< 1 Nyakati 27 >

1 Hii ni orodha ya familia za viongozi wa Israeli, wakuu wa maelfu na mamia, pamoja na maafisa wa jeshi walio mtumikia mfalme kwa namna tofauti. Kila kikosi cha jeshi kilitumika mwenzi hadi mwezi kwa mwaka mzima. Kila kikosi kilikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
Tala bana ya Isalaele oyo bazalaki kosalela mokonzi: ezalaki na bakambi ya mabota, bakonzi ya bankoto mpe ya bankama ya basoda mpe bakomi mikanda. Mosala na bango ezalaki: kotala makambo oyo etali mabongisi ya mampinga. Sanza na sanza kati na mobu, lisanga moko ezalaki kokota na mosala mpe lisanga mosusu ezalaki kobima. Lisanga moko na moko ezalaki na mibali nkoto tuku mibale na minei.
2 Kwa mwezi wa kwanza wa kikosi alikuwa Yashobeamu mwana wa Zabdieli. Katika kikosi chake kulikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
Mpo na sanza ya liboso: lisanga ya Yashobeami, mwana mobali ya Zabidieli; lisanga yango ezalaki na mibali nkoto tuku mibale na minei.
3 Alikuwa miongoni mwa uzao wa Perezi na mhusika wa maafisa wa jeshi kwa mwezi wa kwanza.
Yashobeami azalaki mokitani ya Peretsi mpe azalaki mokonzi ya bakonzi nyonso ya mampinga mpo na sanza ya liboso.
4 Juu ya kikosi kwa mwezi wa pili alikuwa Dodai, wa ukoo wa uliotoka kwa Ahoa. Mikilothi alikuwa wa pili kwa cheo. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Mpo na sanza ya mibale: lisanga ya Dodayi, moto ya libota ya Aoyi. Mikiloti azalaki mokambi ya lisanga ya Dodayi. Lisanga yango ezalaki na mibali nkoto tuku mibale na minei.
5 Mkuu wa jeshi wa mwezi wa tatu alikuwa Benaia mwana wa Yehoiada, kuhani na kiongozi. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Mpo na sanza ya misato: lisanga ya Benaya, mwana mobali ya Yeoyada, mokonzi ya Banganga-Nzambe; lisanga yango ezalaki na mibali nkoto tuku mibale na minei.
6 Huyu ni Benaia aliye kuwa kiongozi wa wale thelathini na juu ya wale thelathini. Amizabadi mwanae alikuwa katika kikosi chake.
Benaya azalaki moko kati na basoda ya mpiko tuku misato mpe azalaki mokonzi na bango; Amizadabi, mwana na ye ya mobali, azalaki moko kati na basoda ya lisanga yango.
7 Mkuu kwa mwezi wa nne alikuwa Asaheli kaka wa Yoabu. Zebadia mwanae akawa mkuu baada yake. Katika kikosi chake kulikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
Mpo na sanza ya minei: lisanga ya Asaeli, ndeko mobali ya Joabi. Zebadia, mwana na ye ya mobali, akitanaki na ye; lisanga yango ezalaki na bato nkoto tuku mibale na minei.
8 Mkuu kwa mwezi wa tano alikuwa Shamihuthi, mzao wa Izra. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Mpo na sanza ya mitano: lisanga ya mokambi Shamewuti, moto ya libota ya Yizirayi; lisanga yango ezalaki na mibali nkoto tuku mibale na minei.
9 Mkuu kwa mwezi wa sita alikuwa Ira mwana wa Ikeshi, kutoka Tekoa. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Mpo na sanza ya motoba: lisanga ya Ira, mwana mobali ya Ikeshi, moto ya libota ya Tekoa; lisanga yango ezalaki na mibali nkoto tuku mibale na minei.
10 Mkuu kwa mwezi wa saba alikuwa Helezi Mpeloni, kutoka watu wa Efraimu. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Mpo na sanza ya sambo: lisanga ya Eletsi, moto ya libota ya Peloni, moko kati na bato ya libota ya Efrayimi; lisanga yango ezalaki na mibali nkoto tuku mibale na minei.
11 Mkuu kwa mwezi wa nane alikuwa Sibekai Mhushathi, kutoka ukoo ulitoka kwa Zera. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Mpo na sanza ya mwambe: lisanga ya Sibekayi, moto ya libota ya Usha, moko kati na bakitani ya Zera; lisanga yango ezalaki na mibali nkoto tuku mibale na minei.
12 Mkuu kwa mwezi wa tisa alikuwa Abi Ezeri Manathothi, kutoka kwa kabila la Benjamini. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Mpo na sanza ya libwa: lisanga ya Abiezeri, moto ya libota ya Anatoti, moko kati na bato ya libota ya Benjame; lisanga yango ezalaki na bato nkoto tuku mibale na minei.
13 Mkuu kwa mwezi wa kumi alikuwa Maharai kutoka mji wa Netofa, kutoka ukoo ulio toka kwa Zera. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Mpo na sanza ya zomi: lisanga ya Maarayi, moto ya libota ya Netofa, moko kati na bakitani ya Zera; lisanga yango ezalaki na mibali nkoto tuku mibale na minei.
14 Mkuu kwa mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaia kutoka mji wa Pirathoni, kutoka kabila la Efraimu. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Mpo na sanza ya zomi na moko: lisanga ya Benaya, moto ya libota ya Piratoni, moko kati na bato ya libota ya Efrayimi; lisanga yango ezalaki na mibali nkoto tuku mibale na minei.
15 Mkuu kwa mwezi wa kumi na mbili alikuwa Helidai kutoka mji wa Netopafa, kutoka ukoo uliotoka kwa Othinieli. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Mpo na sanza ya zomi na mibale: lisanga ya Elidayi, moto ya libota ya Netofa, moko kati na bakitani ya Otinieli; lisanga yango ezalaki na mibali nkoto tuku mibale na minei.
16 Hawa walikuwa viongozi wa makabila ya Israeli: Kwa kabila la Rubeni, Eliezeri mwana wa Zikri alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Simeoni, Shefatia mwana wa Maka alikuwa kiongozi.
Tala bakonzi ya mabota ya Isalaele: Mpo na libota ya Ribeni: Eliezeri, mwana mobali ya Zikiri; mpo na libota ya Simeoni: Shefatia, mwana mobali ya Maaka;
17 Kwa kabila la Lawi, Hashinia mwana wa Kemueli alikuwa kiongozi, na Zadoki aliongoza uzao wa Aruni.
mpo na libota ya Levi: Ashabia, mwana mobali ya Kemweli; mpo na libota ya Aron: Tsadoki;
18 Kwa kabila la Yuda, Elihu, mmoja wa kaka zake Daudi, alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Isakari, Omri mwana wa Mikaeli alikuwa kiongozi.
mpo na libota ya Yuda: Eliwu, ndeko mobali ya Davidi; mpo na libota ya Isakari: Omiri, mwana mobali ya Mikaeli;
19 Kwa kabila la Zebuluni, Ishimaia mwana wa Obadia alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Naftali, Yeremothi mwana wa Azirieli alikuwa kiongozi.
mpo na libota ya Zabuloni: Yishimaeya, mwana mobali ya Abidiasi; mpo na libota ya Nefitali: Yerimoti, mwana mobali ya Azirieli;
20 Kwa kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Azazia alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Manase, Yoeli mwana wa Pedaia alikuwa kiongozi.
mpo na libota ya Efrayimi: Oze, mwana mobali ya Azazia; mpo na ndambo ya libota ya Manase: Joeli, mwana mobali ya Pedaya;
21 Kwa nusu kabila la Manase lililo Gileadi, Ido mwana wa Zekaria alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Benjamini, Yaasieli mwana wa Abneri alikuwa kiongozi.
mpo na ndambo ya libota ya Manase kati na Galadi: Yido, mwana mobali ya Zakari; mpo na libota ya Benjame: Yaasieli, mwana mobali ya Abineri;
22 Kwa kabila la Dani, Azareli mwana wa Yerohamu alikuwa kiongozi. Hawa walikuwa viongozi wa makabila ya Israeli.
mpo na libota ya Dani: Azareeli, mwana mobali ya Yeroami. Bango wana nde bazalaki bakonzi ya mabota ya Isalaele.
23 Daudi hakuwa hesabu wenye umri wa miaka ishirini au chini zaidi, kwasababu Yahweh alihaidi kuongeza Israeli kama nyota za mbinguni.
Davidi atangaki te molongo ya mibali oyo bazalaki na se ya mibu tuku mibale ya mbotama, pamba te Yawe alakaki ete akokomisa Isalaele ebele lokola minzoto ya likolo.
24 Yoabu mwana wa Zeruia alianza kuhesabu wanaume, lakini hakumaliza. Gadhabu iliangukia Israeli kwa hili. Hii idadi haikuandikwa kwenye nyakati za mfalme Daudi.
Joabi, mwana mobali ya Tseruya, abandaki kotanga bango kasi asilisaki te. Pamba te likolo ya botangi wana, Yawe akitiselaki Isalaele kanda na Ye. Boye, motango ya bato yango ekomamaki te na buku ya masolo ya mokonzi Davidi.
25 Azimavethi mwana wa Adieli alikuwa mhusika wa hazina za mfalme. Yonathani mwana wa Uzia alikuwa juu ya nyumba za ghala katika mashamba, kwenye miji, na vijijini, na kwenye minara iliyo imarishwa.
Azimaveti, mwana mobali ya Adieli, azalaki kobatela bibombelo ya bozwi ya mokonzi. Jonatan, mwana mobali ya Oziasi, azalaki mobateli ya bibombelo na bazamba, na bingumba, na bamboka mike mpe na bandako milayi.
26 Ezri mwana wa Kelubi alikuwa juu ya mashamba, hao walio lima ardhi.
Eziri, mwana mobali ya Kelubi, azalaki mokambi ya basali bilanga;
27 Shimei kutoka Rama alikuwa juu ya mashamba ya mizabibu, na Zabdi kutoka Shefamu alikuwa juu ya mizabibu na mhifadhi wa mvinyo.
Shimei, moto ya engumba Rama, azalaki mobateli bilanga ya vino; Zabidi, moto ya engumba Shefami, azalaki mobateli masanga ya vino mpe bilanga ya vino.
28 Mwangalizi wa miti mizeituni na miti ya mikuyu iliyo kuwa bondeni alikuwa Baali Hanani kutoka Gederi, na juu ya nyumba za ghala za mafuta alikuwa Yoashi.
Bala-Anani, moto ya engumba Gederi, azalaki mobateli banzete ya olive mpe ya sikomori, na lubwaku ya ngambo ya weste; Yoashi azalaki mobateli mafuta ya olive;
29 Juu ya mifugo iliyo kuwa inalishwa huko Sharoni alikuwa Shitrai kutoka Sharoni, na juu ya mifugo iliyo kuwa mabondeni alikuwa Shafati mwana wa Adlai.
Shitrayi, moto ya engumba Saroni, azalaki mobateli bangombe oyo ezalaki kolia na Saroni; Shafati, mwana mobali ya Adilayi, azalaki mobateli bangombe na mabwaku.
30 Msimamizi wa ngamia alikuwa Obili Mishimaeli, na juu ya punda wakike alikuwa Yehideia kutoka Meronothi. Juu ya mifugo alikuwa Yazizi Mhagri.
Obili, moto ya libota ya Isimaeli, azalaki mobateli bashamo; Yedeya, moto ya libota ya Meronoti, azalaki mobateli ba-ane ya basi.
31 Hawa wote walikuwa wasimamizi wa mali za Mfalme Daudi.
Yazizi, moto ya libota ya Agari, azalaki mobateli bibwele. Bango nyonso bazalaki babateli bozwi ya mokonzi Davidi.
32 Yonathani, mjomba wake Daudi alikuwa mshauri, sababu alikuwa na busara na mwandishi. Yehieli mwana wa Hakimoni aliwajali watoto wa mfalme.
Jonatan, ndeko ya tata ya Davidi, azalaki mopesi toli, moto ya mayele mpe mokomi mikanda. Yeyeli, mwana mobali ya Akimoni, azalaki kolandela bana mibali ya mokonzi.
33 Ahithofeli alikuwa mshauri wa mfalme, na Hushai kutoka watu wa Waariki alikuwa mshauri wake wa siri.
Ayitofeli azalaki mopesi toli ya mokonzi; mpe Ushayi, moto ya Ariki, azalaki mobateli sekele ya mokonzi.
34 Nafasi ya Ahithofeli ilichukuliwa na Yehoiada mwana wa Benaia, na Abiathari. Yoabu alikuwa mkuu wa jeshi la mfalme.
Yeoyada, mwana mobali ya Benaya, elongo na Abiatari, bakitanaki na Ayitofeli. Joabi azalaki mokonzi ya mampinga ya mokonzi.

< 1 Nyakati 27 >