< Warumi 16 >

1 Napenda kumtambulisha kwenu dada yetu Foibe, mtumishi katika kanisa la Kenkrea.
Min caklang Fibi korya nye kimen, cin canga bikur wābero mor Kankiriya,
2 Naomba mpokeeni katika Bwana ipasavyo watakatifu na kumpa msaada wowote atakaohitaji kutoka kwenu, kwa maana yeye amekuwa msaada kwa watu wengi, mimi nikiwa miongoni mwao.
na kom yo co mor Kwama. Kom ma wuro ki nure daten wo nob neka bilenkere ce, kom ti kange co, mor dikero ca do kom tiye nin. Wori co ciki bwici yilam nii tikali nube ducce, ki mo ce ken.
3 Wasalimuni Prisila na Akila, watumishi wenzangu katika Kristo Yesu.
Kom yarum Bilki kange Akila, nob nangeneb kange mo mor Kiritti Yecu.
4 Wao walihatarisha maisha yao kwa ajili yangu; wala si mimi tu ninayewashukuru bali pia makanisa yote ya watu wa Mataifa.
Buro neken dume ce ker dume mireu. Ma bucinen kang ti, dila kebo ka mo, la kange mwer kangka nob Kwama ko wo nubo kumtacili ceu.
5 Lisalimuni pia kanisa linalokutana nyumbani mwao. Msalimuni rafiki yangu mpendwa Epaineto, aliyekuwa mtu wa kwanza kumwamini Kristo huko Asia.
Ko yarum nob Kwama bo wo lociyeu. Yarum Abainitas nii mi cwi tiyeu, wuro yilam co nii ter neka bilenke Kiritti nin Asiya.
6 Msalimuni Maria, aliyefanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu.
Ko yarum Maryamu, wo manangen kibi kwan ker kimereu.
7 Wasalimuni Androniko na Yunia, jamaa zangu ambao wamekuwa gerezani pamoja nami. Wao ni maarufu miongoni mwa mitume, nao walikuwa katika Kristo kabla yangu.
Kom yarum Andranikus, kange Yuniyas, kebmibbo, kange farum fucina mik. Ciin nubo ko nyumangum cii nyumange mor nob tomangeb, buro nyimangum ten Kiritti mineneu.
8 Msalimuni Ampliato, yeye nimpendaye katika Bwana.
Ko yarum Amfiliyas, wo ma cwi mor Teluwe.
9 Msalimuni Urbano, mtendakazi mwenzetu katika Kristo, pamoja na rafiki yangu mpendwa Stakisi.
Ko yarum Urbanas, far nangene mi mor Kiritti, kange Istakis, nii ma cwiyeu.
10 Msalimuni Apele aliyejaribiwa na akaithibitisha imani yake katika Kristo. Wasalimuni wote walio nyumbani mwa Aristobulo.
Ko yarum ten Abalis, nii ken mor Kiritti. Ko yaru buro mor luwe Aristobulus ce.
11 Msalimuni ndugu yangu Herodioni. Wasalimuni wote walio nyumbani mwa Narkisi walio katika Bwana.
Ko yarum Hirudiyan, kemi. Ko yarum nubo lo Narkiss, buro Teluwe nine.
12 Wasalimuni Trifaina na Trifosa, wale wanawake wanaofanya kazi kwa bidii katika Bwana. Msalimuni rafiki yangu mpendwa Persisi, mwanamke mwingine aliyefanya kazi kwa bidii katika Bwana.
Ko yarum Tarafina kange Tarafusa, buro manangen kibi kwan neret Kwama nineu. Ko yarum Barsisa nawiye ken, wo manangen do ducce Kwama nine.
13 Msalimuni Rufo, mteule katika Bwana, pamoja na mama yake, ambaye amekuwa mama kwangu pia.
Ko yarum Rufus, wuro Kwama cokkeu, kange nee ce kange wo miu.
14 Wasalimuni Asinkrito, Flegoni, Herme, Patroba, Herma na ndugu wote walio pamoja nao.
Ko yarum Asinkiritas, Filiguna, Hamisa, Baturabas, Hamas, kange keb-bebbo buro kange ciyeu.
15 Wasalimuni Filologo, Yulia, Nerea na dada yake, na Olimpa na watakatifu wote walio pamoja nao.
Ko yarum, Filulugusa, kange Yuliya, Niriyas kange korya ceu, kange Ulumfas, kange nob Kwama buro wari kange ciyeu.
16 Salimianeni ninyi kwa ninyi kwa busu takatifu. Makanisa yote ya Kristo yanawasalimu.
Ko yarum bwiti kimeu ki kor-kang kako wucakke. Mwer kangka nob Kwama ko gwam yarum kom ti.
17 Ndugu zangu, nawasihi mjihadhari na kujiepusha na wale watu waletao matengano na kuweka vikwazo mbele yenu dhidi ya mafundisho mliyojifunza.
Naweu mi ken komti, keb-mibbo, na kom kwa nubo buro bouti ki yalkangka kange kottangkau ki ner. Cii tou dikero cum bikwan dike kom merange ti. Kom yila bwim cinen.
18 Kwa maana watu kama hao hawamtumikii Bwana Kristo, bali wanatumikia tamaa zao wenyewe. Kwa kutumia maneno laini na ya kubembeleza, hupotosha mioyo ya watu wajinga.
Wori wang nobeko buro mani cii bwang ten Teluwe be Yeecu Kiritti ti, la mor fwiye ciye. Ki luma nyiye ceko cii bolang nubo ki lom jome duwe ti.
19 Kila mtu amesikia juu ya utii wenu, nami nimejawa na furaha tele kwa ajili yenu. Lakini nataka mwe na hekima katika mambo mema na bila hatia katika mambo maovu.
Wori dangke neka dure kimeko lam fiye gwam. Min ma bilangtum, dor kimer, dila ma cwiti na kom yilam ki yilen dor dikero yilam na kenneu, kange wucakke ki dikero yilam na bwireu.
20 Mungu wa amani atamponda Shetani chini ya miguu yenu upesi. Neema ya Bwana wetu Yesu iwe nanyi. Amen.
Kwama wo ne fuwor nerer tiyeu an dok kom nako fuwarangum bwekel-keleu wulom mor na kimek. Luma Teluwe be Yecu Kiritti ati kange kom.
21 Timotheo, mtendakazi mwenzangu anawasalimu. Vivyo hivyo Lukio, Yasoni, na Sosipatro, ndugu zangu.
Timoti, far nangene mi, yarum kom ti, kange Lukiyas, kange Yason, kange Susibataras, keb mibbo.
22 Mimi, Tertio, niliye mwandishi wa waraka huu, nawasalimu katika Bwana.
Mo Tartiyas nii wo mulang bifumero weu, ma yarum kom ti Kwama nin.
23 Gayo, ambaye ni mwenyeji wangu na wa kanisa lote, anawasalimu. Erasto, mweka hazina wa mji huu, pamoja na Kwarto ndugu yetu pia wanawasalimu. [
Gayus nii ciyerka miik kange nob Kwama bo gwam, yarum kom ti. Arastas wo co tinger yoka cinan loro ceu, yarum komti kange ke nye Kawartas, cii yarum kom ti.
24 Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe pamoja nanyi nyote. Amen.]
Luma Teluwe be Yecu Kiritti ati kange kom gwam. Ati nyo.
25 Sasa atukuzwe yeye awezaye kuwafanya ninyi imara kwa Injili yangu na kuhubiriwa kwa Yesu Kristo, kutokana na kufunuliwa siri zilizofichika tangu zamani za kale. (aiōnios g166)
Naweu duktangka nace wo lami na dok kom tim nawo fulen kere miro kange fulen ker Yecu Kiritti, Wo ker nung ka dukumeko wo no kwitangi yurangum-yurangeu, (aiōnios g166)
26 Lakini sasa siri hiyo imefunuliwa na kujulikana kupitia maandiko ya kinabii kutokana na amri ya Mungu wa milele, ili mataifa yote yaweze kumwamini na kumtii (aiōnios g166)
Dila naweu cin wumom, ki mulangka nob tomangeb dukume ko cin yi ber biten tini gwam, ki tokka Kwama diriyeu, ker bwangka bilenker. (aiōnios g166)
27 Mungu aliye pekee, mwenye hekima, ambaye kwa njia ya Yesu Kristo utukufu ni wake milele na milele! Amen. (aiōn g165)
Ki Kwama wiin cwar ki yileneu, fiye Yecu Kiritti wiye, duktangka bak-ni-bak. Ati nyo. (aiōn g165)

< Warumi 16 >