< Ufunuo 20 >

1 Kisha nikaona malaika akishuka kutoka mbinguni, akiwa ameshika ufunguo wa lile Shimo na mnyororo mkubwa mkononi mwake. (Abyssos g12)
La min to ni nagen kwama yirauti firen di kwama, wiki diker kang cek. (Abyssos g12)
2 Akalishika lile joka, yule nyoka wa zamani, ambaye ndiye ibilisi au Shetani, naye akamfunga kwa muda wa miaka 1,000.
La ci too no cwe charko wuro cho bwekelkele bwamco coro kwini bikate.
3 Akamtupa katika lile Shimo, akamfunga humo na kulitia lakiri, ili kumzuia asiendelee kudanganya mataifa mpaka hiyo miaka 1,000 itimie. Baada ya hayo lazima afunguliwe kwa muda mfupi. (Abyssos g12)
Ciin merken co mor buwakke wo manki dikau nung. co kwati dur liyar cerwi dor cer. Nyo na wo kariyilo ci bolangten nubo nyombo ker kwamaere wo adimti coro lam bikate. bwiko wo di tam nyo a nyamkang cimen bi duwar. (Abyssos g12)
4 Kisha nikaona viti vya enzi vilivyokuwa vimekaliwa na hao waliopewa mamlaka ya kuhukumu, na nikaona roho za wale waliokatwa vichwa kwa sababu ya ushuhuda wa Yesu na kwa sababu ya neno la Mungu. Hawakuwa wamemsujudu huyo mnyama wala sanamu yake wala hawakupokea ile chapa yake kwenye vipaji vya nyuso zao au kwenye mikono yao. Wakawa hai na kutawala pamoja na Kristo miaka 1,000.
La wi man too fitiyimken nubo wuro yim dor cereu chi nubo chi neci bi kwan bolange. Lami to dume nubowo chi mwatang doreu ki ker Yeesu kang ker kwamar. Ci wabo bicirin kange diro cerkangce, chin ko ywoaka cerkangka tikob ci kang kangcik cin fulongum yim cimbo, cin ca liyar kange bibwekwama coro lam bikate.
5 (Wafu waliosalia hawakufufuka mpaka ilipotimia hiyo miaka 1,000.) Huu ndio ufufuo wa kwanza.
Tang ni nubo bwiyameu, yilaubo ki dume, no coro bikate dimeri na yimde. Wuro co kwenka nubo bwiyameu ki kaba.
6 Waliobarikiwa na walio watakatifu ni wale walio na sehemu katika ufufuo wa kwanza. Hao mauti ya pili haina nguvu juu yao, bali watakuwa makuhani wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala pamoja naye kwa muda wa miaka 1,000.
Nii wo fiya calangka wucakeu, co nii wo ki tureni mor kwenka nubo ki kaba. buro wo yobe mani ki bikwan dor nubo wuro. Ciya yilam nubo wab kwama kange bibwe kwama ciya yi liyar kange co ki coro bi kate.
7 Hiyo miaka 1,000 itakapotimia, Shetani atafunguliwa kutoka kifungoni mwake,
Lano coro bikate lamdi, ciya cikom bwekelkele furcuna.
8 naye atatoka ili kuyadanganya mataifa yaliyopo katika pembe nne za dunia, yaani, Gogu na Magogu apate kuwakusanya tayari kwa vita. Idadi yao ni kama mchanga ulioko pwani.
Can cerken kale na co bolang nubo ti wo nyumbo ker kwamareu, kung nari kalewe Gog kange magog mweranci na kwenece kilatum cembo dong dong kange biyabombo caji yeu.
9 Nao walitembea katika eneo lote la dunia, wakaizunguka kambi ya watakatifu na ule mji unaopendwa. Lakini moto ukashuka kutoka mbinguni na kuwateketeza.
Cin yati kale wuro ni cin kangtangum fiye nubo ne bilenke wiyeu ci yimwe. La kirako yirau di kwama twirang ci.
10 Naye ibilisi aliyewadanganya akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti walikokuwa wametupwa yule mnyama na yule nabii wa uongo. Watateswa humo usiku na mchana, milele na milele. (aiōn g165, Limnē Pyr g3041 g4442)
Bwekelkele wo bolcitiyeu merken co mor kire wo furko cabie, fiye ci merum nange nicwerke ni wabka ciya nuwa dotange kume kange kakuk bak-ni-bak. (aiōn g165, Limnē Pyr g3041 g4442)
11 Kisha nikaona kiti kikubwa cheupe cha enzi pamoja na yeye aliyeketi juu yake. Dunia na mbingu zikaukimbia uso wake wala mahali pao hapakuonekana.
Lami to dikero dor ko kange nubo yim dorcere. kalewo kange di kwama cin cwam tikobcem, la cin manki fiye ciya yakentiye.
12 Nami nikawaona wafu wakubwa na wadogo, wakiwa wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi na vitabu vikafunguliwa. Pia kitabu kingine kikafunguliwa ambacho ni kitabu cha uzima. Hao wafu wakahukumiwa sawasawa na matendo yao kama yalivyoandikwa ndani ya hivyo vitabu.
Min to nubo kwarangum me nubo dur kange bibei ci tirangum wi kabum na gwomfe la cin wo bifimtini. la ci wom bifimer dumero. Bilendo an macimen bolang ki diker mulangum mor takarau, ki dikero ci maneu.
13 Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake, nayo mauti na Kuzimu zikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake. Kila mtu akahukumiwa kulingana na yale aliyoyatenda. (Hadēs g86)
Wima nubo wanang mureceu. Bwararo kange lo bibwetinim, nubo bwangten mbwanang mureceu ci macimen bolang dong dong kange diker ci maneu. (Hadēs g86)
14 Kisha mauti na Kuzimu zikatupwa katika ziwa la moto. Hii ndio mauti ya pili, yaani, hilo ziwa la moto. (Hadēs g86, Limnē Pyr g3041 g4442)
La ci merken wuro kang lobibwiti kira. Wuro co bwaro wo yobbe bitike Kira. (Hadēs g86, Limnē Pyr g3041 g4442)
15 Iwapo mtu jina lake halikuonekana katika kile kitabu cha uzima, alitupwa ndani ya lile ziwa la moto. (Limnē Pyr g3041 g4442)
Kwarub niwo ci fibo dencer mulang mulange mor bifumer dumeri, can merken co kira. (Limnē Pyr g3041 g4442)

< Ufunuo 20 >