< Zaburi 82 >
1 Zaburi ya Asafu. Mungu anaongoza kusanyiko kuu, anatoa hukumu miongoni mwa “miungu”:
Mijohañe am-pivorim-panalolahy t’i Andrianañahare; mizaka añivom-pizaka eo.
2 “Hata lini utaendelea kuwatetea wasio haki na kuonyesha upendeleo kwa waovu?
Pak’ombia ty mbe izakà’ areo ami’ty tsy hiti’e, hañonjonañe o tsivokatseo? Selà
3 Teteeni wanyonge na yatima, tunzeni haki za maskini na walioonewa.
Meo tò o rarakeo naho o bode-raeo; tohaño ty zo’ o poie’eo naho o misotrio.
4 Mwokoeni mnyonge na mhitaji, wakomboeni kutoka mkononi mwa mwovu.
Hahao o mahàtrao naho o malorèo; avotsoro am-pità’ o lo-tserekeo.
5 “Hawajui lolote, hawaelewi lolote. Wanatembea gizani; misingi yote ya dunia imetikisika.
Tsy mahilala iereo, naho tsy mahafohiñe, mirererere añ’ieñe ao avao; fa naveve iaby o faha’ ty tane toio.
6 “Nilisema, ‘Ninyi ni “miungu”; ninyi nyote ni wana wa Aliye Juu Sana.’
Nanao ty hoe iraho: Mpizaka nahareo songa anak’ i Andindimoneñey.
7 Lakini mtakufa kama wanadamu wa kawaida; mtaanguka kama mtawala mwingine yeyote.”
Fe hikoromake hoe ondaty avao, hikorovoke manahake ty raike amo roandriañeo.
8 Ee Mungu, inuka uihukumu nchi, kwa kuwa mataifa yote ni urithi wako.
Miongaha, ry Andrianañahare, zakao ty tane toy, fa kila ho lovae’o o fifeheañeo.