< 1 Nyakati 10 >

1 Wafilisti wakapigana dhidi ya Israeli. Kila mwanaume wa Israeli alikimbia Wafilisti na kuanguka na kufa katika Mlima Giliboa.
Filistejci su zavojštili na Izraelce. Izraelci su pobjegli pred njima i padali pobijeni po gori Gilboi.
2 Wafilisti waliwakimbiza Sauli na mwanae. Waflisti walimuua Yonathani, Abinadabu, na Malichishua, wana wake.
Filistejci stisnuše Šaula i njegove sinove i pogubiše Šaulove sinove Jonatana, Abinadaba i Malki-Šuu.
3 Pambano lilikuwa zito kwa Sauli, na wapiga mishale wakamshambulia. Alipatwa na maumivu makali sababu ya wapiga mishale.
Boj je postao žešći oko Šaula. Iznenadiše ga strijelci s lukovima i on pade ranjen od strijelaca.
4 Kisha Sauli akasema kwa mbeba ngao wake, “Vuta upanga wako na unichome nao. Lasihivyo, hawa wasio tahiriwa watukuja na kunitesa”. Lakini mbeba ngao wake hakutaka, kwa kuwa aliogopa sana. Kwa hiyo Sauli akachukuwa upanga wake na kuuangukia.
Tada Šaul reče svome štitonoši: “Izvuci svoj mač i probodi me da ne dođu ti neobrezanci i ne narugaju mi se.” Ali se njegov štitonoša prestravi i ne htjede toga učiniti. Zato Šaul uze mač i baci se na nj.
5 Mbeba ngao alivyoona kuwa Sauli amekufa, naye akaangukia upanga wake na kufa.
Kad je štitonoša vidio da je Šaul umro, baci se i on na svoj mač i umrije s njim.
6 Kwaiyo Sauli akafa, na wana wake watatu, wote wa nyumba yake wakafa pamoja.
Tako onog dana pogiboše zajedno Šaul, njegova tri sina i sav njegov dom.
7 Kila mwanaume wa Israeli katika bonde alivyoona kuwa wamekimbia, na Sauli na wana wake wamekufa, walitelekeza miji yao na kukimbia. Kisha Wafilisti wakaja na kuishi humo.
Kad su svi Izraelci koji su bili u dolini vidjeli da su sinovi Izraelovi pobjegli i da je poginuo Šaul sa sinovima, ostavili su svoje gradove i razbježali se. Filistejci dođoše i nastaniše se u njima.
8 Ikawa siku inayofuata, Wafilisti walipo kuja kukagua wafu, walimkuta Sauli na wana wake wameanguka katika Mlima Giliboa.
Kad su sutradan došli Filistejci da oplijene pobijene, našli su Šaula s njegovim sinovima gdje leže mrtvi na gori Gilboi.
9 Wakamvua nguo zote na kuchukuwa kichwa chake na ngao yake. Wakatuma wajumbe wapeleke habari Filistia yote kwa miungu yao na watu wote.
Svukavši ga, uzeše mu glavu i oružje te poslaše po filistejskoj zemlji unaokolo javljajući veselu vijest svojim idolima i narodu.
10 Ngao yake wakaeka ndani ya hekalu la miungu yao, na kichwa chake waka kining'iniza katika hekalu la Dagoni.
Potom su oružje metnuli u hram svoga boga, a lubanju mu izložili u Dagonovu hramu.
11 Yabeshi Gileadi yote ilipo sikia Wafilisti waliyo mtendea Sauli,
Kad su čuli svi Jabeš-Gileađani što su Filistejci učinili od Šaula,
12 wanaume wote wa vita wakaenda na kuchukuwa mwili wa Sauli na hiyo ya wanae, na kuirejesha Yabeshi. Walizika mifupa yao chini ya mti huko Yabeshi na wakafunga siku saba.
ustali su svi hrabri ljudi i uzeli Šaulovo mrtvo tijelo i tjelesa njegovih sinova i, donijevši ih u Jabeš, pokopali su njihove kosti pod tamarisom u Jabešu; i postiše sedam dana.
13 Kwaiyo Sauli akafa kwa kuwa hakuwa mwaminifu kwa Yahweh. Hakutii maelekezo ya Yahweh, lakini akauliza ushauri kwa mtu anaye ongea na wafu.
Tako je poginuo Šaul za svoju nevjeru kojom se iznevjerio Jahvi: nije držao Jahvine zapovijedi i povrh toga je pitao za savjet bajačicu,
14 Hakutafuta mwongozo kwa Yahweh, hivyo Yahweh akamua na kupindua ufalme kwa Daudi mwana wa Yese.
a nije pitao Jahvu; zato ga je ubio i prenio kraljevstvo na Jišajeva sina Davida.

< 1 Nyakati 10 >