< Yoshua 12 >
1 Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Waisraeli waliwashinda na kuitwaa nchi yao upande wa mashariki mwa Yordani, kuanzia Bonde la Arnoni mpaka Mlima Hermoni, pamoja na eneo lote la upande wa mashariki ya Araba:
Aya ndiwo madzimambo enyika iyoyo akakundwa navaIsraeri uye nenyika yavo yavakatora kumabvazuva eJorodhani, kubva kuMupata weAnoni kusvikira kuGomo reHemoni, zvichisanganisira divi rose rokumabvazuva eArabha:
2 Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni. Alitawala kuanzia Aroeri kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, kuanzia katikati ya bonde, hadi kwenye Mto Yaboki, ambao ni mpaka wa Waamoni. Hii ilijumlisha nusu ya Gileadi.
Sihoni mambo wavaAmori, aitonga muHeshibhoni. Aitonga kubva kuAroeri kumucheto woMupata weAnoni, kubva pakati pomupata, kusvikira kuRwizi rweJabhoki, unova muganhu wavaAmori. Izvi zvaisanganisira hafu yeGireadhi.
3 Pia alitawala Araba ya mashariki kuanzia Bahari ya Kinerethi hadi Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi), hadi Beth-Yeshimothi, kisha kuelekea kusini chini ya materemko ya Pisga.
Akatongawo kumabvazuva eArabha kubva kuGungwa reKinereti kusvikira kuGungwa reArabha (Gungwa roMunyu), kusvikira kuBheti Jeshimoti, nokurutivi rwezasi nyasi kwemawere ePisiga.
4 Nayo nchi ya Ogu mfalme wa Bashani, aliyekuwa mmoja wa mabaki ya Warefai, aliyetawala Ashtarothi na Edrei.
Uyewo nenyika yaOgi mambo weBhashani, mumwe wevokupedzisira wavaRefi, akatonga muAshitaroti nomuEdhirei.
5 Naye alitawala katika Mlima Hermoni, Saleka, Bashani yote hadi mpaka wa watu wa Geshuri, na watu wa Maaka na nusu ya Gileadi, hadi kwenye mpaka wa Sihoni mfalme wa Heshboni.
Akatonga Gomo reHemoni, neSareka, neBhashani yose kusvikira kumuganhu wavanhu veGesheri neMaaka, nehafu yeGireadhi kusvikira kumuganhu waSihoni mambo weHeshibhoni.
6 Mose, mtumishi wa Bwana, na Waisraeli wakawashinda. Naye Mose mtumishi wa Bwana akawapa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase nchi ya hao wafalme ili iwe milki yao.
Mozisi, muranda waJehovha, navaIsraeri vakavakunda. Uye Mozisi muranda waJehovha akapa nyika yavo kurudzi rwaRubheni, norudzi rwaGadhi nehafu yorudzi rwaManase kuti ive nhaka yavo.
7 Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Yoshua na Waisraeli waliwashinda upande wa magharibi mwa Yordani, kuanzia Baal-Gadi katika Bonde la Lebanoni hadi kufikia Mlima Halaki, unaoinuka ukielekea Seiri. (Yoshua alitoa nchi zao kwa makabila ya Israeli iwe urithi wao sawasawa na mgawanyiko wa makabila yao:
Aya ndiwo madzimambo enyika iyoyo akakundwa naJoshua navaIsraeri kurutivi rwokumavirazuva eJorodhani, kubva paBhaari Gadhi muMupata weRebhanoni kusvikira kuGomo reHaraki, rinokwidza richienda kuSeiri (nyika dzavo Joshua akadzipa kumarudzi avaIsraeri kuti ive nhaka yavo zvichienderana namarudzi avo,
8 nchi ya vilima, shefela, upande wa magharibi, Araba, materemko ya milima, jangwa, na Negebu; nchi za Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi):
nyika yamakomo, mujinga mamakomo kwakadziva kumavirazuva, Arabha, mawere amakomo, gwenga neNegevhi, inova nyika yavaHiti, vaAmori, vaKenani, vaPerizi, vaHivhi navaJebhusi):
9 mfalme wa Yeriko mmoja mfalme wa Ai (karibu na Betheli) mmoja
mambo weJeriko mumwe chete namambo weAi (pedyo neBheteri) mumwe chete
10 mfalme wa Yerusalemu mmoja mfalme wa Hebroni mmoja
mambo weJerusarema mumwe chete mambo weHebhuroni mumwe chete
11 mfalme wa Yarmuthi mmoja mfalme wa Lakishi mmoja
mambo weJarumuti mumwe chete mambo weRakishi mumwe chete
12 mfalme wa Egloni mmoja mfalme wa Gezeri mmoja
mambo weEgironi mumwe chete mambo weGezeri mumwe chete
13 mfalme wa Debiri mmoja mfalme wa Gederi mmoja
mambo weDhebhiri mumwe chete mambo weGedheri mumwe chete
14 mfalme wa Horma mmoja mfalme wa Aradi mmoja
mambo weHoma mumwe chete mambo weAradhi mumwe chete
15 mfalme wa Libna mmoja mfalme wa Adulamu mmoja
mambo weRibhina mumwe chete mambo weAdhuramu mumwe chete
16 mfalme wa Makeda mmoja mfalme wa Betheli mmoja
mambo weMakedha mumwe chete mambo weBheteri mumwe chete
17 mfalme wa Tapua mmoja mfalme wa Heferi mmoja
mambo weTapua mumwe chete mambo weHeferi mumwe chete
18 mfalme wa Afeki mmoja mfalme wa Lasharoni mmoja
mambo weAfeki mumwe chete mambo weRasharoni mumwe chete
19 mfalme wa Madoni mmoja mfalme wa Hazori mmoja
mambo weMadhoni mumwe chete mambo weHazori mumwe chete
20 mfalme wa Shimron-Meroni mmoja mfalme wa Akishafu mmoja
mambo weShimuroni Meroni mumwe chete mambo weAkishafi mumwe chete
21 mfalme wa Taanaki mmoja mfalme wa Megido mmoja
mambo weTaanaki mumwe chete mambo weMegidho mumwe chete
22 mfalme wa Kedeshi mmoja mfalme wa Yokneamu katika Karmeli mmoja
mambo weKadheshi mumwe chete mambo weJokineamu muKarimeri mumwe chete
23 mfalme wa Dori (katika Nafoth-Dori) mmoja mfalme wa Goimu katika Gilgali mmoja
mambo weDhori (muNafoti Dhori) mumwe chete mambo weGoyimi muGirigari mumwe chete
24 mfalme wa Tirsa mmoja wafalme jumla yao ilikuwa thelathini na mmoja.
mambo weTiriza mumwe chete, madzimambo makumi matatu nomumwe pamwe chete.