< Zaburi 120 >
1 Wimbo wa kwenda juu. Katika dhiki yangu namwita Bwana, naye hunijibu.
Izaho niampoheke, le nikanjy Iehovà, vaho tinoi’e.
2 Ee Bwana, uniokoe kutoka midomo ya uongo na ndimi za udanganyifu.
O ry Iehovà, apitsoho an-tsoñin-dremborake ty fiaiko, boak’ ami’ty lela mamañahy.
3 Atakufanyia nini, au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?
Inon-ty homeañ’ azo, ino ka ty hanoeñe ama’o ty lela letra’e tia?
4 Atakuadhibu kwa mishale mikali ya shujaa, kwa makaa yanayowaka ya mti wa mretemu.
ana-pale masiom-panalolahy, naho forohan’ andrabey!
5 Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki, kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!
Hankàñe amako te mañialo e Mèseke añe, naho ty fimoneñako an-kiboho’ i Kedàre ao!
6 Nimeishi muda mrefu mno miongoni mwa wale wanaochukia amani.
Loho hatr’ela’e ty nitraofam-piaiko ami’ty kivoho’ o malaim-pilongoañeo.
7 Mimi ni mtu wa amani; lakini ninaposema, wao wanataka vita.
Toe mpitea filongoan-draho; fa ie ivolañako, aly avao ty onjone’ iereo.