< Nehemia 12 >
1 Hawa wafuatao walikuwa makuhani na Walawi ambao walirudi na Zerubabeli mwana wa Shealtieli pamoja na Yeshua: Seraya, Yeremia, Ezra,
Or voici les prêtres et les Lévites qui montèrent avec Zorobabel, fils de Salathiel, et avec Josué: Saraïa, Jérémie, Esdras,
2 Amaria, Maluki, Hatushi,
Amaria, Melluch, Hattus,
3 Shekania, Rehumu, Meremothi,
Sébénias, Rhéum, Mérimuth,
5 Miyamini, Moadia, Bilga,
Miamin, Madia, Belga,
6 Shemaya, Yoyaribu, Yedaya,
Séméia et Joïarib, Idaïa, Sellum, Amoc, Helcias,
7 Salu, Amoki, Hilkia na Yedaya. Hawa walikuwa viongozi wa makuhani na wenzao wakati wa Yeshua.
Idaïa. Ceux-là furent les princes des prêtres et leurs frères dans les jours de Josué.
8 Walawi walikuwa Yeshua, Binui, Kadmieli, Sherebia, Yuda, na pia Matania, ambaye pamoja na wenzake, alikuwa kiongozi wa nyimbo za shukrani.
Mais les Lévites étaient Jésua, Bennuï, Cedmihel, Sarébia Juda, Mathanias, préposés pour les hymnes, eux et leurs frères;
9 Bakbukia na Uni, wenzao, walisimama mkabala nao wakati wa ibada.
Et Becbécia, et Hanni, et leurs frères, chacun dans son office.
10 Yeshua alikuwa baba wa Yoyakimu, Yoyakimu alikuwa baba wa Eliashibu, Eliashibu alikuwa baba wa Yoyada,
Or. Josué engendra Joacim, et Joacim engendra Eliasib, Eliasib engendra Joïada,
11 Yoyada alikuwa baba wa Yonathani, na Yonathani alikuwa baba wa Yadua.
Joïada engendra Jonathan, et Jonathan engendra Jeddoa.
12 Katika siku za Yoyakimu, kulikuwa na wakuu wa jamaa za kikuhani: wa jamaa ya Seraya, Meraya; wa jamaa ya Yeremia, Hanania;
Et, dans les tours de Joacim, étaient prêtres et princes des familles: de Saraïa, Maraïa; de Jérémie, Hananias;
13 wa jamaa ya Ezra, Meshulamu; wa jamaa ya Amaria, Yehohanani;
D’Esdras, Mosollam; d’Amarias, Johanan;
14 wa jamaa ya Maluki, Yonathani; wa jamaa ya Shebania, Yosefu;
De Milicho, Jonathan; de Sébénias, Joseph;
15 wa jamaa ya Harimu, Adna; wa jamaa ya Meremothi, Helkai;
De Haram, Edna; de Maraïoth, Helci;
16 wa jamaa ya Ido, Zekaria; wa jamaa ya Ginethoni, Meshulamu;
D’Adaïa, Zacharie; de Genthon, Mosollam;
17 wa jamaa ya Abiya, Zikri; wa jamaa ya Miniamini na ya Maazia, Piltai;
D’Abia, Zéchri; de Miamin et de Moadia, Phelti;
18 wa jamaa ya Bilgai, Shamua; wa jamaa ya Shemaya, Yehonathani;
De Belga, Sammua; de Sémaïa, Jonathan;
19 wa jamaa ya Yoyaribu, Matenai; wa jamaa ya Yedaya, Uzi;
De Joïarib, Mathanaï; de Jodaïa, Azzi;
20 wa jamaa ya Salu, Kalai; wa jamaa ya Amoki, Eberi;
De Sellaï, Célaï; d’Amoc, Héber;
21 wa jamaa ya Hilkia, Hashabia; wa jamaa ya Yedaya, Nethaneli.
D’Helcias, Hasébia; d’Idaïa, Nathanaël.
22 Wakuu wa jamaa za Walawi katika siku za Eliashibu, Yoyada, Yohanani na Yadua, pia wale jamaa za makuhani, waliandikishwa wakati wa utawala wa Dario, Mwajemi.
Les Lévites, dans les jours d’Eliasib, de Joïada, de Johanan et de Jeddoa, ont été écrits princes de familles, et les prêtres, sous le règne de Darius, le Perse.
23 Wakuu wa jamaa miongoni mwa wazao wa Lawi hadi wakati wa Yohanani mwana wa Eliashibu waliandikishwa katika kitabu cha kumbukumbu.
Les fils de Lévi, princes des familles, ont été écrits dans le Livre des actions des jours, et jusqu’aux jours de Jonathan, fils d’Eliasib.
24 Viongozi wa Walawi walikuwa: Hashabia, Sherebia, Yeshua mwana wa Kadmieli na wenzao, waliosimama mkabala nao kusifu na kushukuru, sehemu moja ikipokezana na nyingine kama ilivyoagizwa na Daudi mtu wa Mungu.
Et les princes des Lévites, Hasébia, Sérébia, Josué, fils de Cedmihel, et leurs frères, selon leur tour, pour louer et glorifier le Seigneur, suivant le commandement de David, homme de Dieu, et pour faire également leur service par ordre.
25 Mabawabu waliokuwa wakilinda kwenye malango ya ghala ni: Matania, Bakbukia, Obadia, Meshulamu, Talmoni na Akubu.
Mathania et Becbécia, Obédia, Mosollam, Telmon, Accub, étaient gardes des portes, et des vestibules devant les portes.
26 Walihudumu siku za Yoyakimu mwana wa Yeshua, mwana wa Yosadaki, na katika siku za mtawala Nehemia, na za Ezra kuhani na mwandishi.
Ceux-là furent dans les jours de Joacim, fils de Josué fils de Josédec, et dans les jours de Néhémias, le chef, et d’Esdras, le prêtre et le scribe.
27 Wakati wa kuwekwa wakfu ukuta wa Yerusalemu, Walawi walitafutwa kule walikokuwa wakiishi, nao wakaletwa Yerusalemu kuadhimisha kwa shangwe huko kuweka wakfu kwa nyimbo za shukrani na kwa uimbaji wakitumia matoazi, vinubi na zeze.
Mais à la dédicace du mur de Jérusalem, on rechercha les Lévites de tous les lieux pour les amener à Jérusalem, et pour faire la dédicace et des réjouissances en action de grâces, au milieu des cantiques, des cymbales, des psaltérions et des harpes.
28 Pia waimbaji walikusanywa pamoja kutoka maeneo yaliyozunguka Yerusalemu, kutoka vijiji vya Wanetofathi,
Or les fils des chantres s’assemblèrent de la campagne d’autour de Jérusalem, des villages de Néthuphati,
29 kutoka Beth-Gilgali, na kutoka eneo la Geba na Azmawethi, kwa kuwa waimbaji walikuwa wamejijengea vijiji kuzunguka Yerusalemu.
De la maison de Galgal, et des contrées de Géba et d’Azmaveth, parce que les chantres s’étaient bâti des villages autour de Jérusalem.
30 Wakati makuhani na Walawi walipokuwa wamekwisha kujitakasa kwa kufuatana na desturi, waliwatakasa watu, malango na ukuta.
Et les prêtres et les Lévites se purifièrent, puis ils purifièrent le peuple, les portes, et le mur.
31 Niliwaagiza viongozi wa Yuda wapande juu ya ukuta. Pia niliagiza makundi mawili makubwa ya waimbaji waimbe nyimbo za kumshukuru Mungu. Kundi moja lilipanda juu ya ukuta upande wa kuume, kuelekea Lango la Samadi.
Or je fis monter les princes de Juda sur le mur, et j’établis deux grands chœurs de ceux qui chantaient des louanges. Ils allèrent à droite, sur le mur, vers la porte du fumier.
32 Hoshaya na nusu ya viongozi wa Yuda wakawafuata,
Et Osaïas alla après eux, et la moitié des princes de Juda,
33 pamoja na Azaria, Ezra, Meshulamu,
Et Azarias, Esdras et Mosollam, Juda et Benjamin, et Séméia et Jérémie.
34 Yuda, Benyamini, Shemaya, Yeremia,
Et d’entre les fils des prêtres avec des trompettes: Zacharie, fils de Jonathan, fils de Séméia, fils de Mathania, fils de Michaïa, fils de Zéchur, fils d’Asaph;
35 pamoja na baadhi ya makuhani wenye tarumbeta, na pia walikuwa na Zekaria mwana wa Yonathani, mwana wa Shemaya, mwana wa Matania, mwana wa Mikaya, mwana wa Zakuri, mwana wa Asafu,
Et ses frères, Séméïa et Azaréel, Malalaï, Galalaï, Maaï, Nathanaël, Judas et Hanani, avec les instruments de David, homme de Dieu; et Esdras, le scribe, était devant eux à la porte de la fontaine.
36 pamoja na wenzake, Shemaya, Azareli, Milalai, Gilalai, Maai, Nethaneli, Yuda na Hanani, wakiwa na vyombo vya uimbaji, kama ilivyoagizwa na Daudi mtu wa Mungu. Mwandishi Ezra aliongoza maandamano.
Or ils montèrent, vis-à-vis d’eux, sur les degrés de la cité de David, au montant du mur sur la maison de David, et jusqu’à la porte des eaux, vers l’orient.
37 Kwenye Lango la Chemchemi waliendelea moja kwa moja mpaka kwenye ngazi za Mji wa Daudi, kwenye mwinuko wa ukuta, na kupitia juu ya nyumba ya Daudi mpaka kwenye Lango la Maji upande wa mashariki.
Et le second chœur de ceux qui rendaient grâces à Dieu allait à l’opposite, et moi après eux, et la moitié du peuple sur le mur et sur la tour des fourneaux, et jusqu’au mur le plus large,
38 Kundi la pili la waimbaji lilielekea upande wa kushoto. Niliwafuata juu ya ukuta, pamoja na nusu ya watu kupitia Mnara wa Tanuru mpaka kwenye Ukuta Mpana,
Puis sur la porte d’Ephraïm, sur la porte ancienne et sur la porte des poissons, et sur la tour d’Hananéel, et sur la tour d’Emath, et jusqu’à la porte du troupeau; et ils s’arrêtèrent à la porte de la prison.
39 juu ya Lango la Efraimu, Lango la Yeshana, Lango la Samaki, Mnara wa Hananeli, na Mnara wa Mia, mpaka kwenye Lango la Kondoo. Walipofika kwenye Lango la Ulinzi wakasimama.
Or les deux chœurs de ceux qui chantaient des louanges s’arrêtèrent dans la maison de Dieu, et moi, et la moitié des magistrats avec moi;
40 Kisha yale makundi mawili ya waimbaji yaliyoshukuru yakachukua nafasi zao katika nyumba ya Mungu. Nami pia nikafanya hivyo, pamoja na nusu ya maafisa,
Et les prêtres, Eliachim, Maasia, Miamin, Michéa, Elioénaï, Zacharie et Hanania, avec des trompettes;
41 na makuhani wafuatao: Eliakimu, Maaseya, Miniamini, Mikaya, Elioenai, Zekaria na Hanania wakiwa na tarumbeta zao,
Et Maasia, Séméia, Eléazar, Azzi, Johanan, Melchia, Elam et Ezer. Et les chantres chantèrent avec éclat, et Jézraïa leur préposé;
42 na pia Maaseya, Shemaya, Eleazari, Uzi, Yehohanani, Malkiya, Elamu na Ezeri. Makundi haya yaliimba chini ya uongozi wa Yezrahia.
Et ils immolèrent en ce jour-là de grandes victimes, et ils se livrèrent à l’allégresse; car Dieu les avait remplis d’une grande joie; mais leurs femmes aussi et leurs enfants se réjouirent, et la joie de Jérusalem fut entendue au loin.
43 Siku hiyo watu walitoa dhabihu nyingi, wakishangilia kwa sababu Mungu aliwapa furaha kuu. Wanawake na watoto walishangilia pia. Sauti ya kushangilia huko Yerusalemu iliweza kusikika mbali sana.
De plus, ils choisirent en ce jour-là des hommes pour les chambres du trésor, pour les libations, pour les prémices, et pour les dîmes, afin que par eux les princes de la cité amenassent, avec la pompe d’une action de grâces, les prêtres et les Lévites, parce que Juda était dans l’allégresse à cause des prêtres et des Lévites qui étaient présents.
44 Wakati huo watu walichaguliwa kuwa wasimamizi wa vyumba vya ghala kwa ajili ya matoleo, malimbuko na zaka. Kutoka kwenye yale mashamba yaliyozunguka miji walipaswa walete kwenye ghala mafungu kama sheria ilivyoamuru kwa ajili ya makuhani na Walawi, kwa kuwa Yuda alifurahishwa na huduma ya makuhani na Walawi.
Et ils gardèrent l’observance de leur Dieu et l’observance de l’expiation; de même les chantres et les portiers, suivant le commandement de David et de Salomon son fils,
45 Walifanya ibada ya Mungu wao na ibada ya utakaso, nao waimbaji na walinzi wa lango wakafanya hivyo pia, kufuatana na amri za Daudi na Solomoni mwanawe.
Parce que dans les jours de David et d’Asaph, dès le commencement, étaient établis les princes des chantres qui dans des cantiques louaient et glorifiaient Dieu.
46 Muda mrefu uliopita, katika siku za Daudi na Asafu, walikuwepo viongozi wa waimbaji na wa nyimbo za sifa na za kumshukuru Mungu.
Et tout Israël, dans les jours de Néhémias, donnait leurs parts aux chantres et aux portiers chaque jour; ils sanctifiaient aussi les Lévites, et les Lévites sanctifiaient les fils d’Aaron.
47 Kwa hiyo katika siku za Zerubabeli na za Nehemia, Israeli wote walitoa mafungu kila siku kwa ajili ya waimbaji na mabawabu. Pia walitenga fungu kwa ajili ya Walawi wengine, nao Walawi walitenga fungu kwa ajili ya wazao wa Aroni.