< Zaburi 17 >

1 Sala ya Daudi. Sikia, Ee Bwana, kusihi kwangu kwa haki, sikiliza kilio changu. Tega sikio kwa ombi langu, halitoki kwenye midomo ya udanganyifu.
Molitva. Davidova. Počuj, Jahve pravedni, i vapaj mi poslušaj, usliši molitvu iz usta iskrenih!
2 Hukumu yangu na itoke kwako, macho yako na yaone yale yaliyo haki.
Od tebe nek' mi dođe presuda, tvoje oči vide što je pravo.
3 Ingawa unauchunguza moyo wangu na kunikagua usiku, ingawa umenijaribu, hutaona chochote. Nimeamua kwamba kinywa changu hakitatenda dhambi.
Istraži mi srce, pohodi noću, ognjem me iskušaj, al' u meni nećeš nać' bezakonja. Ne zgriješiše usta moja
4 Kuhusu matendo ya wanadamu: kwa neno la midomo yako, nimejiepusha na njia za wenye jeuri.
kao što griješe ljudi: po riječima usta tvojih čuvah putove Zakona.
5 Hatua zangu zimeshikamana na njia zako; nyayo zangu hazikuteleza.
Korak mi čvrsto prionu za tvoje staze, ne zasta mi noga na putima tvojim.
6 Ee Mungu, ninakuita, kwa kuwa utanijibu, nitegee sikio lako na usikie ombi langu.
Zazivam te, Bože, ti ćeš me uslišit': prikloni mi uho i čuj riječi moje.
7 Uonyeshe ajabu ya upendo wako mkuu, wewe uokoaye kwa mkono wako wa kuume wale wanaokukimbilia kutokana na adui zao.
Proslavi na meni dobrotu svoju, ti koji od dušmana izbavljaš one što se utječu desnici tvojoj.
8 Nilinde kama mboni ya jicho lako, unifiche chini ya kivuli cha mbawa zako
Čuvaj me k'o zjenicu oka, sakrij me u sjenu krila svojih
9 kutokana na waovu wanaonishambulia, kutokana na adui wauaji wanaonizunguka.
od zlotvora što na me nasrću. Dušmani me bijesni opkoljuju,
10 Huifunga mioyo yao iliyo migumu, vinywa vyao hunena kwa majivuno.
bešćutno srce zatvaraju i ustima zbore naduto,
11 Wamenifuatia nyayo zangu, sasa wamenizingira, wakiwa macho, waniangushe chini.
Koraci njini sad me okružuju, smjeraju da me na zemlju obore;
12 Wamefanana na simba mwenye njaa awindaye, kama simba mkubwa anyemeleaye mafichoni.
slični lavu dok se, zinuv, na plijen obara i laviću što vreba u potaji.
13 Inuka, Ee Bwana, pambana nao, uwaangushe, niokoe kutokana na waovu kwa upanga wako.
Ustani, Jahve, presretni ga i obori, od grešnika mi život mačem spasi,
14 Ee Bwana, mkono wako uniokoe na watu wa jinsi hii, kutokana na watu wa ulimwengu huu ambao fungu lao liko katika maisha haya. Na wapate adhabu ya kuwatosha. Watoto wao na wapate zaidi ya hayo, hukumu na iendelee kwa watoto wa watoto wao.
a rukom od ljudi, Gospodine: od ljudi kojih je dio ovaj život, kojima želudac puniš dobrima; kojih su sinovi siti, a djeci daju što im pretekne.
15 Na mimi katika haki nitauona uso wako, niamkapo, nitaridhika kwa kuona sura yako.
A ja ću u pravdi gledati lice tvoje, i jednom kad se probudim, sit ću ga se nagledati.

< Zaburi 17 >