< 1 Nyakati 27 >
1 Hii ni orodha ya familia za viongozi wa Israeli, wakuu wa maelfu na mamia, pamoja na maafisa wa jeshi walio mtumikia mfalme kwa namna tofauti. Kila kikosi cha jeshi kilitumika mwenzi hadi mwezi kwa mwaka mzima. Kila kikosi kilikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
És Izrael fiai számuk szerint, az atyai házak fejei, meg az ezrek és százak nagyjai és tisztviselőik, akik szolgálták a királyt az osztályok minden dolgában, amelyek bevonultak és kivonultak hónapról-hónapra, mind az évnek hónapjai szerint: az egyes osztály huszonnégyezer.
2 Kwa mwezi wa kwanza wa kikosi alikuwa Yashobeamu mwana wa Zabdieli. Katika kikosi chake kulikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
Az első osztály felett, az első hónapra Jásobeám, Zabdíél fia, s osztályához huszonnégyezren.
3 Alikuwa miongoni mwa uzao wa Perezi na mhusika wa maafisa wa jeshi kwa mwezi wa kwanza.
Pérec fiai közül, mind a seregek vezéreinek a feje, az első hónapra.
4 Juu ya kikosi kwa mwezi wa pili alikuwa Dodai, wa ukoo wa uliotoka kwa Ahoa. Mikilothi alikuwa wa pili kwa cheo. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
A második hónap osztálya felett az Achóachbeli Dódaj s osztályában Miklót a fővezér is volt; s osztályához huszonnégyezren.
5 Mkuu wa jeshi wa mwezi wa tatu alikuwa Benaia mwana wa Yehoiada, kuhani na kiongozi. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
A harmadik sereg vezére a harmadik hónapra: Benájáhú, a papnak Jehójádának fia, mint fő; s osztályához huszonnégyezren.
6 Huyu ni Benaia aliye kuwa kiongozi wa wale thelathini na juu ya wale thelathini. Amizabadi mwanae alikuwa katika kikosi chake.
Az ama Benájáhú, ki a harmincak vitéze volt s a harminc felett, s osztályában volt fia Ammizábad.
7 Mkuu kwa mwezi wa nne alikuwa Asaheli kaka wa Yoabu. Zebadia mwanae akawa mkuu baada yake. Katika kikosi chake kulikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
A negyedik a negyedik hónapra Aszáél, Jóáb testvére s fia Zebadja ő utána, s osztályához huszonnégyezren.
8 Mkuu kwa mwezi wa tano alikuwa Shamihuthi, mzao wa Izra. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Az ötödik az ötödik hónapra, a vezér a Jizráchi Samhút, s osztályához huszonnégyezren.
9 Mkuu kwa mwezi wa sita alikuwa Ira mwana wa Ikeshi, kutoka Tekoa. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
A hatodik a hatodik hónapra a Tekóabelí Irá, Ikkés fia, s osztályához huszonnégyezren.
10 Mkuu kwa mwezi wa saba alikuwa Helezi Mpeloni, kutoka watu wa Efraimu. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
A hetedik a hetedik hónapra, a Pelónbeli Chélec, Efráim fiai közül; s osztályához huszonnégyezren.
11 Mkuu kwa mwezi wa nane alikuwa Sibekai Mhushathi, kutoka ukoo ulitoka kwa Zera. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
A nyolcadik a nyolcadik hónapra a Chúsabeli Szibbekhaj, a Zérachbeliek közül, s osztályához huszonnégyezren.
12 Mkuu kwa mwezi wa tisa alikuwa Abi Ezeri Manathothi, kutoka kwa kabila la Benjamini. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
A kilencedik a kilencedik hónapra az Anátótbeli Abíézer, a Benjáminbeliek közül; s osztályához huszonnégyezren.
13 Mkuu kwa mwezi wa kumi alikuwa Maharai kutoka mji wa Netofa, kutoka ukoo ulio toka kwa Zera. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
A tizedik a tizedik hónapra, a Netófabeli Máharaj a Zérachbeliek közül; s osztályához huszonnégyezren.
14 Mkuu kwa mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaia kutoka mji wa Pirathoni, kutoka kabila la Efraimu. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
A tizenegyedik a tizenegyedik hónapra, a Pireátónbeli Benája Efráim fiai közül; s osztályához huszonnégyezren.
15 Mkuu kwa mwezi wa kumi na mbili alikuwa Helidai kutoka mji wa Netopafa, kutoka ukoo uliotoka kwa Othinieli. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
A tizenkettedik a tizenkettedik hónapra a Netófabeli Cheldáj, Otniel közül; s osztályához huszonnégyezren.
16 Hawa walikuwa viongozi wa makabila ya Israeli: Kwa kabila la Rubeni, Eliezeri mwana wa Zikri alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Simeoni, Shefatia mwana wa Maka alikuwa kiongozi.
És Izrael törzsei felett voltak: a Reúbéni számára fővezér: Eliézer, Zikhri fia; a Simeóni számára, Sefatjáhú, Máakha fia.
17 Kwa kabila la Lawi, Hashinia mwana wa Kemueli alikuwa kiongozi, na Zadoki aliongoza uzao wa Aruni.
Lévi számára: Chasabja, Kemúél fia; Áron számára: Cádók.
18 Kwa kabila la Yuda, Elihu, mmoja wa kaka zake Daudi, alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Isakari, Omri mwana wa Mikaeli alikuwa kiongozi.
Jehúda számára Elíhú, Dávid testvérei közül; Jisszákhár számára: Omri, Mikháél fia.
19 Kwa kabila la Zebuluni, Ishimaia mwana wa Obadia alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Naftali, Yeremothi mwana wa Azirieli alikuwa kiongozi.
Zebúlún számára: Jismájáhú, Obadjáhú fia; Naftáli számára: Jerímót, Azriél fia.
20 Kwa kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Azazia alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Manase, Yoeli mwana wa Pedaia alikuwa kiongozi.
Efraim fiai számára: Hóséa, Azazjáhú fia; Menasse fél törzse számára: Jóél, Pedájáhú fia.
21 Kwa nusu kabila la Manase lililo Gileadi, Ido mwana wa Zekaria alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Benjamini, Yaasieli mwana wa Abneri alikuwa kiongozi.
Menasse fele számára Gileádban: Jiddó, Zekharjáhú fia; Benjámin számára: Jaasziél, Abnér fia.
22 Kwa kabila la Dani, Azareli mwana wa Yerohamu alikuwa kiongozi. Hawa walikuwa viongozi wa makabila ya Israeli.
Dán számára: Azarél, Jeróchám fia. Ezek Izrael törzseinek vezérei.
23 Daudi hakuwa hesabu wenye umri wa miaka ishirini au chini zaidi, kwasababu Yahweh alihaidi kuongeza Israeli kama nyota za mbinguni.
De nem vette fel Dávid az ő számukat húsz évestől lefelé, mert azt mondta az Örökkévaló, hogy megsokasítja Izraelt mint az ég csillagait.
24 Yoabu mwana wa Zeruia alianza kuhesabu wanaume, lakini hakumaliza. Gadhabu iliangukia Israeli kwa hili. Hii idadi haikuandikwa kwenye nyakati za mfalme Daudi.
Jóáb, Cerúja fia kezdte számlálni, de nem fejezte be s e miatt harag volt Izrael fölött; így nem jutott be a szám Dávid király történetének számai közé.
25 Azimavethi mwana wa Adieli alikuwa mhusika wa hazina za mfalme. Yonathani mwana wa Uzia alikuwa juu ya nyumba za ghala katika mashamba, kwenye miji, na vijijini, na kwenye minara iliyo imarishwa.
S a király tárházai fölött volt Azmávet, Adíél fia; s a tárházak fölött a mezőn, a városokban, a falvakban s tornyokban: Jehónátán, Uzzijáhú fia.
26 Ezri mwana wa Kelubi alikuwa juu ya mashamba, hao walio lima ardhi.
És azok fölött, kik a mezei munkát végezték a földművelésnél: Ezrí, Kelúb fia.
27 Shimei kutoka Rama alikuwa juu ya mashamba ya mizabibu, na Zabdi kutoka Shefamu alikuwa juu ya mizabibu na mhifadhi wa mvinyo.
És a szőlők fölött a Rámabeli Simei s a szőlőkben levő bortárházak fölött a Sefámbeli Zabdi.
28 Mwangalizi wa miti mizeituni na miti ya mikuyu iliyo kuwa bondeni alikuwa Baali Hanani kutoka Gederi, na juu ya nyumba za ghala za mafuta alikuwa Yoashi.
És az alföldön lévő olajfák és vad fügefák fölött: a Géderbeli Báal Chánán; az olajtárházak fölött Jóás.
29 Juu ya mifugo iliyo kuwa inalishwa huko Sharoni alikuwa Shitrai kutoka Sharoni, na juu ya mifugo iliyo kuwa mabondeni alikuwa Shafati mwana wa Adlai.
És a Sárónban legelő marha fölött a Sárónbeli Sitraj; s a völgyekben levő marha fölött Sáfát, Adlaj fia.
30 Msimamizi wa ngamia alikuwa Obili Mishimaeli, na juu ya punda wakike alikuwa Yehideia kutoka Meronothi. Juu ya mifugo alikuwa Yazizi Mhagri.
És a tevék fölött a jismeéli Óbíl s a nőstény szamarak fölött a Mérónótbeli Jechdejáhú.
31 Hawa wote walikuwa wasimamizi wa mali za Mfalme Daudi.
És a juhok felett a hágári Jáziz. Mindezek Dávid király vagyonának főtisztjei.
32 Yonathani, mjomba wake Daudi alikuwa mshauri, sababu alikuwa na busara na mwandishi. Yehieli mwana wa Hakimoni aliwajali watoto wa mfalme.
Jehónátán pedig, Dávid nagybátyja, tanácsos volt, értelmes férfi és írástudó; s Jechíél, Chakhmóni fia, a király fiai mellett.
33 Ahithofeli alikuwa mshauri wa mfalme, na Hushai kutoka watu wa Waariki alikuwa mshauri wake wa siri.
S Achítófel a király tanácsosa, s az Arkibeli Chúsáj a király barátja.
34 Nafasi ya Ahithofeli ilichukuliwa na Yehoiada mwana wa Benaia, na Abiathari. Yoabu alikuwa mkuu wa jeshi la mfalme.
És Achítófel után Jehójádá, Benájáhú fia, és Ebjátár; és a király hadvezére Jóáb.