< Zaburi 100 >

1 Zaburi ya shukrani. Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote.
Un psaume d'action de grâce. Poussez des cris de joie vers Yahvé, vous toutes les terres!
2 Mwabuduni Bwana kwa furaha; njooni mbele zake kwa nyimbo za shangwe.
Servez Yahvé avec allégresse. Venez devant sa présence en chantant.
3 Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu. Yeye ndiye alituumba, sisi tu mali yake; sisi tu watu wake, kondoo wa malisho yake.
Sachez que Yahvé, c'est Dieu. C'est lui qui nous a fait, et nous sommes à lui. Nous sommes son peuple, et les brebis de son pâturage.
4 Ingieni malangoni mwake kwa shukrani na katika nyua zake kwa kusifu, mshukuruni yeye na kulisifu jina lake.
Entrez dans ses portes avec des actions de grâces, et dans ses cours avec des louanges. Rendez-lui grâce et bénissez son nom.
5 Kwa maana Bwana ni mwema na upendo wake wadumu milele; uaminifu wake unadumu kwa vizazi vyote.
Car Yahvé est bon. Sa bonté est éternelle, sa fidélité à toutes les générations.

< Zaburi 100 >