< Isaya 7 >

1 Wakati Ahazi mwana wa Yothamu, mwana wa Uzia, alipokuwa mfalme wa Yuda, Mfalme Resini wa Aramu, na Peka mwana wa Remalia mfalme wa Israeli walipanda kupigana dhidi ya Yerusalemu, lakini hawakuweza kuushinda.
Judah manghai Uzziah koca Jotham capa Ahaz tue a pha vaengah Aram manghai Rezin neh Israel manghai Remaliah capa Pekah loh Jerusalem te caemtloek ham a caeh thil rhoi. Tedae a vathoh thil te coeng thai pawh.
2 Wakati huu nyumba ya Daudi iliambiwa, “Aramu wameungana na Efraimu.” Kwa hiyo mioyo ya Ahazi na watu wake ilitikiswa, kama miti ya msituni inavyotikiswa na upepo.
Aram taengla Ephraim khoem uh a ti te David imkhui la a puen pah. Te dongah a thinko neh a pilnam thinko tah khohli loh duup thing a hlinghloek bangla a hlinghloek pah.
3 Ndipo Bwana akamwambia Isaya, “Toka uende, wewe na mwanao Shear-Yashubu, mkutane na Ahazi huko mwisho wa mfereji wa Bwawa la Juu, kwenye barabara iendayo Shamba la Dobi.
Te vaengah BOEIPA loh Isaiah taengah, “Ahaz doe hamla namah cet laeh, na capa Shearjashub khaw hni suk lo long kah a so tuibuem tuilong bawt ah om lah ko,
4 Mwambie, ‘Uwe mwangalifu, utulie na usiogope. Usife moyo kwa ajili ya watu hawa wawili walio kama visiki vya kuni vifukavyo moshi, kwa ajili ya hasira kali ya Resini na Aramu na ya mwana wa Remalia.
anih te, “Ngaithuen lamtah duem om. Rhih boeh, na thinko khaw phoena boel saeh. Rezin, Aram neh Remaliah koca kah thintoek thinling kongah hmaipok a ngawn la bok khuu coeng.
5 Aramu, Efraimu na mwana wa Remalia wamepanga shauri baya ili wakuangamize, wakisema,
Aram loh Ephraim neh Remaliah koca kah boethae neh nang ng'uen tih,
6 “Tuishambulie Yuda, naam, tuirarue vipande vipande na kuigawa miongoni mwetu, na kumtawaza mwana wa Tabeeli awe mfalme juu yake.”
Judah la cet uh sih lamtah poelyoe uh sih. Te te mamih ham tael uh thae sih lamtah a khui kah manghai ham te Tabeel koca te manghai sak uh sih,” a ti.
7 Lakini Bwana Mwenyezi asema hivi: “‘Jambo hili halitatendeka, halitatokea,
Ka Boeipa Yahovah loh, “Te te thoo hae pawt vetih cak hae mahpawh.
8 kwa kuwa kichwa cha Aramu ni Dameski, na kichwa cha Dameski ni Resini peke yake. Katika muda wa miaka sitini na mitano, Efraimu atakuwa ameharibiwa kiasi kwamba hataweza tena kuwa taifa.
Aram kah a lu Damasku, Damasku kah a lu te Rezin. Pilnam khui lamloh Ephraim tah kum sawmrhuk kum nga khuiah a rhihyawp sak ni.
9 Kichwa cha Efraimu ni Samaria, na kichwa cha Samaria ni mwana wa Remalia peke yake. Kama hamtasimama thabiti katika imani yenu, hamtaimarika kamwe.’”
Ephraim kah a lu Samaria, Samaria kah a lu Remaliah capa, na tangnah pawt atah koep na tangnah voel mahpawh tinah,” a ti.
10 Bwana akasema na Ahazi tena,
BOEIPA loh Ahaz a voek te koep a rhaep tih,
11 “Mwombe Bwana Mungu wako ishara, iwe kwenye vina virefu sana, au kwenye vimo virefu sana.” (Sheol h7585)
BOEIPA na Pathen taeng lamkah miknoek te saelkhui bangla dung tih a so la sang cakhaw namah ham bih lah,” a ti. (Sheol h7585)
12 Lakini Ahazi akasema, “Sitaomba; sitamjaribu Bwana.”
Tedae Ahaz loh, “Ka bih mahpawh, BOEIPA te ka noemcai mai mahpawh,” a ti.
13 Ndipo Isaya akasema, “Sikia sasa, ewe nyumba ya Daudi! Je, haitoshi kujaribu uvumilivu wa wanadamu? Je, mtaujaribu uvumilivu wa Mungu wangu pia?
Te vaengah, “David imkhui loh hnatun laeh, hlang na ngae te na yakvawt tih a?, ka Pathen te khaw na ngae uh eh.
14 Kwa hiyo Bwana mwenyewe atawapa ishara: Bikira atachukua mimba, naye atamzaa mwana, na ataitwa Imanueli.
Te dongah Boeipa amah long ni nangmih taengah miknoek m'paek eh?, hula ke vawn vetih ca a sak ni. Te vaengah a ming te Immanu-El a sui ni.
15 Atakula jibini na asali atakapokuwa ameweza kukataa mabaya na kuchagua mema.
Boethae te hnawt ham neh a then te tuek ham a ming duela suknaeng neh khoitui ni a. caak eh.
16 Lakini kabla mtoto hajajua kukataa mabaya na kuchagua mema, nchi ya wafalme hao wawili unaowaogopa itafanywa ukiwa.
Tedae camoe loh a thae te hnawt ham neh a then te tuek ham a ming hlanah a manghai rhoi kongah a mueipuel vetih na khohmuen te a hnoo ni.
17 Bwana ataleta juu yako, juu ya watu wako, na juu ya nyumba ya baba yako wakati ambao haujawahi kuwako tangu Efraimu alipojitenga na Yuda: yeye atawaleteeni mfalme wa Ashuru.”
Ephraim te Judah taeng lamloh Assyria manghai taengla a nong hnin vaeng lamkah aka om noek pawt khaw, tekah khohnin ah tah BOEIPA loh namah taengah, na pilnam taengah, na pa imkhui ah a om sak ni.
18 Katika siku ile Bwana atawapigia filimbi mainzi kutoka vijito vya mbali vya Misri, na nyuki kutoka nchi ya Ashuru.
Te khohnin a pha vaengah BOEIPA loh Egypt sokko hmoi kah pilyang ham khaw, Assyria khohmuen kah khoi ham te khaw kut a ving pah ni.
19 Wote watakuja na kukaa kwenye mabonde yenye miteremko, na kwenye nyufa za miamba, kwenye vichaka vyote vyenye miiba, na kwenye mashimo yote ya maji.
Amih te boeih ha pawk uh vetih soklong laengsang ah, thaelpang thaelrhaep ah, tangtii boeih neh tuiko tom ah duem uh ni.
20 Katika siku ile Bwana atatumia wembe ulioajiriwa kutoka ngʼambo ya Mto, yaani mfalme wa Ashuru, kunyoa nywele za kichwa chako na malaika ya miguu yako, na kuziondoa ndevu zako pia.
Te khohnin ah tah Boeipa loh tuiva rhalvangan lamkah kutloh paihat neh, Assyria manghai te a lu, a kho mul te a vok pa vetih hmuimul te khaw a khoengvoep pah ni.
21 Katika siku ile, mtu atahifadhi hai ndama mmoja na kondoo wawili.
Te khohnin a pha vaengah vaito saelhung neh boiva pumnit nen ni hlang a hing eh.
22 Kwa ajili ya wingi wa maziwa watakayotoa, atapata jibini ya kula. Wote watakaobakia katika nchi watakula jibini na asali.
Suktui muep buem vetih suknaeng te a caak ni. Khohmuen lakli kah aka sueng boeih loh suknaeng neh khoitui a caak ni.
23 Katika siku ile, kila mahali palipokuwa na mizabibu elfu moja yenye thamani ya shekeli 1,000 za fedha, patakuwa na michongoma na miiba tu.
Te khohnin a pha vaengah tah hmuen takuem ah misur thawngkhat neh tangka thawngkhat aka ting khaw lota ham neh hling hamla khoeng a om pah ni.
24 Watu watakwenda huko wakiwa na upinde na mshale, kwa maana nchi itafunikwa na michongoma na miiba.
Khohmuen tom ah lota neh hling loh a cun dongah thaltang neh lii nen ni a. paan eh.
25 Kuhusu vilima vyote vilivyokuwa vikilimwa kwa jembe, hamtakwenda huko tena kwa ajili ya hofu ya michongoma na miiba. Patakuwa mahali ambapo ngʼombe wataachiwa huru, na kondoo kukimbia kimbia.
Tlang tom te tuktong neh a yoe uh coeng. Lota neh hling rhihnah dongah hnap na kun voel mahpawh. Vaito kah a taelhnah ham neh tu kah a cawtkoi ham ni a. om eh?,” a ti.

< Isaya 7 >