< 1 Nyakati 5 >

1 Wana wa Rubeni mzaliwa wa kwanza wa Israeli - sasa Rubeni alikuwa mzaliwa wa kwanza wa Israeli, lakini haki yake ya mzaliwa wa kwanza ilipewa kwa wana wa Yusufu mwana wa Israeli kwa sababu Rubeni alinajisi kochi la baba yake. Hivyo hajanakiliwa kama mwana wa kwanza.
Dagiti putot a lallaki ni Ruben nga inauna a putot a lalaki ni Israel—ita, ni Ruben ti inauna a putot a lalaki ni Israel, ngem naited ti kalinteganna a kas inauna a putot kadagiti putot a lallaki ni Jose a putot ni Israel gapu ta tinulawan ni Ruben ti papag a pagiddaan ni amana. Isu a saan isuna a nailista kas inauna nga anak.
2 Yuda alikuwa mwenye nguvu kuliko kaka zake, na kiongozi ata toka kwake. Lakini haki ya mzaliwa wa kwanza ilikuwa ya Yusufu -
Ni Juda ti kapipigsaan kadagiti kakabsatna a lallaki, ket mabalin nga agtaud kenkuana ti mangidaulo. Ngem ti kalintegan kas inauna nga anak ket kukua ni Jose—
3 wana wa Rubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli alikuwa Hanoki, Palu, Hezroni, na Karmi.
dagiti putot a lallaki ni Ruben, ti inauna a putot ni Israel ket da Hanoc, Pallu, Heznon, ken Carmi.
4 Uzao wa Yoeli ulikuwa huu: Mwana wa Yoeli alikuwa Shemaia. Mwana wa Shemaia alikuwa Gogi. Mwana wa Gogi alikuwa Shimei.
Dagitoy dagiti kaputotan ni Joel: Ti putot a lalaki ni Joel ket ni Semaias. Ti putot a lalaki ni Semaias ket ni Gog.
5 Mwana wa Shimei alikuwa Mika. Mwana wa Mika alikuwa Reaia. Mwana wa Reaia alikuwa Baali.
Ti putot a lalaki ni Gog ket ni Simei. Ti putot a lalaki ni Mica ket Reaias. Ti putot a lalaki ni Reaias ket ni Baal.
6 Mwana wa Baali alikuwa Bera, ambaye Tiligathi Pileseri alimpeleka matekani kule Assiria. Bera alikuwa kiongozi katika kabila la Rubeni.
Ti putot a lalaki ni Baal ket ni Beeras, nga intugot ni Tiglat Pileser nga ari ti Asiria a kas balud. Ni Beeras ti mangidadaulo iti tribu ni Ruben.
7 Ndugu wa Bera kwa makabila yao ni hawa wafuatao, wameorodheshwa katika nakala za uzao wao: Yeieli wa kwanza, Zekaria, na
Dagiti kakabagian ni Beeras babaen kadagiti pulida ket dagiti sumaganad, a naisurat kadagiti listaan dagiti pakasaritaan ti pamiliada: Ni Jeiel ti inauna, ni Zacarias, ken
8 Bela mwana wa Azazi mwana wa Shema mwana wa Yoeli. Waliishi Aroeri, kwa umbali wa Nebo na Baali Meoni,
ni Bela a putot a lalaki ni Azaz a putot a lalaki ni Sema a putot a lalaki ni Joel. Nagnaedda iti Aroer, agingga iti Nebo ken Baal Meon,
9 na mwanzo wa mashariki mwa jangwa lenye umbali wa hadi Mto Efarati. Hii ni kwa sababu walikuwa na mifugo mingi katika nchi ya Gileadi.
ken agturong iti daya a pangrugian ti let-ang a dumanun iti Karayan Eufrates. Gapu ta adu dagiti bakada iti daga ti Galaad.
10 Katika siku za Sauli, kabila la Rubeni lilishambulia Wahagiri na kuwa shinda. Wakaishi ndani ya hema za Wahagiri katika nchi yote mashariki mwa Gileadi.
Kadagiti al-aldaw ni Saul, rinaut ti tribu ni Ruben dagiti Hagrita ket pinarmekda ida. Nagnaedda kadagiti tolda dagiti Hagrita iti entero a daga iti daya ti Galaad.
11 Kabila la Gadi liliishi karibu nao, katika nchi ya Bashani umbali wa Saleka.
Nagnaed iti asidegda dagiti kamkameng iti tribu ti Gad, iti daga ti Basan agingga iti Saleca.
12 Viongozi wao walikuwa Yoeli, aliyekuwa kichwa wa ukoo, na Shafamu alikuwa kichwa wa ukoo mwingine, na Yanai na Shafati walikuwa wa Bashani.
Dagiti mangidadaulo kadakuada ket ni Joel, a pangulo ti puli, ni Safam a pangulo ti sabali a puli, ken ni Janai ken ni Safat idiay Basan.
13 Ndugu zao, kwa familia za baba yao, walikuwa Mikaeli, Meshulamu, Sheba, Yorai, Yakani, na Eberi - jumla saba wote.
Dagiti kakabagianda kadagiti familia dagiti ammada, ket da Micael, Mesullam, Seba, Jorai, Jocan, Zia, ken ni Eber—pitoda amin.
14 Hawa watu walio tajwa hapo juu ni uzao wa Abihaili, na Abihaili alikuwa mwana wa Huri. Huri alikuwa mwana w a Yaroa. Yaroa alikuwa mwana wa Gileadi. Gileadi alikuwa mwana wa Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Yeshishai. Yeshishai alikuwa mwana wa Yado. Yado alikuwa mwana wa Buzi.
Dagitoy a nagnagan dagiti tattao ket kaputotan ni Abihail, ket ni Abihail ket putot a lalaki ni Huri. Ni Huri ket putot a lalaki Jaroa. Ni Jaroa ket putot a lalaki ni Galaad. Ni Galaad ket putot a lalaki ni Micael. Ni Micael ket putot a lalaki ni Jesisai. Ni Jesisai ket putot a lalaki ni Jado. Ni Jado ket putot a lalaki ni Buz.
15 Ahi mwana wa Abidieli mwana wa Guni, alikuwa kichwa cha familia ya baba yake.
Ni Ahi ket putot a lalaki ni Abdiel a putot a lalaki ni Guni, ti ulo dagiti pamilia dagiti ammada.
16 Waliishi Gileadi, Bashani, katika miji, na katika nchi zote za malisho ya Sharoni kwa umbali wa mipaka yake.
Nagnaedda iti Galaad, idiay Basan, kadagiti ilina, ken kadagiti amin a pagpaaraban idiay Saron agingga kadagiti beddengna.
17 Hawa wote waliorodheshwa katika nakaka za uzao katika siku za Yothamu mfalme wa Yuda na Yeroboamu mfalme wa Israeli.
Amin dagitoy ket naisurat kadagiti pakasaritaan ti pamiliada kadagiti al-aldaw ni Jotam nga ari ti Juda ken ni Jeroboam nga ari ti Israel.
18 Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Manase walikuwa na wana jeshi elfu arobaini na nne walio fuzu kwa vita, walio beba ngao na upanga, na pinde na mishale.
Dagiti Rubenita, dagiti Gadita, ken dagiti kaguddua a tribu ti Manases ket addaan iti uppat a pulo ket uppat a ribu a soldado a nasanay a makigubat, nga agaw-awit kadagiti kalasag, ken kampilan, ken agibiat iti pana.
19 Waliwashambulia Wahagri, Yeturi, Nafishi, na Nodabu.
Rinautda dagiti Hagrita, Jetur, Nafis ken Nodab.
20 Walipokea msaada wa Kimungu dhidi yao. Katika hili Wahagri na wote walio kuwa nao walishindwa. Hii ni kwa sababu Waisraeli walipaza sauti katika vita, na yeye akawajibu, kwa sababu waliweka tumaini lao kwake.
Inawatda ti nasantoan a tulong a maibusor kadakuada. Iti kastoy a wagas, naparmekda dagiti Hagrita ken dagiti amin a kakadduada. Gapu ta immawag dagiti Israelita iti Dios iti paggugubatan, ket sinungbatanna ida, gapu ta nagtalekda kenkuana.
21 Walikamata wanya wao, pamoja na ngamia elfu hamsini, kondoo 250, 000, punda elfu mbili, na wanaume 100, 000.
Tiniliwda dagiti ayupda, agraman dagiti limapulo a ribu a kamelio, 250, 000 a karnero, dua ribu nga asno, ken 100, 000 a lallaki.
22 Kwa sababu Mungu aliwapigania, waliua maadui wengi. Waliishi katika nchi yao mpaka mateka.
Gapu ta ti Dios ti nakiranget para kadakuada, adu kadagiti kabusorda ti pinapatayda. Nagnaedda iti dagada agingga iti pannakatiliwda a kas balud.
23 Baadhi ya watu wa kabila la Manase waliishi katika nchi ya Bashani kwa umbali wa Hermoni na Seniri (hiyo ni, Mlima Hermoni).
Nagnaed iti daga ti Basan dagiti kaguddua iti tribu ti Manases agingga iti Baal Hermon ken Senir (isu ti, Bantay Hermon).
24 Hawa walikuwa viongozi wa familia zao: Eferi, Ishi, Elieli, Azrieli, Yeremia, Hodavia, na Yahdieli. Walikuwa wenye nguvu na wanaume wa jasiri, wanaume maharufu, viongozi wa familia zao.
Dagitoy dagiti mangidadaulo kadagiti familiada: da Efer, Isi, Eliel, Azriel, Jeremias, Hodavias, ken Jadiel. Napipigsa ken natuturedda a lallaki, nalalatak a lallaki a mangidadaulo kadagiti pamiliada.
25 Lakini walikuwa sio wa aminifu kwa Mungu wa babu zao. Badala yake, waliabudu miungu ya watu waio nchi, ambao Mungu aliwaangamiza mbele yao.
Ngem saanda a napudno iti Dios dagiti kapuonanda. Ngem ketdi nagdaydayawda, kadagiti didiosen dagiti tattao iti daga, a dinadael ti Dios iti sangoananda.
26 Mungu wa Israeli alimchochea Puli mfalme wa Assiria ( ambaye pia uitwa Tiligathi Pileseri, mfalme wa Assiria). Aliwa peleka matekani Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Manase. Aliwaleta kwa Hala, Habori, Hara, na kwenye mto wa Gozani, ambapo wapo adi leo.
Pinagpungtot ti Dios ti Israel ni Pul nga ari ti Asiria (a maawagan met iti Tiglat Pileser, ari ti Assiria). Innalana a kas balud dagiti Rubenita, Gadita ken ti kaguddua a tribu ti Manases. Impanna ida idiay Hala, Habor, Hara, ken idiay karayan iti Gozan, a nagtalinaedanda agingga iti daytoy nga aldaw.

< 1 Nyakati 5 >