< 1 Wathesalonike 2 >

1 Kwa kuwa ninyi wenyewe mnajua, ndugu, kuwa ujio wetu kwenu haukuwa wa bure.
Para vocês mesmos sabem, irmãos, nossa visita a vocês não foi em vão,
2 Mnajua kwamba mwanzoni tuliteseka na walitutenda kwa aibu kule Filipi, kama mujuavyo. Tulikuwa na ujasiri katika Mungu kunena injili ya Mungu hata katika taabu nyingi.
mas tendo sofrido antes e sido vergonhosamente tratados, como sabem, em Philippi, ousamos em nosso Deus contar-lhes a Boa Nova de Deus em muitos conflitos.
3 Kwa maana mahusia yetu hayatokani na ubaya, wala katika uchafu, wala katika hila.
Pois nossa exortação não é de erro, nem de impureza, nem de engano.
4 Badala yake, kama vile tulivyokubalika na Mungu na kuaminiwa injili, ndivyo tunenavyo. Tunanena, si kwa kuwafurahisha watu, lakini kumfurahisha Mungu. Yeye pekee ndiye achunguzaye mioyo yetu.
Mas mesmo que tenhamos sido aprovados por Deus para receber a Boa Nova, assim falamos - não como homens agradáveis, mas Deus, que testa nossos corações.
5 Kwa maana hatukutumia maneno ya kujipendekeza wakati wote wote, kama mjuavyo, wala ukutumia maneno kama kisingizio kwa tamaa, Mungu ni shahidi wetu.
Pois não fomos encontrados em nenhum momento usando palavras de bajulação, como você sabe, nem um manto de cobiça (Deus é testemunha),
6 Wala hatukutafuta utukufu kwa watu, wala kutoka kwenu au kwa wengine. Tungeweza kudai kupendelewa kama mitume wa Kristo.
nem buscando glória dos homens (nem de você nem de outros), quando poderíamos ter reivindicado autoridade como apóstolos de Cristo.
7 Badala yake tulikuwa wapole kati yenu kama mama awafarijivyo watoto wake mwenyewe.
Mas nós fomos gentis entre vocês, como uma mãe lactante cuida de seus próprios filhos.
8 Kwa njia hii tulikuwa na upendo kwenu. Tulikuwa radhi kuwashirikisha si tu injili ya Mungu bali pia na maisha yetu wenyewe. Kwa kuwa mmekuwa wapendwa wetu.
Mesmo assim, desejando carinhosamente por você, tivemos o prazer de lhe transmitir não somente a Boa Nova de Deus, mas também nossas próprias almas, porque você se tornou muito querido para nós.
9 Kwa kuwa ndugu, mnakumbuka kazi na taabu yetu. Usiku na mchana tulikuwa tukifanya kazi kusudi tusije tukamlemea yeyote. Wakati huo, tuliwahubiria injili ya Mungu.
Para vocês se lembram, irmãos, de nosso trabalho e trabalho; para trabalhar noite e dia, para não sobrecarregar nenhum de vocês, nós lhes pregamos a Boa Nova de Deus.
10 Ninyi ni mashahidi, na Mungu pia, ni kwa utakatifu wa namna gani, haki, na bila lawama tulivyoenenda wenyewe mbele yenu mnaoamini.
Vós sois testemunhas com Deus de quão santos, justos e irrepreensíveis nos comportamos para com vocês que acreditam.
11 Vivyo hivyo, mnajua ni kwa namna gani kwa kila mmoja wenu, kama baba alivyo kwa wanawe tulivyowahimiza na kuwatia moyo. Tulishuhudia
Como vocês sabem, nós exortamos, confortamos e imploramos a cada um de vocês, como um pai faz com seus próprios filhos,
12 kwamba mlipaswa kuenenda kama ulivyo mwito wenu kwa Mungu, aliyewaita kwenye ufalme na utukufu wake.
para que caminhem dignamente de Deus, que os chama para seu próprio Reino e glória.
13 Kwa sababu hiyo twamshukuru Mungu pia kila wakati. Kwa kuwa wakati mlipo pokea kutoka kwetu ujumbe wa Mungu mliosikia, mlipokea si kama neno la wanadamu. Badala yake, mlipokea kama kweli ilivyo, neno la Mungu. Ni neno hili ambalo linalofanya kazi kati yenu mnaoamini.
Por esta causa também agradecemos a Deus sem cessar que, quando você recebeu de nós a palavra de Deus, você a aceitou não como a palavra dos homens, mas como é na verdade, a palavra de Deus, que também funciona em você que acredita.
14 Kwa hivyo ninyi, ndugu, muwe watu wa kuiga makanisa ya Mungu yaliyoko katika Uyahudi katika Kristo Yesu. Kwa kuwa ninyi pia mliteseka katika mambo yale yale kutoka kwa watu wenu, kama ilivyo kuwa kutoka kwa wayahudi.
Para vocês, irmãos, tornaram-se imitadores das assembléias de Deus que estão na Judéia em Cristo Jesus; pois vocês também sofreram as mesmas coisas de seus próprios compatriotas, assim como eles sofreram dos judeus
15 walikuwa ni Wayahudi ndiyo waliomuua Bwana Yesu pamoja na manabii. Ni Wayahudi ambao walitufukuza tutoke nje. Hawampendezi Mungu na ni maadui kwa watu wote.
que mataram tanto o Senhor Jesus quanto seus próprios profetas, e nos expulsaram, e não agradam a Deus, e são contrários a todos os homens,
16 Walituzuia tusiseme na Mataifa ili wapate kuokolewa. Matokeo yake ni kwamba wanaendelea na dhambi zao. Mwisho ghadhabu imekuja juu yao.
proibindo-nos de falar aos gentios para que eles possam ser salvos, para encher seus pecados sempre. Mas a ira chegou sobre eles até o extremo.
17 Sisi, ndugu, tulikuwa tumetengana nanyi kwa muda mfupi, kimwili, si katika roho. Tulifanya kwa uwezo wetu na kwa shauku kuu kuona nyuso zenu.
Mas nós, irmãos, sendo enlutados por uma curta temporada na presença, não no coração, tentamos ainda mais ver seu rosto com grande desejo,
18 Kwa kuwa tulitaka kuja kwenu, mimi Paulo, kwa mara moja na mara nyingine, lakini shetani alituzuia.
porque queríamos ir até você - eu, Paulo, uma e outra vez - mas Satanás nos impediu.
19 Kwa kuwa kujiamini kwetu ni nini kwa baadaye, au furaha, au taji ya kujivunia mbele za Bwana wetu Yesu wakati wa kuja kwake? Je si ninyi zaidi kama walivyo wengine?
Para que nossa esperança, ou alegria, ou coroa de regozijo? Não é mesmo você, diante de nosso Senhor Jesus em sua vinda?
20 Kwa kuwa ninyi ni utukufu na furaha yetu.
Pois vós sois nossa glória e nossa alegria.

< 1 Wathesalonike 2 >