< Hesabu 29 >

1 “‘Katika siku ya kwanza ya mwezi wa saba mtakuwa na kusanyiko takatifu na msifanye kazi ya kawaida. Ni siku kwa ajili yenu ya kupiga tarumbeta.
Miesiąca zaś siódmego w pierwszy dzień jego, zgromadzenie święte mieć będziecie; żadnej roboty służebniczej nie będziecie czynić; dzień jest wesołego trąbienia waszego.
2 Mtatayarisha sadaka ya kuteketezwa kama harufu nzuri impendezayo Bwana ya fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja, na wana-kondoo saba wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
A będziecie ofiarowali całopalenie ku wdzięcznej wonności Panu, cielca młodego jednego, barana jednego, baranków rocznych siedem zupełnych;
3 Pamoja na fahali, andaeni sadaka ya nafaka sehemu ya kumi tatu za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; kwa kondoo dume, andaa unga sehemu ya kumi mbili za efa;
A na ofiarę śniedną ich z mąki pszennej nagniecionej z oliwą trzy dziesiąte części efy do cielca, a dwie dziesiąte części do barana.
4 na pamoja na wana-kondoo saba kila mmoja aandaliwe na sehemu ya kumi ya efa ya unga.
A dziesiątę część jednę do każdego baranka z onych siedmiu baranków;
5 Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
Także kozła jednego z kóz ku ofierze za grzech na oczyszczenie was.
6 Hivi ni nyongeza ya sadaka za kuteketezwa kila mwezi na kila siku pamoja na sadaka zake za nafaka na sadaka za vinywaji kama ilivyoainishwa. Ni sadaka zinazotolewa kwa Bwana kwa moto, harufu inayopendeza.
Oprócz całopalenia nowego miesiąca, i ofiary śniednej jego, i oprócz całopalenia ustawicznego, i ofiary śniednej jego, i ofiar ich mokrych według obrzędów ich ku wdzięcznej wonności; ofiara to ognista Panu.
7 “‘Kwenye siku ya kumi ya mwezi huu wa saba mtakuwa na kusanyiko takatifu. Mtajikana wenyewe na msifanye kazi.
Potem dziesiątego dnia tegoż miesiąca siódmego, zgromadzenie święte mieć będziecie, a będziecie trapić dusze wasze; żadnej roboty nie będziecie robić.
8 Toeni sadaka ya kuteketezwa ya fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja, na wana-kondoo saba wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari, kama harufu nzuri inayompendeza Bwana.
A będziecie ofiarowali całopalenie Panu ku wdzięcznej wonności: cielca młodego jednego, barana jednego, baranków rocznych siedem; zupełni niech wam będą;
9 Pamoja na fahali, andaeni sadaka ya nafaka sehemu ya kumi tatu za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; pamoja na kondoo dume, sehemu ya kumi mbili za efa za unga laini;
A na ofiarę śniedną ich z pszennej mąki nagniecionej z oliwą: trzy dziesiąte części do każdego cielca, dwie zaś dziesiąte części do każdego barana;
10 na kwa kila mmoja wa wana-kondoo saba andaa sehemu ya kumi ya unga laini kwa kila mmoja.
A dziesiątą część jednę do każdego baranka z onych siedmiu baranków;
11 Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, katika nyongeza ya sadaka ya dhambi kwa ajili ya upatanisho, na sadaka ya kawaida ya kuteketezwa pamoja na sadaka yake ya nafaka, na sadaka zake za vinywaji.
Kozła z kóz jednego na ofiarę za grzech, oprócz ofiary za grzech na oczyszczenie, i oprócz całopalenia ustawicznego, i ofiary śniednej jego, i mokrych ofiar ich.
12 “‘Katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu, na hamtafanya kazi za kawaida. Adhimisheni sikukuu kwa Bwana kwa siku saba.
W piętnasty zaś dzień tegoż siódmego miesiąca zgromadzenie święte mieć będziecie; żadnej roboty służebniczej nie będziecie czynić weń; ale obchodzić będziecie święto uroczyste Panu przez siedem dni.
13 Toeni sadaka ya kuteketezwa mafahali wachanga kumi na watatu, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari, kama harufu nzuri inayompendeza Bwana.
I ofiarować będziecie całopalenie na ofiarę ognistą ku wdzięcznej wonności Panu, cielców młodych trzynaście, baranów dwa, baranków rocznych czternaście; i zupełni będą.
14 Pamoja na hao mafahali kumi na watatu, kila mmoja aandaliwe na sadaka ya nafaka sehemu ya kumi tatu za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; kwa kondoo dume wawili, kila mmoja aandaliwe sehemu ya kumi mbili za efa za unga laini;
A na ofiarę ich śniedną z pszennej mąki zagniecionej z oliwą trzy dziesiąte części efy do każdego cielca z onych trzynaście cielców, dwie dziesiąte części do każdego barana z onych dwóch baranów;
15 na kwa wana-kondoo kumi na wanne, kila mmoja aandaliwe sehemu ya kumi ya efa ya unga laini.
A jedna dziesiąta część do każdego baranka z onych czternaście baranków.
16 Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka ya vinywaji.
Także kozła jednego z kóz na ofiarę za grzech, oprócz całopalenia ustawicznego, ofiary śniednej jego, i ofiary mokrej jego.
17 “‘Katika siku ya pili andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
Wtórego zaś dnia ofiarować będziecie cielców młodych dwanaście, baranów dwa, baranków rocznych czternaście zupełnych;
18 Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
I ofiarę śniedną ich, i ofiary ich mokre do każdego cielca, do każdego barana, i do każdego baranka według liczby ich, i według zwyczaju ich.
19 Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.
Nadto kozła jednego z kóz na ofiarę za grzech, oprócz całopalenia ustawicznego, i ofiary śniednej jego, i ofiar ich mokrych.
20 “‘Katika siku ya tatu andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
Dnia zaś trzeciego ofiarować będziecie jedenaście cielców, baranów dwa, baranków rocznych czternaście zupełnych.
21 Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
I ofiarę śniedną ich, i ofiary mokre ich do każdego cielca, do każdego barana, i do każdego baranka według liczby ich, i według zwyczaju ich;
22 Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.
Do tego, kozła jednego na ofiarę za grzech, okrom całopalenia ustawicznego, i ofiary śniednej jego, i mokrej ofiary jego.
23 “‘Katika siku ya nne andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
A dnia czwartego ofiarować będziecie cielców dziesięć, baranów dwa, baranków rocznych czternaście zupełnych;
24 Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
Ofiarę śniedną ich, i ofiary mokre ich do każdego cielca, do każdego barana, i do każdego baranka według liczby ich, i według zwyczaju ich;
25 Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.
Kozła też jednego z kóz na ofiarę za grzech, oprócz całopalenia ustawicznego, ofiary śniednej jego, i mokrej ofiary jego.
26 “‘Katika siku ya tano andaeni mafahali tisa, kondoo dume wawili na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
A dnia piątego ofiarować będziecie cielców dziewięć, baranów dwa, baranków rocznych czternaście zupełnych;
27 Pamoja na mafahali, kondoo dume na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za kinywaji kulingana na idadi iliyoainishwa.
I ofiarę śniedną ich, i ofiary mokre ich do każdego cielca, do każdego barana, i do każdego baranka według liczby ich, i według zwyczaju ich;
28 Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi katika nyongeza ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa na sadaka yake ya nafaka pamoja na sadaka ya kinywaji.
Także kozła jednego na ofiarę za grzech, oprócz całopalenia ustawicznego, i ofiary śniednej jego, i ofiary mokrej jego.
29 “‘Katika siku ya sita andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
A dnia szóstego ofiarować będziecie cielców osiem, baranów dwa, baranków rocznych czternaście zupełnych;
30 Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
I ofiarę śniedną ich, i ofiary mokre ich do każdego cielca, i do każdego barana, i do każdego baranka według liczby ich, według zwyczaju ich.
31 Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.
Nadto kozła za ofiarę za grzech jednego, okrom całopalenia ustawicznego, ofiary śniednej jego, i ofiar mokrych jego;
32 “‘Katika siku ya saba andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
Także dnia siódmego ofiarować będziecie cielców siedem, baranów dwa, baranków rocznych czternaście zupełnych.
33 Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
I ofiarę śniedną ich, i ofiary mokre ich do każdego cielca, do każdego barana, do każdego baranka według liczby ich, i według zwyczaju ich;
34 Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.
Przytem kozła na ofiarę za grzech jednego, oprócz całopalenia ustawicznego i ofiary śniednej jego, i ofiary mokrej jego.
35 “‘Katika siku ya nane mtakuwa na kusanyiko, na msifanye kazi ya kawaida.
A dnia ósmego zacne święto mieć będziecie; żadnej roboty służebniczej nie będziecie czynić.
36 Toeni sadaka ya kuteketezwa kama harufu nzuri inayompendeza Bwana, sadaka ya kuteketezwa ya fahali mmoja, kondoo dume mmoja, na wana-kondoo dume saba wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
A ofiarować będziecie całopalenie, i ofiarę ognistą ku wdzięcznej wonności Panu, cielca jednego, barana jednego, baranków rocznych siedem zupełnych;
37 Pamoja na fahali, kondoo dume na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka, na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
Ofiarę śniedną ich, i ofiary mokre ich do cielca, do barana, do każdego baranka według liczby ich, i według zwyczaju ich.
38 Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, katika nyongeza ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka pamoja na sadaka ya kinywaji.
Nadto kozła na ofiarę za grzech jednego, okrom całopalenia ustawicznego, ofiary śniednej jego, i ofiary mokrej jego.
39 “‘Zaidi ya kile unachoweka nadhiri na sadaka zenu za hiari, andaeni hizi kwa ajili ya Bwana kwenye sikukuu zenu zilizoamriwa: sadaka zenu za kuteketezwa, sadaka za nafaka, sadaka za vinywaji, pamoja na sadaka zenu za amani.’”
To ofiarować będziecie Panu w święta uroczyste wasze, oprócz ślubów waszych i dobrowolnych ofiar waszych w całopaleniach waszych, i w śniednych ofiarach waszych, i w mokrych ofiarach waszych, i w spokojnych ofiarach waszych.
40 Mose akawaambia Waisraeli yale yote Bwana alimwagiza.
I powiedział Mojżesz synom Izraelskim to wszystko, co rozkazał Pan Mojżeszowi.

< Hesabu 29 >