< Yeremia 47 >

1 Hili ndilo neno la Bwana lililomjia nabii Yeremia kuhusu Wafilisti, kabla Farao hajaishambulia Gaza:
Parole du Seigneur qui fut adressée à Jérémie, le prophète, contre les Philistins, avant que Pharaon attaquât Gaza.
2 Hili ndilo asemalo Bwana: “Tazama jinsi maji yanavyoinuka huko kaskazini, yatakuwa mafuriko yenye nguvu sana. Yataifurikia nchi na vitu vyote vilivyomo ndani yake, miji na wale waishio ndani yake. Watu watapiga kelele; wote waishio katika nchi wataomboleza
Voici ce que dit le Seigneur: Voilà que les eaux montent de l’aquilon, et qu’elles seront comme un torrent qui inonde, et qu’elles couvriront la terre et sa plénitude, et la ville et ses habitants; les hommes crieront, et tous les habitants de la terre pousseront des hurlements,
3 kwa sauti ya kwato za farasi waendao mbio, kwa sauti ya magari ya adui na mngurumo wa magurudumu yake. Baba hawatageuka kuwasaidia watoto wao, mikono yao italegea.
À cause du bruit pompeux de ses armes et de ses hommes de guerre, à cause de l’ébranlement de ses quadriges et de la multitude de ses roues. Les pères n’ont pas regardé les fils, leurs mains s’étant affaiblies
4 Kwa maana siku imewadia kuwaangamiza Wafilisti wote na kuwakatilia mbali walionusurika wote ambao wangeweza kusaidia Tiro na Sidoni. Bwana anakaribia kuwaangamiza Wafilisti, mabaki toka pwani za Kaftori.
À la venue du jour auquel tous les Philistins seront dévastés, Tyr et Sidon seront dissipées avec tout ce qui est resté de leur secours; car le Seigneur a ravagé les Philistins et les restes de l’île de Cappadoce.
5 Gaza atanyoa kichwa chake katika kuomboleza, Ashkeloni atanyamazishwa. Enyi mabaki kwenye tambarare, mtajikatakata wenyewe mpaka lini?
Gaza est devenue chauve, Ascalon s’est tué, ainsi que les restes de leur vallée; jusques à quand te feras-tu des incisions?
6 “Mnalia, ‘Aa, upanga wa Bwana, utaendelea mpaka lini ndipo upumzike? Rudi ndani ya ala yako; acha na utulie.’
Ô épée du Seigneur, jusques à quand ne te reposeras-tu point? Rentre en ton fourreau, refroidis-toi, et reste tranquille.
7 Lakini upanga utatuliaje wakati Bwana ameuamuru, wakati ameuagiza kuishambulia Ashkeloni pamoja na pwani yake?”
Comment se reposera-t-elle, puisque le Seigneur lui a donné ses ordres contre Ascalon, et contre les régions maritimes, et qu’il lui a assigné ces lieux?

< Yeremia 47 >