< Mambo ya Walawi 14 >
Yahvé parla à Moïse, et dit,
2 “Haya ndiyo masharti yamhusuyo mtu mgonjwa wakati wa kufanyiwa ibada ya utakaso wakati aletwapo kwa kuhani:
« Voici la loi du lépreux, le jour de sa purification: On l'amènera au sacrificateur,
3 Kuhani atakwenda kumchunguza nje ya kambi. Kama mtu huyo atakuwa amepona ugonjwa wake wa ngozi wa kuambukiza,
et le sacrificateur sortira du camp. Le prêtre l'examinera. Si la plaie de la lèpre est guérie chez le lépreux,
4 kuhani ataagiza vitu vifuatavyo viletwe kwa ajili ya mtu atakayetakaswa: ndege wawili safi walio hai, mti wa mwerezi, kitani nyekundu, na hisopo.
le sacrificateur ordonnera de prendre pour celui qui doit être purifié deux oiseaux vivants et purs, du bois de cèdre, du cramoisi et de l'hysope.
5 Kisha kuhani ataagiza kwamba mmoja wa ndege wale achinjwe kwenye chungu chenye maji safi.
Le prêtre leur ordonnera de tuer l'un des oiseaux dans un vase de terre, au-dessus de l'eau courante.
6 Kisha kuhani atamchukua ndege aliye hai na kumtumbukiza pamoja na mti wa mwerezi, kitani nyekundu na hisopo ndani ya damu ya yule ndege aliyechinjiwa kwenye maji safi.
Il prendra l'oiseau vivant, le bois de cèdre, le cramoisi et l'hysope, et les trempera avec l'oiseau vivant dans le sang de l'oiseau tué au-dessus de l'eau courante.
7 Atamnyunyizia yule mwenye ugonjwa wa kuambukiza maji hayo mara saba, na kumtangaza kuwa safi. Kisha atamwachia yule ndege aliye hai aende zake kwenye mashamba.
Il fera sept fois l'aspersion sur celui qui doit être purifié de la lèpre, et le déclarera pur, puis il laissera l'oiseau vivant aller en plein champ.
8 “Huyo mtu atakayetakaswa ni lazima afue nguo zake, anyoe nywele zake zote, na aoge kwa maji; ndipo atakapokuwa safi kwa desturi ya ibada. Baada ya hili anaweza kuingia kambini, lakini ni lazima akae nje ya hema lake kwa siku saba.
« Celui qui veut se purifier lavera ses vêtements, rasera tous ses cheveux et se baignera dans l'eau, et il sera pur. Après cela, il entrera dans le camp, mais il restera sept jours hors de sa tente.
9 Siku ya saba ni lazima anyoe nywele zake zote; yaani anyoe nywele za kichwa, ndevu zake, kope zake na nywele nyingine zote. Ni lazima afue nguo zake, na aoge kwa maji, naye atakuwa safi.
Le septième jour, il rasera tous les cheveux de sa tête, sa barbe et ses sourcils. Il rasera tous ses cheveux. Il lavera ses vêtements et se lavera le corps dans l'eau. Il sera alors pur.
10 “Siku ya nane, ni lazima alete kondoo dume wawili na kondoo jike mmoja, wote wa mwaka mmoja na wasio na dosari, pamoja na sehemu tatu za kumi za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta, kwa ajili ya sadaka ya nafaka, na logi moja ya mafuta.
« Le huitième jour, il prendra deux agneaux mâles sans défaut, une agnelle d'un an sans défaut, trois dixièmes d'un épha de fleur de farine pour l'offrande de farine, mélangée à de l'huile, et un log d'huile.
11 Kuhani atakayemtangaza kuwa safi atahitaji kumkabidhi mgonjwa aliyepona pamoja na sadaka zake zote mbele za Bwana katika ingilio la Hema la Kukutania.
Le prêtre qui l'aura purifié présentera l'homme à purifier et ces objets devant Yahvé, à l'entrée de la tente de la Rencontre.
12 “Kisha kuhani atamchukua mmoja wa wale kondoo dume na kumtoa kuwa sadaka ya hatia, pamoja na ile logi moja ya mafuta; ataviinua mbele za Bwana kuwa sadaka ya kuinuliwa.
« Le prêtre prendra l'un des agneaux mâles et l'offrira en sacrifice de culpabilité, avec le log d'huile, et il les agitera en signe d'offrande devant l'Éternel.
13 Atamchinja huyo kondoo katika mahali patakatifu ambapo sadaka ya dhambi na ile ya kuteketezwa huchinjiwa. Kama ilivyo sadaka ya dhambi, sadaka ya hatia ni ya kuhani; nayo ni takatifu sana.
Il égorgera l'agneau mâle dans le lieu où l'on égorge le sacrifice pour le péché et l'holocauste, dans le lieu du sanctuaire; car si le sacrifice pour le péché appartient au prêtre, il en est de même du sacrifice de culpabilité. Elle est très sainte.
14 Kuhani atachukua sehemu ya damu ya sadaka ya hatia na kuitia kwenye ncha ya sikio la kuume la yule atakayetakaswa, kwenye kidole gumba cha mkono wake wa kuume, na kidole kikubwa cha mguu wake wa kuume.
Le prêtre prendra du sang du sacrifice de culpabilité, et il en mettra sur le bout de l'oreille droite de celui qui doit être purifié, sur le pouce de sa main droite et sur le gros orteil de son pied droit.
15 Kuhani atachukua sehemu ya ile logi ya mafuta, ayamimine kwenye kiganja cha mkono wake mwenyewe wa kushoto,
Le prêtre prendra un peu de la bûche d'huile et la versera dans la paume de sa main gauche.
16 na achovye kidole chake cha shahada cha mkono wake wa kuume kwenye mafuta yaliyoko kwenye kiganja chake, na kwa kidole hicho anyunyize mafuta hayo mara saba mbele za Bwana.
Le prêtre trempera son doigt droit dans l'huile qui est dans sa main gauche, et il fera sept fois l'aspersion de l'huile avec son doigt devant Yahvé.
17 Kuhani atampaka yule anayetakaswa sehemu ya mafuta yaliyobaki kiganjani kwenye ncha ya sikio lake la kuume, kwenye kidole gumba cha mkono wake wa kuume, na kidole kikubwa cha mguu wake wa kuume, mahali palepale alipompaka damu ya sadaka ya kuondoa hatia.
Le prêtre mettra une partie du reste de l'huile qui est dans sa main sur le bout de l'oreille droite de celui qui doit être purifié, sur le pouce de sa main droite et sur le gros orteil de son pied droit, sur le sang du sacrifice de culpabilité.
18 Kuhani atayapaka mafuta yaliyobaki kwenye kiganja chake juu ya kichwa cha yule anayetakaswa, na kufanya upatanisho kwa ajili yake mbele za Bwana.
Le reste de l'huile qui est dans la main du prêtre, il en mettra sur la tête de celui qui doit être purifié, et le prêtre fera pour lui l'expiation devant Yahvé.
19 “Kisha kuhani atatoa dhabihu ya sadaka ya dhambi na kufanya upatanisho kwa ajili ya yule atakayetakaswa kutoka unajisi wake. Baada ya hayo, kuhani atachinja sadaka ya kuteketezwa
« Le prêtre offrira le sacrifice pour le péché et fera l'expiation pour celui qui doit être purifié à cause de sa souillure. Ensuite, il égorgera l'holocauste;
20 na kuitoa juu ya madhabahu, pamoja na sadaka ya nafaka ili kumfanyia upatanisho, naye atakuwa safi.
puis le prêtre offrira l'holocauste et l'offrande sur l'autel. Le prêtre fera l'expiation pour lui, et il sera pur.
21 “Hata hivyo, kama ni maskini na hawezi kupata vitu hivi, lazima achukue mwana-kondoo mmoja kama sadaka ya hatia ipate kuinuliwa ili kumfanyia upatanisho, pamoja na sehemu ya kumi ya efa ya unga laini uliochanganywa na logi moja ya mafuta kwa ajili ya sadaka ya nafaka,
« S'il est pauvre et qu'il n'a pas les moyens d'en acheter autant, il prendra un agneau mâle en sacrifice de culpabilité, pour faire l'expiation pour lui, et un dixième d'épha de fleur de farine mélangée à de l'huile, pour l'offrande de farine, et un log d'huile;
22 na hua wawili au makinda mawili ya njiwa, kile atakachoweza kupata, mmoja kwa sadaka ya dhambi, na mwingine kwa sadaka ya kuteketezwa.
et deux tourterelles ou deux jeunes pigeons, selon ce qu'il pourra se permettre; l'un sera un sacrifice pour le péché, et l'autre un holocauste.
23 “Katika siku ya nane, lazima avilete vitu hivyo kwa kuhani, kwa ajili ya kutakaswa kwake kwenye ingilio la Hema la Kukutania mbele za Bwana.
« Le huitième jour, il les apportera au sacrificateur, à l'entrée de la tente d'assignation, devant Yahvé, pour sa purification.
24 Kuhani atamchukua mwana-kondoo kwa ajili ya sadaka ya hatia, pamoja na ile logi ya mafuta ya kuinuliwa mbele za Bwana kuwa sadaka ya kuinuliwa.
Le sacrificateur prendra l'agneau du sacrifice de culpabilité et le log d'huile, et il les agitera en sacrifice par agitation devant Yahvé.
25 Atamchinja huyo mwana-kondoo kwa ajili ya sadaka ya hatia. Pia ataichukua sehemu ya damu yake na kuipaka kwenye ncha ya sikio la kuume la yule anayetakaswa, na aipake pia kwenye kidole gumba cha mkono wa kuume wa huyo mtu, na kidole kikubwa cha mguu wake wa kuume.
Il égorgera l'agneau du sacrifice de culpabilité. Le prêtre prendra un peu du sang du sacrifice de culpabilité et en mettra sur le bout de l'oreille droite de celui qui doit être purifié, sur le pouce de sa main droite et sur le gros orteil de son pied droit.
26 Kuhani atamiminia sehemu ya mafuta kwenye kiganja chake cha mkono wa kushoto,
Le prêtre versera une partie de l'huile dans la paume de sa main gauche;
27 na kwa kidole chake cha shahada cha mkono wa kuume, atamnyunyizia yule anayetakaswa yale mafuta yaliyo kwenye kiganja chake mara saba mbele za Bwana.
et le prêtre fera avec son doigt droit sept aspersions de l'huile qui est dans sa main gauche, devant Yahvé.
28 Atampaka mafuta yaliyobaki kwenye kiganja chake katika sehemu zote, kama alivyompaka damu ya sadaka ya hatia: yaani, kwenye ncha ya sikio la kuume la yule anayetakaswa, kwenye kidole gumba cha mkono wake wa kuume, na kidole kikubwa cha mguu wake wa kuume.
Puis le prêtre mettra un peu de l'huile qui est dans sa main sur le bout de l'oreille droite de celui qui doit être purifié, sur le pouce de sa main droite et sur le gros orteil de son pied droit, à la place du sang du sacrifice de culpabilité.
29 Kuhani atayapaka mafuta yaliyobaki katika kiganja chake kwenye kichwa cha yule anayetakaswa, na kufanya upatanisho kwa ajili yake mbele za Bwana.
Il mettra le reste de l'huile qui est dans la main du prêtre sur la tête de celui qui doit être purifié, afin de faire pour lui l'expiation devant Yahvé.
30 Kisha atatoa dhabihu wale hua ama yale makinda ya njiwa ambayo mtu ataweza kuwapata,
Il offrira l'une des tourterelles ou l'un des jeunes pigeons qu'il pourra se procurer,
31 mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na mwingine kuwa sadaka ya kuteketezwa, pamoja na sadaka ya nafaka. Kwa njia hii kuhani atafanya upatanisho mbele za Bwana kwa ajili ya yule anayetakaswa.”
de l'espèce qu'il pourra se procurer, l'un pour le sacrifice pour le péché, l'autre pour l'holocauste, avec l'offrande de gâteau. Le prêtre fera l'expiation pour celui qui doit être purifié devant Yahvé. »
32 Haya ndiyo masharti kwa mtu yeyote mwenye ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza, na ambaye hana uwezo wa kutoa sadaka za kawaida kwa ajili ya kutakaswa kwake.
Telle est la loi pour celui qui a la plaie de la lèpre et qui n'a pas les moyens de payer le sacrifice pour sa purification.
33 Bwana akawaambia Mose na Aroni,
Yahvé parla à Moïse et à Aaron, et dit:
34 “Mtakapoingia katika nchi ya Kanaani ambayo ninawapa kuwa milki yenu, nami nikaweka upele ueneao kwenye nyumba katika nchi ile,
Lorsque vous serez entrés dans le pays de Canaan, dont je vous donne la possession, et que j'aurai mis de la moisissure dans une maison du pays dont vous avez la possession,
35 ni lazima mwenye nyumba hiyo akamwambie kuhani, ‘Nimeona kitu fulani kinachofanana na upele kwenye nyumba yangu.’
le propriétaire de la maison viendra dire au prêtre: « Il me semble qu'il y a une sorte de plaie dans la maison ».
36 Kuhani ataagiza vitu vyote vitolewe ndani ya nyumba, kabla hajaenda kuchunguza kama ina ugonjwa huo, ili kitu chochote ndani ya nyumba kisitangazwe kuwa najisi. Baada ya hili, kuhani ataingia ndani na kuikagua hiyo nyumba.
Le prêtre ordonnera que l'on vide la maison, avant que le prêtre n'entre pour examiner la plaie, afin que tout ce qui se trouve dans la maison ne soit pas rendu impur. Ensuite, le prêtre entrera pour examiner la maison.
37 Atachunguza upele huo katika kuta za nyumba hiyo, nazo kama zina rangi ya kijani kibichi au wekundu, na kuna mibonyeo ndani ya ukuta,
Il examinera la plaie; et voici, si la plaie est dans les murs de la maison, avec des stries creuses, verdâtres ou rougeâtres, et qu'elle paraisse plus profonde que le mur,
38 kuhani atatoka na kufunga mlango wa nyumba hiyo kwa siku saba.
le prêtre sortira de la maison, à la porte de la maison, et il fermera la maison pendant sept jours.
39 Siku ya saba, kuhani atarudi kuikagua nyumba. Kama upele umeenea juu ya kuta,
Le prêtre reviendra le septième jour et regardera. Si la plaie s'est étendue dans les murs de la maison,
40 ataagiza kwamba mawe yote yaliyoambukizwa yaondolewe na kutupwa katika eneo lililo najisi nje ya mji.
le prêtre ordonnera qu'on enlève les pierres dans lesquelles se trouve la plaie, et qu'on les jette dans un lieu impur hors de la ville.
41 Kuta zote za ndani ya nyumba hiyo ni lazima zikwanguliwe, na kifusi chake kitupwe mahali najisi nje ya mji.
Il fera gratter l'intérieur de la maison sur toute sa surface. Ils jetteront le mortier qu'ils auront gratté hors de la ville, dans un lieu impur.
42 Kisha watachukua mawe mengine na kujenga palipobomolewa kwa udongo mpya wa mfinyanzi, na kuipiga nyumba hiyo lipu mpya.
On prendra d'autres pierres et on les mettra à la place de ces pierres; on prendra un autre mortier et on crépitera la maison.
43 “Ikiwa upele huo utatokea tena ndani ya ile nyumba baada ya mawe kuondolewa na nyumba kukwanguliwa na kuwekwa lipu mpya,
« Si la plaie revient et se déclare dans la maison, après qu'on a enlevé les pierres, qu'on a gratté la maison et qu'on l'a plâtrée,
44 kuhani atakwenda kuikagua, na kama upele umeenea ndani ya nyumba, basi ni upele uharibuo; nyumba hiyo ni najisi.
le prêtre entrera et regardera; et voici, si la plaie s'est répandue dans la maison, c'est un mildiou destructeur dans la maison. Elle est impure.
45 Ni lazima ibomolewe: mawe yake, mbao na lipu yake, vyote vikatupwe nje ya mji mahali palipo najisi.
Il démolira la maison, ses pierres et son bois, et tout le mortier de la maison. Il les emportera hors de la ville, dans un lieu impur.
46 “Yeyote atakayeingia katika nyumba hiyo ikiwa imefungwa, atakuwa najisi mpaka jioni.
De plus, celui qui entrera dans la maison pendant qu'elle sera fermée sera impur jusqu'au soir.
47 Yeyote atakayelala au kula ndani ya nyumba hiyo ni lazima afue nguo zake.
Celui qui se couchera dans la maison lavera ses vêtements, et celui qui mangera dans la maison lavera ses vêtements.
48 “Lakini ikiwa kuhani atakuja kuikagua na kukuta kuwa upele haujaenea tena baada ya nyumba kupigwa lipu, ataitangaza nyumba ile kuwa safi, kwa sababu upele umekwisha.
« Si le prêtre entre et l'examine, et que la plaie ne se soit pas répandue dans la maison, après que la maison a été enduite, le prêtre déclarera la maison pure, parce que la plaie est guérie.
49 Ili kuitakasa nyumba hiyo, mwenye nyumba ataleta ndege wawili, mti wa mwerezi, kitani nyekundu na hisopo.
Pour purifier la maison, il prendra deux oiseaux, du bois de cèdre, du cramoisi et de l'hysope.
50 Atamchinja mmoja wa wale ndege kwenye chungu chenye maji safi.
Il tuera l'un des oiseaux dans un vase de terre, au-dessus de l'eau courante.
51 Kisha atachukua mti wa mwerezi, hisopo, kitani nyekundu na ndege aliye hai, na kuvitumbukiza ndani ya damu ya ndege aliyechinjwa pamoja na maji safi, na kuinyunyizia nyumba ile mara saba.
Il prendra le bois de cèdre, l'hysope, le cramoisi et l'oiseau vivant; il les trempera dans le sang de l'oiseau tué et dans l'eau courante, et il fera sept aspersions sur la maison.
52 Ataitakasa nyumba kwa damu ya yule ndege, maji safi, ndege aliye hai, mti wa mwerezi, hisopo na kitani nyekundu.
Il purifiera la maison avec le sang de l'oiseau, avec l'eau courante, avec l'oiseau vivant, avec le bois de cèdre, avec l'hysope et avec le cramoisi;
53 Kisha atamwachia yule ndege aliye hai huru mashambani nje ya mji. Kwa njia hii atafanya upatanisho kwa ajili ya nyumba ile, nayo itakuwa safi.”
mais il laissera l'oiseau vivant sortir de la ville dans les champs. Il fera ainsi l'expiation de la maison, et elle sera pure. »
54 Haya ndiyo masharti kuhusu aina yoyote ya ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza, mwasho wowote,
Telle est la loi pour toute plaie de lèpre, pour une démangeaison,
55 upele ndani ya nguo au ndani ya nyumba,
pour la moisissure destructrice d'un vêtement, et pour une maison,
56 kwa uvimbe, vipele au kipaku kingʼaacho,
pour un gonflement, une croûte, et une tache brillante;
57 kupambanua wakati kitu fulani ni safi au najisi. Haya ndiyo masharti kuhusu magonjwa ya ngozi ya kuambukiza na upele.
pour enseigner quand c'est impur, et quand c'est pur. C'est la loi de la lèpre.