< 1 Samweli 10 >
1 Ndipo Samweli akachukua chupa ya mafuta, akayamimina juu ya kichwa cha Sauli, na akambusu. Akasema, “Je, Mungu hajakutia mafuta uwe mtawala juu ya urithi wake?
Tada Samuel uze uljanicu s uljem te je izli na glavu Šaulu; zatim ga poljubi i reče: “Ovim te Jahve pomazao za kneza nad svojim narodom Izraelom. Ti ćeš vladati nad narodom Jahvinim i izbavit ćeš ga iz ruke njegovih neprijatelja unaokolo. I evo ti znaka da te Jahve pomazao za kneza nad svojom baštinom.
2 Utakapoondoka kwangu leo, utawaona wanaume wawili na kaburi la Raheli, katika nchi ya Benyamini hapo Selsa. Watu hao watakuambia, 'Wale punda mliokuwa mkiwatafuta wamepatikana. Sasa, Baba yako ameacha kuwatunza punda, na ana hofu juu yenu, anasema, “Nitafanya nini kuhusu mwanangu?”
Kad odeš sada od mene, naći ćeš dva čovjeka kod Rahelina groba, na granici zemlje Benjaminove, u Selsahu. Oni će ti reći: 'Našle su se magarice koje si pošao tražiti; i gle, tvoj je otac zaboravio na magarice, a zabrinut je za vas i govori: Što da učinim za svoga sina?'
3 Kisha utakwenda mbele kutoka hapo, na utafika katika mwaloni wa Tabori. Utakutana na watu watatu hapo wakienda kwa Mungu huko Betheli, mmoja akibeba wana-mbuzi watatu, mwingine akibeba mikate mitatu, na mwingine akibeba kiriba cha divai.
A kad odeš odande dalje i dođeš do Taborskog Hrasta, srest ćeš ondje tri čovjeka koja će ići gore k Bogu u Betel. Jedan će nositi tri jareta, drugi tri okrugla kruha, a treći mijeh vina.
4 Watawasalimu na watawapatia mikate miwili, kutoka mikononi mwao.
Oni će te pozdraviti i dat će ti dva kruha, a ti ih primi iz njihove ruke.
5 Baada ya hayo, utafika katika mlima wa Mungu, mahali ilipo ngome ya Wafilisti. Utakapofika mjini, utakutana na kundi la manabii wakiteremka chini kutoka mahali pa juu wakiwa na kinanda, tari, kinubi na filimbi mbele yao; na watakuwa wakitabiri.
Poslije toga doći ćeš u Gibeu Božju (gdje se nalazi filistejski stup). Kad uđeš u grad, namjerit ćeš se na povorku proroka koji će silaziti s uzvišice, a pred njima harfe, bubnjevi, frule i citre; oni će biti u proročkom zanosu.
6 Roho ya BWANA itakujaza, nawe utatabiri pamoja nao, na utabadilishwa na kuwa mtu tofauti.
Tada će na te sići duh Jahvin te ćeš pasti u proročki zanos s njima i promijenit ćeš se u drugog čovjeka.
7 Basi, ishara hizi zikikufikia, fanya lolote ambalo mikono yako itaona ifanye, kwa sababu Mungu yu pamoja nawe.
A kad ti se ispune ti znakovi, onda čini kako ti se prilika pruži jer je Bog s tobom.
8 Nenda ushuke mbele yangu hadi Gilgali. Kisha nitakufuata huko nitoe dhabihu za kuteketezwa na kutoa dhabihu za amani. Nisubiri kwa muda wa siku saba hadi nije kwako na nikuoneshe unachopaswa kufanya.”
Zatim ćeš sići preda mnom u Gilgal i ja ću sići k tebi da prinesem žrtve paljenice i žrtve pričesnice. Sedam dana čekaj dok ne dođem k tebi i ne poučim te što ćeš činiti.”
9 Sauli alipotega mgongo amuache Samweli, Mungu akampa moyo mwingine. Ndipo ishara zote hizi zikatimia siku hiyo.
Čim je Šaul okrenuo leđa da ode od Samuela, Bog mu promijeni srce i svi se oni znakovi ispuniše u onaj dan.
10 Walipofika mlimani, kundi la manabii lilikutana naye, na Roho ya Mungu ikamjilia kwa nguvu ili atabiri pamoja nao.
Kad su, naime, došli u Gibeu, gle, dođe mu u susret povorka proroka i duh Božji siđe na njega te on pade u proročki zanos usred njih.
11 Kila mtu aliyemfahamu kabla hajamwona akitabiri pamoja na manabii, watu waliambizana wao kwa wao:”Kitu gani kimempata mtoto wa Kishi? Hivi Sauli ni mmoja wa manabii siku hizi?”
I kad su ga svi koji ga poznavahu otprije vidjeli gdje prorokuje s prorocima, počeše govoriti jedan drugome: “Što se to dogodilo sa sinom Kiševim? Zar je Šaul među prorocima?”
12 Mtu mmoja kutoka eneo hilo akajibu, “Na ni nani baba yao?” Kwa sababu ya jambo hili, ukawapo msemo, “Hivi Sauli naye ni mmoja wa manabii?”
A jedan od njih odvrati i reče: “A tko je njihov otac?” Otuda je nastala poslovica: “Zar je i Šaul među prorocima?”
13 Alipomaliza kutabiri, akafika mahali pa juu.
Kad je prošao njegov zanos, Šaul se vrati kući.
14 Ndipo baba yake mdogo na akamuuliza Sauli na mtumishi wake, “Mlienda wapi?” Naye akamjibu, “Kuwatafuta punnda; tulipoona kwamba hatuwezi kuwapata, tukaenda kwa Samweli.”
A Šaulov stric upita njega i njegova momka: “Kamo ste išli?” A Šaul odgovori: “Da tražimo magarice; a kad smo vidjeli da ih nema, otišli smo k Samuelu.”
15 Baba yake mdogo akasema, “Tafadhali niambie kile alichosema kwako Samweli,”
A njegov ga stric zamoli: “Pripovijedaj mi što vam je rekao Samuel.”
16 Sauli akamjibu baba yake mdogo, “Alituambia waziwazi kwamba punda wamepatikana.” Lakini kuhusu swala la ufalme alilosema Samweli hakumwambia.
A Šaul odgovori svome stricu: “Rekao nam je da su se našle magarice.” Ali mu ništa ne reče o kraljevskoj časti koju mu je prorekao Samuel.
17 Basi Samweli aliwaita watu pamoja huko Mispa.
Poslije toga Samuel sazva narod pred Jahvu u Mispu
18 Akwaambia watu wa Israeli, “Hivi ndivyo BWANA, Mungu wa Israeli asemavyo: 'Niliwatoa Israeli kutoka Misri, na niliwaokoa kutoka nchi ya Wamisri, na kutoka mkono wa falme zote zilizowaonea.'
i reče sinovima Izraelovim: “Ovako govori Jahve: 'Ja sam izveo Izraela iz Egipta i izbavio sam vas iz egipatske ruke i iz ruke svih kraljevstava koja su vas tlačila.
19 Lakini leo mmemkataa Mungu wenu, awaokoaye kutoka kwenye majanga na mahangaiko; na mmemwambia, ' Tuwekee mfalme juu yetu; Sasa jihudhurisheni wenyewe mbele za BWANA kwa kabila na jamaa zenu.”
A vi ste danas odbacili svoga Boga, onoga koji vas je izbavljao od svih vaših zala i svih vaših nevolja i rekli ste mu: 'Ne, nego postavi kralja nad nama!' Zato sada stanite pred Jahvom po svojim plemenima i rodovima.'”
20 Kisha Samweli akawaleta kabila zote za Isareli karibu, na kulichagua kabila la Benyamini.
Potom Samuel privede sva plemena Izraelova i ždrijeb pade na pleme Benjaminovo.
21 Akawasogeza karibu kabila la Benyamini kwa kufuata jamaa zao; na jamaa ya Wamatri ikachaguliwa; na Sauli mwana wa Kishi akachaguliwa. Lakini walipokwenda kumtafuta, hakuweza kuonekana.
Zatim privede pleme Benjaminovo po rodovima i ždrijeb pade na Matrijev rod; a kad privede Matrijev rod, čovjeka po čovjeka, ždrijeb pade na Šaula, sina Kiševa; ali kad ga potražiše, na nađoše ga.
22 Kisha watu walitaka kumuuliza Mungu maswali zaidi, “Bado yupo mtu mwingine ajaye?” BWANA akajibu, “Yeye mwenyewe kajificha kwenye mizigo.”
Tada još jednom upitaše Jahvu: “Je li taj čovjek došao ovamo?” A Jahve odgovori: “Eno ga, sakrio se za tovarom.”
23 Wakaenda mbio na kumleta Sauli kutoka humo. Aliposimama kati yao, alikuwa mrefu kuliko watu wote kuanzia mabega yake kwenda juu.
Otrčaše i dovedoše ga odande; a kad je stao usred naroda, bijaše glavom i ramenima viši od sviju.
24 Kisha Samweli akawaambia watu, “Je, mnamuona mtu ambaye BWANA amemchagua? Hakuna mtu kama yeye kati ya watu wote.” Watu wote wakapiga Kelele, “Mfalme na aishi”
Tada Samuel reče svemu narodu: “Vidite li koga je izabrao Jahve? Nema mu ravna u svemu narodu.” I sav narod uze klicati i vikati: “Živio kralj!”
25 Ndipo Samweli akawaambia watu desturi na sheria za ufalme, akaziandika katika kitabu, na kuziweke mbele za BWANA. Baadaye Samweli akawaruhusu watu waondoke kila mtu aende nyumbani kwake.
Nato Samuel objavi narodu kraljevsko pravo i zapisa ga u knjigu koju položi pred Jahvu. Najposlije Samuel otpusti sav narod da ide svaki svojoj kući.
26 Sauli pia alienda nyumbani kwake huko Gibea, akiwa na baadhi ya watu wenye nguvu, wenye mioyo iliyoguswa na Mungu.
Šaul se također vrati kući u Gibeu, a s njim pođoše junaci kojima je Bog taknuo srce.
27 Lakini baadhi ya watu wasiofaa walisema, “Huyu mtu atatuokoaje?” Watu hawa walimdharau Sauli na hawakumletea zawadi zozote. Lakini Sauli alinyamaza kimya.
Ali neke ništarije rekoše: “Kako će nas taj spasiti?” I prezreše ga i ne donesoše mu nikakva dara.