< Hesabu 33 >

1 Hivi ndivyo vituo katika safari ya Waisraeli walipotoka Misri kwa vikosi chini ya uongozi wa Mose na Aroni.
И сии станове сынов Израилевых, егда изыдоша из земли Египетския с силою своею рукою Моисеовою и Ааронею.
2 Kwa agizo la Bwana, Mose aliweka kumbukumbu ya vituo katika safari yao. Hivi ndivyo vituo katika safari yao:
И написа Моисей воздвижения их и станы их, по словеси Господню. И сии станове шествия их:
3 Waisraeli walisafiri kutoka Ramesesi katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa kwanza, siku iliyofuata Pasaka. Walitembea kwa ujasiri wazi mbele ya Wamisri wote,
воздвигошася от Рамессы в месяц первый, в пятыйнадесять день перваго месяца: наутрие Пасхи изыдоша сынове Израилтестии рукою высокою пред всеми Египтяны:
4 waliokuwa wakizika wazaliwa wao wa kwanza wote, ambao Bwana alikuwa amewaua katikati yao, kwa kuwa Bwana alikuwa ameleta hukumu juu ya miungu yao.
и Египтяне погребаху умершыя от них вся, яже изби Господь всякаго первенца в земли Египетстей: и в бозех их сотвори отмщение Господь.
5 Waisraeli waliondoka Ramesesi na kupiga kambi huko Sukothi.
И воздвигшеся сынове Израилевы от Рамессы, ополчишася в Сокхофе:
6 Wakaondoka Sukothi na kupiga kambi huko Ethamu, pembeni mwa jangwa.
и воздвигшеся от Сокхофа, ополчишася в Вуфане, иже есть часть некая пустыни:
7 Wakaondoka Ethamu, wakageuka wakarudi Pi-Hahirothi, hadi mashariki ya Baal-Sefoni, wakapiga kambi yao karibu na Migdoli.
и воздвигошася от Вуфана, и ополчишася во устии Ирофа, иже есть прямо Веельсепфону, и ополчишася прямо Магдолу:
8 Wakaondoka Pi-Hahirothi wakapita katikati ya bahari mpaka jangwani, na baada ya kusafiri kwa siku tatu katika Jangwa la Ethamu, walipiga kambi huko Mara.
и воздвигошася прямо Ирофу, и проидоша среди моря в пустыню: и идоша путем три дни в пустыни тии, и ополчишася в Горькостех.
9 Wakaondoka Mara wakaenda Elimu, mahali ambapo palikuwa na chemchemi kumi na mbili na mitende sabini, huko wakapiga kambi.
И воздвигошася от Горькостей и приидоша в Елим: и в Елиме (быша) дванадесять источники вод, и седмьдесят стеблий фиников, и ополчишася у воды тамо.
10 Wakaondoka Elimu na kupiga kambi kando ya Bahari ya Shamu.
И воздвигошася от Елима и ополчишася у моря Чермнаго:
11 Wakaondoka kando ya Bahari ya Shamu na kupiga kambi katika Jangwa la Sini.
и воздвигошася от моря Чермнаго и ополчишася в пустыни Син:
12 Wakaondoka katika Jangwa la Sini, wakapiga kambi huko Dofka.
и воздвигошася от пустыни Син и ополчишася в Рафаке:
13 Wakaondoka Dofka, wakapiga kambi huko Alushi.
и воздвигошася от Рафака и ополчишася в Елусе:
14 Wakaondoka Alushi, wakapiga kambi Refidimu, mahali ambapo hapakuwa na maji kwa ajili ya watu kunywa.
и воздвигошася от Елуса и ополчишася в Рафидине: и не бысть тамо воды людем пити.
15 Wakaondoka Refidimu na kupiga kambi katika Jangwa la Sinai.
И воздвигошася от Рафидина и ополчишася в пустыни Сина:
16 Wakaondoka katika Jangwa la Sinai na kupiga kambi huko Kibroth-Hataava.
и воздвигошася от пустыни Сина и ополчишася во гробех Похотения:
17 Wakaondoka Kibroth-Hataava na kupiga kambi huko Haserothi.
и воздвигошася от Гробов Похотения и ополчишася во Асирофе:
18 Wakaondoka Haserothi na kupiga kambi huko Rithma.
и воздвигошася от Асирофа и ополчишася в Рафаме:
19 Wakaondoka Rithma na kupiga kambi huko Rimon-Peresi.
и воздвигошася от Рафама и ополчишася в Ремнон-Фаресе:
20 Wakaondoka Rimon-Peresi na kupiga kambi huko Libna.
и воздвигошася от Ремнон-Фареса и ополчишася в Лемвоне:
21 Wakaondoka Libna na kupiga kambi huko Risa.
и воздвигошася от Лемвона и ополчишася в Рессане:
22 Wakaondoka Risa na kupiga kambi huko Kehelatha.
и воздвигошася от Рессана и ополчишася в Макеллафе:
23 Wakaondoka Kehelatha na kupiga kambi kwenye mlima Sheferi.
и воздвигошася от Макеллафа и ополчишася во Арсафафе:
24 Wakaondoka kwenye mlima Sheferi na kupiga kambi huko Harada.
и воздвигошася от Арсафафа горы и ополчишася в Харадафе:
25 Wakaondoka Harada na kupiga kambi huko Makelothi.
и воздвигошася от Харадафа и ополчишася в Макидофе:
26 Wakaondoka Makelothi na kupiga kambi huko Tahathi.
и воздвигошася от Макидофа и ополчишася в Катаафе:
27 Wakaondoka Tahathi na kupiga kambi huko Tera.
и воздвигошася от Катаафа и ополчишася во Фарафе:
28 Wakaondoka Tera na kupiga kambi huko Mithka.
и воздвигошася от Фарафа и ополчишася в Мафекке:
29 Wakaondoka Mithka na kupiga kambi huko Hashmona.
и воздвигошася от Мафекка и ополчишася во Аселмоне:
30 Wakaondoka Hashmona na kupiga kambi Moserothi.
и воздвигошася от Аселмона и ополчишася в Масуруфе:
31 Wakaondoka Moserothi na kupiga kambi huko Bene-Yakani.
и воздвигошася от Масуруфа и ополчишася в Ванаккане:
32 Wakaondoka Bene-Yakani na kupiga kambi huko Hor-Hagidgadi.
и воздвигошася от Ванаккана и ополчишася в горе Гаддад:
33 Wakaondoka Hor-Hagidgadi na kupiga kambi huko Yotbatha.
и воздвигошася от горы Гаддад и ополчишася во Етевафе:
34 Wakaondoka Yotbatha na kupiga kambi huko Abrona.
и воздвигошася от Етевафа и ополчишася во Евроне:
35 Wakaondoka Abrona na kupiga kambi huko Esion-Geberi.
и воздвигошася от Еврона и ополчишася в Гесион-Гавере:
36 Wakaondoka Esion-Geberi na kupiga kambi huko Kadeshi katika Jangwa la Sini.
и воздвигошася от Гесион-Гавера и ополчишася в пустыни Син: и воздвигошася от пустыни Син и ополчишася в пустыни Фарани, яже есть Кадис:
37 Wakaondoka Kadeshi na kupiga kambi kwenye Mlima Hori, mpakani mwa Edomu.
и воздвигошася от Кадиса и ополчишася в горе Ор близ земли Едомли.
38 Kwa amri ya Bwana, kuhani Aroni alipanda Mlima Hori, mahali alipofia katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano, mwaka wa arobaini baada ya Waisraeli kutoka Misri.
И взыде Аарон жрец на гору Ор повелением Господним, и умре тамо в четыредесятое лето изшествия сынов Израилевых из земли Египетския, месяца пятаго в первый день месяца.
39 Aroni alikufa juu ya Mlima Hori akiwa na umri wa miaka 123.
И Аарон бяше ста двадесяти трех лет, егда умре в горе Ор.
40 Mfalme Mkanaani wa Aradi, ambaye aliishi huko Negebu ya Kanaani, akasikia kwamba Waisraeli wanakuja.
И услыша Хананей царь Арадский, и сей живяше в земли Ханаани, егда вхождаху сынове Израилевы.
41 Wakaondoka kwenye mlima Hori na kupiga kambi huko Salmona.
И воздвигошася от горы Ор и ополчишася в Селмоне:
42 Wakaondoka Salmona, wakapiga kambi huko Punoni.
и воздвигошася от Селмона и ополчишася в Финоне:
43 Wakaondoka Punoni, wakapiga kambi huko Obothi.
и воздвигошася от Финона и ополчишася во Овофе:
44 Wakaondoka Obothi, wakapiga kambi huko Iye-Abarimu, mipakani mwa Moabu.
и воздвигошася от Овофа и ополчишася в Гаи, об ону страну предел Моавлих:
45 Wakaondoka Iye-Abarimu, wakapiga kambi huko Dibon-Gadi.
и воздвигошася от Гаи и ополчишася в Девон-Гаде:
46 Wakaondoka Dibon-Gadi na kupiga kambi huko Almon-Diblathaimu.
и воздвигошася от Девон-Гада и ополчишася в Гелмон-Девлафаиме:
47 Wakaondoka Almon-Diblathaimu na kupiga kambi katika milima ya Abarimu, karibu na Nebo.
и воздвигошася от Гелмон-Девлафаима и ополчишася в горах Аваримлих прямо Нававу:
48 Wakaondoka kwenye milima ya Abarimu na kupiga kambi kwenye tambarare ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.
и воздвигошася от гор Аваримлих и ополчишася на западе Моавли, у Иордана при Иерихоне:
49 Huko kwenye tambarare za Moabu walipiga kambi kandokando ya Mto Yordani, kuanzia Beth-Yeshimothi mpaka Abel-Shitimu.
и воздвигошася от запада Моавля и ополчишася у Иордана, между Есимофом, до Велсаттима на запады Моава.
50 Katika tambarare za Moabu kando ya Yordani kuvukia Yeriko, Bwana akamwambia Mose,
И рече Господь к Моисею в западе Моава у Иордана при Иерихоне, глаголя:
51 “Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Mtakapovuka Mto Yordani kuingia Kanaani,
глаголи сыном Израилевым и речеши к ним: вы преходите Иордан в землю Ханааню,
52 wafukuzeni wakazi wote wa nchi iliyo mbele yenu. Haribuni sanamu zao zote za kuchongwa, na sanamu zilizotengenezwa kwa kuyeyusha chuma, na kupabomoa mahali pao pa ibada.
и погубите вся живущыя на земли от лица вашего, и разрушите стражбы их, и вся идолы излиянныя их сокрушите я, и вся капища их разрушите,
53 Mtaimiliki nchi hiyo na kukaa huko, kwa kuwa nimewapeni ninyi kuimiliki.
и погубите вся живущыя на земли, и вселитеся в ню: вам бо дах землю их по жребию:
54 Mtaigawanya nchi hiyo kwa kupiga kura, kufuatana na koo zenu. Kwa kundi kubwa zaidi toa urithi mkubwa zaidi, na kwa kundi dogo zaidi urithi mdogo zaidi. Chochote kinachowaangukia kwa kura kitakuwa chao. Mtaigawanya nchi kufuatana na makabila ya babu zenu.
и наследите землю их жребием по племенам вашым: многим умножите одержание их, и малым умалите одержание их: в неже изыдет имя его, тамо да будет жребий его: по племенам отечествий ваших наследите:
55 “‘Lakini kama hamkuwafukuza wenyeji wakaao katika nchi hiyo, wale mtakaowaruhusu wabaki watakuwa kama sindano kwenye macho yenu na miiba kwenu kila upande. Watawasumbua katika nchi mtakayoishi.
аще же не погубите живущих на земли от лица вашего, будут, ихже оставите от них, остны во очесех ваших и стрелы в ребрах ваших, и совраждуют вам на земли, на нейже вы вселитеся:
56 Kisha nitawatenda ninyi kile ambacho nimepanga kuwatenda wao.’”
и будет якоже умыслих сотворити онем, то сотворю вам.

< Hesabu 33 >