< 1 Wakorintho 7 >

1 Kuhusu mambo mliyoniandikia: Kuna wakati ambapo ni vizuri mwanaume asilale na mke wake.
Hinu tilola mambu gala gamwaniyandili, chabwina mgosi akotoka kugega.
2 Lakini kwa sababu ya majaribu mengi ya zinaa kila mwanaume awe na mkewe, na kila mwanamke awe na mmewe.
Nambu ndava ya kuyepa ukemi, ndi kila mgosi avyai na mdala waki mwene, na kila mdala avyai na mgosi waki mwene.
3 Mume anapaswa kumpa mke haki yake ya ndoa, na vile vile mke naye kwa mmewe.
Mgosi amuhengelayi mdala waki chayiganikiwa, na mdala amuhengelayi mgosi waki chayiganikiwa.
4 Si mke aliye na mamlaka juu ya mwili wake, ni mme. Na vile vile, mme naye hana mamlaka juu ya mwili wake, bali mke anayo.
Mdala kawaka uhotola ndava ya higa yaki mwene, nambu avili nawu mgosi waki, mewawa mgosi kawaka uhotola ndava ya higa yaki mwene, nambu mdala waki avili nawu.
5 Msinyimane mnapolala pamoja, isipokuwa mmekubaliana kwa muda maalum. Fanyeni hivyo ili kupata muda wa maombi. Kisha mnaweza kurudiana tena pamoja, Ili kwamba Shetani asije akawajaribu kwa kukosa kiasi.
Mkoto kunyimana, nambu ngati muyelewini kukita chenicho kwa lukumbi luhupi ndu, ndi mupatayi nafwasi yabwina ya kumuyupa Chapanga. Ndi muwuyilanayi kavili, Setani akotoka kuvalinga ndava muhotola lepi kudivalila mitima hinu.
6 Lakini nasema haya mambo kwa hiari na si kama amri.
Malovi aga genikuvajovela malagizu lepi, nambu ndi nivalekekisi muhotola kuhagula.
7 Natamani kila mmoja angekuwa kama mimi nilivyo. Lakini kila mmoja ana karama yake kutoka kwa Mungu. Huyu ana karama hii, na yule ana karama ile.
Chakaka, niganili vandu voha vavyai ngati nene, nambu kila mundu apewili njombi yaki mwene na Chapanga, yungi njombi iyi na yungi yila.
8 Kwa wasioolewa na wajane ninasema kwamba, ni vizuri kwao kama wakibaki bila kuolewa, kama nilivyo mimi.
Hinu, kwa vala vangagega na vala valipwela, nikuvajovela kuvya chabwina kuyendelela kutama vene ngati nene.
9 Lakini kama hawawezi kujizuia, wanapaswa kuolewa. Kwa kuwa heri kwao kuolewa kuliko kuwaka tamaa.
Nambu ngati mundu ihotola lepi kujidivalila. Chabwina mundu uyo agega kuliku kuvya na mnogo.
10 Sasa kwa wale walioolewa nawapa amri, si mimi bali ni Bwana. “Mke asitengane na mme wake.”
Kwa vala vevagegili niwusa mhilu uwu, lepi ya nene ndi kuhuma kwa BAMBU Chapanga. Mdala iganikiwa lepi kulekana na mgosi waki.
11 Lakini kama akijitenga kutoka kwa mmewe, abaki hivyo bila kuolewa au vinginevyo apatane na mmewe. Na “Mme asimpe talaka mke wake.”
Ndi ngati alekini nayu, ndi asigalila changali kugegewa, ngati naha lepi, vamtepulanisa na mgosi waki. Na mgosi akotoka kumleka mdala waki.
12 Lakini kwa waliobaki, nasema- mimi, si Bwana- kwamba kama ndugu yeyote ana mke asiyeamini na anaridhika kuishi naye, hapaswi kumwacha.
Kwa vangi, Nijova nene lepi BAMBU Ngati mgosi msadika ana mdala mwangasadiki, na mdala mwenuyo ayidikili kutama nayu, na mgosi mwenuyo akoto kumleka mdala waki.
13 Kama mwanamke ana mme asiyeamini, na kama anaridhika kuishi naye, asimwache.
Na ngati mdala mweisadika ana mgosi mwanga sadika, na mgosi mwenuyo akayidakila kutama nayu, ndi akotoka kumleka mgosi waki.
14 Kwa mme asiyeamini anatakaswa kwa sababu ya imani ya mkewe. Na mwanamke asiyeamini anatakaswa kwa sababu ya mmewe aaminiye. Vinginevyo watoto wenu wangekuwa si safi, lakini kwa kweli wametakaswa.
Muni mgosi mwenuyo mwangasadika iyidikiliwa na Chapanga kwa kuwungana na mdala waki, na mdala uyo mwangasadika iyidikiwa na Chapanga kwa kuwungana na mgosi waki. Ngati ngayikotoka kuvya naha vana vavi ngavavi ngati vana va vandu vangammaya Chapanga, nambu hinu ndi vana va Chapanga.
15 Lakini mwenzi asiyeamini akiondoka na aende. Kwa namna hiyo, kaka au dada hafungwi na viapo vyao. Mungu ametuita tuishi kwa amani.
Nambu ngati mwangasadika igana kumuleka muyaki mwaisadika, ndi amuleka ndu. Penapo mgosi amala mdala mwaisadika yati ivya hulu. Muni Chapanga avakemili mutama kwa uteke.
16 Unajuaje kama mwanamke, huenda utamwokoa mmeo? Au unajuaje kama mwanaume, huenda utamwokoa mkeo?
Veve mdala mwausadika, umanya wuli ngati kuvya ukumsangula mgosi waku? Amala veve mgosi mwausadika umanya wuli ngati kuvya ukumsangula mdala waku?
17 Kila mmoja tu aishi maisha kama Bwana alivyowagawia, kila mmoja kama Mungu alivyowaita wao. Huu ni mwongozo wangu kwa makanisa yote.
Kila mundu ayendelela kutama muwumi weapewili na BAMBU ngati cheatamayi pala peakemeliwi na Chapanga, chenichi ndi chanikuvajovela vandu voha kwa msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu woha.
18 Yupo aliyekuwa ametahiriwa alipoitwa kuamini? Asijaribu kuondoa alama ya tohara yake. Yupo yeyote aliyeitwa katika imani hajatahiriwa? Hapaswi kutahiriwa.
Ngati mundu akemeliwi kuni adumwili jandu, ndi akotoka kukupakisa kuvya adumwili lepi jandu, na ngati pakemeliwi avili akona kudumula jandu, ndi akotoka kudumula.
19 Kwa hili aidha ametahiriwa wala asiye tahiriwa hakuna matatizo. Chenye matatizo ni kutii amri za Mungu.
Muni, kudumula jandu amala changasindimala jandu chindu lepi, chechiganikiwa kuyidakila mihilu ya Chapanga.
20 Kila mmoja abaki katika wito alivyokuwa alipoitwa na Mungu kuamini.
Hinu, kila mundu avyai ngati cheavili peakemeliwi Chapanga.
21 Ulikuwa mtumwa wakati Mungu alipokuita? Usijali kuhusu hiyo. Lakini kama unaweza kuwa huru, fanya hivyo.
Wu, veve wavili wamvanda pewakemeliwi na Chapanga? Koto kuyoma, nambu ngati ukapatayi fwasi ya kuvya waka kita chenicho.
22 Kwa mmoja aliyeitwa na Bwana kama mtumwa ni mtu huru katika Bwana. Kama vile, mmoja aliye huru alipoitwa kuamini ni mtumwa wa Kristo.
Muni mwene mwakemeliwi na BAMBU kuni avili mvanda, mwenuyo ndi ilekeswa kwa BAMBU. Mewawa mwakemeliwi kuni alekiswi, ndi ivya mvanda wa Kilisitu.
23 Mmekwisha nunuliwa kwa thamani, hivyo msiwe watumwa wa wanadamu.
Voha muguliwi kwa mashonga gamahele, ndi mkoto kuvya vavanda va vandu.
24 Kaka na dada zangu, katika maisha yoyote kila mmoja wetu tulipoitwa kuamini, tubaki kama vile.
Valongo vangu, kila mmonga winu atamayi wumi wulawula ngati cheakemeliwi, muni Chapanga avi pamonga na nyenye.
25 Sasa, wale wote ambao hawajaoa kamwe, sina amri kutoka kwa Bwana. Lakini nawapa maoni yangu kama nilivyo. Kwa huruma za Bwana, zinazo aminika
Hinu, kugavala gala gemwaniyandikili ndava ya vasongolo vangagega na vasikana vangagegewa kawaka malagizu kuhuma kwa BAMBU, nambu nikuvapela maholo gangu kwa lipyana la BAMBU niganikiwa kusadikiwa.
26 Kwa hiyo, ninafikiri hivyo kwa sababu ya usumbufu, ni vyema mwanaume abaki kama alivyo.
Ndi, ndava ya mang'ahiso ga magono aga, hinu chabwina mundu asigalila ngati cheavi.
27 Umefungwa kwa mwanamke na kiapo cha ndoa? Usitake uhuru kutoka kwa hiyo. Una uhuru kutoka kwa mke au hujaolewa? Usitafute mke.
Wu, ugegili mdala? Hinu koto kulekana na mdala waku. Wakona wangagega? Ndi ukoto kugega.
28 Lakini kama ukioa, hujafanya dhambi. Na kama mwanamke hajolewa akiolewa, hajafanya dhambi. Bado wale wanaoana wanapata masumbufu ya aina mbalimbali. Nami nataka niwaepushe hayo.
Nambu ngati ukagegayi ukumbudila lepi Chapanga, kamwali akagegewayi akumbudila lepi Chapanga. Vevigegana yati ving'ahika muwumi wavi, nambu nene nigana ng'ani yikoto kuvakolela nyenye.
29 Lakini nasema hivi, kaka na dada zangu, muda ni mfupi. Tangu sasa na kuendelea, wale walio na wake waishi kama hawana.
Valongo vangu, lukumbi lwalusigalili ndi luhupi: Kutumbula lelu vala vevagegili vatamayi ngati vagegili lepi,
30 Wote walio na huzuni wajifanye kama walikuwa hawana huzuni, na wote wanaofurahi, kama walikuwa hawafurahi, na wote wanaonunua kitu chochote, kama hawakumiliki chochote.
Vevivemba vavyai ngati vivemba lepi, veviheka vavyai ngati nakuheka, vevigula vavyai ngati kawaka chindu,
31 Na wote wanaoshughulika na ulimwengu, wawe kama hawakushughulika nao. Kwa kuwa mitindo ya dunia inafikia mwisho wake.
vevavi hengela vindu vya mulima uwu vavyai ngati vakuhihengela lepi. Muni mulima uwu uvi papipi kupita.
32 Ninataka muwe huru kwa masumbufu yote. Mwanaume asiyeoa anajihusisha na vitu vinavyo mhusu Bwana, namna ya kumpendeza yeye.
Nigana nyenye mukoto kuvya na wogohi. Mundu angagega mdala mwene igana kuhenga lihengu la BAMBU muni ilinga kumganisa BAMBU.
33 Lakini mwanaume aliyeoa hujihusisha na mambo ya dunia, namna ya kumpendeza mkewe,
Nambu mgosi mweagegili ilola neju mambu ga mulima, kulonda kumganisa mdala waki,
34 amegawanyika. Mwanawake asiyeolewa au bikira hujihusisha na vitu kuhusu Bwana, namna ya kujitenga katika mwili na katika roho. Lakini mwanamke aliyeolewa hujihusisha kuhusu vitu dunia, namna ya kumfurahisha mme wake.
ndi akujibagula mwene chihiga na chimpungu. Mdala mwangagegewa ing'ahika na mambu ga BAMBU ndi awusayi higa na mpungu waki kwa BAMBU. Nambu mdala mwagegiwi ing'ahika na mambu ga mulima ndava ya kumganisa mgosi waki.
35 Nasema hivi kwa faida yenu wenyewe, na siweki mtego kwenu. Nasema hivi kwa vile ni haki, ili kwamba mnaweza kujiweka wakfu kwa Bwana bila kikwazo chochote.
Nikuvajovela genaga kwa chiyonjokesu chinu, lepi kuvadivalila kwa gala gemugana kuhenga. Nigana muhenga gegiganikiwa, mpata kumuhengela BAMBU kwa mtima woha changali kuhutwa na mambu gangi.
36 Lakini kama mtu anafikiri hawezi kumtendea kwa heshima mwanawali wake, kwa sababu ya hisia zake zina nguvu sana, acha aoane naye kama apendavyo. Siyo dhambi.
Ngati mundu ilola kuvya akumuhengela lepi chabwina mchumba waki kwa kuhamula kuleka kumugega na lukumbi lupita, kangi mnogu waki nakuuhotola ndi akitayi chaihotola, amugegayi ndu, ivya nakumbudila Chapanga.
37 Lakini kama amefanya maamuzi kutokuoa, na hakuna haja ya lazima, na kama anaweza kutawala hamu yake, atafanya vyema kama hatamwoa.
Nambu ngati mgosi uyo ahamwili kuhuma mumtima waki changali kung'ang'aniswa kuleka kugega, na ihotola lepi kuyileka minogu yaki, ikita chabwina, kuleka kumgega mdala uyo.
38 Hivyo, anayemwoa mwanamwali wake afanya vyema, na yeyote ambaye anachagua kutooa atafanya vyema zaidi.
Mundu mweamwili kugega mdala ikita chabwina, mewa mweangagega mdala ikita chabwina neju.
39 Mwanamke amefungwa na mmewe wakati yu hai. Lakini kama mmewe akifa, yuko huru kuolewa na yeyote ampendaye, lakini katika Bwana tu.
Mdala mweagegiwi ivya akungiwi na mgosi waki kwa lukumbi lwoha mgosi uyo lwaivya mumi. Nambu ngati mgosi waki afwili, mdala uyo ihotola kugegewa na mundu yoyoha, nambu kwa mgosi mweammanyili BAMBU Yesu Kilisitu.
40 Bado katika maamuzi yangu, atakuwa na furaha zaidi kama akiishi kama alivyo. Na ninafikiri kuwa nami pia nina Roho wa Mungu.
Nambu chenihololela nene, mdala yati ivya na luheku neju ngati isigalila changali kugegewa, niholalela nene mewa nina Mpungu wa Chapanga.

< 1 Wakorintho 7 >