< 1 Wakorintho 7 >

1 Kuhusu mambo mliyoniandikia: Kuna wakati ambapo ni vizuri mwanaume asilale na mke wake.
Lino ndakumbulunga makani ngomwalanjipusha mukalata yenu. Ee, caina mutuloba kubula kweba.
2 Lakini kwa sababu ya majaribu mengi ya zinaa kila mwanaume awe na mkewe, na kila mwanamke awe na mmewe.
Nomba pacebo cakufula kwabupombo, anu mutuloba uliyense abe ne mukashendi enka, nendi mutukashi abe nemulume wakendi enka.
3 Mume anapaswa kumpa mke haki yake ya ndoa, na vile vile mke naye kwa mmewe.
Mutuloba akwanilishe ncito njabela mutuloba mung'anda, nendi mutukashi akwanilishe ncito njabela mutukashi mung'anda.
4 Si mke aliye na mamlaka juu ya mwili wake, ni mme. Na vile vile, mme naye hana mamlaka juu ya mwili wake, bali mke anayo.
Mukashi liya ngofu pamubili wakendi sobwe, nsombi mulume eukute ngofu. Nendi mulume liya ngofu pamubili wakendi sobwe, nsombi mukashendi eukute ngofu.
5 Msinyimane mnapolala pamoja, isipokuwa mmekubaliana kwa muda maalum. Fanyeni hivyo ili kupata muda wa maombi. Kisha mnaweza kurudiana tena pamoja, Ili kwamba Shetani asije akawajaribu kwa kukosa kiasi.
Kamutakanishanga mibili yenu mung'anda. Ee ngacibeco namunyumfwana kwinseco kwa kacindi kang'ana, kwambeti mushe mano kukupaila. Panyuma pakendi ingamupitilisha kuyabilana mibili kwambeti Satana katamwelekeshani pacebo cakutekata myoyo kwenu.
6 Lakini nasema haya mambo kwa hiari na si kama amri.
Ncendambanga nikumusuminishowa, nteko kumutinga panshingo sobwe.
7 Natamani kila mmoja angekuwa kama mimi nilivyo. Lakini kila mmoja ana karama yake kutoka kwa Mungu. Huyu ana karama hii, na yule ana karama ile.
Ninganyanda kwambeti bantu bonse nshinga nibalyeti njame, nomba Lesa walapa muntu uliyense cipo cakendi, naumbi cipo camushobo uyu, kayi naumbi cipo camushobo usa.
8 Kwa wasioolewa na wajane ninasema kwamba, ni vizuri kwao kama wakibaki bila kuolewa, kama nilivyo mimi.
Lino kuli babula kweba ne bamukalubingi, ndambanga ndeti bapitilishe kwikala bonka mbuli ame ncondekalanga.
9 Lakini kama hawawezi kujizuia, wanapaswa kuolewa. Kwa kuwa heri kwao kuolewa kuliko kuwaka tamaa.
Nomba nankabela kucikonsha kulukanisha lunkumbwa lwabo, anu kabebani pakwinga caina kweba kupita kupenga nelunkumbwa.
10 Sasa kwa wale walioolewa nawapa amri, si mimi bali ni Bwana. “Mke asitengane na mme wake.”
Kuli bantu bebana, mulawo ngondamupanga wabula kuba wakame nsombi ulafumunga ku Mwami nuwu, mukashi kataleka mulume.
11 Lakini kama akijitenga kutoka kwa mmewe, abaki hivyo bila kuolewa au vinginevyo apatane na mmewe. Na “Mme asimpe talaka mke wake.”
Na umuleka mulume, kekalani mushike mpani ngaubweshana nemulume. Neye mulume kataleka mukashendi.
12 Lakini kwa waliobaki, nasema- mimi, si Bwana- kwamba kama ndugu yeyote ana mke asiyeamini na anaridhika kuishi naye, hapaswi kumwacha.
Kuli nabambi nteye Mwami lambanga nsombi njame. Muklistu weba mukashi wakunsa, nomba namukashi usumina kupitilisha kwikala nemulume, mulume katamuleka mukashendi.
13 Kama mwanamke ana mme asiyeamini, na kama anaridhika kuishi naye, asimwache.
Cimocimo mukashi muklistu webwa kumulume wakunsa, nomba uyo mulume usumina kupitilisha kwikala ne mukashendi, mukashi katamuleka mulume.
14 Kwa mme asiyeamini anatakaswa kwa sababu ya imani ya mkewe. Na mwanamke asiyeamini anatakaswa kwa sababu ya mmewe aaminiye. Vinginevyo watoto wenu wangekuwa si safi, lakini kwa kweli wametakaswa.
Pakwinga mulume wakunsa ukute kuba waswepa kuli Lesa cebo ca mukashendi Muklistu. Nendi mukashi wakunsa ukute kuba waswepa cebo camulume Muklistu. Necalabula kubeco, nshinga bana benu nebabula kuba baswepa, nomba lino mbuli ncocibele, bana benu bakute kuba baswepa.
15 Lakini mwenzi asiyeamini akiondoka na aende. Kwa namna hiyo, kaka au dada hafungwi na viapo vyao. Mungu ametuita tuishi kwa amani.
Nomba nawakunsa layanda kuleka muklistu, amuleke. Palico muklistu mutuloba nambi mutukashi wasunguluka. Lesa walamukuwa kwambeti mwikale ne buyumi bwa lumuno.
16 Unajuaje kama mwanamke, huenda utamwokoa mmeo? Au unajuaje kama mwanaume, huenda utamwokoa mkeo?
Obe mukashi muklistu ucinshi econi kwambeti nukamupulushe mulume? Nenjobe mulume muklistu ucinshi econi kwambeti nukamupulushe mukashobe?
17 Kila mmoja tu aishi maisha kama Bwana alivyowagawia, kila mmoja kama Mungu alivyowaita wao. Huu ni mwongozo wangu kwa makanisa yote.
Nikukabeco lekani uliyense ekale mubwikalo mbwalapewa ne Mwami Yesu, mbuli ncomwalikuba Lesa mpwalamukuwa. Iyi emilawo njonkute kwiyisha mumibungano yonse.
18 Yupo aliyekuwa ametahiriwa alipoitwa kuamini? Asijaribu kuondoa alama ya tohara yake. Yupo yeyote aliyeitwa katika imani hajatahiriwa? Hapaswi kutahiriwa.
Namuntu lakwiwa ne Lesa kaliwapalulwa kendi, katasoleka kubeti nkapalulwa. Nicimocimo namuntu nkali kuba wapalulwa pacindi Lesa mpwalamukuwa katapalulwa sobwe.
19 Kwa hili aidha ametahiriwa wala asiye tahiriwa hakuna matatizo. Chenye matatizo ni kutii amri za Mungu.
Nambi muntu wapalulwa nambi wabula kupalulwa paliya cilipo sobwe. Nsombi cilayandikinga ni kunyumfwila Milawo ya Lesa.
20 Kila mmoja abaki katika wito alivyokuwa alipoitwa na Mungu kuamini.
Muntu uliyense apitilishe kwikala mbuli ncalikuba cindi ncalakwiwa ne Lesa.
21 Ulikuwa mtumwa wakati Mungu alipokuita? Usijali kuhusu hiyo. Lakini kama unaweza kuwa huru, fanya hivyo.
Sena mwalikuba basha cindi ncalamukuwa Lesa? Kamutapenga! Nomba na mukuteko colwe ca kusunguluka sebenseshani colwe cilico.
22 Kwa mmoja aliyeitwa na Bwana kama mtumwa ni mtu huru katika Bwana. Kama vile, mmoja aliye huru alipoitwa kuamini ni mtumwa wa Kristo.
Pakwinga muntu walikuba musha cindi Mwami ncalamukuwa, muntuyo kuli Mwami wasunguluka. Cimocimo uyo walikuba wasunguluka cindi Mwami ncalamukuwa nimusha wakendi Klistu.
23 Mmekwisha nunuliwa kwa thamani, hivyo msiwe watumwa wa wanadamu.
Lesa walamuula ne mulo wapelu, neco kamutabanga basha babantu.
24 Kaka na dada zangu, katika maisha yoyote kila mmoja wetu tulipoitwa kuamini, tubaki kama vile.
Mobanse uliyense apitilishe kwikala pamenso pa Lesa kwelana mbuli ncalikuba cindi ncalamukuwa Lesa.
25 Sasa, wale wote ambao hawajaoa kamwe, sina amri kutoka kwa Bwana. Lakini nawapa maoni yangu kama nilivyo. Kwa huruma za Bwana, zinazo aminika
Lino kwamba pa makani abatana beba ne kwebwa ngomwalalemba, ndiya mulawo wa Mwami sobwe. Nsombi ndamwambilinga kwelana ne kuyeya kwakame pakuba muntu washomeka muluse lwa Mwami.
26 Kwa hiyo, ninafikiri hivyo kwa sababu ya usumbufu, ni vyema mwanaume abaki kama alivyo.
Pakuyeya shamakatasho alipepi kwinshika, ndayeyengeti caina muntu apitilishe kwikala mbuli ncabele.
27 Umefungwa kwa mwanamke na kiapo cha ndoa? Usitake uhuru kutoka kwa hiyo. Una uhuru kutoka kwa mke au hujaolewa? Usitafute mke.
Sena ukute mukashi? Kotelekesha kumuleka. Sena njobe nkungulume? Kotelekesha kweba.
28 Lakini kama ukioa, hujafanya dhambi. Na kama mwanamke hajolewa akiolewa, hajafanya dhambi. Bado wale wanaoana wanapata masumbufu ya aina mbalimbali. Nami nataka niwaepushe hayo.
Nomba na uyanda kweba paliya kwipisha kulipo sobwe. Kayi namulindu uyanda kwebwa neye paliya kwipisha kulipo sobwe. Nomba bantu bali mucikwati nibakacane mapensho mubuyumi bwabo, neco ndayandangeti kamutakacana mapensho alico.
29 Lakini nasema hivi, kaka na dada zangu, muda ni mfupi. Tangu sasa na kuendelea, wale walio na wake waishi kama hawana.
Ncondamwambilinga mobanse nicakwambeti, cindi cilashala nicifupi. Neco kufuma cindi cino batuloba bali mucikwati babeti nkabeba,
30 Wote walio na huzuni wajifanye kama walikuwa hawana huzuni, na wote wanaofurahi, kama walikuwa hawafurahi, na wote wanaonunua kitu chochote, kama hawakumiliki chochote.
kayi abo balalilinga babeti nkabalalilinga, kayi abo balakondwanga babeti nkabalakondwanga, kayi abo balaulunga bintu bekaleti baliya bintu mbyobalaula,
31 Na wote wanaoshughulika na ulimwengu, wawe kama hawakushughulika nao. Kwa kuwa mitindo ya dunia inafikia mwisho wake.
abo balasebenseshenga bintu byapacishi pano, kabatabika myoyo yabo mubintu ibyo. Pakwinga cishi cino capanshi mbuli ncocilabonekenga nteti cikale cindi citali sobwe.
32 Ninataka muwe huru kwa masumbufu yote. Mwanaume asiyeoa anajihusisha na vitu vinavyo mhusu Bwana, namna ya kumpendeza yeye.
Lino ndayandishishinga kwambeti mube basunguluka kubishi kuyakamwisha. Nkungulume ukute kusha mano kubintu bya Mwami, pakwinga lelekeshenga kumukondwelesha Mwami.
33 Lakini mwanaume aliyeoa hujihusisha na mambo ya dunia, namna ya kumpendeza mkewe,
Nomba mutuloba ukute mukashi ukute kusha mano kubintu byapacishi capanshi pano kuyeya cakumwinshila mukashendi kwambeti abe wakondwa.
34 amegawanyika. Mwanawake asiyeolewa au bikira hujihusisha na vitu kuhusu Bwana, namna ya kujitenga katika mwili na katika roho. Lakini mwanamke aliyeolewa hujihusisha kuhusu vitu dunia, namna ya kumfurahisha mme wake.
Neco ukute kaliwekata pabili. Kayi nendi mutukashi wabula kwebwa nambi mulindu nendi ukute kaliwasha mano kubintu bya Mwami, pakwinga ukute kuyanda kulibenga kumubili ne kumushimu. Nomba mukashi webwa ukute kusha mano kubintu bya pano pacishi kuyeya ncelela kumwinshila mulume kwambeti abenga wakondwa.
35 Nasema hivi kwa faida yenu wenyewe, na siweki mtego kwenu. Nasema hivi kwa vile ni haki, ili kwamba mnaweza kujiweka wakfu kwa Bwana bila kikwazo chochote.
Ndambangeco kuyanda kumunyamfwa, nteko kumucalila byakwinsa sobwe. Ncondayandanga nikwambeti mwinsenga bintu byonse mwalumbuluka, kwambeti mulibengenga cakupwililila pakusebensela Mwami.
36 Lakini kama mtu anafikiri hawezi kumtendea kwa heshima mwanawali wake, kwa sababu ya hisia zake zina nguvu sana, acha aoane naye kama apendavyo. Siyo dhambi.
Na naumbi uyeyeti nkalenshinga cintu caina pakukanisha mwanendi mulindu kwebwa kumutuloba wa mumamikila, kayi uboneti mwanendi lapiti pamushimba wakwebwa, mulekeni ense ncalayeyenga, liya kwipisha sobwe, ngabebana.
37 Lakini kama amefanya maamuzi kutokuoa, na hakuna haja ya lazima, na kama anaweza kutawala hamu yake, atafanya vyema kama hatamwoa.
Nomba na mutuloba uyeya mwine kwakubula kumukakatisha, kayi na miyeyo yakendi ifuma panshi pamoyo wakendi kwambeti nkasuni kumweba mulinduyu, kayi na ngacikonsha kwikata moyo wakendi, muntuyu neye lenshi cena.
38 Hivyo, anayemwoa mwanamwali wake afanya vyema, na yeyote ambaye anachagua kutooa atafanya vyema zaidi.
Neco mutuloba lebe mulindu ngwalikuba wamamikila lenshi cena, nomba neye utasuni kweba lenshi cena kupitapo.
39 Mwanamke amefungwa na mmewe wakati yu hai. Lakini kama mmewe akifa, yuko huru kuolewa na yeyote ampendaye, lakini katika Bwana tu.
Mukashi wasungwa ku mulawo wacikwati mulume acibanga muyumi. Na mulume uluma bulongo, mukashi wasunguluka kwebwa ku mutuloba uliyense lamukondo, nomba uyo mutuloba wela kuba muklistu.
40 Bado katika maamuzi yangu, atakuwa na furaha zaidi kama akiishi kama alivyo. Na ninafikiri kuwa nami pia nina Roho wa Mungu.
Kuyeya kwakame nikwambeti ngawikala cena kupitapo naubula kwebwa. Ndayeyenga kwambeti nenjame nkute Mushimu wa Lesa.

< 1 Wakorintho 7 >