< Malaki 4 >

1 “Hakika siku inakuja, itawaka kama tanuru. Wote wenye kiburi na kila mtenda mabaya watakuwa mabua makavu, na siku ile inayokuja itawawasha moto,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. “Hakuna mzizi wala tawi litakalosalia kwao.
Xəəne G'oşunbışde Rəbbee eyhen: – Peşt xhinne gyotxhanan yiğ k'ane qexhe vod. Gırgın cocab co axtıba vukkekanbıyiy pisvalla haa'anbı, mane yiğıl balybiy xhinne gyooxhanas. Mane k'ane qexhene yiğın manbı gyooxhan haa'asınbı. Manbışike kokbıd, bıtağbıd axvas deş.
2 Bali kwenu ninyi mnaoliheshimu Jina langu, jua la haki litawazukia, lenye kuponya katika mabawa yake. Nanyi mtatoka nje na kurukaruka kama ndama aliyeachiwa kutoka zizini.
Zale qəvəyq'ənanbışdemeeme, Qopkuvalina verığ ılqevç'es. Mançine şü'ülee yug qav'iy ixhes. Ağıleençe g'aykkiyn q'ıkar xhinne şu huvaagas.
3 Kisha ninyi mtawakanyaga waovu, nao watakuwa majivu chini ya nyayo za miguu yenu siku ile nitakayofanya mambo haya,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Pisınbı şu kööq'əsınbı. Zı man ha'asde yiğıl, manbı vuşde g'elybışik avub yı'q xhinne vuxhes. Məxüd Xəəne G'oşunbışde Rəbbee eyhe!
4 “Kumbukeni sheria ya mtumishi wangu Mose, amri na sheria nilizompa huko Horebu kwa ajili ya Israeli wote.
Yizda nukar Mısa Xorevne suvalynang'a, Zı mang'us İzrailyne milletnemeecab huvuna Q'aanun, Yizın g'aydabıyiy əmrbı şu yik'el aqqe.
5 “Tazama, nitawapelekea nabii Eliya kabla ya kuja siku ile iliyo kuu na ya kutisha ya Bwana.
İlyaake, Rəbbin xədın, dağamın yiğ qalesse, Zı şosqa İlyas peyğambar g'axıles.
6 Ataigeuza mioyo ya baba iwaelekee watoto wao, na mioyo ya watoto iwaelekee baba zao, la sivyo nitakuja na kuipiga nchi kwa laana.”
Zı qarı in cigabı kunfa-yakun hıma'acenva, Mang'vee dekkaaşin yik'bı dixbışilqa, dixbışinbıd dekkaaşilqa sak'al ha'as.

< Malaki 4 >