< 1 Nyakati 27 >
1 Hii ni orodha ya familia za viongozi wa Israeli, wakuu wa maelfu na mamia, pamoja na maafisa wa jeshi walio mtumikia mfalme kwa namna tofauti. Kila kikosi cha jeshi kilitumika mwenzi hadi mwezi kwa mwaka mzima. Kila kikosi kilikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
Na, ko nga tama a Iharaira, to ratou tokomaha, nga upoko o nga whare o nga matua, me nga rangatira o nga mano, o nga rau, me o ratou rangatira i mahi nei ki te kingi i nga mea katoa a nga wehenga i haere mai nei, i haere atu ranei, i tenei marama, i tenei marama, i nga marama katoa o te tau; e rua tekau ma wha mano o te wehenga kotahi.
2 Kwa mwezi wa kwanza wa kikosi alikuwa Yashobeamu mwana wa Zabdieli. Katika kikosi chake kulikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
Ko te rangatira o te wehenga tuatahi o te marama tuatahi, ko Iahopeama tama a Tapariere. E rua tekau ma wha mano i tona wehenga.
3 Alikuwa miongoni mwa uzao wa Perezi na mhusika wa maafisa wa jeshi kwa mwezi wa kwanza.
No nga tama ia a Perete, ko te rangatira o nga rangatira katoa o te ope mo te marama tuatahi.
4 Juu ya kikosi kwa mwezi wa pili alikuwa Dodai, wa ukoo wa uliotoka kwa Ahoa. Mikilothi alikuwa wa pili kwa cheo. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Ko te rangatira o te wehenga mo te rua o nga marama, ko Rorai Ahohi, me tona wehenga; ko Mikiroto te rangatira. E rua tekau ma wha mano i tona wehenga.
5 Mkuu wa jeshi wa mwezi wa tatu alikuwa Benaia mwana wa Yehoiada, kuhani na kiongozi. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Ko te tuatoru o nga rangatira ope, mo te toru o nga marama, ko Penaia tama a Iehoiara, he tohunga nui. E rua tekau ma wha mano i tona wehenga.
6 Huyu ni Benaia aliye kuwa kiongozi wa wale thelathini na juu ya wale thelathini. Amizabadi mwanae alikuwa katika kikosi chake.
Ko taua Penaia tenei i nui nei i roto i te toru tekau, ko ia hoki te rangatira o te toru tekau. I roto tana tama a Amitapara i tona wehenga.
7 Mkuu kwa mwezi wa nne alikuwa Asaheli kaka wa Yoabu. Zebadia mwanae akawa mkuu baada yake. Katika kikosi chake kulikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
Ko te tuawha, mo te wha o nga marama, ko Atahere teina o Ioapa, me tana tama, me Teparia, i muri i a ia. E rua tekau ma wha mano i tona wehenga.
8 Mkuu kwa mwezi wa tano alikuwa Shamihuthi, mzao wa Izra. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Ko te tuarima o nga rangatira, mo te rima o nga marama, ko Hamahutu Itirahi. E rua tekau ma wha mano i tona wehenga.
9 Mkuu kwa mwezi wa sita alikuwa Ira mwana wa Ikeshi, kutoka Tekoa. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Ko te tuaono o nga rangatira, mo te ono o nga marama, ko Ira tama a Ikehe Tekoi. E rua tekau ma wha mano i tona wehenga.
10 Mkuu kwa mwezi wa saba alikuwa Helezi Mpeloni, kutoka watu wa Efraimu. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Ko te tuawhitu, mo te whitu o nga marama, ko Herete Peroni, no nga tama a Eparaima. E rua tekau ma wha mano i tona wehenga.
11 Mkuu kwa mwezi wa nane alikuwa Sibekai Mhushathi, kutoka ukoo ulitoka kwa Zera. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Ko te tuawaru, mo te waru o nga marama, ko Hipekai Huhati, no nga Terahi. E rua tekau ma wha mano i tona wehenga.
12 Mkuu kwa mwezi wa tisa alikuwa Abi Ezeri Manathothi, kutoka kwa kabila la Benjamini. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Ko te tuaiwa, mo te iwa o nga marama, ko Apietere Anatoti, no nga Pineamine. E rua tekau ma wha mano i tona wehenga.
13 Mkuu kwa mwezi wa kumi alikuwa Maharai kutoka mji wa Netofa, kutoka ukoo ulio toka kwa Zera. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Ko te tekau, mo te tekau o nga marama, ko Maharai Netopati, no nga Terahi. E rua tekau ma wha mano i tona wehenga.
14 Mkuu kwa mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaia kutoka mji wa Pirathoni, kutoka kabila la Efraimu. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Ko te tekau ma tahi, mo te tekau ma tahi o nga marama, ko Penaia Piratoni, no nga tama a Eparaima. E rua tekau ma wha mano i tona wehenga.
15 Mkuu kwa mwezi wa kumi na mbili alikuwa Helidai kutoka mji wa Netopafa, kutoka ukoo uliotoka kwa Othinieli. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Ko te tekau ma rua, mo te tekau ma rua o nga marama, ko Hererai Netopati, no Otoniere. E rua tekau ma wha mano i tona wehenga.
16 Hawa walikuwa viongozi wa makabila ya Israeli: Kwa kabila la Rubeni, Eliezeri mwana wa Zikri alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Simeoni, Shefatia mwana wa Maka alikuwa kiongozi.
Na, ko nga rangatira o nga iwi o Iharaira: o nga Reupeni, ko Erietere tama a Tikiri te rangatira: o nga Himioni, ko Hepatia tama a Maaka:
17 Kwa kabila la Lawi, Hashinia mwana wa Kemueli alikuwa kiongozi, na Zadoki aliongoza uzao wa Aruni.
O nga Riwaiti, ko Hahapia tama a Kemuere: o nga Aroni, ko Haroko:
18 Kwa kabila la Yuda, Elihu, mmoja wa kaka zake Daudi, alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Isakari, Omri mwana wa Mikaeli alikuwa kiongozi.
O Hura, ko Erihu, no nga tuakana o Rawiri: o Ihakara, ko Omori tama a Mikaera:
19 Kwa kabila la Zebuluni, Ishimaia mwana wa Obadia alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Naftali, Yeremothi mwana wa Azirieli alikuwa kiongozi.
O Hepurona, ko Ihimaia tama a Oparia; o Napatari ko Terimoto tama a Atariere:
20 Kwa kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Azazia alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Manase, Yoeli mwana wa Pedaia alikuwa kiongozi.
O nga tama a Eparaima, ko Hohea tama a Atatia: o tetahi tanga o te iwi o Manahi, ko Hoera tama a Peraia:
21 Kwa nusu kabila la Manase lililo Gileadi, Ido mwana wa Zekaria alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Benjamini, Yaasieli mwana wa Abneri alikuwa kiongozi.
O tera tanga o te iwi o Manahi i Kireara, ko Iro tama a Hakaraia: o Pineamine, ko Taahiere tama a Apanere:
22 Kwa kabila la Dani, Azareli mwana wa Yerohamu alikuwa kiongozi. Hawa walikuwa viongozi wa makabila ya Israeli.
O Rana, ko Atareere tama a Ierohama. Ko nga rangatira enei o nga iwi o Iharaira.
23 Daudi hakuwa hesabu wenye umri wa miaka ishirini au chini zaidi, kwasababu Yahweh alihaidi kuongeza Israeli kama nyota za mbinguni.
Kihai ia i taua e Rawiri te hunga e rua tekau, he iti iho hoki nga tau; i mea hoki a Ihowa, ka whakanuia e ia a Iharaira kia rite ki nga whetu o te rangi.
24 Yoabu mwana wa Zeruia alianza kuhesabu wanaume, lakini hakumaliza. Gadhabu iliangukia Israeli kwa hili. Hii idadi haikuandikwa kwenye nyakati za mfalme Daudi.
Na Ioapa tama a Teruia i timata te tatau. Otiia kihai i oti i a ia; no te mea i pa he riri mo tenei mea ki a Iharaira; kihai hoki te tokomaha i uru ki roto ki te tauanga o nga meatanga o nga ra o Kingi Rawiri.
25 Azimavethi mwana wa Adieli alikuwa mhusika wa hazina za mfalme. Yonathani mwana wa Uzia alikuwa juu ya nyumba za ghala katika mashamba, kwenye miji, na vijijini, na kwenye minara iliyo imarishwa.
Na, ko te rangatira o nga taonga o te kingi, ko Atamawete tama a Ariere: ko te rangatira o nga whare taonga i nga mara, i nga pa, i nga pa koraha, i nga taumaihi, ko Honatana tama a Utia.
26 Ezri mwana wa Kelubi alikuwa juu ya mashamba, hao walio lima ardhi.
Ko te rangatira hoki o nga kaimahi o te mara, i mahia ai te oneone, ko Eteri tama a Kerupu.
27 Shimei kutoka Rama alikuwa juu ya mashamba ya mizabibu, na Zabdi kutoka Shefamu alikuwa juu ya mizabibu na mhifadhi wa mvinyo.
Na mo nga mara waina ko Himei Ramati. Ko te rangatira mo nga mea o nga mara waina e kawea ana ki nga toa waina, ko Tapari Hipini.
28 Mwangalizi wa miti mizeituni na miti ya mikuyu iliyo kuwa bondeni alikuwa Baali Hanani kutoka Gederi, na juu ya nyumba za ghala za mafuta alikuwa Yoashi.
Mo nga oriwa, me nga hikamora i nga raorao, ko Paarahanana Kereri; mo nga toa hinu ko Ioaha.
29 Juu ya mifugo iliyo kuwa inalishwa huko Sharoni alikuwa Shitrai kutoka Sharoni, na juu ya mifugo iliyo kuwa mabondeni alikuwa Shafati mwana wa Adlai.
Mo nga kau e haereere ana i Harono ko Hitirai Haroni; mo nga kau i nga mania ko Hapata tama a Ararai.
30 Msimamizi wa ngamia alikuwa Obili Mishimaeli, na juu ya punda wakike alikuwa Yehideia kutoka Meronothi. Juu ya mifugo alikuwa Yazizi Mhagri.
Mo nga kamera ko Opiri Ihimaeri. Mo nga kaihe ko Iehereia Meronoti.
31 Hawa wote walikuwa wasimamizi wa mali za Mfalme Daudi.
Mo nga hipi, ko Iatiti Hakari. Ko enei katoa he rangatira no nga taonga o Kingi Rawiri.
32 Yonathani, mjomba wake Daudi alikuwa mshauri, sababu alikuwa na busara na mwandishi. Yehieli mwana wa Hakimoni aliwajali watoto wa mfalme.
Ko Honatana hoki, ko te matua keke o Rawiri, he kaiwhakatakoto whakaaro ia, he tangata mohio, he karaipi. Ko Tehiere hoki tama a Hakamoni hei hoa mo nga tama a te kingi.
33 Ahithofeli alikuwa mshauri wa mfalme, na Hushai kutoka watu wa Waariki alikuwa mshauri wake wa siri.
Ko Ahitopere te kaiwhakatakoto whakaaro a te kingi. Ko Huhai Araki he hoa no te kingi.
34 Nafasi ya Ahithofeli ilichukuliwa na Yehoiada mwana wa Benaia, na Abiathari. Yoabu alikuwa mkuu wa jeshi la mfalme.
I muri i a Ahitopere, ko Iehoiara tama a Penaia, ko Apiatara hoki. A, ko te rangatira ope a te kingi, ko Ioapa.