimtegemea Yahwe, alikupa ushindi juu yao.
Whether `Ethiopiens and Libiens weren not many mo in charis, and knyytis, and ful greet multitude; whiche whanne thou haddist bileuyd to the Lord, he bitook in to thin hondis?
9 Kwa maana macho ya Yahwe hukimbia kila mahali katika dunia yote, ili kwamba ajioneshe mwenyewe shujaa kwa niaba ya wale amabao mioyo yao ni mikamilifu kumwelekea yeye. Lakini umetenda kipumbavu katika jambo hili. Kwa maana tangu sasa na kuendelea, utakuwa na vita.” Kisha Asa akamkasirikia mwonaji, akamuweka gerezani, kwa maana alikuwa na hasira naye juu ya jambao
For the iyen of the Lord biholden al the erthe, and yyuen strengthe to hem, that with perfit herte bileuen in to hym. Therfor thou hast do folili, and for this, yhe, in present tyme batels schulen rise ayens thee.
10 hili. Wakati huo huo, aliwagandamiza baadhi ya watu
And Asa was wrooth ayens the prophete, and comaundide hym to be sent in to stockis. Forsothe the Lord hadde indignacioun greetli on this thing, and killide ful many of the puple in that tyme.
11 Tazma, matendo ya Asa, kutoka mwanzo hadi mwisho, tazama, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.
Sotheli the firste and the laste werkis of Asa ben writun in the book of kyngis of Juda and of Israel.
12 Katika mwaka wa thelathini na tisa wa utawala wake, Asa alipata ugnjwa kwenye miguu yake; ugonjwa wake ulikuwa mkali sana. Hata hivyo, hakutafuta msaada kutoka kwa Yahwe, lakini kutoka kwa waganga tu.
Forsothe Asa was sijk ful gretli in the akynge of feet, in the nyne and thrittithe yeer of his rewme; and nether in his sikenesse he souyte the Lord, but tristide more in the craft of lechis.
13 Asa akalala pamoja na babu zake; alikufa katika mwaka wa arobaiani na moja wa utawala wake. Wakamzika katika kaburi lake, ambalo alilichimba mwenyewe katika mji wa Daudi.
And Asa slepte with hise fadris, and he was deed in the oon and fourtithe yeer of his rewme.
14 Walimlaza juu ya kitanda kilichokuwa kimewekewa manukato na aina mbali mbali ya dawa zilizotayarishwa na wale mafundi wa manukato. KIsha wakatengeneza moto kwa heshima yake.
And thei birieden him in his sepulcre, which he hadde maad to hym silf in the cytee of Dauid; and thei puttiden hym on his bed ful of swete smellynge spices and oynementis of hooris, that weren `maad togidere bi the craft of oynement makeris, and thei brenten on hym with ful greet cost.

< 2 Nyakati 16 >