< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
アダム、セツ、エノス
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
ケナン、マハラレル、ヤレド
3 Henoko, Methusela, Lameki.
エノク、メトセラ、ラメク
4 Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
ノア、セム、ハム、ヤペテ
5 Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
ヤベテの子等はゴメル、マゴグ、マデア、ヤワン、トバル、メセク、テラス
6 Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
ゴメルの子等はアシケナズ、リパテ、トガルマ
7 Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
ヤワンの子等はエリシヤ、タルシシ、キツテム、ドダニム
8 Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
ハムの子等はクシ、ミツライム、プテ、カナン
9 Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
クシの子等はセバ、ハビラ、サブタ、ラアマ、サブテカ、ラアマの子等はセバとデダン
10 Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
クシ、ニムロデを生り彼はじめて世の權力ある者となれり
11 Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
ミツライムはルデ族アナミ族レハビ族ナフト族
12 Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
パテロス族カスル族カフトリ族を生りカスル族よりペリシテ族出たり
13 Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
カナンその冢子シドンおよびヘテを生み
14 Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
またヱブス族アモリ族ギルガシ族
15 Mhivi, Mwarki, Msini,
ヒビ族アルキ族セニ族
16 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
アルワデ族ゼマリ族ハマテ族を生り
17 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
セムの子等はエラム、アシユル、アルバクサデ、ルデ、アラム、ウズ、ホル、ゲテル、メセク
18 Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
アルバクサデ、シラを生みシラ、エベルを生り
19 Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
エベルに二人の子生れたりその一人の名をベレグ(分)と曰ふ其は彼の代に地の人散り分れたればなりその弟の名をヨクタンと曰ふ
20 Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
ヨクタンはアルモダデ、シヤレフ、ハザルマウテ、ヱラ
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
ハドラム、ウザル、デクラ
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
エバル、アビマエル、シバ
23 Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
オフル、ハビラおよびヨハブを生り是等はみなヨクタンの子なり
24 Shemu, Arfaksadi, Sala,
セム、アルバクサデ、シラ
25 Eberi, Pelegi, Reu,
エベル、ベレグ、リウ
26 Serugi, Nahori, Tera,
セルグ、ナホル、テラ
27 Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
アブラム是すなはちアブラハムなり
28 Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
アブラハムの子等はイサクおよびイシマエル
29 Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
彼らの子孫は左のごとしイシマエルの冢子はネバヨテ次はケダル、アデビエル、ミブサム
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
ミシマ、ドマ、マツサ、ハダデ、テマ
31 Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
ヱトル、ネフシ、ケデマ、イシマエルの子孫は是の如し
32 Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
アブラハムの妾ケトラの生る子は左のごとし彼ジムラン、ヨクシヤン、メダン、ミデアン、イシバク、シユワを生りヨクシヤンの子等はシバおよびデダン
33 Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
ミデアンの子等はエバ、エペル、ヘノク、アビダ、エルダア是等はみなケトラの生る子なり
34 Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
アブラハム、イサクを生りイザクの子等はヱサウとイスラエル
35 Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
エサウの子等はエリバズ、リウエル、ヱウシ、ヤラム、コラ
36 Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
エリバズの子等はテマン、オマル、ゼビ、ガタム、ケナズ、テムナ、アマレク
37 Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
リウエルの子等はナハテ、ゼラ、シヤンマ、ミツザ
38 Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
セイの子等はロタン、シヨバル、ヂベオン、アナ、デシヨン、エゼル、デシヤン
39 Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
ロタンの子等はホリとホマム、ロタンの妹はテムナ
40 Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
シヨバルの子等はアルヤン、マナハテ、エバル、シピ、オナム、ヂベオンの子等はアヤとアナ
41 Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
アナの子等はデシヨン、デシヨンの子等はハムラム、エシバン、イテラン、ケラン、
42 Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
エゼルの子等はビルハン、ザワン、ヤカン、デシヤンの子等はウズおよびアラン
43 Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
イスラエルの子孫を治むる王いまだ有ざる前にエドムの地を治めたる王等は左のごとしベオルの子ベラその都城の名はデナバといふ
44 Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
ベラ薨てボズラのゼラの子ヨバブこれに代りて王となり
45 Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
ヨバブ薨てテマン人の地のホシヤムこれにかはりて王となり
46 Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
ホシヤム薨てベダデの子ハダデこれにかはりて王となれり彼モアブの野にてミデアン人を撃りその都城の名はアビテといふ
47 Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
ハダデ薨てマスレカのサムラこれに代りて王となり
48 Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
サムラ薨て河の旁なるレホボテのサウルこれに代りて王となり
49 Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
サウル薨てアクボルの子バアルハナンこれに代りて王となり
50 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
バアルハナン薨てハダデこれにかはりて王となれりその都城の名はパイといふその妻はマテレデの女子にして名をメヘタベルといへりマテレデはメザハブの女なり
51 Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
ハダデも薨たり/エドムの諸侯は左のごとし、テムナ侯アルヤ侯ヱテテ侯
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
アホリバマ侯エラ侯ピノン侯
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
ケナズ侯テマン侯ミブザル侯
54 Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.
マグデエル侯イラム侯エドムの諸侯は是のごとし

< 1 Nyakati 1 >