< 2 Nyakati 15 >

1 Roho ya Mungu ikaja juu ya Azaria mwana wa Odedi.
Immay ti espiritu ti Dios kenni Azarias a putot ni Obed.
2 Akaenda nje kukutana na Asa na akamwambia, “Nisikilize, Asa, na Yuda wote na Benyamini: Yahwe yuko pamoja nanyi, pale mnapokuwa naye. Kama mtamtafuta, mtampata; lakini kama mtamsahau, atawasahau ninyi.
Napanna sinabat ni Asa ket kinunana kenkuana, “Dumngegka kaniak Asa, ken dagiti amin a tattao ti Juda ken Benjamin: Adda kadakayo ni Yahweh, kabayatan iti kaaddayo kenkuana. No sapulenyo isuna, masarakanyonto isuna; ngem no tallikudanyo isuna, baybay-annakayonto.
3 Sasa kwa muda mrefu, Israeli hawakuwa na Mungu wa kweli, bila kuhani wa kufundisha, na bila sheria.
Ita, nabayag a tiempo nga awan iti Israel ti pudno a Dios, ken awan padi a mangisuro, ken awan linteg.
4 Lakini katika dhiki yao wakamrudia Yahwe, Mungu wa Israeli, na wakamtafuta, wakamta.
Ngem iti tiempo ti pannakaparigatda, nagsublida kenni Yahweh a Dios ti Israel, sinapulda isuna, ket nasarakanda.
5 Katika nyakati hizo hapakuwa na amani kwake aliyesafiri kwend mbali, wala kwake aliyesafiri kuja hapa; badala yake shsida kubwa zilikuwa juu ya wenyeji wote wa wanchi.
Kadagidiay a tiempo, awan talna iti tao nga agdaliasat iti sadinoman; ngem ketdi, adda nakaro a pannakariribuk kadagiti amin nga agnanaed kadagiti daga.
6 Waligawanyika vikundi vikundi, taifa dhidi ya taifa, na mji dhidi ya mji, kwa maana Mungu aliwapa shsida za kila aina ya kila mateso.
Narumekrumekda, nasion maibusor iti nasion, ken siudad maibusor iti siudad, ta riniribuk ida ti Dios babaen kadagiti amin a kita ti panagsagaba.
7 Lakini muwe hodari, na msiuache mkono wenu kuwa dhaifu, kwa maana kazi yen itapewa thawabu.”
Ngem bumilegkayo koma, ket saanyo nga ipalubos a kumapsut dagiti imayo, ta magunggonaanto ti trabahoyo.”
8 Asa aliposikia maneno haya, unabii wa odedi nabii, akajipa ujasiri na kuviondosha mbali vitu vya kuchukiza kutoka nchi yote ya Yuda na Benyamini, na kutoka miji yote aliyokuwa ameiteka kuanzia kilima cha nchi ya Efraimu, na akaijenga tena madhabahu ya Yahwe, ambayo ilikuwa mbele ya ukumbi wa nyumba ya Yahwe.
Idi nangngeg ni Asa dagitoy a sasao, a padto ni profeta Obed, timmured isuna ket inikkatna dagiti makarimon a banbanag iti amin a daga ti Juda ken Benjamin ken kadagiti siudad a sinakupna iti katurturodan a pagilian ti Efraim; ken tinarimaanna ti altar ni Yahweh nga adda iti sangoanan ti balkon ti balay ni Yahweh.
9 Akawakusanya Yuda wote na Benyamini, na wae waliokaa pamoja nao—watu wa kutoka Efraimu na Manase, na kutoka Simeoni. Kwa maana walikuja kwake katika hesabu kubwa kutoka Israeli, walipoona kwamba Yahwe Mungu wake alikuwa pamoja naye.
Inummongna dagiti amin a tattao iti Juda ken Benjamin, ken dagiti makipagnanaed kadakuada-dagiti tattao a nagtaud iti Efraim, Manases ken Simeon. Ta aduda a naggapu iti Israel a napan kenkuana, idi nakitada nga adda kenkuana ni Yahweh a Diosna.
10 Kwa hiyo wakakusanyika katika Yerusalemu katika mwezzi wa tatu, katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Asa.
Isu a naguummongda idiay Jerusalem iti maikatlo a bulan, iti maika-sangapulo ket lima a tawen a panagturay ni Asa.
11 Katika siku hiyo walimtolea Yahwe dhabihu baadhi ya nyara ambazo walikuwa wameleta; ng'mbe wa kulima mia saba na kondoo na mbuzi elfu saba.
Iti dayta nga aldaw, indatonda kenni Yahweh ti dadduma a sinamsamda nga awitda; pito gasut a bulog a baka ken pito ribu a karnero ken kalding.
12 Wakaingia kataika agano kwa ajili ya kumtafuta Yahwe, Mungu wa babau zao, kwa moyo wao wote na roho yao yote.
Nagaramidda iti katulagan a sapulenda ni Yahweh a Dios dagiti kapuonanda, iti amin a pusoda ken iti amin a kararuada.
13 Wakakubaliana kwamba yeyote atakepuuzia kumtafuta Yahwe, Mungu wa Israeli, atapaswa kuuawa, iwe mdogo ama mkubwa, iwe mwanaume ama mwanamke.
Immanamongda a siasinoman a saan a mangsapul kenni Yahweh a Dios ti Israel ket rumbeng a mapapatay, ubing man wenno nataengan, lalaki man wenno babai.
14 Wakaapa kwa Yahwe kwa sauti kubwa, kwa kelele, na kwa sauti za tarumbeta na baragumu.
Nagsapatada kenni Yahweh iti napigsa a timek, babaen iti panagpukpukkawda, ken babaen kadagiti trumpeta ken tangguyob.
15 Yuda wote wakakifurahia kile kiaapo. kwa maana walikuwa wameapa kwa moyo wao wote, na walimtafuta Mungu kwa nia yao yote, na walimuona. Yahwe akawapa amani pande zote.
Nagrag-o dagiti amin a tattao ti Juda gapu iti sapata, ta nagsapatada iti amin a pusoda, ken sinapulda ni Yahweh iti amin a tarigagayda; ket nasarakanda isuna. Inikkan ida ni Yahweh iti talna iti aglawlawda.
16 Pia akamwondoa Maaka, asiwe malikia, kwa sababu alikuwa amefanya sanamu ya kuchukiza ya Maashera. Asa akaivunja vunja sanamu ya kuchukiza, akaiweka kwenye mavumbi akaichoma moto huko kijitoni Kidroni.
Inikkatna pay ni Maaca, nga apongna a babai manipud iti kinareynana, gapu ta nagaramid isuna iti makarimon nga imahen ni Asera. Tinumba ni Asa ti makarimon nga imahen, binurakna sana pinuoran daytoy idiay waig ti Kidron.
17 Lakini sehemu za juu hazikuwa zimeondolewa nje ya Israeli. Vile vile, Moyo wa Asa ulijitoa kikamilifu siku zake zote.
Ngem saan a naikkat dagiti pagdaydayawan idiay Israel. Nupay kasta, naan-anay a napudno ti puso ni Asa kadagiti amin nga aldawna.
18 Akaleta kwenye nyumba ya Mungu vitu vya baba yake na vitu vyake mwenyewe vilivyokuwa vya Yahwe: vitu vya fedha na dhahabu.
Impanna iti balay ti Dios dagiti alikamen ti amana ken dagiti bukodna nga alikamen a kukua ni Yahweh: dagiti pirak ken balitok.
19 Hapakuwa na vita zaidi hadi miaka thelathini na mitano ya utawala wa Asa.
Awanen ti gubat agingga iti maika-35 a tawen a panagturay ni Asa.

< 2 Nyakati 15 >