< Mithali 11 >

1 Bwana huchukia sana mizani za udanganyifu, bali vipimo sahihi ni furaha yake.
Мерила льстивая мерзость пред Господем, вес же праведный приятен Ему.
2 Kiburi kinapokuja, ndipo huja aibu, bali unyenyekevu huja na hekima.
Идеже аще внидет досаждение, тамо и безчестие: уста же смиренных поучаются премудрости.
3 Uadilifu wa wenye haki huwaongoza, bali wasio waaminifu huharibiwa na hila yao.
Умираяй праведник остави раскаяние, удобна же бывает и посмеятелна нечестивых погибель.
4 Utajiri haufaidi kitu katika siku ya ghadhabu, bali haki huokoa kutoka mautini.
Совершенство правых наставит их, и поползновение отрицающихся пленит их. Не упользуют имения в день ярости: правда же избавит от смерти.
5 Haki ya wasio na lawama, huwatengenezea njia iliyonyooka, bali waovu huangushwa kwa uovu wao wenyewe.
Правда непорочнаго исправляет пути, нечестие же впадает в неправду.
6 Haki ya wanyofu huwaokoa, bali wasio waaminifu hunaswa na tamaa mbaya.
Правда мужей правых избавит их, безсоветием же уловляются беззаконнии.
7 Wakati mtu mwovu anapokufa, matumaini yake hutoweka; yote aliyoyatazamia kutokana na nguvu zake huwa si kitu.
Скончавшуся мужу праведну, не погибнет надежда: похвала же нечестивых погибнет.
8 Mtu mwenye haki huokolewa kutoka taabu, naye mtu mwovu huingia humo badala yake.
Праведный от лова убегнет, в негоже место предается нечестивый.
9 Kwa kinywa chake mtu asiyemwamini Mungu humwangamiza jirani yake, bali kwa maarifa mwenye haki huokolewa.
Во устех нечестивых сеть гражданом, чувство же праведных благопоспешно.
10 Wakati mwenye haki anapofanikiwa, mji hufurahi; mwovu atowekapo, kuna kelele za furaha.
Во благих праведных исправится град, и в погибели нечестивых радование.
11 Kutokana na baraka ya mtu mnyofu mji hukwezwa, bali kwa kinywa cha mwovu mji huharibiwa.
В благословении правых возвысится град, усты же нечестивых раскопается.
12 Mtu asiye na akili humdharau jirani yake, bali mtu mwenye ufahamu huuzuia ulimi wake.
Ругается гражданом лишенный разума, муж же мудр безмолвие водит.
13 Masengenyo husaliti tumaini, bali mtu mwaminifu hutunza siri.
Муж двоязычен открывает советы в сонмищи, верный же духом таит вещы.
14 Pasipo ushauri wa hekima taifa huanguka, bali washauri wengi hufanya ushindi uwe wa hakika.
Умже и несть управления, падают аки листвие, спасение же есть во мнозе совете.
15 Yeye amdhaminiye mgeni hakika atateseka, bali yeyote akataaye kuunga mkono dhamana ni salama.
Лукавый злодействует, егда сочетавается с праведным, ненавидит же гласа утверждения.
16 Mwanamke mwenye moyo wa huruma hupata heshima, bali wanaume wakorofi hupata mali tu.
Жена благодатна возносит мужу славу: престол же безчестия жена ненавидящая правды. Богатства ленивии скудни бывают, крепцыи же утверждаются богатством.
17 Mwenye huruma hujinufaisha mwenyewe, bali mkatili hujiletea taabu mwenyewe.
Души своей благотворит муж милостивый, погубляет же тело свое немилостивый.
18 Mtu mwovu hupata ujira wa udanganyifu, bali yeye apandaye haki huvuna tuzo ya uhakika.
Нечестивый творит дела неправедная: семя же праведных мзда истины.
19 Mtu mwenye haki kweli kweli hupata uzima, bali yeye afuatiliaye ubaya huendea kifo chake.
Сын праведный раждается в живот: гонение же нечестиваго в смерть.
20 Bwana huwachukia sana watu wenye moyo wa upotovu, bali hupendezwa na wale ambao njia zao hazina lawama.
Мерзость Господеви путие развращенни, приятни же Ему вси непорочнии в путех своих.
21 Uwe na hakika na hili: Waovu hawataepuka kuadhibiwa, bali wenye haki watakuwa huru.
В руку руце вложив неправедно, не без муки будет злых: сеяй же правду приимет мзду верну.
22 Kama pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe ndivyo alivyo mwanamke mzuri ambaye hana busara.
Якоже усерязь златый в ноздрех свинии, тако жене злоумней лепота.
23 Shauku ya mwenye haki huishia tu kwenye mema, bali tumaini la mwovu huishia tu kwenye ghadhabu.
Желание праведных все благое, надежда же нечестивых погибнет.
24 Kuna mtu atoaye kwa ukarimu, hata hivyo hupata zaidi, mwingine huzuia, lakini huwa maskini.
Суть, иже своя сеюще, множайшая творят: суть же и собирающе чуждая, умаляются.
25 Mtu mkarimu atastawi; yeye awaburudishaye wengine ataburudishwa mwenyewe.
Душа благословенна всякая простая: муж ярый неблагообразен.
26 Watu humlaani mtu awanyimae watu nafaka, bali baraka itamkalia kichwani kama taji yeye aliye radhi kuiuza.
Удержаваяй пшеницу оставит ю языком: продаяй пшеницу скупо, от народа проклят, благословение же Господне на главе подавающаго.
27 Yeye atafutaye mema hupata ukarimu, bali ubaya huja kwake yeye autafutaye.
Творяй благая ищет благодати добры: ищущаго же злая постигнут его.
28 Yeyote ategemeaye utajiri wake ataanguka, bali mwenye haki atastawi kama jani bichi.
Надеяйся на богатство свое, сей падет: заступаяй же праведных, той возсияет.
29 Yeye aletaye taabu kwa jamaa yake atarithi tu upepo, naye mpumbavu atakuwa mtumishi wa wenye hekima.
Не сматряяй своего дому наследит ветры: поработает же безумный разумному.
30 Tunda la mwenye haki ni mti wa uzima, naye mwenye hekima huvuta roho za watu.
От плода правды древо жизни прозябает: отемлются же безвременно души беззаконных.
31 Kama wenye haki watapokea ujira wao duniani, si zaidi sana yule asiyemcha Mungu na mwenye dhambi?
Аще праведный едва спасается, нечестивый же и грешный где явится?

< Mithali 11 >