< 1 Samweli 8 >

1 Samweli alipozeeka, aliwaweka watoto wake wawe waamuzi juu ya Israeli.
Forsothe it was don, whanne Samuel hadde wexide eld, he settide hise sones iugis on Israel.
2 Mtoto wake wa kwanza aliitwa Yoeli, na mtoto wake wa pili aliitwa Abiya. Hawa walikuwa waamuzi katika Bersheba.
And the name of his firste gendrid sone was Johel, and the name of the secounde was Abia, iugis in Bersabee.
3 Watoto wake hawakuenenda katika njia za baba yao, bali walipiga mbio kutafuta mapato ya udhalimu. Walipokea rushwa na na kupotosha hukumu.
And hise sones yeden not in `the weies of hym, but thei bowiden after aueryce, and thei token yiftis, and peruertiden doom.
4 Ndipo wazee wote wa Israeli walikutana pamoja na kumwendea Samweli huko Rama.
Therfor alle the grettere men in birthe of Israel weren gaderid, and camen to Samuel in to Ramatha.
5 Wakamwambia, “Angalia, wewe umekuwa mzee, na watoto wako hawaenendi katika njia zako. Tuchagulie mfalme wakutuamua kama yalivyo mataifa yote.”
And thei seiden to hym, Lo! thou hast wexid eld, and thi sones goen not in thi weies; ordeyne thou a kyng to vs, `that he deme vs, as also alle naciouns han.
6 Lakini haikumpendeza Sameli waliposema, “Utupatie mfalme wa kutuamua.” Hivyo akamwomba BWANA.
And the word displeside in the iyen of Samuel, for thei hadden seid, Yyue thou to vs a kyng, that he deme vs. And Samuel preiede to the Lord.
7 Na BWANA akamwambia Samweli, “Sikiliza sauti ya watu kwa kila jambo wanalokwambia; kwa sababu hwajakukataa wewe, bali wamenikataa mimi nisiwe mfalme wao.
Forsothe the Lord seide to Samuel, Here thou the vois of the puple in alle thingis whiche thei speken to thee; for thei han not caste awey thee, but me, that Y regne not on hem.
8 Sasa wanafanya kama vile walivyotenda tangu siku ile nilipowatoa huko Misri, kwa kuniacha, na kuwatumikia miungu mingine, na ndivyo hivyo pia wanakufanyia na wewe.
Bi alle her werkis whiche thei diden, fro the day in whiche Y ledde hem out of Egipt `til to this dai, as thei forsoken me, and seruyden alien goddis, so thei doon also to thee.
9 Basi sasa uwasikilize; lakini uwaonye sawasawa na uwafahamishe tabia ya mfalme atakaye waongoza.
Now therfor here thou her vois; netheles witnesse thou to hem; biforseie thou to hem the riyt of the kyng, that schal regne on hem.
10 Kwa hiyo Samweli akawaambia watu waliokuwa wakiomba mfalme maneno yote ya BWANA.
Therfor Samuel seide alle the wordis of the Lord to the puple, that hadde axid of him a king; and he seide,
11 Akasema, “Hivi ndivyo jinsi mfalme atakavyowatawala.
This schal be the `riyt of the kyng, that schal comaunde to you; he schal take youre sones, and schal sette in hise charis;
12 Atawachukua watoto wenu wa kiume na kuwaweka juu ya magari ya vita na kuwa wapanda farasi wake, na kukimbia mbele ya magari yake. Atawaweka ma- kapteni wake juu ya maelfu ya askari, na ma-kapteni juu ya askari hamsini. Wengine atawafanya wakulima wamashamba yake, wengine wavunaji wa mazao yake, wengine watatengeneza silaha zake na zana za magari yake.
and he schal make hem `to hym silf rideris, and biforegoeris of hise cartis; and he schal ordeyne to hym tribunes, `that is, souereyns of a thousynd, and centuriouns, `that is, souereyns of an hundrid, and eereris of hise feeldis, and reperis of cornes, and smythis of hise armeris, and charis.
13 Naye atawachukua binti zenu kuwa watengeneza manukato, wapishi, na waoka mikate.
Also he schal make youre douytris makeris of `oynementis to hym silf, and fueris, and bakeris.
14 Atachukua mashamba yenu mazuri, mashamba ya mizabibu, na yale ya mizeituni na kuwapa watumishi wake.
And he schal take youre feeldis and vyneris and the beste places of olyues, and schal yyue to hise seruauntis.
15 Atachukua moja ya kumi ya nafaka zenu na mizabibu na na kuwapa maofisa na watumishi wake.
But also he schal take the tenthe part of youre cornes, and rentis of vyneris, that he yyue to his chaumberleyns and seruauntis.
16 Atawachukua watumwa wenu na wajakazi wenu na vijana wenu waliowazuri na punda wenu; atawatumikisha wote kwa ajili yake.
Sotheli he schal take awey youre seruauntis and handmaydes, and beste yong men, and assis, and schal sette in his werk.
17 Atawatoza moja ya kumi ya mifugo yenu, na mtakuwa watumwa wake.
Also he schal take the tenthe part of youre flockis, and ye schulen be `seruauntis to hym.
18 Ndipo mtalia siku ile kwa sababu ya mfalme wenu mliyemchagua kwa ajili yenu; lakini siku ile BWANA hatawajibu
And ye schulen crye in that dai fro the face of youre kyng, whom ye han chose to you; and the Lord schal not here you in that dai; for ye axiden a kyng to you.
19 Lakini watu walikataa kumsikiliza Samweli; wakasema, “Hapana!” Lazima awepo mfalme juu yetu.
Sotheli the puple nolde here the vois of Samuel, but thei seiden, Nay for a kyng schal be on vs;
20 Ili tuweze kuwa kama mataifa mengine yote, na hivyo mfalme wetu aweze kutuamua na atoke mbele yetu na atupiganie vita yetu.
and we also schulen be as alle folkis, and oure kyng schal deme vs, and he schal go out bifor vs, and he schal fiyte oure batel for vs.
21 Naye Samweli aliposikia maneno yote ya watu, akayarudia katika masiko ya BWANA.
And Samuel herde alle the wordis of the puple, and `spak tho in the eeris of the Lord.
22 BWANA akamwambia Samweli, “Sikiliza sauti yao na uwafanyie mfalme.” Hivyo Samweli akawaambia watu wa Israeli, “Kila mtu na arudi mjini kwake.”
Forsothe the Lord seide to Samuel, Here thou `the vois of hem, and ordeyne thou a kyng on hem. And Samuel seide to the men of Israel, Ech man go in to his citee.

< 1 Samweli 8 >