< Zaburi 13 >

1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Mpaka lini, Ee Bwana? Je, utanisahau milele? Utanificha uso wako mpaka lini?
Pak’ ombia, ry Iehovà? Ho haliño’o nainai’e hao iraho? Pak’ombia ty hañetaha’o laharañe amako?
2 Nitapambana na mawazo yangu mpaka lini, na kila siku kuwa na majonzi moyoni mwangu? Adui zangu watanishinda mpaka lini?
Sikal’ombia ty hitsakoreako an-troko ao ty haoreako, ie añ’ovako ao lomoñandro? Ampara’ te ombia ty hañonjonañe ty rafelahikoo ambone ahy?
3 Nitazame, unijibu, Ee Bwana Mungu wangu. Yatie nuru macho yangu, ama sivyo nitalala usingizi wa mauti.
Vazohò, naho toiño iraho, ry Iehovà Andrianañahareko; hazavao o masokoo; tsy mone hiroroako ty firoron-kavilasy;
4 Adui yangu atasema, “Nimemshinda,” nao adui zangu watashangilia nitakapoanguka.
Vaho hanao ty hoe i rafelahikoy: rinebako re; ke hirebeha’ o malaiñ’ ahikoo t’ie mibolatitse.
5 Lakini ninategemea upendo wako usiokoma; moyo wangu unashangilia katika wokovu wako.
Fe fiatoako ty figahiñan’ arofo’o; hirebeha’ ty troko i fandrombaha’oy.
6 Nitamwimbia Bwana, kwa kuwa amekuwa mwema kwangu.
Ho saboeko t’Iehovà, amy te nampibodobodoe’e.

< Zaburi 13 >