< Zaburi 100 >
1 Zaburi ya shukrani. Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote.
Воскликните Богови вся земля:
2 Mwabuduni Bwana kwa furaha; njooni mbele zake kwa nyimbo za shangwe.
работайте Господеви в веселии, внидите пред Ним в радости.
3 Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu. Yeye ndiye alituumba, sisi tu mali yake; sisi tu watu wake, kondoo wa malisho yake.
Уведите, яко Господь Той есть Бог наш: Той сотвори нас, а не мы: мы же людие Его и овцы пажити Его.
4 Ingieni malangoni mwake kwa shukrani na katika nyua zake kwa kusifu, mshukuruni yeye na kulisifu jina lake.
Внидите во врата Его во исповедании, во дворы Его в пениих: исповедайтеся Ему, хвалите имя Его.
5 Kwa maana Bwana ni mwema na upendo wake wadumu milele; uaminifu wake unadumu kwa vizazi vyote.
Яко благ Господь, в век милость Его, и даже до рода и рода истина Его.