< Zaburi 3 >

1 Zaburi ya Daudi. Alipomkimbia mwanawe Absalomu. Ee Bwana, tazama adui zangu walivyo wengi! Ni wengi kiasi gani wanaoinuka dhidi yangu!
Un psaume de David, lorsqu'il fuyait Absalom, son fils. Yahvé, comme mes adversaires se sont multipliés! Nombreux sont ceux qui s'élèvent contre moi.
2 Wengi wanasema juu yangu, “Mungu hatamwokoa.”
Nombreux sont ceux qui disent de mon âme, « Il n'y a aucun secours pour lui en Dieu. (Selah)
3 Lakini wewe, Ee Bwana, ni ngao pande zote; umeniwekea utukufu na kuinua kichwa changu.
Mais toi, Yahvé, tu es un bouclier autour de moi, ma gloire, et celui qui relève ma tête.
4 Ninamlilia Bwana kwa sauti kuu, naye ananijibu kutoka mlima wake mtakatifu.
Je crie à Yahvé de ma voix, et il me répond du haut de sa colline sainte. (Selah)
5 Ninajilaza na kupata usingizi; naamka tena, kwa maana Bwana hunitegemeza.
Je me suis couché et j'ai dormi. Je me suis réveillé, car Yahvé me soutient.
6 Sitaogopa makumi elfu ya adui, wanaojipanga dhidi yangu kila upande.
Je n'aurai pas peur de dizaines de milliers de personnes. qui se sont dressés contre moi de toutes parts.
7 Ee Bwana, amka! Niokoe, Ee Mungu wangu! Wapige adui zangu wote kwenye taya, vunja meno ya waovu.
Lève-toi, Yahvé! Sauve-moi, mon Dieu! Car tu as frappé tous mes ennemis sur la pommette. Tu as cassé les dents des méchants.
8 Kwa maana wokovu watoka kwa Bwana. Baraka yako na iwe juu ya watu wako.
Le salut appartient à Yahvé. Que ta bénédiction soit sur ton peuple. (Selah)

< Zaburi 3 >