< Zaburi 114 >

1 Wakati Israeli walipotoka Misri, nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,
Aleluja! Kad izađe Izrael iz Egipta i kuća Jakovljeva iz naroda barbarskog,
2 Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu, Israeli akawa milki yake.
Judeja mu posta svetište, a Izrael kraljevstvo njegovo.
3 Bahari ilitazama ikakimbia, Yordani ulirudi nyuma,
Vidje more i uzmače, a Jordan ustuknu.
4 milima ilirukaruka kama kondoo dume, vilima kama wana-kondoo.
Bregovi skakahu poput ovnova i brežuljci poput jaganjaca.
5 Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia, nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,
Što ti je, more, da uzmičeš? Jordane, zašto natrag okrećeš?
6 enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume, enyi vilima, kama wana-kondoo?
Bregovi, zašto skačete poput ovnova i vi, brežuljci, poput jaganjaca?
7 Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana, mbele za Mungu wa Yakobo,
Dršći, zemljo, pred licem Gospodnjim, pred licem Boga Jakovljeva.
8 aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji, mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.
On hrid pretvara u slap vodeni i stijenu u izvor vode.

< Zaburi 114 >