< 2 Nyakati 10 >

1 Rehoboamu akaenda Shekemu, kwa maana Isaraeli wote walikuwa wanakauja Shekemu kwa ajili ya kumfanya yeye mfalme.
and to go: went Rehoboam Shechem [to] for Shechem to come (in): come all Israel to/for to reign [obj] him
2 Ikatokea kwamba Yeroboamu mwana wa Nebati akasikia haya (kwa maana alikuwa katika Misiri, ambako alikuw amekimbilia kutoka kwenye uwepo wa Mfalme Selemanai, lakini Yeroboamu akarudi kutoka Misiri).
and to be like/as to hear: hear Jeroboam son: child Nebat and he/she/it in/on/with Egypt which to flee from face Solomon [the] king and to return: return Jeroboam from Egypt
3 Kwa hiyo wakatuma na kumuita yeye, na Yeroboamu na Israeli wote wakaja; wakamwambia Rehoboamu na kusema,
and to send: depart and to call: call to to/for him and to come (in): come Jeroboam and all Israel and to speak: speak to(wards) Rehoboam to/for to say
4 “Baba yako aliifanya nira yetu ngumu. Kwa hiyo sasa, ifanye kazi ngumu ya baba yako kuwa rahisi, na ifanye nyepesi nira yako ambayo baba yako aliiweka juu yetu, na sisi tutakutumikia wewe.”
father your to harden [obj] yoke our and now to lighten from service father your [the] severe and from yoke his [the] heavy which to give: put upon us and to serve you
5 Rehoboamu akawaambia, “Njoni kwangu tena baada ya siku tatu.” Kwa hiyo watu wakaondoka.
and to say to(wards) them still three day and to return: again to(wards) me and to go: went [the] people
6 Mfalme Rehoboamu akaomba ushauri kwa wazee ambao walikuwa wamesimama mbele ya Selemani baba yake wakati alipokuwa hai; akasema, Mnanishauri niwape jibu gani watu hawa?”
and to advise [the] king Rehoboam with [the] old which to be to stand: stand to/for face: before Solomon father his in/on/with to be he alive to/for to say how? you(m. p.) to advise to/for to return: reply to/for people [the] this word
7 Wakasema kwake, Ikiwa wewe ni mwema kwa watu hawa na uwapendeze, na sema maneno mazuri kwao, basi siku zote watakuwa watumishi wako.”
and to speak: speak to(wards) him to/for to say if to be to/for pleasant to/for [the] people [the] this and to accept them and to speak: speak to(wards) them word pleasant and to be to/for you servant/slave all [the] day: always
8 Lakini Rehoboamu akapuuza ushauri wa wazee ambao walimpa, na akashauriana na wanauame vijana ambao walikuwa wa rika lake, ambao walisimama mbele yake.
and to leave: forsake [obj] counsel [the] old which to advise him and to advise with [the] youth which to magnify with him [the] to stand: stand to/for face: before his
9 Akawaamabia, “Mnanipa ushauri gani, ili kwamba niwajibu watu waliozungumza kwangu na kusema, “Ifanye nyepesi nira yako ambayo baba yako aliiweka juu yetu'?”
and to say to(wards) them what? you(m. p.) to advise and to return: reply word [obj] [the] people [the] this which to speak: speak to(wards) me to/for to say to lighten from [the] yoke which to give: put father your upon us
10 Wanaume vijana mabaoa walikuwa rika la Yeroboamu wakasema kwake, wakisema, “Hivi ndivyo utakavyosema kwa watu waliokuambia kwamba baba yako Selemani aliifanya nira yao nzito, lakini kwamba lazima uifanye nyepesi. Hivi ndivyo utakavyosema kwao, 'Kidole changu kidogo ni kinene kuliko kiuno cha baba yangu.
and to speak: speak with him [the] youth which to magnify with him to/for to say thus to say to/for people which to speak: speak to(wards) you to/for to say father your to honor: heavy [obj] yoke our and you(m. s.) to lighten from upon us thus to say to(wards) them little finger my to thicken from loin father my
11 Kwa hiyo sasa, ingawa babab yangu aliwatwika nira nzito, nitaiongeza nira yenu. Baba yangu aliwaadhibu kwa mijeredi, lakini nitawaadhibu kwa nge.”
and now father my to lift upon you yoke heavy and I to add upon yoke your father my to discipline [obj] you in/on/with whip and I in/on/with scorpion
12 Kwa hiyo Yeroboamu na watu wote wakaja kwa Rehoboamu katika siku ya tatu, kama aliavyosema mfalme, “Rudini kwangu katika siku ya tatu,”
and to come (in): come Jeroboam and all [the] people to(wards) Rehoboam in/on/with day [the] third like/as as which to speak: speak [the] king to/for to say to return: again to(wards) me in/on/with day [the] third
13 Yeroboamu akasema kwa kwao kwa ukatili, akiupuuza aushauri wa wazee.
and to answer them [the] king severe and to leave: forsake [the] king Rehoboam [obj] counsel [the] old
14 Akasema kwao akiufuata ushauri wa wanaume vijana, akisema, “Baba yangu aliifanya nira yenu nzito, lakini mimi nitaiongeza. Baba yangu aliwaadhibu kwa mijeredi, lakini mimi nitawaadhibu kwa nge.”
and to speak: speak to(wards) them like/as counsel [the] youth to/for to say to honor: heavy [obj] yoke your and I to add upon him father my to discipline [obj] you in/on/with whip and I in/on/with scorpion
15 Kwa hiyo mfalme hakuwasikiliza watu, kwa kuwa lilikuw tukio lililoletwa na Mungu, kwamba Yahwe aweze kulitimiza neno lake ambalo Ahiya Mshiloni alikuwa amemwambia Yeroboamu mwana wa Nebati.
and not to hear: hear [the] king to(wards) [the] people for to be turn from from with [the] God because to arise: rise LORD [obj] word his which to speak: speak in/on/with hand: by Ahijah [the] Shilonite to(wards) Jeroboam son: child Nebat
16 Israeli wote, walipoona kwamba mfalme hakuwasikiliza, watu wakamjibu na kusema, “Tunasehemu gani katika Daudi? Hatuna urith katika wana wa Yese! Kila mmoja wenu anapaswa kwenda katika hema yake, Israeli. Sasa kila mtu aone nyumba yake, Daudi.” Kwa hiyo Israeli wote wakarudi kwenye hema zao.
and all Israel for not to hear: hear [the] king to/for them and to return: reply [the] people [obj] [the] king to/for to say what? to/for us portion in/on/with David and not inheritance in/on/with son: child Jesse man: anyone to/for tent your Israel now to see: see house: household your David and to go: went all Israel to/for tent his
17 Lakini kwa watu wa Yuda walioishi katika miji ya Yuda, Yeroboamu akatawala juu yao.
and son: descendant/people Israel [the] to dwell in/on/with city Judah and to reign upon them Rehoboam
18 Kisha mfalme Rehoboamu akamtuma Adoramu, ambaye alikuwa msimamizi wa wafanya kazi, lakini watu wa Israeli walimuua kwa kumpiga mawe. Mfalame Rehoboamu akaingia haraka ndani ya gari lake kwenda Yerusalemu.
and to send: depart [the] king Rehoboam [obj] Hadoram which upon [the] taskworker and to stone in/on/with him son: descendant/people Israel stone and to die and [the] king Rehoboam to strengthen to/for to ascend: copulate in/on/with chariot to/for to flee Jerusalem
19 Kwa hiyo Israeli wakawa waasi dhidi ya nyumba ya Mungu hadi leo.
and to transgress Israel in/on/with house: household David till [the] day: today [the] this

< 2 Nyakati 10 >